JIMWAGE NDANI YA TUMBATU ~ HII HAIJAWAHI TOKEA | UKHTY MWANACHA x ADILA x ASHA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
- Ma Ukhty watatu nikimaanisha Ukhty Mwanaacha,Ukhty Asha na Ukhty Adila wakiwa ndani ya kisiwa cha Tumbatu wakisherehesha harusi kwa wanandoa na wana kijiji jicho kwa kusoma qaswida inayokwenda kwa jina la JIMWAGE, ambayo imesomwa live na Ukhty Mwanacha kisiwani hapo.
Mashaallah Watu Watumbatu mnajistiri Uzuri kama laiti watu WA mjini hapo ningeona tu
Um Akram Zahor ila mikon inaoneka mwish wa uchi wa mwanamk wap wangevaa majalbab wakaziba mikono
Jamani hongera Dua zenu na mm nipate wangu niwaiti
Ukisema kila kitu kinacho fanyiwa tukijie kasoro Ata sisi binaadamu tuna mengi tuna muuzi mungu acheni ujinga mtume kasema ulimskia akisema wangapi Wana zini na kusema uwongo nakuiba kwani siyo zambi choyo tuu binaadam kwendeni na roho zenu mbaya
Subhana llah tumekua hatuoni hata haya waume na wake kuchanganyika.hivyo.allah atusamehe.na atuongoze
Mashallah mashallah tuko vizur watumbatu mashallah
Mashaallah
Nyooh nyie mnaojifany mnajua din san ndo waov wakutupa nyimbo nzur san
Ya Illahi nletea wa kheri namie mamangu ajimwage
Amiiin yarabb
wema sepetu
Utapata ucjl kikubwa duwa tyuu
Nzr sn nimeipenda walai
Inna Lillahi wainna Ilayhi Raajiun,, sasa hii nasheed au taarab.. Punguzeni hizi n fitna tu
Hivi nasheed unaijua au unasema tuu
@@professorabdullah2300 sasa ww kivyako waona hii n nasheed kweli
Ni fitna kweli.
Nyimbo ni mzuri lakini sauti ya mwanamke kusikiwa ni haramu. Mashekh kila siku watuambia mwanamke anatakikana ajisitiri miwili wake mpaka na sauti yake pia haifai kusikika. Tuiwekeni dini mbele na Dunia nyuma jamani. SubhannaAllah
Salam from Mombasa Kenya
Nyimbo safi sana sauti mzuri MASHAALLAH bravo
Mkipata maradhi mumlilie Mungu japo hamumjuwi in Mungu
Mashallah watumbatu hongera mmejipanga
Atufuati sheria ya dini yetu, wanawake tutakua wengi motoni🔥🔥🔥🔥🔥
Hi ni harusi jamani sio msiba
Zaituni kinachokatazwa ni kuimba mbele za wanaume au mnaimba wanawake pekee yenu ila mnasema utube ndio yale yale tu.
Hamna makatazo kuimba ila mkiwa pekee yenu na msirekodi mavideo baadae yakaonwa na wanaume ambao wanafaa kuwaoa
@@zaitunikweka979 acha kushabikia uovu
Safi sana...lazma one day nirudi nyumbani insha’Allah
Nashanga wanapakazia mitandaoni watu wapo kwnye shereh zao hamjalazimishwa kutizama
Z 😔😔😔
😔
Jaman ❤❤❤ mnaimb vizuri wimbo huu nimeu pend🎉🎉
Extremely nice baby mwana mbna atajimwaga c biti ilo fadherlee big up
Bac haya. Safar njema in shaa Allah kwa walengwa
Mbona wanaopiga ala za muziki hamtuoneshiiiii
Zawad yangu kwenu ambayo inaweza kuwafkia mapema mungu awenanyi mdawote. ila mngewa karibu ngewapa hata chochote cha duniani .
Sio poa ivo
Mashaallah
maa Shaa allh ww wa katikat unaimba kama ukhty Dida
WAZANZIBARI SIE TUNAWAJUA DINI YAO MAGUMASHI TU NDIO MAANA WANAOWANA WAO TU SASA HIYO MTAITA DINI UWO NI USHETANI WEHU NYIE
Mwehu ni wewe na familia yako kenge wewe. Kwani walio imba ni wanzanzibar au ni wao pekeao kima wewe? Halafu ulitaka tukaoane na panya
Ahaaa tunaoana wenyewe au tunafatasheria umuoe umpendae na mwenye dini nenda huko huna loloote
Nawaona nyie wenye dini munakaa hata miaka kumi ndio mwaoana
Mr A..hhhhhh mwambie mbara huy antk tuoe wao wa kukaa miak 1000 kusomana hhhhhhhhh... Mahmoud pol
Maaaaaaaaha-----allah. Nikweli Mamaa kharusi yatakiwa Ajimwage kwa furaha na shangwe isiyo na kifani ndani Moyo wako.
