Nikiskia wimbo huu huwa unatia huzuni sana baada ya kupoteza wazazi wangu wote huwa napitia wakati mugumu sana nilihisi nimepoteza kila kitu ktk maisha yangu dahh
Nyimbo za zamani zipo kama zahabu❤️🔥❤️🔥❤️🔥🔥🔥🔥. Na wakati huu pangekuwa waimbaji kama hawa wazamani, ingekuwa powa sana. Sichoki kuzisikiliza nyimbo kama hizi, na sitachoka kamwe.
Mwamba unajua sana Mungu akupe uzima uendelee kutoa hits za maana
Nikiskia wimbo huu huwa unatia huzuni sana baada ya kupoteza wazazi wangu wote huwa napitia wakati mugumu sana nilihisi nimepoteza kila kitu ktk maisha yangu dahh
Kilio Kila mtu kitamfika daaaa mtu wamaana kabisa muumini
Kaka yangu muimini uko sawa kuimba
Nyimbo za zamani zipo kama zahabu❤️🔥❤️🔥❤️🔥🔥🔥🔥. Na wakati huu pangekuwa waimbaji kama hawa wazamani, ingekuwa powa sana. Sichoki kuzisikiliza nyimbo kama hizi, na sitachoka kamwe.
Kwel
Mwamba alikua anajua sana
Yaan nkislizaga nataman niliee maana nkikumbuka nlipotoka 😢
Boss wangu wa zamani uyo
Muumini upo wapi?
Nimekubar muumin kwani uko wap sass hv?
Uko wapi wewe mwinjuma ?