Wallahy dunia hii yaisha.. mpaka ma sheikh wankua wakidhalilishana kwa mitandao.. subhana Allah mungu awaongoze wallahy twaenda pabaya.. leo wafurahisha watu kwa kumkajili mwenzako na uko na uwezo ukajadiliana nae kwa makini pekeyenu bila kumpa mtu faida.. inalilahi waina ileyhi rajiun.. Allah atusamehe wallahy😭😭😭😭.. tupe mwisho mwema yaraby
Shekh haujamwelewa vizuri, Shekh mwenzako amesema "kwenye kitabu cha wasilati shaffi kuna maneno ya kishiriki kabisa" haja sema Shekh aliyeandika hicho kitabu na wanaokitumia ni makafiri au washirikina na mwandishi ni binadamu anaweza kuteleza kama binadamu. Allah ndio mjuzi zaidi.
Al Ustadh Muhammad Al-Hady Mwenyezi Mungu akulinde na kila mwenye ubaya nawe, Akupe afya njema na Umri mrefu, na usichoke kuwarekebisha hao watakasifa machoni mwa maamuma na kujiona wao ndio walio karibu Zaidi na Mwenyezi Mungu na Mtume wake. kisha huwa nashangaa sana Kishki kujiita Sheikh wakati wanaomrekebisha makosa wanajiita Al-Ustadh, hii ni aibu kubwa sana.
Kumpenda MTU kwa matamanio bila kufuata muongozo WA Allah HIYO ndiyo shirki,kishki kakosea tena sana,SHEKH wetu Muhammadil had alhatimiyyy ahsante sana kwa kutupa elimu,kishki hana kitu makelele tu.
Assalaamu alaykum Yaa Allah wape hekma masheikh wetu wawez kuheshmiana. Masheikh msitumie njian nyengne ya kuwekeana saw kuliko kutumia media, Mimi ningependa kumtafuta mtu n kumueleza nn alichkusudia kusma manno ago.
Subhaanallah!!!! huyu jamaa amefika mbali ktk kukufurisha wanazuoni wakubwa na wa zamani... lkn huenda kuna watu wanamlipa kwa kazi hii.... hii ni hatari kwa akhera yake.
Nawapend san mashekh wangu wete dunian kwa ajili ya allah ila huu mwenendo huu so mzury mm napend san osuman malim mungu atujalie mungu atu onyeshee njia njema inshallah ila huu munatengenezaa uwadui na muna uwaribu uislm ndug zangu mamuma tusio juwaa tujitahid tuisome din yetu tukufuu ila soo kwa haya maneno ya kuzalilishan tungu na kam mm nimekosea nisamehen asate nawapend kwa ajili ya allah mungu tubarik waislam wote dunian
Jazaakallaahu khairaa......usichoke Mwalimu,endelea na watatuelewa tu muda wakua wakuu wao huko Saudia wameshatuelewa ktk mambo mbalimbali kama vile maulid n.k
Shokran shekh wetu mungu akuweke akupe afaya wew ni mkweli kabisa edeleya kuwa fahamisha waso kuwa na ilimu huyo ana kufuru kishk amekoseya allaho allahu iko natuta endeleya kuisoma
yaani shekh kishiki namfananisha na nabii musa alipotoa khutuba akaulizwa musa kuna mwenye elimu zaidi yako akasema hapana mwenye elimu zaidi yangu mungu akamwambia nenda kamuone mwenye elimu na ni alkhidir shekh kishiki elimu bahar jifunze kwa musa na alkhidir usijinadi km unaelimu sana
Kweli elimu ni bahari, na kadri unavyosikia wanawachuoni, ndio unajifahamu kuwa kumbe dini hii ni ya kusoam, na ukiona elimu yakobado sio ni bora uwe dai tu, wawaita watu katika dini na si kuanza kuwakosoa watu. Unaweza jiona kumbe wewe ndio hujui Kbisaaa kama ndugu yetu wa Vetenary. Allah amuongoze yeye na sisi
Sheikh kishki anayo sema ni kweli, kwa sababu hiyo maneno tuki tafsiri((isingekuwa mohamed hatungali kua juu ya hii dunia hii wala hatungeweza kupata hidaya)) kwani hiyo mwandishi ni Allah. Sheikh Yusufu nabahani si Allah.
