#LIVE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 46

  • @KapondaZenaida-g3z
    @KapondaZenaida-g3z 4 หลายเดือนก่อน +4

    Viongozi wetu makini mitano tena mungu awasimamie naawaongoze katika majukumu yenu inshallah

  • @ezrayohana3541
    @ezrayohana3541 4 หลายเดือนก่อน +4

    Uyu Rahisi ni very humble Sanaa yaani anawataja viongozi hajitaji yeye
    Mtu mwingine ungekuta anasema mimi nitafanya😀😀😀😀

  • @ismailseleman2952
    @ismailseleman2952 4 หลายเดือนก่อน +3

    Yanganaipendasana nakuombeni mnilipiekadiyauanachamaa miminaiombeasanayanga popotewalipo❤❤

  • @halimamwingu4478
    @halimamwingu4478 4 หลายเดือนก่อน +2

    Sauti leo haiko sawa daah

  • @LupimoclinicBlogspotsanitarium
    @LupimoclinicBlogspotsanitarium 4 หลายเดือนก่อน +3

    Nawaombea sana viongozi Mungu awatoe nguvu mzizi juwa na umoja kutokuwa na tamaa kama Makolo,na wazee wetu wazidi kuwa nasi, yanga hoyeeeeeee!

  • @AndersonMokiwa-is5ch
    @AndersonMokiwa-is5ch 4 หลายเดือนก่อน +4

    Ivi makolo hawanaga tim ya uwongozi wao mbona hatuwaonagi

  • @harunamashaka6200
    @harunamashaka6200 4 หลายเดือนก่อน +1

    Viongozi na wazee wa Yanga hongereni kwa kazi nzuri. Ila Ndugu viongozi suala la madeni limekuwa la kujirudia na sijui ni kwa nini linajirudia? Tulimalize hili tusonge mbele. Daima mbele Nyuma Mwiko.

  • @WestonMbuba-ff4jk
    @WestonMbuba-ff4jk 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mmefeli sana sauti

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 4 หลายเดือนก่อน +3

    MUNGU NI MWEMA HONGERA SANA KILA LA KHERI KWENU NYOTE KAZI NJEMA BARIKIWA SANA YANGA

  • @FadhiliSelf
    @FadhiliSelf 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa mwenendo huo furaha haiwezi kupita mbali.

  • @idrisahamimuhasani5717
    @idrisahamimuhasani5717 4 หลายเดือนก่อน +4

    Vikao vyawazee tu lipen maden kwanza barua zakufungiwa mbna zimekuwa nyngi?

    • @denizamwanisawa6230
      @denizamwanisawa6230 4 หลายเดือนก่อน +1

      Fuata yko ukifuata ya Yanga utachelewa Tanya Yako,madeni hta nchi inadaiwa

    • @denizamwanisawa6230
      @denizamwanisawa6230 4 หลายเดือนก่อน

      Fanya

    • @WestonMbuba-ff4jk
      @WestonMbuba-ff4jk 4 หลายเดือนก่อน +1

      Ukikuta hudaiwi jua umekufa. Ona simba, hawadaiwi, wamekufa.

    • @jackmabirangacharles9398
      @jackmabirangacharles9398 4 หลายเดือนก่อน +1

      Hakuna Kampuni au Jumuiya yoyote kubwa Duniani
      Ambayo Haidaiwiii nakumbuka ili uwe na Mafanikio lazima udaiwee Swala la kudaiwa ni Jambo la Kawaida
      Serikali Yetu inamadeni mpaka mtoto anaye zaliwa tayari anadaiwa

  • @ezrayohana3541
    @ezrayohana3541 4 หลายเดือนก่อน +4

    Anzisheni kipind cha IJUE YANGA
    Hao wazee wetu wawe wanatupa moja mbili kwenye YANGA TV

    • @pci_tanzania
      @pci_tanzania 4 หลายเดือนก่อน

      Wazo zuri... Ila kiitwe "HII NDIYO YANGA" itanoga zaidi

    • @emmanuelmnyonzi6143
      @emmanuelmnyonzi6143 4 หลายเดือนก่อน

      Good advice

  • @JitihadaMasimba-ng5mv
    @JitihadaMasimba-ng5mv 4 หลายเดือนก่อน +1

    ILA MARA ZOTE MEDIA DEPERTMENT INAFELI KWENYE SAUTI ZA VIPAZA Ni tatizo sugu nishasema nakusema lkn bado hembu lishughulikieni hilo linatutia aibu.

