KEEP UP THE GOOD WORK,THE TRUE FOLLOWERS OF AUTHENTIC SUNNAH OF OUR PROPHET (SAW). MAY ALLAH REWARD FOR YOUR GOOD WORKS INSHALLAH. I LOVE THESE TWO SHAIKH FOR ALLAH SAKE BY IBN RAJAB AL MA'AWY,LONDON UK.
Aslm alkm ww... Allah akulinde, akukinge, na akuhifadhi sheikh wetu kipenzi. Allah akupe noor na akujaalie Pepo firdous yaa Rabb 🙏. Waja kusema nikazi yao. Tenda wema malipo Kwa Allah.
Kurecod vedeo za darsa inafaida Sana Sana kunawatu hawapi Ata mda WA kwenda kusikiliza ila akiwa na cm yake mkono I uku a afanya kazi zake na huku anasijiliza mashalla mungu awape afya njema mashekeh wetu wallay
Shekhe kishki upo sahihi kabisa, mfano wamazingira ya kawaida kabisa, Sisi tunaoishi ughaibuni sehemu nyingi na nyenginezo hakuna miskiti,hakuna vikao vya kidini ambayo tutapata daawa na ukumbusho juu ya mambo mema. Basi alhmdllh tunafaidika kupitia hihi video za mashekhe wetu. Mungu atakupa kheri zaidi.
kila anaewaandama masheikh au kuwahukumu watu ni wakosaji wakubwa allah ndie mjuzi wakumtambua mwema na muovu kila mtu apiganie nafsi yake sababu nafsi ndie adui mkubwa wa mwanadam
Ni kweli kabisa na Mutume anasema kilajambo la kheiri katika uisilamu linaruhusiwa watakua kama makafiri ati kumuweka mutu damu ni zambi zambi gani nanijambo na kheiri .watu hawamujuwi MUTUME muhamadi ni vip kawa mutume wamwisho njo wanaketa ma bala ya maneno.
Sheik mm na wapende sana ,na nimefahidika na mawaidha yenyu, wacha waho ni chiki 2 na hawana chochote, mm niko saudia bat natoka kenya, pia mm niliclim 2, sada nafurahi sana kwa kupata ilimu kutoka kw mawaidha, na Allah awape umri mrefu na afia, ilimtuelemisha, insha allah
Kila mpanda dhambi atavuna dhambi.wewe shekhe umesema shekhe Yusuf bin Ismail Nabahani mshirikina.bas Kama fitna we namba moja.Umemponda shekhe mkubwa huyo Dhambi yake ndo hiyo utabughudhiwa hadi mwisho.Nakibaya ndugu yangu mtu hajisifu.We Bado upo chini saaana kielim Rudi darasani kajifunze Ttawaadhui
Al Marhumu Sheikh Abdallah Salehe Al Farsi Aliwahi Kusema; Debe tupu Haliishi Kelele Na Elimu chache ni Mzigo. Ukisomo Elimu Mustwalahu Al hadithi Utakuja jua Wanachuoni Wote Wanajua Kuna hadithi Sahihi Kuna hadithi Dhaifu Sababu hadithi ni Simulizi Za Maswahaba na Maswahaba Wakawafunza Wengine na Wengine wakawafunza pia Wengine. Hivyo ili Usimulie Hadithi Maulamaa wa hadithi wameweka Misingi Ya kukubali au Kuzikataa Khabari Kwa Sababu Ukiwaondoa Msahaba Waliobaki hapo Tunaweza kukataa maneno yao au kukubali.
Kilakitu kitakuja ila muisilamu kwasababu ya MUTUME yuko na dictionary sioni tatizo na mutume kasafisha kilakitu duniyani na kesho akheira haramu zipo wazi na halali zipo wazi
sahih hawa ni wahabi shekhe lao anakubali maulid na hapa kishki anaongea tu asidanganye wacha watu wajiangalilie kwenye mtandao mwenye akili atajua haki
Matayo Marco dAa mtihani masheigh wetu hawa yani bora engelisema sijawahi kimuona ila namsikia tu clip zake km mm lkn asiseme hamjui qassim ni salafi mkubwa ktk nchi hii na sheghe mkubwa sana wa suna
kishki tatizo wewe umesoma dini Lkn nikweli kishki hueleweki dhehebu lako ni lipi maana unatangatanga tu mana maibadhi unaungana nao mara mashia hueleweki
Ooooooo,kwani Albaani ni nani? Mtu wa juzi tu ndio mumemfanya kama Swahaba kuliko hao waliopita? Halafu Kishki unatoa fatwa za kujuzu kurikodi vedio kwa sababu ndio unavyofanya ili kueneza itikadi zako?