Sheykh nabbahani ANAWEZA AKAKOSEA AU AKAPATIA KTK JITIHADA ZAKE ZA KIELIMU,,..NA KUFANYIWA RUDDUDI NI SEHEM YA DINI..,MKAMILIFU NI ALLAH JAALA FY ULAA..
KATIKA suala la KUSOMA na KUTAFUTA elimu, hakuna imamu Wala maamuma. Sote TUNAPASWA KUCHUKUA JUHUDI za kuitafuta elimu ili TUWE na UHAKIKA ya ibada ZETU. MUISLAMU ukianza KULAUMU masheikh kua eti wanakuchanganya na hujui ushike wapi huo Ni udhaifu mkubwa. Tatizo letu WAISLAMU wa Leo hii hatuchukui JUHUDI za kuitafuta WALIMU tukasoma dini yetu ndio maana tunashindwa KUJIFAHAMU. Mwisho wa siku tunalaumu wanazuoni. SIKU YA QIAMA KILA MTU ATABEBA MZIGO WAKE. HIVYO NI WAJIBU WETU TUITAFUTE ELIMU POPOTE PALE KWA KUKAA KWA MASHEIKH MBALI MBALI ILI MISIMAMO YETU IWE NA MANTIKI🙏
Tatizo la Kishki anapenda kuona kuwa kashamaliza kusoma na elmu ndio imeishia hapo na anaona yeye anajuwa kila kitu Na anaposema watu wanaotumia kitabu hiki wamsamehe na kama hajafaham afatwe sasa kama alijuwa hilo kwanin aongee kwanza kabla ya kuuliza. Kwa watu wenye ilmu kishki anaonekana hana ilmu kwa sababu hana sifa ya mtu mwenye ilmu,kakosa adab,hikma na unyenyekevu. Alichokifanya sheikh kumrekebisba ni sahih wala hajakosea,kishki anapenda kujifanya anajuwa hali ya kuwa anachokifaham ni kidogo sana.
Assalaam aleikum.Nilisema zamani kuwa hawa watakupa taabu kuwasomesha.Inshallah nadhani watafahamu na wataelewa.Mwenye ezi mungu akujazi kheyr na usichoke kuwasomesha.
Shekhe Kishki anayo elmu kubwa kwa ulimwengu wa sasa,, lakini niliacha kumsikiliza kama miaka 7 iliyopita,, kwani nilijua ataharibu kwasababu ana majivuno sana,, hakika Kishki elimu hujafika hata robo yake kwanini anajiweka juu sana,, nilimsikia akisema yeye ndie shekhe wa kwanza Tanzania kutoa daawa kwa lugha ya kiarabu huko arabuni,, hivyo hamna zaidi yake,, nikamsikia akijivuna kua yeye nasaba yake imekwenda mpka kwa mjukuu wa mtume Nuhammadi (s.a.w) hivyo nim-bora,, shekhe yeyote atakae ongea kwa kujivuna lazime awe kwenye makosa,, mtume anapeleka dini Twaaif watu wake wanampiga mawe,, Allah (s.w) akatuma malaika laiti kama mtume angeli taka kijiji kile kingeli futwa kwasababu Allah (s.w) ailishatoa idhini,, mf. wakatu wa mitume iliyotangulia walikua wakikithiri katika dhambi Allah anawafuta na analeta wengine baada yao,, lakini Rasuulullah Muhammadi ( s.a.w) akaomba kwa Allah (s.w) asiuangamize umma wake ila ausubiri mpaka siku ya Qiyama,, sasa kwadhambi hizi tulizo kusanya kama si dua ya mtume tungeli kuepo!!? acheni kujivuna waislam,, tuache migogoro na hitilafu,, tuangalie mambo ya kupeleka dini mbele,, fanya unaloona halina shaka kwa nafsi yako
Sheikh kwa mujibu Wa hizo ibara au hayo manenono yanarudi kwa mtume .... Kwamba Allah ametupa Muhammad kama kiongozi watu na lay kama so Muhammad basis tusingekuwepo na wala tusingebakia..... Acha ujanja Wa maneno mengi.... Dhamiri haiwezi kurudi kwa Allah kwa kuwa yeye ndio muweza Wa kila jambo twawezaje kusema kama asingekuwa Allah tusingekuwepo au kubakia wakati yeye aliahatufanya tuwepo..... Acha ujanja Wa maneno mengi.... Kwa kiarabu dhamir kwanza inarudi kwa Wa karibu ila pia yajuzu kurudi kwa Wa mbali ila kwa hapa maneno yanarudi kwa mtume.... Kaondoweni makosa yaliyomo masheikh sio mitume au malaika
