SAIDA KAROLI| UGUMU wa MAISHA wa MAISHA UNAVYOMTAFUNA kwa SASA, DHURUMA ya PESA ILIVYO MUUMIZA!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 พ.ค. 2024
  • SAIDA KAROLI| UGUMU wa MAISHA wa MAISHA UNAVYOMTAFUNA kwa SASA, DHURUMA ya PESA ILIVYO MUUMIZA!
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 326

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  28 วันที่ผ่านมา +20

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

    • @KhadijakassimMwaipaya
      @KhadijakassimMwaipaya 28 วันที่ผ่านมา +2

      Lanenepa.mashalah

    • @Ramlakimaro
      @Ramlakimaro 28 วันที่ผ่านมา +1

      Mpaka leo bado zinaishi

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA 26 วันที่ผ่านมา +1

      SAIDA UMEWAIMBIA SANA WATU LAKINI HUJAMWIMBIA YESU KRISTO WA NAZARETI.Nakuomba nakusihi ANZA SASA KUMSIFU YESU KRISTO WA NAZARETI ATAKULIPA ZAIDI.

  • @officialdogobdance672
    @officialdogobdance672 16 วันที่ผ่านมา +15

    I respect her so much namuombeaga kila siku mungu amuweke miaka 1000 maana huyu alinilea miaka 7 nilienda kwake nikiwa mdogo sana mpaka saii niko Star kwa sababu ya huyu mama heshima kwake❤❤❤❤❤❤

  • @anisiamchembe6552
    @anisiamchembe6552 28 วันที่ผ่านมา +40

    Saida tunakupenda sana!!👑

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 28 วันที่ผ่านมา +29

    Ukiachana na usanii bado ww ni mama la mama Mungu akubariki sana mdogo wangu

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 28 วันที่ผ่านมา +32

    Maskn anapambana kwa ajili ya watoto wake hongera sana❤❤❤

    • @liberatusjackson5045
      @liberatusjackson5045 24 วันที่ผ่านมา

      Nakataa

    • @openglo
      @openglo 24 วันที่ผ่านมา

      ​@@liberatusjackson5045kwanini?

  • @SimonBinde
    @SimonBinde 28 วันที่ผ่านมา +57

    Huyu tumuheshimu kashfa so nzuri ni mama yetu

    • @evakessy3282
      @evakessy3282 28 วันที่ผ่านมา +4

      Kwani nani amekoment kashfa na wewe hovyo

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 28 วันที่ผ่านมา +2


      😅😅

    • @WahidaHilaly
      @WahidaHilaly 25 วันที่ผ่านมา +1

      ❤❤❤

    • @MTOTOWAvitoto
      @MTOTOWAvitoto 25 วันที่ผ่านมา

      ​@@evakessy3282kwani wewe huoni hiyo title ya hapo juu walivoandika eti UGUMU WA MAISHA UNAVYOMTAFUNA SAIDA KAROLI sasa siuongo huo kwa maisha gani mabaovu alonayo??ni usenge tuu wanataka wapate views wengi

    • @AlhajiIssa-jb9hr
      @AlhajiIssa-jb9hr 24 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂muambie huyo.​@@evakessy3282

  • @ambakisyemwakinunu2002
    @ambakisyemwakinunu2002 28 วันที่ผ่านมา +24

    Hizi interview zinafundisha sana hasa kwa watu wanaoongea ukweli kama mama Saida MWENYEZI MUNGU akujalie zaidi kwa moyo wa kuwasaidia na kuwafunza wengine

  • @SimonBinde
    @SimonBinde 28 วันที่ผ่านมา +24

    Mungu akupe maisha marefu

  • @user-dk8mm9vi3y
    @user-dk8mm9vi3y 12 วันที่ผ่านมา +5

    Mbona kaacha kuimba kipawa akiozi ats kwe. Mie Mkenya ningali na kumbuka nyimbo zako nikiwa jijini Nairobi. Mie Mkenya. ❤

