SIMBA Yatangaza Wachezaji Wapya 10 WALIOSAJILIWA na 10 WALIOTEMWA Dirisha Kubwa la Usajili 2024/2025
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
- SIMBA Yatangaza Wachezaji Wapya 10 WALIOSAJILIWA na 10 WALIOTEMWA Dirisha Kubwa la Usajili 2024/2025
#ligiyamabingwaafrika
#kombelashirikishoafrika
#vilabuboraafrika
#yusuphkagoma
#usajiliyanga
#usajilisimba
#wachezajiwanaotemwasimba
#wachezajiwanaondokasimba
#kikosichasimbaleo
#simbaleo
#simbasc
#namungo
#chama
#kochampyawasimba
#jumamgunda
#kochampyawasimba
#benchikha
#simbakumfukuzakocha
#kochawasimba
#golilababacarsarrleo
#golilasimbaleo
#muungano
#simbasc
#azamfc
#msimamowaligikuu
#msimamowaligikuunbc
#golilaguedeleo
#golilayangaleo
#yangaleo
#yangasc
#costalunion
#kikosichayangaleo
#yangaleo
#singidafountaingate
#kalaba
#rainfordkalaba
#msimamowaligikuunbc
#msimamowaligikuu
#golilachamaleo
#golilasimbaleo
#magoliyoteleo
#golilasingidaleo
#simbasc
#ihefu
#chemalonefondoh
#simbasc
#ahmedally
#kikosichayangaleo
#yangasc
#dodomajiji
#simbasc
#kikosichasimbaleo
#mashujaafc
#golilaazizkileo
#penaltizoteleo
#yangasc
#mamelodisundowns
#cafcl2024
#kikosichasimba
#simbasc
#alahly
#yangasc
#mamelodisundowns
#cafcl
#kikosiborachawiki
#simbasc
#yangasc
#ligikuutanzania
#magoliyoteleo
#nbc
#azamfc
#ligikuu
#tanzania
#yanga
#azamtv
#trending
#youtube
#usajilisimba
#usajiliyanga
#tetesizausajili
#dirishadogolausajili
#dirishakubwalausajili
#2023
#wachezajiwanaotemwasimba
#wachezajiwanaotemwayanga
#usajili
#simba
#magoli
#chama
#maxinzengeli
#manara
#alikamwe
#ahmedally
#gsm
#moodewji
#raissamia
#samiasuluhu
#caf
#cafcc
#cafcl
#harmonize
#diamondplatnumz
#alikiba
#wcb
#wasafi
#millardayo
#wasafitv
#music
#football
#news
#sports
#samatta
#novatusdismas
#ccm
#chadema
#zanzibar
#africa
#cecafa
#live
#ngaiyajamii
#fifa
#messi
#ronaldo
Simba nguvu Moja hongera sana kwa tunachosikia kuhusu usajili kama nikweli ila kumbukeni kulekebisha na kuwatoa baadhi ya viongozi wanaotaka kuangusha brand ya Simba ssc tutafika na kuchukua club bingwa.
Tunampenda chamaaaa,badoo.usajili mpya uko vizur saana.tvnaipenda Simba yetu.ni Mimi Tobias nikiwa na imma.Dodoma Hombolo.❤❤❤❤❤simbaaa,❤❤❤❤ moo
Mimi kwa maoni yangu chama anasitahili kubaki simba vijana wanaosajiliwa wajifunze baadhi ya mambo kutoka kwake na pia atawasaidia katika kupushi mafanikio ya timu kwa ujumla.CHAMA ABAKI SIMBA.