Mm nimependa sana hii unajua Uislamu sio dini ya mchezo mchezo challenge lazima iwepo hii sio dini ya kusema sema ovyo ovyo tu halafu watu wakubali tu lazima watu wachunguze ni sawa kutokana na Aya za M.mungu na hadithi za Mtume Muhammad s,a,w
Umeweka Jazba mbele ndugu Yangu Wakati Shek Kishiki Pia Kaongea Kama amekosea mumfate kumuelimisha na Niko sure kama haya ungekwenda ukamuelimisha angerudi mbele nae akarekebishe mbele za watu Kama alivyo kosea Ila na ww ulitaka kuenua jina lako umenda public nyote Munaendeshwa na Dunia kwa kutaka Kuonekana na kupata sifa kwa kuleteana Jazba Ila Ulimi ndio utakao mponza Mwanadamu
Assalaam aleykum warahma tullahi wabarakatul. Binaadam tumeumbwa na kughafilika utakapoona mwenzio amekosea ni khery kumfuata face to face kumueleza sio kujitoa ktk CD na kumkosoa kwa kuwa watu woote wamuone kama anamkosoa. Ikiwa na ww ni binaadam basi tunamakosa mengi sana hata ww pia unakosea. Tujue kurekebishana kwa kumfuata sio kutangaza ktk cd au kujitangazia kwa watu huo si Islam bali ni chuki. Allah atusaamehe kwa makosa tunayoyatenda hali yakua hatuyajui ameen yaa Rabbi
ni vnye uwajui wakina kishki na bahero wake. wameitwa mara ngapi mijadala wakasusia...................bahero mara ngapi amemwita ustadh kijibarawa?????????????????????????????
Assalamu alaykum wa rahmatullahi wa barakaatuh .kwanza hio mnayoisoma Allahu ya Allahu . Mambo hayo yako ktk sunna au yametungwa tu na watu ? Je hio Allahu ya Allahu aliyeandika Annabahaani, alifanya رسول الله صلى الله عليه وسلم au Swahaba walifanya Au Taabiina Walifanya?
safi sana kumfundisha huyo mtu anakosea sna naomba usichoke kumfundisha anakufuru sna huyo jamaa sijuwi makusudi au hajuwimueleweshe kazi kupotosha watu tu safi sana mashallah
Shekhe hamkosoi Kishky, anachofanya ni kutoa elimu juu ya alichokisema Kishky, na ni bora akatumia CD kulekebisha maana Kishky ametumia CD kueneza alichokisema. sasa mlitaka Sheikh amfate Kishky msikitini amlekebishe? wale wasio na elimu ya lugha wangejaje?
ww shekh ww ni kweli kabisa katika hiki kitabu maneno ya shiriki yapo sasa swali ya faa kujifunza shiriki kishik yupo sawa hiki kitabu kina makosa sana
Nasiha yangu kwa huyu shekhe ni kwamba msifu Allah zaidi kisha mtume ( SAW) sababu mtume hafanyi kitu bila idhni ya Allah. Hata hidaya yatoka kwa Allah. Mtume ni Mjumbe kesha fikisha.
Sheikh Kushki nasaha yangu kwako Rudi kwa wanachuoni wa Twarika wakusomeshe Nahaw balagha swarfa na mantwiq ili nawe uweze kutafsiri vizuri.wajisifu na huna ulipo
kila binadamu nimwenyekukosea. mashekhe wetu wapendwa tutafuteni njia na mbinu nzuri za kuekana sawa na kabla ya kutowa c.d za kukosoana uislamu haukutufunza hivyo.
Masheikh nyote mumetoka kwenye njia sahihi' kukosoana kwenye mitandaoni,, si mungeitana pembeni kuzungumza huko alfu' mkafikia solution'' nyte Ni waislam'' Sasa Mana yke' Nini kurushiana vijembe mitandaoni.
