Angel Benard - Nikumbushe Wema Wako (Lyrics/Lyrics Video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 ก.ค. 2020
- 🎵 Angel Benard - Nikumbushe Wema Wako (Lyrics)
🔔 If you like our content(s), Please click the bell to stay updated
We are East Africa Melody [EA Melody]. east african based music project that focuses on latest music and promoting talents around the world
📥 Send us your track(s) via our email: eastafricamelody@gmail.com
⚡ Nikumbushe wema wako nisije laumu
▶️ EA Melody:
/ eamelody
/ eastafricamelody
/ eamelody_
▶️ Angel Bernard
/ angelbenardofficial
/ angelbenardofficial
/ angelbenard
🎤 Lyrics:
[Verse 1]
Nirahisi kinywa kujawa na lawama tele
Pale mambo yanapoonekana hayaendiii
Ni ajabu sana namna moyo unahangaika (kutafuta majibu)
Ajabu sana moyo unavyoonyesha mashaka
Yakwamba japokuwa
Mungu anaishi ndani yangu kuna muda nahofu
Japokua Mungu anaketi kati yetu kuna muda nahofu, Ahh
Nakumbuka wana wa Israel katika bahari ya shamu
Japo walikatiza katikati ya bahari kwa ushindi
Kwa nyimbo nyingi waliimba na kumsifu Bwana
Lakini baada ya kuvuka na kuliona jagwa yalibadilika mambo
Manung'unikoo yalisimama
Na kusahau muujiza alotenda Bwana Mwanzo aah
Eee Mungu Nisaidieee eee eenhee
[Chorus]
Nikumbushe wema wako nisije laumu
Nikumbushe ukuu wako wakati wa Magumu
Nikumbushe shuhuda zako ili nikusifu Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozi
Nikumbushe wema wako nisije laumu
Nikumbushe ukuu wako wakati wa Magumu
Nikumbushe shuhuda zako ili nikusifu
Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozi
[Verse 2]
Eeeh Ee Mungu nisaidiee
Nisaidieee kukumbuka baba
Yakwamba umenichora kiganjani mwako kati ya wengi walioko duniani eenh
Na mimi umenionaa oooh ooo
Nikumbushe baba yakwamba
Ni wewe umeniponya nilipoumwa
Yakwamba ni wewe mlipaji wa ada yangu shuleni
Yakwamba kama ungeniacha hatua moja
Nisingelifika nilipo ooh
Babaumenikung'uta mavumbi
Kung'uta mavumbi mimi na kuniheshimisha
[Chorus]
Nikumbushe wema wako nisije laumu
Nikumbushe ukuu wako wakati wa Magumu
Nikumbushe shuhuda zako ili nikusifu
Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozi
Nikumbushe wema wako nisije laumu
Nikumbushe ukuu wako wakati wa Magumu
Nikumbushe shuhuda zako ili nikusifu
Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozi
[Ontro]
Yesu nakutazama, Nakuamini Wewe
Fungua maisha yangu
Nisaidie nisilalamike mbele zako
Katika ali zote nijue upo
Umesema hutaniacha, eh Yahweh
End
___________________________________________
Tags:
#AngelBernard #NikumbusheWemaWako#Lyrics #eamelody #eastafricamelody - เพลง
This song brings tears of joy everytime listening to it...umenikunguta mavumbi mimi na kuniheshimisha Baba
So touching.........kama hungeniacha hatua moja nisingalifika niliko sasa ivo
My song,God gave it to you to sing to me,,, I even named my only daughter Sifa.coz yeye n Wimbo wangu wa Sifa katikati ya machozi
Be blessed
I just had to look for this song to uplift me in what I'm going through now.🛐
❤ I love this song
Mungu ni Mkuu siku zote.
im here from tiktok
You're welcome
Mungu amekupenda said baba wetu pumzika salama
🙏🏾
kama ungeniacha hatua moja
Waoo
Very deep song
Great 👍
I like your song
English translation
I love the song even though I don't understand
In deed he is the one
💖💖💖💖🙏🙏🙏
🙏🙏🙏
😍😍
U
✌
This song has blessed my life and ministered to me . God bless you
Amen 🙏
Amen
Woooooow
Is it awesome?
Glory to almighty God 🙏