🔴
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
- 🔴#LIVE: ZUCHU NDANI YA MASHAMSHAM/PENZINI NA DIAMOND (02 FEB 2022)
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - บันเทิง
Km unampend zuchu km nvyompend mim dondosha like yko hapa
Hii Nipepee alivyoiimba Zuchu ni zaidi hata ya mwenye nayo!
Such a lovely girl!❤️❤️
Coz ni nyimbo ya kaka yake
Zuchu mjanja mno amemtumia diamond message akamwambia nikikupigia cm usipokee nipo na kina juma lokole wameniambia nikupigie cm, wanamashamsham bana kwa umbea hawajambo 😀😀 wanamuweka mtu kati mpaka anajikuta ameingia mkenge, mara ya kwanza zuchu alikomaa cm amepigiwa na mama yake 😀😀 wamemtega mara ya pili amejisahau amejikuta akisema ni kweli diamond ndio alipiga anataka ahakikishe kuwa alifika salama kwenye interview 😀😀💪, juma lokole, dida na idris kitaa ni wambea kisha wambea tena khaaa!
Nampenda zuchu sana🥰
Yan huyu mwanamke ukimuon anaimba mwengin kbs anamiujiza acha bana....wish u all the best
I am really happy for you zuhura darling and i can't wait for 14/02/2022
Kama uko hapa 2024 gonga like
Representing from kenya 🇰🇪
Zuhura 🔥❤️❤️❤️
Nakupenda zuchu
Da dida eti mond ana mapenzi ya pipi pipi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nakupenda sana
Kazuri sana ka zuchuuu
😏🙄😏
I love you so much zuchu
Nimefurahi sana wangu. Zuchu hongera saaaaana wangu
Wawooo!!!Zuchu ongela
Jumaa lokolee ✨🔥🔥
Respect to Zuchi!
Mjaja sana.
Toutes mes félicitations 😘
Wow! Tutasubiria kwa hamu
Zuchu plz tell us the truth and nothing but the truth...
Nampenda zuchu
Muuulizen mbonaa kaweka wallpaper ya picha ya mondii
🔥🔥🔥🔥🔥
Hawa walijua kila kitu mbona Wana T-shirt za mahaba ndindindi na screen inaonyesha mahaba ndindindi.
Inaonekana hufatilii wasafi tv
mwenye macho na maskio asingojee kuona wala kuambiwa daah!!!!!!
Na wanaoangalia online live nao zawadi zao gani😂😂😂
Waiuoiyoo ! Waiyoooooooo.👋👋👋❤❤❤❤❤🇰🇪
Good interview
Are we Kenyans invited too and how much is da entrance fee? Wanna celebrate dis day wid you guys. Nangoja jawabu toka kwenu ili nijipange mapema
Wewe tu kufika kwako
Shwar ntafika panapo majaliwa Inshallah
Juma wewe uko namba1 kwa kuzugumza ni kipaji uliyo pewa na mungu sio wale wa Aristote na mwijaku awa hawajue kitu hawana kipaji wanajitaftia mlo tu wewe level yako Ni ya hadji manara
Safi sana
Tunamtaka ray kwa interview jmn
Nauliza sasa wasafi radio huwa haichezi nyimbo za walio maadui wa diamond? Ni swali tu
Manguliii wa lokole kama nawaona wanvyoangalia hii interview kwa kusonya
🙏🙏🙏🙏🙏shemu zuchu
Masha alaah , lakini ndoa yako ni lini
Didah bhana ety unakohoakohoa nn jamaney 😂🙌
Safi
Mahaba ndindindi
Kiingilio bei gan
Nawapenda jmn
Nawakaribisha kwangu kula ao dagaa wa Mwanza nina uhakika utawapenda ni watamu mno we Dida itakuwa umeenda kule kwetu Tanga huwa hawatoagi vichwa kwa sababu wanahofia mboga kupungua
Nawaombea Mungu awakalie heri muoane wambea wafunge midomo yao
Daaaaa dida umenishinda😅😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nakutakia safari njema ya upendo kati yako na simba was tandale .*****
Mnampatisha tabu tu huyo omar kopa mnazidi kumuumiza huko
ZUCHU NI MREMBO SANA, SANA MREMBO NA HOT KAMA MOTO..... Diamond platnumz ubarikiwe na Zuchu, umebarikiwa.
Zari alimwacha Diamond siku ya Valentine, na akapata kipusa yaani true LOVE siku ya Valentine! Jamani Mungu si Athumani!!