Asalaamu alaikum warahmatulwah wabarakaatuh ushauri wangu kwashekhe wetu kishki vitu kama hivi ambavyo vina ikhtilafu usitoe CD kwasababu CD itaenea ulimwengu mzima sasa watu wanamlaumu Shekhe huyu wamombasa kua amekosea kwasababu ametoa CD kumkosoa sasa makosa aliyaanza shekhe kishki kwanini alitoa CD ? Sialitaka iwafikie walengwa sasa nahuyu Shekhe wamombasa akaona ajibu kupitia njia alioitumia kishki 'sasa Mimi nasema shekh kishki utajiaribia sana ukiendelea kutoa fatua za ikhtilafu
Ukisoma kwenye wasila neno LAULAHU maakunna walaa baqiina Lina maanisha kwamba kama siyo yeye (mtume Muhammad saw) Tusinge kuwepo wala tusinge bakia ndipo halo alipo simamia Shekh KishkiJapo kweli tuna mheshimu sana Shekh Nabhani je kuna ukweli hapo?
Mkamilifu ni Allah..mkosowe kwa njia sahihi si kwa c.d..tunampenda Nurdin kishk kwa ajili ya Allah..Mungu amuogonze InshaaAllah.
Subhana Allah. Namuomba Allah amlipe kheri sheikh Nabhaan
nurdin kishki tunampenda kwa ajili ya mwenyezi Mungu
Wallahy dunia hii yaisha.. mpaka ma sheikh wankua wakidhalilishana kwa mitandao.. subhana Allah mungu awaongoze wallahy twaenda pabaya.. leo wafurahisha watu kwa kumkajili mwenzako na uko na uwezo ukajadiliana nae kwa makini pekeyenu bila kumpa mtu faida.. inalilahi waina ileyhi rajiun.. Allah atusamehe wallahy😭😭😭😭.. tupe mwisho mwema yaraby
MashaLlahu Sheikh Allah azidi kukufungua Kichwa chakuwafahamu wapotofu na uwarakibishe.Shukran Allahu Baarik
Shekh haujamwelewa vizuri, Shekh mwenzako amesema "kwenye kitabu cha wasilati shaffi kuna maneno ya kishiriki kabisa" haja sema Shekh aliyeandika hicho kitabu na wanaokitumia ni makafiri au washirikina na mwandishi ni binadamu anaweza kuteleza kama binadamu. Allah ndio mjuzi zaidi.
Al Ustadh Muhammad Al-Hady Mwenyezi Mungu akulinde na kila mwenye ubaya nawe, Akupe afya njema na Umri mrefu, na usichoke kuwarekebisha hao watakasifa machoni mwa maamuma na kujiona wao ndio walio karibu Zaidi na Mwenyezi Mungu na Mtume wake. kisha huwa nashangaa sana Kishki kujiita Sheikh wakati wanaomrekebisha makosa wanajiita Al-Ustadh, hii ni aibu kubwa sana.
Kumpenda MTU kwa matamanio bila kufuata muongozo WA Allah HIYO ndiyo shirki,kishki kakosea tena sana,SHEKH wetu Muhammadil had alhatimiyyy ahsante sana kwa kutupa elimu,kishki hana kitu makelele tu.
رحم الله العلامة الشيخ يوسف النبهاني رحمة واسعة إلى يوم الدين.
nimeangalia zaidi ya mara kumi sijaona kosa lolote la kishk nilichogundua ni kwamba mzungumzaji anatafuta umaarufu kupitia sheikh Nurdin
Weee cheikh muogope Allah kishki yuko kwenye haki !
Kishiki Ako Sawa MA SHA ALLAH
Nashkuru nimjifunza mengi yanayohusiana na Nahwu Baaraka llahu fiiqu
Assalaamu alaykum
Yaa Allah wape hekma masheikh wetu wawez kuheshmiana.
Masheikh msitumie njian nyengne ya kuwekeana saw kuliko kutumia media, Mimi ningependa kumtafuta mtu n kumueleza nn alichkusudia kusma manno ago.
Wakikaa chonjoww unvepta faida hapa..mbona yeye kishk hakukaa chonjo kapayuka tuuu..tulia uelimishwe ww na huyo shekhe wako wa kujikweza
Hizo burdani zake hunifurahisha sana, zinanifanya nazidi kuskiza mawaitha zaidi. Keep up kishki, you are the best.
Allah akujaze Sheikh Khatim,Allah akuenue darja na kukupa umri twaweeel
Shukran kwa ufafanuzi wako sheikh Mungu akujaze kheir amwongoze sheikh kishki azinduke
Subhaanallah!!!! huyu jamaa amefika mbali ktk kukufurisha wanazuoni wakubwa na wa zamani... lkn huenda kuna watu wanamlipa kwa kazi hii.... hii ni hatari kwa akhera yake.
