Cook with Wema Sepetu S01E11 Chidi Benz
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 มิ.ย. 2020
- Jinsi ya kuangalia video hii nzima, unatakiwa ku Download Wema Sepetu App ambayo inapatikana Play Store na App Store, kama wewe ni mtumiaji wa simu ya Android bonya link hii ili uweze ku download Wema App na kama wewe ni mtumiaji wa iOS Bonyeza link hii shorturl.ae/XTizL
Connect with me;
Instagram - @wemasepetu
Twitter - @wema_sepetu
Facebook - @wsepetu
Click here goo.gl/0pN4kS to Download Wema App on Playstore
Click here apple.co/2PQK3vR to Download Wema App on Appstore
#CookWithWemaSepetu #Wemasepetu #Bestizzo - บันเทิง
Naomba nikupongeze Wema kwa kuweza kuongea na Chidy, the dude has lost but still mmekua na good chemistry , imedhihirisha unaweza kuongea na mtu yoyote, you have a big heart congrats.
Big heart. For Sure.
@@nyendochamwela3031 yeah great
Hi
Lost !!!! Dude what do you mean??
Wapili ku weka comment love you sepetu😍😍
Jamani penda sana huyu kaka walaah, interview zake sijawahi kosa. ❤❤ you guys
Madama na sisi wa Zanzibar tuite tufanye balaa la kizenji huko mjengoni so star tyu...but the way I like what you do this is beautiful.
Chid benz jamaa ana akili nyingi sana....
Anakwambia inawezekana hata hajui anachokielezea :-))
Ni Mimi tu au chidi anajitu tofauti na swali
Wema kwakweli unatubania sisi wenye tuko inje ya inchi hatufaidi hataaa daa Wema wetuu twakupenda bureeee🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩
Tz sweetheart ❤️❤️❤️❤️❤️❤️👌 ,kipenzi cha watu❤️🥰☝️
Chiddi Benz amependeza sana amekuwa mzuri sana MashaAllah Allah azidi kumng'arisha
Mmmh kupendeza huko da khadija?? Ndo atoboe pua dunia imeisha
@@esterelias8189 aah namaanisha mwili tu kuwa amenawiri sasa. Hayo ya kutoboa pua na masikio ndugu zetu wasanii kwao ni kama kawaida ingawa mimi ni mmoja sipendelei mambo hayo.
Kumuelewa Chidy Lazima Uwe Na Akili Kubwa Sana
Kbsa
Haswa akili ya chidy mmh
Yap
Sanaaaaa yan
Sanaaa
My girl minding her own business as usual
Nakupenda wema nataka like yako plz
😍😍😍
That's cutest thing ever
@@wemasepetuofficial we siamin kama ni wew ume reply
Niyeye haki na mpenda sana natamani siku moja tuonane ni musalimie na big hug mungu wangu
@@wemasepetuofficial ❤❤❤
Nakupenda Madam Wema❤❤Mungu akuongoze zaidi🙌😻
1:46 "...ninajitahidi kuubadilisha UONGO kua UKWELI..."
Kweli eee
Sending love from 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼❤❤❤❤❤
mwa 💋
Chid umekuwa mzr sasa 😍👌
Weema amepungua utazani sio mwafrica kaumbo ka kizungu hongera dada.
Wazungu unaowaona kwenye tv Ila ukiishi kwao hutowaona wenye umbo Hilo Wana maumbo makubwa kutupita waafrica
Ongera mb mama kwamoyo wako mkunjufu nakupenda sana mdogo wako ongera
This man is very genius kumuelewa inaomba uwe na akili mon.Ndio maana wengi wanamuita chizi ila huyu jamaa ni kichwa.
Hauja wayi kunipa kitu akini nakupenda dada yangu wema ume nona 🤭❤️
Mashaallah chiddi yuwarengia kuwa mzury all thanks to god
Swali na jibu tofauti😂😂😂 this dude🙌🙌
Chidi number moja💣💥🇰🇪
Nampenda sanaaaaaaaaa chidi
Usilete wasanii tu!!walete macerebret tofauti!!kipindi kitanoga zaidi.
Chid bana🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥🔥
Baby Wemaa Sepengaaa Nakupenda Sana Habibty 😍😍😍
Vichwa panz hamuwez kumuelewa chidy😂😂😂
Allah akufanyie wepesi kwa kila jambo ❤️
Nakupenda bure nataman ata niishi naww jama
Kiukweli nampenda chidi jins anavyojibu
Hongera wema nashukuru unavyopambana.