Mashaaaalh mabint wa tumbatu
Heeeeeeeee dada umetisha wawili wakipenda adui Hana nafas🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀
Ni nasheed nzuri pia ina muelekeo wa harusi ya holi
From somali🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴
KO u
Sijaona andiko lililosema watu washereheke hiv kwenye harusi
Mashallah big job
Sauti yako Mashallah inahonga kwenyemoyo
mashallah sauti kutoka pangoni mtoto
Wash motooooooooo nawakubali mika 1000000000
Hongereni sana
Ni harus c msiba acheni watu washangirie binadamu hamkosi la kusema
MWANATUMU JUMA. Maaaaaaaaha-----allah. Mama uko vizuri. Ni kweli kharusi sii"" Msiba na wacheni watu washangilie kwa shangwe na vigelegele
@@abdallahsaidi3756 Haswaa
MWANATUMU JUMA . pamoya sanaaa
Mashallah mwenye nao naomba anitumie jmn wtsp 😘😘
Ukihitaj unambie ntakutumia
Download snaptube utaweza kudownload chochote you tube
Thats good song all madaw we are joycfull
Mashallah. Dada zng mmeimba vzr
Asante na qaswida
Nyinyi watu wengine hamukerwi nayenu watu wapo kwenye sherehe zao yanini kuwapakazia mitandaoni mukitaka angalieni hamutaki acheni ujinga pumbavuuuu
Kweli voo mambo yakupakaziana sio pw
🤣🤣🤣
.
😂😂swahih
Wanaelekezwa so kupakaziwa jiangalie ww
Tumbatu nawapenda
jaman nimependa ukht nitafute mm bwana mtarajiwa
Adill Habib m
Aah! Inna lillah wainna ilaihi, Wanyamwezi wa kibara washafanikiwa kuiwa zanzibar, muungano oyeee
Usitukane kabila za watu kwani hao umesikia wanyamwez
Khamisi Mussa we ndio mbaguzi mkubwa eti umeona wanyamwezi ndio wasiojijua? Hao waarabu unaowathamini wewe kama mtumwa huwajui wanayoyafanya funga mdomo wako wewe kila baya unarukia wabara ujinga unakusumbua tu. Hata hao waliotangulia harusi walishangilia Acha kuleta Sheria zako za kijinga hapa.
Ali wacha ushoga wewe
Mashalah hatari hyaa mashairi haiwez kuchuja hii kitu
Uko vzr dada mwanacha
Mashallah i love is song 😘😘😘😘😘😘
Wimbo mzuri sana nimeupenda
Mko vizuriiiiii!!
Mashallah! Ujumbe maridhawa!
Sofia Ahmed mashllh
Allahu Akbarrr Hatujazuiliwa Kusheherehekea Kharusi Zetu Ila Uharamu Tunauleta Sisi Wnyewe Hatujaruhusiwa Mchanganyiko Wa Wake Kwa Waume Tujitambui Waislamu Wenzangu
nyimbo kabisa hyo upuuziii tu
Maa shaa Allah
Haya sio mafunz ya Mtume bali ni ujinga tu
Nyimbo ni nzur ila kosa hapo ni kuchanganyika na wanaume
mashallaah dada hongera sanaaa🙌🙌🙌
Asante
kharusi zetu za kiislam za pendeza
Nzuri saana. MashaAllah.
Ulimwengu wa mwisho huu subhana llah kila tunapo katazwa yanayo muudhi Allah ndio tunadi Allahu Akbar Allah tuongoze njia ya Sawa
Hii si qasida hii taarab kama taarab nyengine waislam tuzinduke tusiwe wajinga
Umati Muhammad 😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Waoooo mashallah allah awafanyie kilalakhery
Mko gud sana dadazangu love it
Maashaallh
I love this song ❤
Zanzibar masharh hii nyimbo ya tumbatu ipo vizuri
Mmependeza.San.hongereni
😷😷😷😷bora nisiseme ajuwe Allah..
Ukhty nakupenda sana CD zako pl' maelekezo pl's..
