Angel Benard - Nikumbushe Wema Wako (Lyrics/Lyrics Video)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ก.ค. 2020
  • 🎵 Angel Benard - Nikumbushe Wema Wako (Lyrics)
    🔔 If you like our content(s), Please click the bell to stay updated
    We are East Africa Melody [EA Melody]. east african based music project that focuses on latest music and promoting talents around the world
    📥 Send us your track(s) via our email: eastafricamelody@gmail.com
    ⚡ Nikumbushe wema wako nisije laumu
    ▶️ EA Melody:
    / eamelody
    / eastafricamelody
    / eamelody_
    ▶️ Angel Bernard
    / angelbenardofficial
    / angelbenardofficial
    / angelbenard
    🎤 Lyrics:
    [Verse 1]
    Nirahisi kinywa kujawa na lawama tele
    Pale mambo yanapoonekana hayaendiii
    Ni ajabu sana namna moyo unahangaika (kutafuta majibu)
    Ajabu sana moyo unavyoonyesha mashaka
    Yakwamba japokuwa
    Mungu anaishi ndani yangu kuna muda nahofu
    Japokua Mungu anaketi kati yetu kuna muda nahofu, Ahh
    Nakumbuka wana wa Israel katika bahari ya shamu
    Japo walikatiza katikati ya bahari kwa ushindi
    Kwa nyimbo nyingi waliimba na kumsifu Bwana
    Lakini baada ya kuvuka na kuliona jagwa yalibadilika mambo
    Manung'unikoo yalisimama
    Na kusahau muujiza alotenda Bwana Mwanzo aah
    Eee Mungu Nisaidieee eee eenhee
    [Chorus]
    Nikumbushe wema wako nisije laumu
    Nikumbushe ukuu wako wakati wa Magumu
    Nikumbushe shuhuda zako ili nikusifu Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozi
    Nikumbushe wema wako nisije laumu
    Nikumbushe ukuu wako wakati wa Magumu
    Nikumbushe shuhuda zako ili nikusifu
    Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozi
    [Verse 2]
    Eeeh Ee Mungu nisaidiee
    Nisaidieee kukumbuka baba
    Yakwamba umenichora kiganjani mwako kati ya wengi walioko duniani eenh
    Na mimi umenionaa oooh ooo
    Nikumbushe baba yakwamba
    Ni wewe umeniponya nilipoumwa
    Yakwamba ni wewe mlipaji wa ada yangu shuleni
    Yakwamba kama ungeniacha hatua moja
    Nisingelifika nilipo ooh
    Babaumenikung'uta mavumbi
    Kung'uta mavumbi mimi na kuniheshimisha
    [Chorus]
    Nikumbushe wema wako nisije laumu
    Nikumbushe ukuu wako wakati wa Magumu
    Nikumbushe shuhuda zako ili nikusifu
    Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozi
    Nikumbushe wema wako nisije laumu
    Nikumbushe ukuu wako wakati wa Magumu
    Nikumbushe shuhuda zako ili nikusifu
    Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozi
    [Ontro]
    Yesu nakutazama, Nakuamini Wewe
    Fungua maisha yangu
    Nisaidie nisilalamike mbele zako
    Katika ali zote nijue upo
    Umesema hutaniacha, eh Yahweh
    End
    ___________________________________________
    Tags:
    #AngelBernard #NikumbusheWemaWako#Lyrics #eamelody #eastafricamelody
  • เพลง

ความคิดเห็น • 29