Wallah uislamu ni dini ilokamilika.waislamu hawakoaoani kwa kuaibishana.kwa kughafilishana laa waislamu hukusoana kinyenyekevu...
Shukran kubwa kwako ya sheikh kwa kuelimisha umma na fitna ya hawa mawahhabi.Ni saratani kubwa kwa uislamu.
Allah akuzidishie kheri kwa kazi yako Rafiki na Ndugu ktk iman Al Ustadh Muhammad Al-Hady
Nawapend san mashekh wangu wete dunian kwa ajili ya allah ila huu mwenendo huu so mzury mm napend san osuman malim mungu atujalie mungu atu onyeshee njia njema inshallah ila huu munatengenezaa uwadui na muna uwaribu uislm ndug zangu mamuma tusio juwaa tujitahid tuisome din yetu tukufuu ila soo kwa haya maneno ya kuzalilishan tungu na kam mm nimekosea nisamehen asate nawapend kwa ajili ya allah mungu tubarik waislam wote dunian
Twampenda kishk Allah amuongoze inshallah
Jazaakallaahu khairaa......usichoke Mwalimu,endelea na watatuelewa tu muda wakua wakuu wao huko Saudia wameshatuelewa ktk mambo mbalimbali kama vile maulid n.k
Shokran shekh wetu mungu akuweke akupe afaya wew ni mkweli kabisa edeleya kuwa fahamisha waso kuwa na ilimu huyo ana kufuru kishk amekoseya allaho allahu iko natuta endeleya kuisoma
yaani shekh kishiki namfananisha na nabii musa alipotoa khutuba akaulizwa musa kuna mwenye elimu zaidi yako akasema hapana mwenye elimu zaidi yangu mungu akamwambia nenda kamuone mwenye elimu na ni alkhidir shekh kishiki elimu bahar jifunze kwa musa na alkhidir usijinadi km unaelimu sana
Subhannah Allah,hata mie nasoma hichi kitabu sana,sasa hizi ni zama za kupotoshwa sie maamuma tunapotezwa subhaanah Allah.
sheikh uo vizuri saana lazima uwanyooshe hao wasio elewa
Shukran Sayyid Alhaatimy kwa kutupa elimu ya لولاه na خبر كان hahaha Nahwu ni Elimu kubwa sana
Kweli elimu ni bahari, na kadri unavyosikia wanawachuoni, ndio unajifahamu kuwa kumbe dini hii ni ya kusoam, na ukiona elimu yakobado sio ni bora uwe dai tu, wawaita watu katika dini na si kuanza kuwakosoa watu. Unaweza jiona kumbe wewe ndio hujui Kbisaaa kama ndugu yetu wa Vetenary. Allah amuongoze yeye na sisi
Sheikh kishki anayo sema ni kweli, kwa sababu hiyo maneno tuki tafsiri((isingekuwa mohamed hatungali kua juu ya hii dunia hii wala hatungeweza kupata hidaya)) kwani hiyo mwandishi ni Allah. Sheikh Yusufu nabahani si Allah.
Shk.Ungewacha kurekodi clips.Wenzetu wantucheka.Mnaikhtarifiana. SISI SIO AKIRISTO.
Shukran alkhatimiy
Muelimishe huyo hana ajualo
Allah akuhifadh sheikh wetu nurdeeen muhammaad ahmed almaaruf kishk
Uswajal mkamilif ni Allah
Allahu Ya Allahu Ya Allah Ya Malja a lkassdi ya ghauthaau.
Sheykh nabbahani ANAWEZA AKAKOSEA AU AKAPATIA KTK JITIHADA ZAKE ZA KIELIMU,,..NA KUFANYIWA RUDDUDI NI SEHEM YA DINI..,MKAMILIFU NI ALLAH JAALA FY ULAA..
Allahu Akbar, Maasha allah tabarakallah sheikh
Mungu akubariki shehi
KATIKA suala la KUSOMA na KUTAFUTA elimu, hakuna imamu Wala maamuma. Sote TUNAPASWA KUCHUKUA JUHUDI za kuitafuta elimu ili TUWE na UHAKIKA ya ibada ZETU. MUISLAMU ukianza KULAUMU masheikh kua eti wanakuchanganya na hujui ushike wapi huo Ni udhaifu mkubwa. Tatizo letu WAISLAMU wa Leo hii hatuchukui JUHUDI za kuitafuta WALIMU tukasoma dini yetu ndio maana tunashindwa KUJIFAHAMU. Mwisho wa siku tunalaumu wanazuoni. SIKU YA QIAMA KILA MTU ATABEBA MZIGO WAKE. HIVYO NI WAJIBU WETU TUITAFUTE ELIMU POPOTE PALE KWA KUKAA KWA MASHEIKH MBALI MBALI ILI MISIMAMO YETU IWE NA MANTIKI🙏
Tatizo la Kishki anapenda kuona kuwa kashamaliza kusoma na elmu ndio imeishia hapo na anaona yeye anajuwa kila kitu
Na anaposema watu wanaotumia kitabu hiki wamsamehe na kama hajafaham afatwe
sasa kama alijuwa hilo kwanin aongee kwanza kabla ya kuuliza.