Naomba mnisamehe kama nitakuwa nimewakwaza🙏🙏🙏
Hamisa Maundi uko sawa wala usiwaze
Nishida
Mashallah
Mashaalah Qaswida nzur san
Mwanacha nikuulize, ushaolewa? Kama upo tayari nikuoe.
Ntawapata wap mashalla
0 7 7 2 2 8 5 5 4 3
Wanawake wa kiislam si tumekatazwa kuimba jamani, na kuchanganyika na wanaume 🙄🙄🙄,
Kwaiyo harusini tulie
Ni mtihani mkubwa
Ukisikia choyo nd ulicho kua nacho ww fanya yako uko
Achilia mbali swala la kiiba hizo stara walizovaa hapo nistara ya kushera au aya inasema mwanamke anekane viganja vya mkono na uso tu nyie wanawake nyie tumuogopeni ALLAH.mwenyez mungu kukupa neema kakuumba mwanamke ktk umbolililobola kabsa lakini cha ajabu unamuasi ALLAH kpitia neema alokupa huu ni msiba mkubwa sn.
@@ashuraharuna1206 musinifokee umenena my ukweli unauma😂😂
Lkn kibaya mnachanganika nawanaume
nawapenda atali
kwakweli mupo vzr maana mmeweka saut 3 Qaswida, Tarab na kigoma
Kweli ban
😀😀😀😀😀😀😀😀
Mashallh
Hongereni maukhty
Tumbatu tumbatu tumbatu oyeeeeeeeeee
Taarabu imetulia
Ulitumwa usikilize
Naomba hii qaswida jamni ntumie plz
Ukihitaj ntakutumia
Uko nyumbani banaa Tumbatu naipenda najisifia kuwa ni mzaliwa wa Tumbatu
Masha Allah nimependa sanaaa
Maneno yakuambiwa
Masha,Allah Allah awape ufaham zaid
Hongora madada
Mashaallah
Mupo vizur
Hongeren
Daa mashungi yamekaa ila mnamtihani .iyo taarab sasa😂😂
Wanavuka mipaka tuu hakuna qaswida hapa
Inapendeza
Nawapenda bure 🙏🙏
Sio zurii 😁😁😁
Mnatafuta riski kwa njia sio sahihi,
Acheni kukomenti vibaya hajalazimishwa mtu hap anglie umbea wa mtu tu kutaka kujuwa kimerushwa nn
Ukwapi? Uhalali hapo tumuogope Allah Jamani....... Tukiambiwa Bidaa tunakaza mishipa ya shingo.... Sasa Si Uharamu tuu hapo waume kwa wake wamechanganyika wakikata mauno eti nayo dini..... Msiba mzito
Dah tumuogopeni mungu jaman
Yahaya Kitenge hayo Hakuna anayetetea
Yahaya Kitengemmmh
Umm hapa hili pale lile
On my wedding waumme na wakike we all sat on one side...we all danced together
It’s a wending sio msiba plz let them be
Dini meanwhile u yourself don’t even pray sunnah or kufunga sunnah or even pray 5times
Allah nisamehe mm 😭🙏🙏🙏🙏😢
mnajua kuimba
Mashallah 😍😍😍😍😍
Nipo dar nitawapataje
Npgie 0 7 7 2 2 8 5 5 4 3
Huuhuuuu mmmh mwanacha unaimba taarabu sio qasda
Mmmmhhh.Kazi Ipo
kumbukeni kuna kufa mutaadhibiwa nyinyi wanawake naharamu zenu munazofanya nahiyo ninyimbo kama nyengine2 pia munachanganika nawanawake
Mbwana Abdallah na ww uandhambi telee mawaidha so utube mawaidha msikitini 😁😁😁😁mpk umeingia utube umeyatafuta
Maashalah
Gosto de vocês bons cantos
Kupenda kuvamia miji ya watu ambao wamekaa kwa amani, leo wamekuja kuvamia na kuleta mambo ma baya ya ajabu' uwizi, uhuni utapeli ufyoko nyoko bass'
Hao ni wa kwenu huko huko acheni kutukana wabara hawana muda huo wanahangaika maendeleo ya maisha yao sio kucheza ngoma hovyo hayo ni madhehebu yenu ndio maana maendeleo ni zero huko.
Mh kuvamia unajuwa wewe
Leila Buisha hawajajipeleka wameitwa kama umekerkwa kunya boga 😏😏😏
jamaniiii c taarab hii
Tumekwisha.taaarabu tupuu
Umeona eeh
Wamedamsh