PENZI LIMEKOLEA | BAHATI HAIJI MARA 2 | NAMPENDA ANA PESA | NDOTO YA KILA MWANAMKE | HELLOW MR RIGHT
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ม.ค. 2024
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder - บันเทิง
Wabongo ubunifu jamani nawapenda majirani ,Mc Gara B,Miss Aaliyah ,Dr mko na chemistry kali Bwana....show nayo ni moto kama pasi 🇩🇪🇰🇪
Mr right kajichagulia kazuri na kamevaa gauni refu la heshima
this was superb tokea nimeanza kuangilia mr right
Wow hii nayo ni very fantastic wallah 💝💝💝👌👌👌💥🔥🔥💯
Usitaje jina la mwenyezi mungu kwa zinaaa
Mr right yupo sahihi na makini sana... unajuwa bro kuchaguwa
Kaka Ana jua kitu kizur balaaa Wahehe Fireee
Bonge moja la show tangia nmeanza kuangalia hii kitu hii ya leo imesmama
Honger kaka umechagua mke amevaa vizur mungu awasaidie
Sijawahi comment but D's so amazing ❤❤
Amechagua aliyevaa nguo😅
Eliza nakuombea uendeleee kuozea hapo😂😂😂😂malipo ni hapa hapa
😂😂😂
Naomba ivyo juu ananyodo nyingi
😂😂😂😂😂live bila chenga
Siyo vizuri jamani 😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kuetu sisi wa Congo eliza si mwanamuke yeye ana sema sana
The very interesting episode ever,the guy is Very romantic
Wanaendana MashaAlla wote wadogo wadogo
Nimependa😊😊😊
Jamaaa katisha sanaaa
Kamchagua mzuriii😂😂😂 elizaaa anazeekea apo apo
mkaka mzuri huyu nmempenda pia mm
It's amazing wanaendana sana kwakweli nimependa
Hahahahaha Mr right nimekukubal snaa njonjo hz broo umejipang hahahahah eliz huyoooo kaachwa
Nimependa uyokijana nikweli kapenda rangi ila atamavazi yanawezakusababisha, wakumbuke uyoanaechagua nikwamba anataka mke kweli , atakaepeleka kwa wazazi , nimeona wengi wanaochagua nakwasiriasi awangalii uzuri wanaangalia muonekano wa mtu, ❤❤❤
This is best episode ever. Big congratulations to this beautiful girl, she looks humble and beautiful. Nakutakia maisha marefu my beautiful pp
Watching from Australia
Huyo dada ni haki yake kwanza amevaaa vzr
🎉❤️
Wow beautiful girls in Tanzania
Nimeipenda mnooo
All the best Mr & Mrs Right❤
Sema mr right yuko makini bc huyo mwanamke nae awe na utulivu jmn
This is the best Mr Right show tangia inaanza 🎉❤
Huu mchezo hauitaj hasira 😂😂😂😂 nice couple ❤️👌 pole Elizabeth 😂
Waheh tuna kiti chetu heaven 😅😅
😂😂😂
One love ST BONGO TV
Hahahjja mhehe romantic❤
Kweli zabibu na your are red wine
Waoooo❤
How painful Liz!!! Jamani janani sokuhizi Mungu halopeshi astaghafirullah
Eliza sasa niwakati wako wakukataliwa 😃😃😃 umekata vijana walio kuchaguwa sasa utazehekeya apo ulizani hawutakataliwa leo njo leo
Malipo ni hapa hapa Duniani....kashapigwa na kitu kizito kichwani😂😂😂😂
Naomba wamkatae sna hadi aondoke apo bila mume maana alipendwa mwanzo kazingua saf sana
Yatamkuta yale ya Recho😄😄last season,alichaguaga hivo hivo mwisho wa siku akaondoka na mtu tu ilimrad
Kwanza mwenyewe mzee 😅😅 au macho yangu yanaona vibaya
Wahehe tunajua kupenda wee acha tu mtoto umedumbukia kwenye penzi zito la mhehe😂😂😂😂
Nifurahia hili penzi jipya Mungu ayilonde idumu ndoa yenu milele
Ushawafungisha na ndoa 😅😅😅 ndoa imekuwa so simple 😂😂😂
@@hawaramadhani6954😂😂😂😂😂😂😂
Eeeeeeiiish love is a beautiful thing ❤
Just like wooow
That's a marketing strategy, ww think its Mr right but the he is advertising his business.