Chama hatakiw kubaki maana ndimoja yawachezaji walio husika kutuferisha
Chama hastaili kuondoka simba naomba aongezewe mkataba
😊😊.Simbaaaaa wenyewe acheni hizo jamani mbona mnawasababishia watu pressure mtahukumiwa adhabu ya kusababisha vifo kwa mashabiki😅😅😅😅
Simba nguvu moja❤
Kwangu mim naomba Chama a abaki simba
Chama abaki bana asee
Me maoni yangu chama anastail kubaki simba
Chama asiondoke tunaimani naeeee❤❤❤❤
Atoketu Hana chochote
Shabiki
Abakiiiiii chama
Mpanda kwa wachezaj na viongoz
Chama thank you imuhusu
Mm nipo njombe naipenda simba mpak nakufa nayo
Kikosi Cha viongozi,Simba nguvu moja Mo kikosi hiki kikiludi furaha ya Wana Simba inaludi kwa kishindo, Mo kaza boti
Chama abakie miaka miwili tena
Luis na chama ❤❤❤❤❤ wabaki
Kwajina naitwa Saudi kasembo kutoka katavi maoni yangu chama abaki simba
Chama asiondoke
Kweli Cham anaend au 2uwek wazim bn mashabik
Kenedi juma
Abaki Mzee wa asist
Nipo katika pande za dodoma
Apo itakuwa fresh ❤😂😂💪💪👍🦁🦁
Chama Bado anafaa Ili azid kuwapa changamoto vjn
wasimuache abaki simba
Chama anatkiwa uondoka simbanismba
Mm na katembo natokea Arusha mm mshabiki wa shimba kama Hali ndy hiyo tutafika lkn kama Hali siyo hiyo hatutafika mahali tunayoitaki Asante kwA wote❤simba
Chama anasitair kubaki
Chama aendelee kuwepo
Bora wamuegezee mkataba
Chama ahsant kwa kile ulichokifanya katafte maisha mapya
Simba mkimuacha mtafungwa kila mechi
Chama aongezewe mkataba mwaka mmoja
Chama abaki
Mimi naitwa Jackson nipo Kagera,maoni yangu chama,kanoure na ngoma wabaki lakn safu ya ulinzi na ushambuliaji iboreshwe
Chama japo kuwa na changamoto Bado anatufaa,
Chama abaki bado ni mchezaji mazuri amekua na mchango mkubwa kwenye timu ni mchezaji ambae ana utulivu akiwa na mpira ana sifa zote za mchezaji mzuri BBB
Jaman Ayubu abaki mshawishini kabisa
chama apew mkataba simba tu
Kama mayele anakuja Simba bas chama abaki
pamphilius mazuyi ppf kiseke mwanza Tanzania ssc mreteni Aziz
Tunacho kiitaji niussjiri ulio sahii
Mwamba abaki
Mkimwacha chama, nagoma kula!
Maoni yangu chama abaki simba bado mchango wake unahitajika simba
sou depto de simba de verdade localicao em mocabique distrito de cabo-delegado😅😅😅
abaki chama
kwa ushauli wangu naomba aongezewe mkataba chama
Chama bado tunaoba mpeni mkata anaesema aodoke si o shabiki wetu
Mm ni mashabiki wa simba na hapa nipo palma
Frank nipo mbinga chama abak
Itakuwa babkubwa
simba nguvu moja saido aondoke
Hapana chama abaki pamoja na mapunguvu yake alishawahi pambana na simba sana so abaki.tu.
Channel hii mara nyingi taarifa zao ni za uongo.
Abaki chams mm aisha
Viongozi wetu fanyeni usajiri wa kweli
Chama bora aondoke ijapokuwa ni mchezaj mzur anayejua kibadili mtyokeo
Asitoke chama huyo
Kama haeleweki chama aondeke ila kama alikuja kazi afanyekaz maneno ya upande wa pili kama anawasikiliza atafeli by justine lazaro songww moka
Chamaabaki.simba
Tusajili mtu anaemaliza mechi dk ya 15 na sivingine
Chama abaki😂
CHAMA AONGEZEWE MKATABA
ni sahihi kama ukweli isiwe tetez vp kuhusu mabururu mbonasijamsikia
Mim sipendi usajir wa mitandaoni kama kuna anae kuja aje anae kwenda aende usajir uwe wa uwakika bas lakin post ziwe nying kaja uyu kaja uyu kumbe akuna mi sipend
Asiongeze mkataba
Cham abak simba ila hat Luis alikuwa sio mbay San sema alikuwa hapew nafas ya kucheza yan
M nip mwaz Ima simb n timu yang
Chama aondoke tu
Kama ukula nani atafaidikaaaa
Viongozi wa Simba ninawashauri chama aendelee kuwapa vijana mauzoefu asipewe Asante/Kwa heri Simba ni timu yangu pendwa ninaumia na matokeo mabaya jamani.