  • @aishakambenga6191
    @aishakambenga6191 28 วันที่ผ่านมา +24

    Mme wangu anapenda nyimbo zako zote ❤

    • @ZuberiMayanga
      @ZuberiMayanga 6 วันที่ผ่านมา

      Angalia utaibiwa mme

  • @bodyaman
    @bodyaman 28 วันที่ผ่านมา +14

    Hongereni Global TV Kwa kufanya interview na Saida Karoli rejendri WA Muziki wa bongo akiwa hai

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 28 วันที่ผ่านมา +8

    Wow I'm happy to see her,akipata profession interviewer anavitu vingi vya kufundisha vijana

  • @ettienewand9850
    @ettienewand9850 วันที่ผ่านมา

    Hivi mtu akitaka kumzawadi huyu mama amfikie vipi.She deserves to be appreciated. Nyimbo zake zinanigusa sana.

  • @SwahiliAmbasador954
    @SwahiliAmbasador954 28 วันที่ผ่านมา +22

    Mungu anatupenda sote huyu mama kanigusa sana lakini mafanikio yapo haijalishi ni umri upi ulio nao jina lako mama nikubwa sana na sio Tanzania tu africa kwa ujumla Mungu akusimamie mshirikishe pia Mungu katika kila jambo kama unavyo kubali ukuu wake katika maisha yako una moyo mzuri Sana Mama

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 28 วันที่ผ่านมา +14

    Kiukweli mama yangu nikushauri tu, kama hakuna affect unayoipata usukumani; naomba endelea kupiga chaka to Chaka, kama malengo yako Huwa yanatimia; usichague mama kikubwa Hela. Mi najua kilichokufelisha ni technology ya muziki haikuwa imekomaa mpo wengi sana mlipiga kazi kubwa ila hakuna kitu Leo.
    Watu walichezea sana kazi zenu walitajirika, na mbaya sana mama yangu hukuwa na Elimu kabisa. Piga kazi mama yangu kikubwa Hela. .

  • @Boaz-Gwanko
    @Boaz-Gwanko 28 วันที่ผ่านมา +16

    Nashauri Saida akahojiwe na Milard ayo,au atafutiwe mwingine ndani ya global, huyu mwingine hajui kumuhoji mtu aliye kaa mda mrefu bila kuhojiwa, ana mambo mengi kifuani lakini hana mtu wa kuyachokonoa... Nimehuzunishwa na mwandishi wenu anaye chekacheka tu bila kuhoji maswali ya msingi.

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 28 วันที่ผ่านมา +24

    Huyu mama nampenda sana mpaka kesho

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 26 วันที่ผ่านมา +8

    Hongera sana mama yangu wewe ni mwanamke na nusu,sema rudi kwenye asili ya nyimbo zako utabaki kuwa juu lakini huu ukisasa ndo utakudidimiza.Natamani nikuone wa moto siku zote

  • @AishaMaganga-vd1jg
    @AishaMaganga-vd1jg 18 วันที่ผ่านมา +2

    Kikubwa uzima mamangu. Hatahivyo Mungu amekubaliki nyumba yakuishi na watoto wako! Tunakupenda sana.❤❤❤❤

  • @k.anaidza
    @k.anaidza 20 วันที่ผ่านมา +2

    Hongereni sana kwa Interview yenye mafunzo makubwa na kumleta Bi. Saida Karoli. Tunampenda sana🙏🏿🤗

  • @mariamkibindo1741
    @mariamkibindo1741 25 วันที่ผ่านมา +2

    MashaAllah nafurahi kumuona huyu mama nimekuwa nikisikiliza nyimbo zake za zamani karibia nusu nakujua kuimba kilugha chake❤wote nyumban tunapenda sana saida karoli,

  • @juliethkatabwa5306
    @juliethkatabwa5306 28 วันที่ผ่านมา +8

    Asante Saida kwa kumkumbuka meneja wako.

