Hongera sana mze wangu kwa kutowa maoni yako na kufafanuwa zaidi kwa lugha ya kiswahili ili watu wa nyumbani fizi waelewe kiundani Mambo yanayo endelea ndani ya inchi
Asente sana Mweshimiwa Washikala Lutengya kwa maoni yako yanayo sisimua isia za ndugu zetu Wakongomani, Mungu wangu Yesu Kristo akuzidishie kuona mbali na kuwataarifu ndugu zako katika lugha yetu ya kiswahili ili watu waelewe kinacho endelea katika nchi yetu. Ubarikiwe sana katika jina la Bwana Mungu aliye Mwokozi wetu Yesu Kristo Amena.
Ujumbe wangu Kwa waKongomani. Ninge waomba wakongomani kwa pamoja tusikubali kudanganywa na maoni ya watu wanao rubuni fikra zetu, cha muhimu tuipende nchi yetu kwa kumweshimu na kumuhunga raisi wetu mkono ili turekebisha hiyo katiba maana hiyo ndo moyo wa nchi yetu ya Congo unao gawa damu katika mishipa tafauti ya Province zetu, hiyo katiba ikiwa inaumwa na nchi nzima itakua inaumwa. " linda sana katiba ya nchi kuliko vyote uvilindavyo maana ndipo zitokazo chemchemi za uzima wa nchi yetu Congo. ling, Mithali 4:23
Hongera sana mzee, Hiyo inaonyesha kazi. Mtazamo na uchambuzi wako ni mzuri kweli, ndi kazi sasa hiyo. Mungu akutie nguvu na akupe maono zaidi na ujasiri wa kuyatoa kwa watu ili wakujuwe na wewe. Video kama hizi ziendelee kabisa ili kuokoa wengine
🙏🙏 Aksanti sana ndugu Mweshimiwa #Mpastori_Washikala kwa ufafanuzi mzuri sana . Mimi kama Mwana sheriya katika mafunzo pa LUBUMBASHI, nakubaliana Na maneno yote unayo yaongeleya hapo. ❤NB: hacha basi niseme wala niongezee jambo moja.: #kuhusu kipengele cha 10 Leo tumeona wakongomani waliyo inje ya inchi wali chagua Félix. Sasa swali ni moja kwa nini kuchaguliwa Na wakongomani wa inje ya inchi Na wakati wao si wakongomani kwani Congo akuna watu wa pacha la ukabila❓ Ni mengi Ila ndo kama comment yangu Iyo . Mwakole manga Que vive fizi Que vive espace itombwe Que vive Mboko Que vive village LÙAMBA Alamanda Taraja Bin Héritier LÙAMBA IS Home/ fizi
Papa huko na akili nyingi sana unafaa sana kwa mawazo yote huliyo towa. Ni meyaunga mkono mawazo yako. Hii channel yako hiendelee kusafisa ubongo wa wa kongomani. Huu ndoo uzalendo.
Hongera sana mze wangu kwa kutowa maoni yako na kufafanuwa zaidi kwa lugha ya kiswahili ili watu wa nyumbani fizi waelewe kiundani Mambo yanayo endelea ndani ya inchi
Asente sana Mweshimiwa Washikala Lutengya kwa maoni yako yanayo sisimua isia za ndugu zetu Wakongomani, Mungu wangu Yesu Kristo akuzidishie kuona mbali na kuwataarifu ndugu zako katika lugha yetu ya kiswahili ili watu waelewe kinacho endelea katika nchi yetu. Ubarikiwe sana katika jina la Bwana Mungu aliye Mwokozi wetu Yesu Kristo Amena.
Ujumbe wangu Kwa waKongomani. Ninge waomba wakongomani kwa pamoja tusikubali kudanganywa na maoni ya watu wanao rubuni fikra zetu, cha muhimu tuipende nchi yetu kwa kumweshimu na kumuhunga raisi wetu mkono ili turekebisha hiyo katiba maana hiyo ndo moyo wa nchi yetu ya Congo unao gawa damu katika mishipa tafauti ya Province zetu, hiyo katiba ikiwa inaumwa na nchi nzima itakua inaumwa. " linda sana katiba ya nchi kuliko vyote uvilindavyo maana ndipo zitokazo chemchemi za uzima wa nchi yetu Congo. ling, Mithali 4:23
Mwakole manga ❤
Ndugu Washikala,asante saana kwa uchambuzi wako,ingekuwa wakongomani wote wanayo mawazo kama wewe,kongo ineligeuka Allemagne d'afrique
mimi ni nduguyako mzalendo ASSANI SUMBU KAPOLO
nakushukuru nikiwa apa OTTAWA CANADA
Hongera sana mkuu kwa mawazo haya. Hili ni wazo la maana na nimsaada mkubwa kwa wanainchi wetu.
Hongera sana mzee,
Hiyo inaonyesha kazi. Mtazamo na uchambuzi wako ni mzuri kweli, ndi kazi sasa hiyo. Mungu akutie nguvu na akupe maono zaidi na ujasiri wa kuyatoa kwa watu ili wakujuwe na wewe. Video kama hizi ziendelee kabisa ili kuokoa wengine
Akili inaitajika ❤️
Safi sana ndugu Washikala kwa maoni yako . Kumbuka BRUNO.
ningeomba sana kipindi hiki kiendelee usiishie hapo uzidi kupandisha vitu kwenye account hii kama maneno hayo uliyoyaongea hapo🇨🇩🇨🇩❤️❤️❤️
🙏🙏
Aksanti sana ndugu Mweshimiwa #Mpastori_Washikala kwa ufafanuzi mzuri sana .
Mimi kama Mwana sheriya katika mafunzo pa LUBUMBASHI, nakubaliana Na maneno yote unayo yaongeleya hapo.
❤NB: hacha basi niseme wala niongezee jambo moja.:
#kuhusu kipengele cha 10
Leo tumeona wakongomani waliyo inje ya inchi wali chagua Félix.
Sasa swali ni moja kwa nini kuchaguliwa Na wakongomani wa inje ya inchi Na wakati wao si wakongomani kwani Congo akuna watu wa pacha la ukabila❓
Ni mengi Ila ndo kama comment yangu Iyo .
Mwakole manga
Que vive fizi
Que vive espace itombwe
Que vive Mboko
Que vive village LÙAMBA
Alamanda Taraja Bin Héritier
LÙAMBA IS Home/ fizi
tunahitaji uongelee hichi kinachoendelea kuhusiana na hawa watekaji wa kuluna
Papa huko na akili nyingi sana unafaa sana kwa mawazo yote huliyo towa. Ni meyaunga mkono mawazo yako. Hii channel yako hiendelee kusafisa ubongo wa wa kongomani. Huu ndoo uzalendo.