Mh. hapa tutaangukia pua mm nakubaliana na serikali kuendelea kujenga miuno mbinu laki sio kufanya biashara, biashara waachie sector binapsi serikali isimamie kukusanya mapato.
Mshapewa ruhusa na Tanganyika tayari? Katafuteni watoto wadogo wanaonyonya dole la gumba wakidhani yatatoka maziwa. Zimekushindeni meli na bandari ya mpiga duri mpaka leo.
Acheni mtaifisidi tu serikal ya Zanzibar imeshindwa hata kuuendesha hospital itaweza kusimamia ndege kweli? Naungana na ww mheshimiwa kipaumbele chetu ni miundo mbinu sio Biashara hapo wapeni sector binafsi ndio mahala pao
Mnazingua mumeliuwa shirika la ZAT mpka ndege kubwa mumewapokonya ili iweze kufa lile shirika kwa kuwa Mumeweka shirika lenu la DINATA sio mbaya kuliweka ila na ao ZAT wafanya kazi wake washawafukuza jana tuu wamefukuzwa watu 60 kwa kuwa hawawezi tena kuliendesha coz mumewatengezea mipango hiyoo, bc ao wafanya kazi wanofamilia zao waende wapi kwa nn Musinge waajiri wafanya kazi wote wa ZAT kisha kuwatia ukoo DINATA hii leo hawana pakwenda wanalia tu na mkizingatia hamna ajira munotoa labda kwa watoto wenu tuu
Imekushindeni meli mmetuletea dude bovu mtaweza ndege
😂😂😂😂
Mh. hapa tutaangukia pua mm nakubaliana na serikali kuendelea kujenga miuno mbinu laki sio kufanya biashara, biashara waachie sector binapsi serikali isimamie kukusanya mapato.
Bring it on yes!
Hongera kiongozi wa nchi
Uchaguzi tayari kampeni imepamba moto
Mv mapinduzi2 imeishia wapi?
Kwanza tuna taka vyombo vya baharini maana taaban tuanze na bahari halafu next😊
Mshapewa ruhusa na Tanganyika tayari? Katafuteni watoto wadogo wanaonyonya dole la gumba wakidhani yatatoka maziwa. Zimekushindeni meli na bandari ya mpiga duri mpaka leo.
Waooo air zanzibar
Sizani kama itakua air Zanzibar itakua air Tanzania tu 😂 wale nduguzetu w damu watabwata sana
@@Znz-news😂
Mawe
@@cath-ef7wd 😂
Ndiyo Muache kuchukua ndege za ATCL na kuzizundulia Zanzibar kwani hatuungani kwa mashirika ya ndege mabombadia na maeyabas ni yetu Tanganyika.
Jengeni na Pemba tupate urahisi wa kukimbia nchi
Acheni mtaifisidi tu serikal ya Zanzibar imeshindwa hata kuuendesha hospital itaweza kusimamia ndege kweli? Naungana na ww mheshimiwa kipaumbele chetu ni miundo mbinu sio Biashara hapo wapeni sector binafsi ndio mahala pao
Ndege ya zanzibar😮
Maneno mengi vitendo ziro
Hizo ndege wananchi tulio wengi hatuna uwezo wa kizipanda
Hilo ndio suluhisho la kukuza uchumi na kuboresh uchumi. Na sio kueka viwanja vya ndege v 3 unguja vyanini?
ZAT shirika mmeluwa wafanya kazi wamefukuzwa janaa wengii tuu wanafika 60 je mmeliona hiloo iyoo DINATA kwa nn msiwapeleke uko
Mnazingua mumeliuwa shirika la ZAT mpka ndege kubwa mumewapokonya ili iweze kufa lile shirika kwa kuwa Mumeweka shirika lenu la DINATA sio mbaya kuliweka ila na ao ZAT wafanya kazi wake washawafukuza jana tuu wamefukuzwa watu 60 kwa kuwa hawawezi tena kuliendesha coz mumewatengezea mipango hiyoo, bc ao wafanya kazi wanofamilia zao waende wapi kwa nn Musinge waajiri wafanya kazi wote wa ZAT kisha kuwatia ukoo DINATA hii leo hawana pakwenda wanalia tu na mkizingatia hamna ajira munotoa labda kwa watoto wenu tuu
ZANZIBAR tulikuwa na ZAN AIR sijui iliishia wapi??
Imefilisika na haikuwa kampuni ya serikali,ilikuwa kampuni binafsi.
Kumekucha
ATCL sio shirika la Muungano? Mpaka SMZ mnnunue tena?
Kafirwe uko kila kitu tuwe pamoja tunafaidika nn na iyi ATCL
Ndio hao wenye wenye roho mbaya na Zanzibar wakiona kuna neema zinataka kuja Zanzibar vifunza vina wanyevua 😂
Siyo.
@@aminimushi6945Wabadilishe tu hiyo Boeing 787 iliyopokelewa iwe Zanzibar Airline. Viongozi wa Tanganyika si mazumbukuku tu?😢
Mnataka tucoment utumbo mtusweke ndani
Hahahhahahhahah