  • @philbertzacharia3087
    @philbertzacharia3087 11 วันที่ผ่านมา +2

    Nimependa sana aliposema ivi "nikazama mtoto wa kike itakavokuwa na iwe Mungu akupe maisha marefu @said

  • @user-sc4ol3yp2x
    @user-sc4ol3yp2x 28 วันที่ผ่านมา +8

    Tunakupenda mno saida

  • @zainabrobbykoroso8912
    @zainabrobbykoroso8912 20 วันที่ผ่านมา +1

    I'm from kenya I truly like this mamaa because nikikua songs zake ndio nilipenda kwaza afu anakaa mama mpoa sana much love ❣️❣️

  • @marthaayuma7065
    @marthaayuma7065 23 วันที่ผ่านมา +2

    Natazama toka Kenya.hongera sana dada kipenzi ❤❤❤❤❤❤ nakupenda .sana.nakukubalia kabisa🎉🎉🎉

  • @gracepaul4194
    @gracepaul4194 14 วันที่ผ่านมา +4

    Dada saida anza kumwiimbia Mungu sasa

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 28 วันที่ผ่านมา +4

    Safi sana saida. Ludi ktk mziki wako. Tunakupenda sana❤❤❤

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 23 วันที่ผ่านมา +4

    Huyu ni Muanga wa cloudz FM ..Walimtumia sana kwa faida yao

  • @mathsngasadm3093
    @mathsngasadm3093 28 วันที่ผ่านมา +2

    Napenda mno jimbo zako, yaani kila nikisikiliza najikuta napata radha ya kipekee mno.
    Hongera sana Mama saida kwa kipaji ulichojaliwa na Mwenyezi Mungu

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 25 วันที่ผ่านมา +2

    Interview nzuri sana, story nzuri sana. Mwenyezi Mungu awabariki nyinyi note wali kwenye kipindi hiki.

  • @athanasjoseph9529
    @athanasjoseph9529 28 วันที่ผ่านมา +2

    Icon. Halafu hataki maisha ya kufake. Nimependa hiyo spirit.

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 20 วันที่ผ่านมา +2

    Mtangazaji kuna maswali ya msingi ulipaswa uulize kwa hii interview huyu mama ni legendary

  • @maduhumanyangu1544
    @maduhumanyangu1544 24 วันที่ผ่านมา +2

    Hongera sana...mama Saida kwa Kipaji chako

  • @hawababy120
    @hawababy120 28 วันที่ผ่านมา +4

    Mashaallah Allah Akutunze zaidi❤

  • @paulinekamau9633
    @paulinekamau9633 27 วันที่ผ่านมา

    Gosh I love her ❤ good to see Saida

  • @annamussa185
    @annamussa185 28 วันที่ผ่านมา +6

    Wasukuma watu pouwa sana❤

  • @Rukwembe7712
    @Rukwembe7712 28 วันที่ผ่านมา +20

    Ili litangazaji halijui kuuliza maswali ya maana uzuri Saida anajiongeza anaelezea hata vitu ambavyo ajaulizwa

    • @Boaz-Gwanko
      @Boaz-Gwanko 28 วันที่ผ่านมา

      Yani Hadi kero

    • @dinachiwaligo
      @dinachiwaligo 26 วันที่ผ่านมา

      Yaani mtangazaji ziro kabisa anajikunakuna Tu namiguno kibao

    • @user-hy6lh7cp1q
      @user-hy6lh7cp1q 23 วันที่ผ่านมา

      Kweli bro Yan halijui kuhoj da kumbe umegundua nlhs n mim peke yang

    • @user-hy6lh7cp1q
      @user-hy6lh7cp1q 23 วันที่ผ่านมา

      huyu jamaa hajui kuhoj kabsa jaman anashusha brand

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 22 วันที่ผ่านมา

      @@user-hy6lh7cp1q ila sometime muwe na heshima siyo kumtusi mtu,unapomuita binadamu mwenzako hili litangazaji unaonyesha jinsi gani wewe hujielewi.