Waooo mungu awe nanyi
Mashaallah wanaendana👌🔥🔥🇧🇮🥰🥰
Mmeendana sana et❤
Bonge la gentlemen
Amazing couple
Wanyalu kolo tunapenda sket ndefu za heshima
indolo muhimu
Walivyobaki wawili huyo mwenye makalio makubwa alijiamin sanaaaa😂😂😂😂
Naomba Mungu awajalie wanangu wake wema mana SS tuliozaa madume matupu mtihan jmn 😂😂 utaona mwanao anaenda hapo kutafuta mke jmn namuombea apate mke mwema
Usihofu Mungu amesikia maombi yako
Waooooow❤
Mmh jamani fanye mkificha mana hii show mwisho mwisho kabla cja itizama Nisha jua Mr Right ataondoka na nani so Mr Right session five cku enjoy uko mwisho rekebisheni plz but cto sahau hile ya Anita ex kuwa keki
Honger
Couple hii imependezaaaaa nimeipenda sanaa
😂😂😂😂😂 Mnyalu ana mbwembwe
Yup sawa kwa usahii wako
Huyu kaka ameweza
Ungemvuwa,miwanii,machoo,yamooo
😂😂😂😂 golden girl iyo miwani sijapenda aisee😁😁
Si hata kasema mwenyewe alimuona kama ako na pasa
Nyie huyu kaka 😊
Mr right kachagua kaka cool kazuri amejua kweli
Jmn uyu kaka nyie 😂😂😂😂 wamependeza sana
Jamaa apunguze kuangalia waphilipino..😂😂
Jee hii NI Halali kwenye dini zetu zote tunazo abudu.,Au ni kumsaidiya shetani na kumshangiliya zaidi...?Kwa sababu hakuna anaye weza kuwa na unahakika kama watakwenda kuowana yaani kuchumbiyana au kufanya ufuska Tu kisha kuwachana njiyani...Na ningalipenda Kwanza hao wanawake walio kwenye hichi kipindi Kwanza wavaye mavazi ya heshima...kama anavo vaa huyu mtangazaji mwanamme mwenzetu MashaAllah anavo jiheshimu.
Jaman nmeipenda hii couple
Nyege tu
Umeambiwa umkumbatie kaka acha uboya🤣🤣🤣🤣 unaniangushaa
Hahahaha jamaaaa kapow san ila eliza anagundu jaman
Waooo❤️
Enyewe jama akachaguwa huyu naye mrembo kweli❤
❤❤❤❤❤❤❤..#COUPLE...🥰
Naipenda sana emission hii, niko nchi ya nje nataka mke Mtanzania ❤️
Wow nipo hapa
Uko tayari ?
Nipo hapa jamani
@@user-fz2de4qn2r 💕💕
Wanaendana San nimeipenda
Nice couple
haaaaaaa ila hii dunia😂😂
🔥🔥🔥❤️❤️
Muwe mnamtag bsi hao wakaka jmn🎉
0:23 seconds mr right amedhihirisha kwamba yeye ni mkulima, nani anaweza kumuacha Tina ??
Hahahaha ❤wow
Ritah ndo alikuwa Golden Girl..
Jamani mke au mume anapatikana popote pale pawe pabaya au pazur mungu ndie anae kuandikia
Jipe moyo uchague galasa
Yeah kwa kweli
Nenda Tandika,au Temeke mwisho,buguruni pote huko utapata huko mke mwema bro
Nimeipentaaa hii caple❤
Just talk kiswahili
❤❤
”Na siku hiyo wanawake saba watamshika mwanaume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu.“
Isaya 4:1 RSUVDC
Hizi ni Siku zilizotabiliwa Mume ama mke hatafutwi kwa njia Hii
Huu ni ukahaba Kama ukahaba mwingine sema hapa umeboreshwa tu na kuwekwa hadharani .
Mmefanya vizur kumshusha maana ameongea rude Kwa ofisi ynu Bora alivyoaaga pambano😂
Aiseeee
Wasukuma wajanja kinoooma tokazamani hiii sindio ziile CHAGULAGA yauswahili
Siio MUSUKUMA HUYU NI MHEHE fuatilia tokea mwanzo😅😅
@@mohamedally4496 unaijua CHAGULAGA ww uliza kandayaziwa
Huyu mr right hamna mtu😂😂 akiiiii
wenzio hawaelewi sifa nyingi
Hizo nongwa sasa😅😅😅
Jamani kweli kipindi sawa ila tiwe tunashuhudia naharusi zao sio wanaenda kichezeanatu
Sema mwamba anatisha mpaka basi
Hiv wanavyochaguana hiv ni kwamba wanaoana kweli
Huyu kak ajaj kuchagua moe kaja kuchagua mtu wa kula pesa yake
Hii hali ya wanawake kwenda kujipanga kuchagua mwanaume na baadhi kuachwa kama mitumba naona kama udhalilishwaji!
Jaman elizabeth pole sana sema dada una mdomo sana yani unaongea kuliko wenzako angalia usije ukazeekea apo
hivi hii ni tamthilia au ni kweli
Wameendan jmn
Huyu eliza si anaigiza kwenye kitimtim na akina pili jaman
Shkamoo Eliza ujuaji mwingi
Ukimwi nje nje ungewambia wapime jmn mnauwana watanzania kwa watanzania jmn 😢
❤
Ha😂😂😂😂😂 hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha
Hivi huwa mnafatilia hawa watu baada ya hapa au