TAARIFA MPYA KUTOKA YANGA YA AZIZ ALLY KAMWE AFUNGUKA SAKATA LA AZIKI KI KISAINI MKATABA MPYA YANGA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 พ.ค. 2024
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 44

  • @NelsonMatambo-ob5zm
    @NelsonMatambo-ob5zm 27 วันที่ผ่านมา +2

    yanga tim kubwa

  • @abdulismail79
    @abdulismail79 28 วันที่ผ่านมา +3

    Ukiwa nje ya Nchi (England) vipi unaweza kujisajili kuwa mwanachama?

  • @christosilerkalata9607
    @christosilerkalata9607 27 วันที่ผ่านมา +2

    Wanachama zaidi ya million 30 tuwekewe mpango kila mmoja atoe kiasi gani?

  • @saidmpunga-en6pf
    @saidmpunga-en6pf 26 วันที่ผ่านมา +1

    azizi ki abaki hao makolo watoe udenda tu hawampa hao nikama fisi wamwambie deuji akatafute nae nje haoni wanaume wanavyojituma kama injinia naitwa said mpunga nipo wazo dar contena

  • @stafordchamgeni8430
    @stafordchamgeni8430 28 วันที่ผ่านมา +2

    Nitumie control namba nilipie uanachama na nije kula supu tarehe 25/5/2024

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 28 วันที่ผ่านมา +1

    Wanachama tutamfanya Azizi Ki tutamziwia asiondoke tataongeza malipo kwenye kadi za uwanachama!!

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 28 วันที่ผ่านมา +2

    Mmeandaa mazingira gani au mmetengeneza utaratibu gani ili wanachama na mashabiki mwananchi waweze kutekeleza hilo jukumu la kujisajii ili kuwa wanacha na mashabiki rasmi wa club.

  • @RahmaAbdulrahman-er2yg
    @RahmaAbdulrahman-er2yg 28 วันที่ผ่านมา +1

    Tunaomba abakie yanga azizi k diara abakie pacome abakie yanga

  • @Kanyawela
    @Kanyawela 28 วันที่ผ่านมา +2

    Weka kujisajili day nami nijisajili

  • @isacknicodem3262
    @isacknicodem3262 27 วันที่ผ่านมา +1

    Ally mngemshawishi mkampatia mkataba ili mpige pesa

  • @TwalibuHassan
    @TwalibuHassan 28 วันที่ผ่านมา +1

    Naitwa twalibu Hassan kadi shilingi ngap kujisajili

  • @user-nm2jq7xo5f
    @user-nm2jq7xo5f 28 วันที่ผ่านมา +1

    Kilajambo na wakati wake

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu 27 วันที่ผ่านมา

    Kiongosi kijana nikweli umuli wako uko tofauti naungozi wako yani maneno yakoyakimbwa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @NassibAbdallahMariki
    @NassibAbdallahMariki 25 วันที่ผ่านมา

    Kadi inalipiwa Shs ngapi

  • @NassibAbdallahMariki
    @NassibAbdallahMariki 25 วันที่ผ่านมา

    Kadi shs ngapi

  • @prospermbena4692
    @prospermbena4692 26 วันที่ผ่านมา

    Nalipa adda ya uanachamaa sasa hivi, Yanga baba lao daima mbele nyuma mwiko

  • @JackSanga-fw9xt
    @JackSanga-fw9xt 20 วันที่ผ่านมา

    Mimi naomba niwe mwanachama jmn niwe na kadi

  • @mussamtupa
    @mussamtupa 25 วันที่ผ่านมา

    Sisi tunao ishi nje ya nchi tunafanyaje ktk usajiri na kulipia? Majibu tafsdhar

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 28 วันที่ผ่านมา +5

    Kama ambavyo kumekuwa na siku ya Pacome day --- Aziz ki day --- Maxday --- Baka day etc --- Tengenezeni mazingira ya kuwa na siku maalumu,itakayoitwa labda JISAJILI DAY ,kwa Nchi nzima,then kabla ya siku hiyo kufanyike uhamssishaji mkubwa kupitia vyombo mbalimbali vya habari na hata mitandao ya kijamii " Nadhani kuna kitu kikubwa chenye tija kwa club kitafanyika " Na ifanyike hivyo,hata mara mbili kwa mwaka "

    • @michaelmabula7444
      @michaelmabula7444 28 วันที่ผ่านมา +1

      Sahihi kabisa

    • @neemaisrael688
      @neemaisrael688 28 วันที่ผ่านมา

      SAHIHI KABISA.