Kwa watu wenye ilmu kishki anaonekana hana ilmu kwa sababu hana sifa ya mtu mwenye ilmu,kakosa adab,hikma na unyenyekevu.
Alichokifanya sheikh kumrekebisba ni sahih wala hajakosea,kishki anapenda kujifanya anajuwa hali ya kuwa anachokifaham ni kidogo sana.
Shekh waelimishe vizuri Hua Hawa fahamu nahw Hao wala balagha wa nacho kijua ni kujisifu tu wape wape Sana Hao mawahabi.
Tusemeni ukweli Ahlusuna Wal jamaa ilimu tunayo na tutawarekebisha mpende musipende tutawaweka Sawa tu
asc thank you sheikh Nabahany for the detail, always the uneducated think they know more
Answaar kishki hana lolote zaid ya kupotosha waisalam yan kitabu kina maneno ya shirki, subhnallah.
Assalaam aleikum.Nilisema zamani kuwa hawa watakupa taabu kuwasomesha.Inshallah nadhani watafahamu na wataelewa.Mwenye ezi mungu akujazi kheyr na usichoke kuwasomesha.
Kishki anapenda sifa yeye kama ameona kuna shirki kwnn asingenda kwa wale wanaosoma hicho kitabu yeye anapenda majivuno
Shekhe Kishki anayo elmu kubwa kwa ulimwengu wa sasa,, lakini niliacha kumsikiliza kama miaka 7 iliyopita,, kwani nilijua ataharibu kwasababu ana majivuno sana,, hakika Kishki elimu hujafika hata robo yake kwanini anajiweka juu sana,, nilimsikia akisema yeye ndie shekhe wa kwanza Tanzania kutoa daawa kwa lugha ya kiarabu huko arabuni,, hivyo hamna zaidi yake,, nikamsikia akijivuna kua yeye nasaba yake imekwenda mpka kwa mjukuu wa mtume Nuhammadi (s.a.w) hivyo nim-bora,, shekhe yeyote atakae ongea kwa kujivuna lazime awe kwenye makosa,, mtume anapeleka dini Twaaif watu wake wanampiga mawe,, Allah (s.w) akatuma malaika laiti kama mtume angeli taka kijiji kile kingeli futwa kwasababu Allah (s.w) ailishatoa idhini,, mf. wakatu wa mitume iliyotangulia walikua wakikithiri katika dhambi Allah anawafuta na analeta wengine baada yao,, lakini Rasuulullah Muhammadi ( s.a.w) akaomba kwa Allah (s.w) asiuangamize umma wake ila ausubiri mpaka siku ya Qiyama,, sasa kwadhambi hizi tulizo kusanya kama si dua ya mtume tungeli kuepo!!? acheni kujivuna waislam,, tuache migogoro na hitilafu,, tuangalie mambo ya kupeleka dini mbele,, fanya unaloona halina shaka kwa nafsi yako
Wasiilatu Shaafii ni Bidaa
Hii CD ya mwaka gani munatuchanganya maana nyote shekh wazur mumesoma vyema Qur an.