Piga kelele kwasepetu yakeeeeeeeeeeee💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃😍😍😍
Weweeeeeee
Wema Sepetu kelele yakeeeeee💃💃I love you so much 🇺🇸🇺🇸😍😍
@@wemasepetuofficial Nakukubali sana dada.
Wema jamn sijui kwanin nakupenda tu ila elewa nakupendaaaa
😂😂😂😂Chid namkubali sana huyu mwamba
Nakupenda da wema
Sijui nakuona lini🇧🇮🇧🇮🇧🇮 nakupendraaaaaaaaaaa
my twiniee....love ya Wema🤗🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Wema nakupenda bure
Uwiii nilikua nimepitwa
Hahahahahahaha hivi nacheka nini ,chidi kiboko anajibu makorokocho hayaendani na swali
Nimemuelewa wakati amesema watu wawili wanaangalia same movie wakati mwengine anataka kuadisia what's following next
Dada wema jamani penda wewe Sana yani wewe nimecheka nawatu ume nifuraisha Dada yangu natamani tuonane sikumoja my love sistr
Jamani kumbe maisha yanawezekana ukibadilika
Chidibeenz bwana ila kapendeza 😀💕💕
Tatizo hicho kipini puani duu?
@@esterelias8189 Kizazi chetu kilicholipuka in the 90s it was just a normal swag
Mashallah wema very nice 👌
Nakupenda wema sijuw kwa nn yani nakubali
Binti sepetu 💕💕
Love chidi benz
WE LOVE YOU MADAME..... ❤
Ni chidiiii na wemaaa
MashallAllah sai shame kanenepa vzur
Chidi umependeza sana umekuwa mzur sana mungu akulinde sana kaka
Jamaa anahaya sana ndio majina ya Rashid yalivyo lakini wanakutia mimba usimama😅😅
hiki kichwa kinaakili Sana inahitaji mda kumuelewa chid chuma
You’re m favourite super star
My swethet wema sepenga Madame nasibu 😍😍😍
Wema Mimi ni chef ,napenda kuja kufanya kipindi hapo,
I'm sending my love all the way from Ireland Dublin 🇮🇳🇮🇳🇮🇳
Mimi pia mpishi mzuri
Naona chuma karudi!!!
Kwani kukupenda shingapi wema? Nitagaramia ilimradi nikupende hadi kiama 💕💕
Ur so blessed lv,keep it up,more blessings
Mbona umekua tena kiana
Uyu angekuwa mshauri wa giongozi nyuma yapsia coz anaona mbali kabla ujafikia from 🇮🇪🇮🇪🇮🇪
Hongera sana Wema... Kufanya interview na Chid ni kaz ngum sana
I love you Wema... and love your good work.
Sweetheart Tanzania nakupenda bure
Watching from Boston Massachusetts,i. Watched coz of chidi
Chid yuko poa sana
Am watching this video bcoz I want to see you guys cooking not interviewing
Wema plz usipungue tena dada inatosha sasa nakupenda na nitazidi kukupenda ila inatosha kwa hapo ulipo
Let's support one another.. what's your channel?
Wangapi wanaona chidi anahisi Kama vile ameshaopoa ndo amemuweka madamu ndani! N full tabasamu uhipapu katupa kule😎
Napenda ulivyo busy na kazi zako
chidi benzi karuudi kunona atariii
Daah wallah na mimi na cheka mtihani huu
Kaka jikaze utakua sawa
Hae wema..,how do we pay in your app..,nimedownload nimetaka nilipe but it's unsuccessful!!!
Ila chidi kanenepa
He was very nervous 😂🙏🏽
Wema inakatazwa kupika chakula naizo rips Zita angukiya muchakula, piya funganwele jamani
aki wema nahis alipotoka apa alichoka akili nafsi na mwili siyo wa makorokocho anayojibu chiddy wallah, 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 iki kipind kinatibu stress
Anapendeza ananenepa
Kumbe anachekaga kaka et anaga mambo meng
Wow nice video love you 💋💋💋💋💋 baby girl
Anabadilisha uongo kua ukweli😂😂
Chidi lazima utoe boko hiyo menyu
Chidi karudia ubora wake
penda sana wema wewe😙
Is dis Mishe for superstars only or even de other guys in street. Iwish to kafriendo of urs wema
Chidiiiii😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
Jameni kumbe uyukaka ni hand same ivi pombesi.chai haki😘👌👉🇧🇮
Damn gyal I love ua top
Nakupenda wema
CHIIIIDY....
🔥🔥🔥
🔥 🔥 🔥
💯💯💯😉😉💯💯💯💯💯💯✅wema wake
Wema tupe kipindi cote TH-cam..vipi mbona unatubaniya
Safi sana wema
Nakupenda wema sanaaaaaaaa
I love you wema ❤