Hongeraa zuchu umeimba vizur nyimbo ya Kaka yako jaman Mungu amrehem uko aliko
Ushauri wangu kwa wale wanaosema zuchu sijui mbaya sijui sio mzuri munakosea sana…Mimi kama mwanamume naangalia tabia kwa mwanamke sio uzuri wake!!!Wanawake wengi wazuri ni vichechee hawana maana!!!Kama ni kweli all the best Simba na Zuchu!!👍🏻
Chicharito Ronaldo well done u said it that's true
Kwelii
Hao wazuri walikuwa ni makombo. Hapa diamond ame pata KITU KIBICHI NA CHAKIPEKEE...TENA MSTAARABU. LOVE YOU MY DAUGHTER..ILA NAOMBA MUNGU ! HIYO SIKU ITANGULIZWE NA (NIKHA ) NDOWA.KWANZA..NAWA TAKIYA KULA LA KHEIR
..AMEEEEEEN !!!!!!💕💕💕💕🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kwani uzuri ndio waeka mume?wangapi noorul aini hawana waume.....wajue tu roho iridhikapo ...hatua hufunguka
Hiyo ni kweli tena kwa asilimia 100, mbona dalili zote zinaonyesha diamond ndio mpenzi wake ingawa hataki kukubali
Hata mimi vilevile namuunga Juma Lokole mkono, Diamond amuoe huyu binti wa Zanzibar. Tumemkubali Zuhura.
Hyo ndoa idumu tu maana...
Sio wewe yan mimi napenda mno kuona diamond platnams anamuoa zuchu wanaendana mno kiukweli tena kwa kila kitu, kaz,i dini, umri na juhudi za kufanya kazi, diamond platnams ni mswahili na zuchu ni mswahili pia nyota zao ni kali mno , zuchu ni mwanamke wa kawaida sana sio beautiful kiivyo na mondi ni mwanaume wa kawaida sana sio handsome kiivyo 👌yan ukisikia utampata wa kufanana nae ndio hii sasa mondi na zuchu wanaendana mno 💪
Juma aongezewe mshahara jamani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Interview yakueleweka hii nmeipenda. Congratulations zuchu
Dahhh diamond platnumz kuswali hapo na ibada apo sasa zuchu ukimpinda huyo jamaa pepo yako sio simba hahaha 😀😀😀 mashamsham on trending #5 🇺🇸 kenya 🇰🇪#1
Sina ushabiki upande wowite, lkn Diamond atafanya mazuri sana kama atamuoa Zuchu, ana vitu vingi sana ambavyo wanashahabiana, na wakiwa pamoja its a very great future
Interview kali sana 🤪🤣
Mashamsham yaleo nmeipenda htr 😂😂😂🤗😍mi nataman zuchu aolewe kwer
Napenda zuchu anavyocheka jmniiiiii kanacheka vizur sana
Naona zuchu mshamsham mashaa allh iwe kher hata bwana simba ache kuchebuka umutulize. Nimekupeda bure zuchu bwana simba kakuchagua love so mach💞💞
Sjawahi kucoment mambo kama haya ila ntafrahi zuchu ukiolewa na diamond
Aliyemuona didah ana kijisauti cha umbea tujuane,
Penda cn didah,😘😍🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰😁
Tunamtaka Rayvanny kwenye Interview jamani
I support you
hhaahahaahahaha zuchu hapo umekamatikaa lazima utasema yote.umekutana na dida na juma lokoleee.hahahahahhaaha umeishaa juma lokole mdaaakuuuu kinomaa.mbona utasema yoteeee??? hahahahaha interview bombaa nimeipendaa sana.Wewe ndo wifii bhana wa wcb.hahahaha hapana.chezeaaaaaa👍👍👍👍👍💔💝💘💘💘.Weee zuchuuùuuuuuu weweeeeeeeee
Nimepigia jibu mstari jamani Dai anapendwa💚❤️🙌mistari tuu unadata daah♥️🙌📌📌📌📌nipin jamani Marshall ah
I just love Zuchu.....shabiki kutoka Kenya💯❤💛💚
I love you ZUCHU.
Body ya ricadomomo Kama ya chibu kweli Ni Nyange family, ka zuchu kametuliaa bi Harusi na vimeno vyake vizuriiii
Nimetoka ludewa ila zuchu namfaham toka alivozaliwa
Cydinho salio ngoma kali Sana ya mazaramo wa malui...
Nmeinjoi sana hongera dj 👏👏👏🤣🤣🤣
Jamani nampenda zuchu,akiolewa na Chibu D ntakuwa na mahaba ndi ndi ndi na couple yao
Yaani hawa sio kwa umbea huu. Zuchu umekamatika. Ila nawapenda woote hapo
Aallah awasimamiye mtoto wetu uolewe much love from kenya
Jamani WEMA SEPETU hatajiskia aje harusi ipo kwa kweli daaah tutabaki midomo wazi 😊😊😊😊😁
Zari jamani atajikojolea haswa 🤣🤣🤣🤣🤣 pressure mbaka 400
Bado sana
Kwani zari hakojowagi????kwa zuchu jo ataaza jikojoleya😂😂😂😂
@@rayanndizeyes3161 ebu ulienda shule jamani hujui hata kuandika jamani naskia raha sana zuchu kawashinda wote 😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
@@smallvaldez6576 izi nikiki tu hawa wanatuchuza tu😆
Zhuchu nimwanamke hana uzuri wazaidi ina kajaliwa kipaji awowote walizana na mondi hawana
Kumuowa mwanamke sio uzuri bali tabia na mwenendo wake ndio bilimfanya mondi anaswe nahakuna camitishamba zhuchu anasifa zote zakuwa mke anafaa kbs sema mondi ashukuru Allah kupata jiko kama hilo lenye manuufa
sema hawa wcb hawana mpinzani kwa kazi ya kupromote concert
Ewaaaah hapo umenena
Sio kwel
You look Lovely Zuchu
I love you all but this looks like drama🌚
If this is true, it will still end in tears and a new motivational speaker will be born.