Sheikh kwa mujibu Wa hizo ibara au hayo manenono yanarudi kwa mtume .... Kwamba Allah ametupa Muhammad kama kiongozi watu na lay kama so Muhammad basis tusingekuwepo na wala tusingebakia..... Acha ujanja Wa maneno mengi.... Dhamiri haiwezi kurudi kwa Allah kwa kuwa yeye ndio muweza Wa kila jambo twawezaje kusema kama asingekuwa Allah tusingekuwepo au kubakia wakati yeye aliahatufanya tuwepo..... Acha ujanja Wa maneno mengi.... Kwa kiarabu dhamir kwanza inarudi kwa Wa karibu ila pia yajuzu kurudi kwa Wa mbali ila kwa hapa maneno yanarudi kwa mtume.... Kaondoweni makosa yaliyomo masheikh sio mitume au malaika
Mukiona jambo lina wasumbua rudin katika quruan na sunna sio kupigana vijembe ! Maimamu wote wanaweza kosea
Mm nimependa sana hii unajua Uislamu sio dini ya mchezo mchezo challenge lazima iwepo hii sio dini ya kusema sema ovyo ovyo tu halafu watu wakubali tu lazima watu wachunguze ni sawa kutokana na Aya za M.mungu na hadithi za Mtume Muhammad s,a,w
Ustadh Muhammad Mash'Allah nice work done. And i hope you reply more of such sheiks who are causing such injustices towards Holy books, plus Scholars.
Allah ya Allah ya Allah maljaa lkaaswid ya ghausahu
sheikh wangu mm naona km umeshindwa kumuelewa sheikh kishki, na km amekosea sidhani km huu utaratibu uliotumia kumkosoa ni sahihi
jifunze kisa cha nabii musa na nabii alkhidir shekh kishiki usijione unaelimu sana zungumza kwa mipaka
Umeweka Jazba mbele ndugu Yangu Wakati Shek Kishiki Pia Kaongea Kama amekosea mumfate kumuelimisha na Niko sure kama haya ungekwenda ukamuelimisha angerudi mbele nae akarekebishe mbele za watu Kama alivyo kosea Ila na ww ulitaka kuenua jina lako umenda public nyote Munaendeshwa na Dunia kwa kutaka Kuonekana na kupata sifa kwa kuleteana Jazba Ila Ulimi ndio utakao mponza Mwanadamu
naam sheikh endelea kumsahihisha
Masha Allah Shekh kishki yukosawa
Shekh kishki yupo sahihi
Wewe shekh wa Kenya sijui ukoje !uko elimu ya Sawa kweli?
Assalaam aleykum warahma tullahi wabarakatul. Binaadam tumeumbwa na kughafilika utakapoona mwenzio amekosea ni khery kumfuata face to face kumueleza sio kujitoa ktk CD na kumkosoa kwa kuwa watu woote wamuone kama anamkosoa. Ikiwa na ww ni binaadam basi tunamakosa mengi sana hata ww pia unakosea. Tujue kurekebishana kwa kumfuata sio kutangaza ktk cd au kujitangazia kwa watu huo si Islam bali ni chuki. Allah atusaamehe kwa makosa tunayoyatenda hali yakua hatuyajui ameen yaa Rabbi
ni vnye uwajui wakina kishki na bahero wake. wameitwa mara ngapi mijadala wakasusia...................bahero mara ngapi amemwita ustadh kijibarawa?????????????????????????????
Ndugu chunga Sana tusikosoane on line. Hiyo sio uisilamu
Allaahu Akbar
Assalamu alaykum wa rahmatullahi wa barakaatuh .kwanza hio mnayoisoma Allahu ya Allahu . Mambo hayo yako ktk sunna au yametungwa tu na watu ?
Je hio Allahu ya Allahu aliyeandika Annabahaani, alifanya رسول الله صلى الله عليه وسلم au Swahaba walifanya Au Taabiina Walifanya?
Kishki nimzunguzaji lakini elimu yake iko chini
haya mambo yanahitaji kuheshimiana
Shk nurdin kishki amenifunza mengi. Allah amzidishe umri hazidi kutu zindikutu elemisha ss waja wa Allah
Mwiba hutokea ulipo ingilia iyo cd ya kishki ingebaki pekeake mkatafutana kwa siri tunge potezwa vibaya sana
Sheikh ahsanta kwa kuwajibu wapotoshaji wa dini wasio ni ilimu .
Shk ahmedal khatimy sifa ya daii hajibu
Nabahany sio masoom.... Hakulindwa na makosa .... Tatizo lenu badala ya kusoma Quran manoenda kusoma vutabu vya ajabu ajabu
Allah azidi kutuongoa na tuzidi kubaki ktk njia iliyonyooka
Alichokidany ndich anachofanyiwa . baarakallah
Kishk hapa amekosea sana. Mfundishe huyu Kishk
safi sana kumfundisha huyo mtu anakosea sna naomba usichoke kumfundisha anakufuru sna huyo jamaa sijuwi makusudi au hajuwimueleweshe kazi kupotosha watu tu safi sana mashallah
Hewa shekh kishk ni mwana sayans uyo na tecnologia.