  • @albashakluninshaah3727
    @albashakluninshaah3727 23 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu akuweke sana

  • @edwinmeenda9171
    @edwinmeenda9171 28 วันที่ผ่านมา

    Bonge Moja la interview 💯💯 big up Global TV

  • @benancejohn1198
    @benancejohn1198 23 วันที่ผ่านมา +2

    Legend kabisa 🙌🔥🙌

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ 28 วันที่ผ่านมา +2

    Uko vizuri Mama

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 28 วันที่ผ่านมา

    Mashaallah Mungu akupe hitaji la moyo wako❤❤🙏🙏

  • @nusrathmanyawa4501
    @nusrathmanyawa4501 27 วันที่ผ่านมา +2

    Nakupenda sana mama yangu Saida ❤❤❤

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 24 วันที่ผ่านมา +2

    Pole Sana Mama Saida Kaloli
    Shoo ya Kampala Uganda uwanja ulijaa akatapeliwa pesa yote akaja Tanzania kwa msaada wa lift.Akina FM walimfilisi wakatajirika wao

  • @Vaiva4254
    @Vaiva4254 10 วันที่ผ่านมา +2

    Hata Saida akija kampala sasa hivi... Hawezi-shindwa kupata watu... Tena watu wengi sana...usikate tamaa mama

  • @ElisoniMahamba-fr7nu
    @ElisoniMahamba-fr7nu 28 วันที่ผ่านมา +2

    Uko sawa dada. Yetu kukopamoja nawe mungu akulinde type vit😊

  • @nangabohh3
    @nangabohh3 13 วันที่ผ่านมา

    We need you in Kenya my dear Saida,I loved your music,Ngoma Zako zilifanya nimpende Sana make wangu(mapenzi kisungusungu)

  • @jogechi2105
    @jogechi2105 28 วันที่ผ่านมา

    In proud of her. Sijawai jua sura lakini sauti yake naifahamu sana

  • @jmm1840
    @jmm1840 25 วันที่ผ่านมา +8

    Habari studio
    Naitwa J.M
    Nahitaji kuonana na Saidia Kaloli.
    Naomba mniunganishe nae.

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 28 วันที่ผ่านมา +8

    Pole saida ila umenichesha

  • @REMEASYPIANO
    @REMEASYPIANO 24 วันที่ผ่านมา +2

    nimependa sana anavyo ongea ukweli uhalisia wa maisha yake

  • @joshuakitunzi9500
    @joshuakitunzi9500 28 วันที่ผ่านมา +4

    Safi sana mama uko vzr kw kujiamini bila hofu ktk upambanaji kimaisha.Endelea kupambana na husikose kumtanguliza na kumuomba mungu💪♥️

  • @josephjaleen127
    @josephjaleen127 11 วันที่ผ่านมา

    My late bro loved nyimbo zako sana nikiwa shule ya msingi uku Kenya,maria Salome na zingine.

  • @OberdKahwa
    @OberdKahwa 16 วันที่ผ่านมา

    Nakupenda

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 24 วันที่ผ่านมา

    Ubalikiwe sana

  • @alorineawuor2205
    @alorineawuor2205 9 วันที่ผ่านมา

    Yes mum people learn day after day....
    Dust your gown and continue with the race mum , you are still alive

  • @user-st8hd9iq4o
    @user-st8hd9iq4o 18 วันที่ผ่านมา

    Hongera Sana mama ulifanya kazi nzri kwa muda mrefu

  • @user-ei2ud7gh5h
    @user-ei2ud7gh5h 14 วันที่ผ่านมา

    Dàh had roho inaumaà kweliiiiiila jaman , maboss hata kama mtu akiwahajui mlipe kisitahiki, mtu mweleze ukweli umepata kiasi hiki mnaweka mezani yote na mnagawana kiasi gani❤❤❤❤❤❤❤