KEEP UP THE GOOD WORK,THE TRUE FOLLOWERS OF AUTHENTIC SUNNAH OF OUR PROPHET (SAW). MAY ALLAH REWARD FOR YOUR GOOD WORKS INSHALLAH. I LOVE THESE TWO SHAIKH FOR ALLAH SAKE BY IBN RAJAB AL MA'AWY,LONDON UK.
Aslm alkm ww... Allah akulinde, akukinge, na akuhifadhi sheikh wetu kipenzi. Allah akupe noor na akujaalie Pepo firdous yaa Rabb 🙏. Waja kusema nikazi yao. Tenda wema malipo Kwa Allah.
Maashaallah sheikh nurdin uko sawa kutokana na majibu uliyompa kijana huyo hao ni wazandiki wakubwa na ndio watupu
maashaallah
Assalamualaikum sheikh kweli kabisa fitina nyingi waambie ukweli Allah akujalie kila kheri hapa Dunia na khera
Shekh Nisamehe pia Allah anisamehe mm nurdin naomba mtoto wangu asome kwako ada ntazimudu lakn nikikosa nivumilie
Please show the video of sheikh abdullah humeid.
Lahaula walaquwwata ills billah
ٱحب المسلمون كلهم
Shukraniii shekhe wangu tuko pamoja
Kurecod vedeo za darsa inafaida Sana Sana kunawatu hawapi Ata mda WA kwenda kusikiliza ila akiwa na cm yake mkono I uku a afanya kazi zake na huku anasijiliza mashalla mungu awape afya njema mashekeh wetu wallay
jazakumullaah na mungu awabarikie nyote wawili na pia masheikh wote wa ahlul sunnah waljamaa
Allah awahfadh mashekhe wetu
Mungu awazidishie subra na hikma
Mashallah barakalllahu fiyq
Masha Allah
Shehe wangu mm nimejifunza mengi kupitia mawaidha yako tunakupenda sana mungu akuifadhi na husuda za waja wa Allah inshaa Allah
Shekhe kishki upo sahihi kabisa, mfano wamazingira ya kawaida kabisa,
Sisi tunaoishi ughaibuni sehemu nyingi na nyenginezo hakuna miskiti,hakuna vikao vya kidini ambayo tutapata daawa na ukumbusho juu ya mambo mema.
Basi alhmdllh tunafaidika kupitia hihi video za mashekhe wetu.
Mungu atakupa kheri zaidi.
Wallah shekh Uwe na subra kupigwa vita amepgwa mtume
Kk
THE AHLUL SUNNAH WAL JAM'AH THEY HAVE DEEP LOVE FOR THEIR MASHAIKH AND LOTS OF RESPECT.
Assalam aleykum.. I love sharing the videos u upload on facebook and the response is positive.. MashaAllah keep up the good work
Hongera kishki
kila anaewaandama masheikh au kuwahukumu watu ni wakosaji wakubwa allah ndie mjuzi wakumtambua mwema na muovu kila mtu apiganie nafsi yake sababu nafsi ndie adui mkubwa wa mwanadam
Allah akuzidishie manufaa katik maish yako in shaa Allah
kabixa kenya ni kubayaa sanaa
Ni Ahlisunna au Answar sunna waljamaa?
Vitu vidogo Shekhe Kishki umeshatunga kitabu gani? Tokea umeanza daawaa?
Asia pinga kwa hoja
Ni kweli kabisa na Mutume anasema kilajambo la kheiri katika uisilamu linaruhusiwa watakua kama makafiri ati kumuweka mutu damu ni zambi zambi gani nanijambo na kheiri .watu hawamujuwi MUTUME muhamadi ni vip kawa mutume wamwisho njo wanaketa ma bala ya maneno.
BAHERO ni shehe anaye beba chuki katika kupinga kwake.MWANZO ANAWAKUFURISHA wenzake sana kwa chuki mbaya !!.asante Kishki kwa kuweka wazi!!.
shekhe wangu hata usiwe mnyonge wewe tupe daawah tuko nawewe
bahero nasema mungu ako mkono mguu na macho kwani mungu ni binadamu walam yakunlahu kufuan ahad ,mungu haifanani na chochote
Sheik mm na wapende sana ,na nimefahidika na mawaidha yenyu, wacha waho ni chiki 2 na hawana chochote, mm niko saudia bat natoka kenya, pia mm niliclim 2, sada nafurahi sana kwa kupata ilimu kutoka kw mawaidha, na Allah awape umri mrefu na afia, ilimtuelemisha, insha allah
Faridah Faa mashaallah
Hawakutani masalafi wawili ila moja atampapura mwenzake, je wasemaje kwa wengine?