Shekhe hamkosoi Kishky, anachofanya ni kutoa elimu juu ya alichokisema Kishky, na ni bora akatumia CD kulekebisha maana Kishky ametumia CD kueneza alichokisema. sasa mlitaka Sheikh amfate Kishky msikitini amlekebishe? wale wasio na elimu ya lugha wangejaje?
Toa tafsiri ya hayo maneno ili tujue ni ya kishirki ama laa?
Kutunga vitabu vinngi si Hoja .
Mfundishe kabisa hata ikibidi mfundishe Nahw shekhe wa vetenari
Mashaalh
Kishk ni shekh anaetafsiri neno kwa neno badala ya Kufahamu maudhui ya aya na khadithi ndo shida ilipo
ww shekh ww ni kweli kabisa katika hiki kitabu maneno ya shiriki yapo sasa swali ya faa kujifunza shiriki kishik yupo sawa hiki kitabu kina makosa sana
Nasiha yangu kwa huyu shekhe ni kwamba msifu Allah zaidi kisha mtume ( SAW) sababu mtume hafanyi kitu bila idhni ya Allah. Hata hidaya yatoka kwa Allah. Mtume ni Mjumbe kesha fikisha.
Qulla Bidaa fi dhallalah wa Qulla dhallalah fi Naar!
Mbona masufi wanapenda bubadilisha topic kila wakati. Hebu tuambie kama kuna maneno haya ya kishirki katika hio kitabu??? Ipo ama haipo
Piya quran 8:24 inasema mtume saw anatumpa uhai. Amin.
Sheikh Kushki nasaha yangu kwako Rudi kwa wanachuoni wa Twarika wakusomeshe Nahaw balagha swarfa na mantwiq ili nawe uweze kutafsiri vizuri.wajisifu na huna ulipo
Uyu kishki Ana lipwa Uyu ili Akufurishe mashekhe wakubwa Uyu sijui Akili yak ikoje
kila binadamu nimwenyekukosea. mashekhe wetu wapendwa tutafuteni njia na mbinu nzuri za kuekana sawa na kabla ya kutowa c.d za kukosoana uislamu haukutufunza hivyo.
Masheikh nyote mumetoka kwenye njia sahihi' kukosoana kwenye mitandaoni,, si mungeitana pembeni kuzungumza huko alfu' mkafikia solution'' nyte Ni waislam'' Sasa Mana yke' Nini kurushiana vijembe mitandaoni.
Mawahabi wamesomeshwa Kiarabu hao
Asalaamu alaikum warahmatulwah wabarakaatuh ushauri wangu kwashekhe wetu kishki vitu kama hivi ambavyo vina ikhtilafu usitoe CD kwasababu CD itaenea ulimwengu mzima sasa watu wanamlaumu Shekhe huyu wamombasa kua amekosea kwasababu ametoa CD kumkosoa sasa makosa aliyaanza shekhe kishki kwanini alitoa CD ? Sialitaka iwafikie walengwa sasa nahuyu Shekhe wamombasa akaona ajibu kupitia njia alioitumia kishki 'sasa Mimi nasema shekh kishki utajiaribia sana ukiendelea kutoa fatua za ikhtilafu
Assalam alykum ingekua Bora ukakutana nae ndio mutaelewana lkn Kwa njia hii ningumu kufundishana na utatupoteza sisi wanafunzi wenu
Sisi sote ni waslam bali kuna iqtilafu je tuimalize vipi iqtifu ?
Ukisoma kwenye wasila neno LAULAHU maakunna walaa baqiina Lina maanisha kwamba kama siyo yeye (mtume Muhammad saw) Tusinge kuwepo wala tusinge bakia ndipo halo alipo simamia Shekh KishkiJapo kweli tuna mheshimu sana Shekh Nabhani je kuna ukweli hapo?
Kasome tena rudi chuo ndugu yangu MTU akikosea sheria inakutaka umfate umuelimishe zama za Leo waweza kumpigia simu kama you mbali
ahsante kwa ufafanuzi
Sheikh Shaharan wa Zanzibar naamnukuu "Hawa hawajafahamu" elimu zao kidogo ndio kila kitu wanajua wao fatuwa na kila kitu.
Uo ndoukweri make nyinyiwa wabidaat ampendi ukweri Uris to
Mashaallah
Mtume saw ametajwa mpk kwenye salaaa