  • @SurprisedMacawBird-qh7dg
    @SurprisedMacawBird-qh7dg 20 วันที่ผ่านมา

    Kazi nzuri

  • @jescaedwardkurumela4333
    @jescaedwardkurumela4333 18 วันที่ผ่านมา

    Umebarikiwa

  • @Oman-nu2kc
    @Oman-nu2kc 22 วันที่ผ่านมา

    Mm nakupenda sana sana tangia umeanza nyimbo Yako yakwanza nakutafuta sana sana dadaangu

  • @richardmalekela4786
    @richardmalekela4786 28 วันที่ผ่านมา +4

    Safi sana mama anahekima,tujifunze kitu.

  • @milliardere9177
    @milliardere9177 17 วันที่ผ่านมา

    Heshima sana

  • @peterkaale6977
    @peterkaale6977 25 วันที่ผ่านมา

    She is so beautiful I
    Love her

  • @user-qf6dh9hy8c
    @user-qf6dh9hy8c 18 วันที่ผ่านมา

    Asante tunakupenda mama

  • @ramadhanseleman4276
    @ramadhanseleman4276 15 วันที่ผ่านมา +2

    Unajua sana kuimba nyimbo za asili ungejua watu wanavyokupenda sio wahaya peke yao, toa nyimbo nzuri andaa shows watu watakusapoti

  • @benedictormulagha9022
    @benedictormulagha9022 23 วันที่ผ่านมา

    nimeguswa namaneno yako mama angu ❤nakupenda sana❤🎉🎉

  • @user-nf3dc9fb6v
    @user-nf3dc9fb6v 24 วันที่ผ่านมา

    Saida karoli nakukubali sana mama yangu ♥️♥️♥️♥️

  • @Saidy-eu1hc
    @Saidy-eu1hc 4 วันที่ผ่านมา

    Mamangu anapenda nyimbo zako sana mpaka anatulela kila mda muweken saida

  • @titongholo6261
    @titongholo6261 28 วันที่ผ่านมา +2

    Mtangazaji hajui kazi yake vilivyo, hajui kuulizwa maswali ya uchokozi na ya udadisi

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 26 วันที่ผ่านมา

    Duh..! Aseee

  • @patriciambita4469
    @patriciambita4469 25 วันที่ผ่านมา

    Saida nakupenda sanaaaa❤

  • @user-oy9wr2zc6x
    @user-oy9wr2zc6x 28 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu akutunze mafanikio hayana umri.

  • @RamadhaniSelemani-bn1fz
    @RamadhaniSelemani-bn1fz 27 วันที่ผ่านมา

    Napenda sana nyimbo zako ameen

  • @ramadhaniisihaka295
    @ramadhaniisihaka295 14 วันที่ผ่านมา +2

    Nyimbo zangu pendwa ni kaisiki,iyembe,ngoz zone,

  • @mariamosaideabdo9953
    @mariamosaideabdo9953 27 วันที่ผ่านมา +4

    Minha mãe foi tua fã em toda minha infância, ela gostava muito de escutar as suas músicas 😚 . Pena que eu xtou muito longe dela ia gostar muito de ver. amo a senhora por causa da minha mãe direito de Mz 🇲🇿🇲🇿

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson5202 27 วันที่ผ่านมา

    Mama Angu Mungu Atakutukuza siku zako zilobaki kwenye game Mama

  • @amirhamud3343
    @amirhamud3343 9 วันที่ผ่านมา +2

    Mwandishi unazingua.Kuhoji " F"

  • @listerlujiso6009
    @listerlujiso6009 28 วันที่ผ่านมา

    Mi kiukweli mzee Mutta alikuwa na roho nzur sana sana mimi nilimjua kwa mema tu.