    • @stafordchamgeni8430
      @stafordchamgeni8430 28 วันที่ผ่านมา

      Sawa Ally kamwe ameipata hiyo kuwe na usajili day utafaa sana

    • @Kanyawela
      @Kanyawela 28 วันที่ผ่านมา

      Kujisajili day hii nimeukubali tena nchi nzima

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn 27 วันที่ผ่านมา +1

    Naomba namna ya kulipia kadi ya uawanachama simba sitaki Tena kuanzia leo

    • @mussamtupa
      @mussamtupa 25 วันที่ผ่านมา

      😅karibu

  • @saidmpunga-en6pf
    @saidmpunga-en6pf 26 วันที่ผ่านมา

    kuamtu inamkela azizi kubaki yanga sasa yeye ndie alimsajili mbona anawashwa mambo ya yanga waachie yanga viongozi wetu wameenda shule sio hao wanapiga kelele tu aende tandale vilabuni akasajili watuache na yanga yetu wenyewe kazi kumtia hasara mo

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu 27 วันที่ผ่านมา

    Tupe maerezo ukiwanje na Tanzania kadi yacama utayipataje???niko Bujumbura

  • @HappyEel-wg4qx
    @HappyEel-wg4qx 26 วันที่ผ่านมา

    Makoro mnaumia sana

  • @user-xz8rm2jr2x
    @user-xz8rm2jr2x 27 วันที่ผ่านมา

    Ally kamwe,WW NI msema kweli sio Kama Yule mchumba wa upande wa pily

  • @benarddickson1326
    @benarddickson1326 26 วันที่ผ่านมา

    Uongozi Yanga um-retain Aziz we highly need this player.

  • @rehemakimbesa7296
    @rehemakimbesa7296 28 วันที่ผ่านมา

    Na sisi ambao hatupo huko tunajisajiri vp

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 28 วันที่ผ่านมา +9

    Njia ya muongo ni fupi mara Aziiz mkataba imeisha mara tumepata offer kakojoe ulale mchezeji mkataba ukishaa Club haipati Chochote wadanganye Uto mafalaaaaa

    • @FirdausAlly-ls8fw
      @FirdausAlly-ls8fw 27 วันที่ผ่านมา +2

      Kwani unaumia nin NGULUWE FC.. aziz ki. Ni mchezaji wa yanga we tuliaa pambania jina la pili cyo TATU JUMA MGUNDA

    • @JastinAlphonce
      @JastinAlphonce 27 วันที่ผ่านมา

      Acha kiki my brother Kwan hujui uwezo wa vilabu vya kariakoo mara kaja sawadogo wa million 700 alipofeli kibao kikasema alikuja free 😂😂😂

    • @KizingiliRamadhani-gh5gq
      @KizingiliRamadhani-gh5gq 25 วันที่ผ่านมา

      Ww ni mjinga

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu 27 วันที่ผ่านมา

    Kwni mayele nkitugani tunafika apaju yamayele???

  • @hassanmatete7121
    @hassanmatete7121 28 วันที่ผ่านมา

    Unasema mayele kaingiza pesa yanga alipoondoka wakati rais alisema kaondoka bure naomba waka sawa kwa ili

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 27 วันที่ผ่านมา

      Wewe ndunduka.

    • @zeddymourice4249
      @zeddymourice4249 27 วันที่ผ่านมา

      Je unafuatiliaga haya mambo?mtafute wakala wamayele nadhani utapata jibu kamili kama mayele aliuzwa au aliondoka free

  • @user-nm2jq7xo5f
    @user-nm2jq7xo5f 28 วันที่ผ่านมา

    Lolote litawezeka

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u 28 วันที่ผ่านมา

    Hamna pesa za kushindana na matimu mkubwa mumbakishe azizi ki

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u 28 วันที่ผ่านมา

    Huyo wenu lakini azizi ki sio wenu Tena free boti

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u 28 วันที่ผ่านมา

    Acha uongo mayele alikuwa wa mkopo

  • @user-bi8hr3nu6g
    @user-bi8hr3nu6g 27 วันที่ผ่านมา

    Kama wewe ni mwanasimba unataka kuja yanga nenda kwenye tawi lolote lililo kalibu na wewewatatakupokea bei ya kadi ni 31