Kila mpanda dhambi atavuna dhambi.wewe shekhe umesema shekhe Yusuf bin Ismail Nabahani mshirikina.bas Kama fitna we namba moja.Umemponda shekhe mkubwa huyo Dhambi yake ndo hiyo utabughudhiwa hadi mwisho.Nakibaya ndugu yangu mtu hajisifu.We Bado upo chini saaana kielim Rudi darasani kajifunze Ttawaadhui
Ayubu Zomboko hujamuelewa kabisa....usilete fitna katika dini
Wengi wao tunapenda mawaidha yako
asalaaam aleiykum uko juuu sanaaa wakuachee zakooo
una maanisha nini dada hivyo?
bahero ndiyo natukana shek na kabila ya bajuun, ndani khutba yake
Watu wa Twariqa ndio wafuasi wakubwa wa Qur'an na Sunnah,na hakuna hadithi ya bwana Mtume SAW iliyo dhaifu...!
Al Marhumu Sheikh Abdallah Salehe Al Farsi Aliwahi Kusema;
Debe tupu Haliishi Kelele Na Elimu chache ni Mzigo.
Ukisomo Elimu Mustwalahu Al hadithi Utakuja jua
Wanachuoni Wote Wanajua
Kuna hadithi Sahihi
Kuna hadithi Dhaifu
Sababu hadithi ni Simulizi Za Maswahaba na Maswahaba Wakawafunza Wengine na Wengine wakawafunza pia Wengine.
Hivyo ili Usimulie Hadithi Maulamaa wa hadithi wameweka Misingi Ya kukubali au Kuzikataa Khabari
Kwa Sababu Ukiwaondoa Msahaba Waliobaki hapo Tunaweza kukataa maneno yao au kukubali.
allah said in the quran O believer do not follow footstep of satan indeed he is ur great enemy
Aaa
Achananae kupitia watoto watemeke wamemfundisha atakuwa amehelewa
Wewe endelea na darsa zako wala usiwajali shekhe wetu
Kilakitu kitakuja ila muisilamu kwasababu ya MUTUME yuko na dictionary sioni tatizo na mutume kasafisha kilakitu duniyani na kesho akheira haramu zipo wazi na halali zipo wazi
sahih hawa ni wahabi shekhe lao anakubali maulid na hapa kishki anaongea tu asidanganye wacha watu wajiangalilie kwenye mtandao mwenye akili atajua haki
Hatar Sana, nurdin humjui sheikh kassim mafuta!
Ahahahaaa n sawa tu
Matayo Marco dAa mtihani masheigh wetu hawa yani bora engelisema sijawahi kimuona ila namsikia tu clip zake km mm lkn asiseme hamjui qassim ni salafi mkubwa ktk nchi hii na sheghe mkubwa sana wa suna
Tatizo uelewa wako
Bahero kasoma wap na wewe huna lolote
kishki tatizo wewe umesoma dini Lkn nikweli kishki hueleweki dhehebu lako ni lipi maana unatangatanga tu mana maibadhi unaungana nao mara mashia hueleweki
mmh unauhakika
Niambie mtume s a w alikua dheheb gani. Coz alituachia vitu 2 Quran na Sunna. Hayo madhehebu mliyatoa wapi
Ni rai ya mwanachuoni wa kiwahabbi,maana hillo angelitoa mwanachuoni wa Ahlisunna waljamaa ingekua bidaaaa,haraaam! Shirki!?
Maneno mazito
Ooooooo,kwani Albaani ni nani? Mtu wa juzi tu ndio mumemfanya kama Swahaba kuliko hao waliopita? Halafu Kishki unatoa fatwa za kujuzu kurikodi vedio kwa sababu ndio unavyofanya ili kueneza itikadi zako?
Asia pinga kwa hoja
Soma ndugu
Makafiri wakubwa
Osama Shakau kweli kabisa
Wakufurisha mashekh kusema watak sunna ya mtume na maneno ya Allah
Subhana Allah wawaita wenzako makufar mola akusaidie
Unakosea ndugu kuwaita waislam wenzio makafiri mkamilifu niallah
@@mwajumamashallah3122 kauli iyo cio mzur ww unaita watu mbwa
huyu shekh bakhero ni mjinga wa din anachukua kripu za mashekh yeye ni jahiri pia khurafii
Maashaallah