  • @Darvio
    @Darvio 25 วันที่ผ่านมา

    Mama tunakupenda sana hasa sisi wasukuma tukikuona tu tunafurahi utafanikiwa bila kujari umri wala miaka Mungu atakuheshimisha ❤❤❤

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 27 วันที่ผ่านมา

    Umeanza kujikuza tena Saida.Tulia piga kazi achana na mambo ya brand.Hayo ndo yanakufanya ukose deal.Tunakupenda husijikweze wewe piga kazi.Sema umeiva sana.Umeongea vizuri mno.

  • @Hakuzwe
    @Hakuzwe 26 วันที่ผ่านมา +4

    Mama,umenenepa sana enda gym.

  • @cinthianyangasibeib851
    @cinthianyangasibeib851 17 วันที่ผ่านมา +2

    Kenya ishara ya like tunapenda nilikusikia ni kiwa namika 5sahii niko 28 nabado nakupenda. garuka garuka garuka mwanawenge nahupende nimaisha halisi hayo pitia mamangu 😢

  • @MchagaUk
    @MchagaUk 27 วันที่ผ่านมา

    Huyu mama interview yake nzuriiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 22 วันที่ผ่านมา

    Huyu mkweli Sana Mungu amsaidie.

  • @mamaprisdebs8215
    @mamaprisdebs8215 11 วันที่ผ่านมา +2

    Million's yani Tanzania si kitu sisi huku Kenya 🇰🇪 ukishika million uko na security all over kama si hivo vijana wa kayole na wewe😂😂

  • @josephatmgaya7321
    @josephatmgaya7321 17 วันที่ผ่านมา

    Hakika ww mpambanaji sana hongera dada

  • @IsacRobath
    @IsacRobath 14 วันที่ผ่านมา

    🇲🇿 kutoka Mozambique Mimi ninamuona Saida nikiwa mtoto, nasema ukeelyi Saida Karoli tunakupenda sana, Mimi APA nitampenda milele.

  • @PrisicaBitaza-lx8sg
    @PrisicaBitaza-lx8sg 15 วันที่ผ่านมา

    Tunakupenda ndugu yetu,, tunakupenda sana ukooo uko pamoja nawe

  • @fidikenya
    @fidikenya 23 วันที่ผ่านมา

    Saida Karoli ❤️❤️❤️

  • @bodyaman
    @bodyaman 28 วันที่ผ่านมา +6

    Mimi Nina mjua Mama Saida Karoli anaongea ukweli na anachokiongea ni somo kubwa Kwa Saida KAROLI.

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 28 วันที่ผ่านมา

      Eeweeeeeh_🤔

    • @mugadimon3563
      @mugadimon3563 20 วันที่ผ่านมา +1

      Kabisa maza anaongea ukweli

  • @user-zj6hp6ju3w
    @user-zj6hp6ju3w 28 วันที่ผ่านมา +1

    Sasa online pesa zake anakula nani? Mdundo, boomplay,

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 24 วันที่ผ่านมา

    Upo dar sehemu gani

  • @youngtomuller-vh2pu
    @youngtomuller-vh2pu 24 วันที่ผ่านมา

    Pole sister I love you so much but naumia sana😢😢😢

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 28 วันที่ผ่านมา +1

    Da Saida imiss u

  • @davidkadenge1902
    @davidkadenge1902 20 วันที่ผ่านมา

    Nime umia sana Mungu akuongeze mama

  • @mfuasieddyson6521
    @mfuasieddyson6521 24 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤safi mama tuko pamoja

  • @bodyaman
    @bodyaman 12 วันที่ผ่านมา

    Nashukuru kama umeliona ilo kak

  • @josephminja7953
    @josephminja7953 10 วันที่ผ่านมา

    Usjali my sister amini hicho ulichonacho ndoalchokupangia MUNGU 😊