As long as Diamond is not going to hurt her ,juu all other women in his life they had it all just like ZUCHU..and it's a pitty if this happens dua Mungu awalete pamoja na wa dumu milele. ❤️
I feel that way too.But they are both Muslims and they are aloud to marry more than one woman so I think diamond is not after uaminifu and he is so successful yani wacha tuone coz to me zuchu is soo enoccent bora huu jamaa asimcheze.🇰🇪
Mtoto wakike amezama kwa mapenzi na chibu dangote akawa mpole ila tu usije ukasahau ku invest ukawa kama akina dona, sepeto,mobeto owoya,zari tumia akili sawa sawa simba nitajiri siku ukitemwa uanze kulia mtandaoni babe girl
Nakupenda Sana didaa zuchu Leo amefunguka vzuri tumekuelewa chomboo cha simbaaa😘😘❤️❤️❤️❤️😍😍
Nyinyi munajua kazi kweri waswahili 😳🤗
Hinapendeza sana hiyo wakihowana hiyo kapo hitsfurahisha sana nahutwa ADOLPHE WILONDJA nikiwa merekani.
Zuchu anawivu haijawahi tokea ktk wanawake wa Mondi. Hii sasa na Jay zee na Beyonce tunaishuhudia bongo ktk utawala wa simba
Nataman iwe kwel Mana naona wanaendana Kabisa 😍😍😍😍
Bando langu limeenda kihalali kabisa
😅😅😅😅lakwangu pia
@@molidwins3450 🤣🤣
Nimefurahi Sana Kwa zuchu na diamond naomba Mwenyenzi awajalie jmn.
@wasafi TV... @Zuchu ...its time for you to make a debut on International stage...We need to see you selling tickets at the O2 arena...you are East Africans most talented female artist.Time to believe in yourself and take that step...Let's get to serious work.Do some collaborations with famous Nigerian artists,just get out there please.❤❤❤🙏🏼🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧
#zuchu
Oyaaah mondi anakanyaga huyu demu akiyamungu wallahih mtoto confidence anayo ya kutosha yaaanih
Kabisa yani mtu hata kama hujui kusoma picha lazima ujue kuangalia, diamond anamlala kabisa zuchu sio utani ni kweli kabisa 💪
Kwajina naitwa abu lizer nimrundi nasisi wangetualika kwenye ndoa yao
Zuchu sukari ya afrika 🔥❤️🙌🇧🇮
Love you zuh❤️
Waoooo!!! Jmn mimi hiyo Dagaa kwangu ndo mmenimaliza
🇺🇸/🇹🇿💕Zuchu Ushaolewa Siri Dahariii!!! Valentines will be revealing day combine Wedding Reception of you 2 with Shela kuvaliwa Awe Diamond or whomever Man.. Hivi Jamani Nyimbo za harusi kuingilia Mashamsham? Kutakiwa kheri na Mamaake tayari. ""Zuchu kunukuu kuwa siku kuwa kumbwa, Ukumbi wa Malimani city kubalika kuliko usiku wa Zuchu "" Tumekuelewa Zuchu Hongera Umeshaolewa!! Ok Shilole catering. Je Aliyah ata host Reception revealing? All in all we love you 2 as couple already 💕💕💕🔥🔥🔥
Well said Zainab.
Mashaallah unajua kusheza taarabu mtt wa kizanzibar hongera
Diamond platnumz sema ukwelii babyyyy. Ha
Huo mwili alivyo ongeza ni wazi ana mimba Zuchu msiri
Am a big fan from Oman for Diamond just to say this Am happy to see this guy goin to marry a beautiful Tanzania women is good to have our cultures always Zuch is right choice....to my best singer star....of East Africa
Thanks for loving Africa dear ❤️❤️
Mb zangu zimeenda kiharari kabsa bonge la interview
Jamani hii station ikuje Kenya I like it
Sana
Umeona ee
Juma unajua sana kuuliza maswali fresh 🤣😂
Hii kiki hatari ya kutusogeza tarehe 14... napata wasiwasi kama ni Naseeb kweli.
WCB mnajua kuwateka wabongo...🙌.