  • @mohammedameir6644
    @mohammedameir6644 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ni jambo zuri sn , hi isiwe mwanzo iwe muendelezo

  • @saidiali-oc2vu
    @saidiali-oc2vu 4 หลายเดือนก่อน +1

    Sauti tu imezenguwa

  • @AliSalum-cn2uw
    @AliSalum-cn2uw 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kam unanipenda yanga like hap

  • @romimwalu
    @romimwalu 4 หลายเดือนก่อน +1

    Historia hupeleka mbele timu

  • @slimmuhabesh2400
    @slimmuhabesh2400 4 หลายเดือนก่อน +2

    Naam

  • @AbassAbdalla-e7j
    @AbassAbdalla-e7j 4 หลายเดือนก่อน

    Nice

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 4 หลายเดือนก่อน +2

    Tunataka mambo kama hayo, inatakiwa vikao vifanyike kwenye makao makuu ya timu zote tz, siyo kukodisha club kwa w/biashara.

    • @masumbukomaganga438
      @masumbukomaganga438 4 หลายเดือนก่อน +2

      UKO SAHIHI KABISA LAKINI KUNA VIKAO VINAVYO HUSISHA WANACHAMA WENGI LAZIMA TUTATOKA NA KWENDA KUKODISHA KUMBI KUBWA

  • @justinelazaro8147
    @justinelazaro8147 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa hiyo isingekuwa busara za wazee tungukula wiki daa nimelia sana

  • @danielmsafiri1632
    @danielmsafiri1632 4 หลายเดือนก่อน +2

    Sauti hakuna

  • @MaglassmaglassTz
    @MaglassmaglassTz 4 หลายเดือนก่อน +1

    Timu yenye Uongozi pekee YANGA 🔰🔰🔰🙏

  • @leonardmasanja4047
    @leonardmasanja4047 4 หลายเดือนก่อน

    Sauti ndogo Sanaa, mzee mangara hasikiki, Ally Kamwe tuandikie majina yote

  • @mbogosimba5042
    @mbogosimba5042 4 หลายเดือนก่อน +1

    Yanga makini viongozi makini mipango mikubwa daima mbele?

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 4 หลายเดือนก่อน +1

    NAWAPATA VYEMA TOKA JUBA SUDAN YANGA DAIMA MBELE NYUMA MWIKO

  • @fauziaomar4661
    @fauziaomar4661 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ali kamwe ole wako upelekwe kwa wazee utakuja kusimulia😂😂😂😂🎉🎉🎉

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 4 หลายเดือนก่อน +2

    Guy's mbna sauti yakoroma wekeni sawa jmny

  • @godylove6273
    @godylove6273 4 หลายเดือนก่อน +1

    Daima mbele

  • @brownschmidt4532
    @brownschmidt4532 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hapana, Acha waandike kwenye Miranda nasisi tujue club yetu inaendaje. Mambo ya zamani Mzee wangu mli felli. Muacheni engineer afanye kaxi. Yanga yenu mlitupa presha tipu nyinyi. Engineer nakusifu bro.

  • @ezrayohana3541
    @ezrayohana3541 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ally Kamwe chukua Maua yako

  • @eliasathurnas8470
    @eliasathurnas8470 4 หลายเดือนก่อน +1

    Sauti inakoroma

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 4 หลายเดือนก่อน +1

    Raha😂😂😂😂😂

  • @omarihaji9264
    @omarihaji9264 4 หลายเดือนก่อน +1

    Agenda mh

  • @AliSalum-cn2uw
    @AliSalum-cn2uw 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kam unanipenda yanga like hap

  • @rajabrwambow9660
    @rajabrwambow9660 4 หลายเดือนก่อน +1

    Saut haijawa vzr rekebishen

  • @AmaniOmary-jb5qv
    @AmaniOmary-jb5qv 4 หลายเดือนก่อน +1

    safi sana viongozi wetu