Wana Simba sasa tutulie tusiwe wepesi wakuingizwa mkenge mo tumetokanae mbali na yeye ndie alietupeleka hapa tulipo Kwa hivyo tumpe heshima yake tusimtukane na kumkatisha tamaa juu ya Simba yetu hao wengine ni walaghai Tu
Aongezwe chama mkataba
Simba itabak kuwa Simba Kama as washabk tunashukr Kama viongoziweti wak kaa saw Simba itard Kama zaman viongz 😊😢
Chama anapaswa abaki
chama bado tunakuitaji please usitoke by gift kutoka Ruvuma
Chama aongezwe mkataba
Abaki chama
Kwa wachezaji hao simba wataikoma msimu ujao kama watamchukua na mayele
Chama usiondoke jmn😢😢
Chama abaki naipenda simba saan💔💜🩸🌹💛💛💝💝💝💝simba nguvu moja
Naitwa jimmy natokea iringa chama abakie Simba kwanza so mda wa kuondoka chama
Maboresho upande waviondozi unahitaji maboresho kusuchama abaki tu
Simba uongozi ujipange tuu,hata wakimsajili Mohamed Salaah wacha Mayele na huyo Fei waliomzungushia Azam ili wamchukue, kwani Kakolanya,Gadiel Maiko,Nionzima,Ntibandyokiza, wapo wapi?Watapigwa tuu.
Niko Bunda kiukweli Simba wasajir kiukweli make tunaumia
David Henry Chisilani nashabikia nikiwa Dodoma mabadiliko kwenye kiungo na ushambuliaji
Natokea musoma. Maboresho ushambuliaji
Upande. Wa viungo. na. washambuliaji
Chama akibaki atashawishi migogoro mbeleni
Simba nguvu moja hutukubali kushindwa tapambana hadi mwisho
Mo ishike mwenyewe, ila tunaomba usimwondoe chama mwamba wa Rusaka. By Eliya Onesiphory.
Mickson ni Mapema Mno kumuacha, ana nafasi kubwa kama atapatikana kocha anae Jitambua!
Kapombe Aachwe, Wakati wa Kuwa Nae umeisha na Uwezo wake UMEISHA!!
Mayere Asisajiliwe Kuna wachezaji Zaidi ya Mayere!! Tuache Usimba na Uyanga! Tutoke nje ya Simba na Yanga!!
Kwamajina naitwa nasolo mpangule kutoka mologoro, kiukweli chama, luizi, na onana, wabaki
Chamade kkila usajili unatuzingua aachwe aondoke tu
Wanatufaaz sana kalma kweli watatuszjilia Antonia magayane
Alphonce magazi nataka sumbawanga tunaomba chama abaki iri wanaokuja wanifunze kwake
CHUNGENI MSIJE KUIBIWA AIRPORT TU NANINYI 😊
Si sahihi kwakuwa nifimbo yakuchapia nyoka mwenye sumu
Ukisikiliza makini utagundua taarifa hizi ni uwongo mkubwa.
Tunampenda chamaaaa,badoo.usajili mpya uko vizur saana.tvnaipenda Simba yetu.ni Mimi Tobias nikiwa na imma.Dodoma Hombolo.
Viongozi wote tunawakia usajili mwema kwa msimu hujao