🅻🅸🆅🅴 : WANAOPINGA TAMISEMI KUSIMAMIA UCHAGUZI WAIBUA MAPYA/WAHOJI UKIMYA WA WANANCHI 'KESI YAO'
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024
- #JAMBOTV
WANAOPINGA TAMISEMI KUSIMAMIA UCHAGUZI WAIBUA HOJA NZITO KWA WANAHABARI/ WAHOJI UKIMYA WA WANANCHI KWENYE 'KESI YAO'
VIDEO:
Wananchi watatu (3) ambao ni Bob Chacha Wangwe, Bubelwa Kaiza na Dkt. Ananilea Nkya waliopeleka maombi Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam wakiomba kufungua kesi ya kupinga Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa leo, Jumamosi Septemba 07.2024 wamekutana na wanahabari ambapo pamoja na mambo mengine kwa pamoja wamejadiliana nafasi ya ushiriki wa wanahabari/vyombo vya habari na wananchi kwa ujumla kwenye shauri hilo linalotarajiwa kutolewa maamuzi Septemba 09.2024
..........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►TH-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Mzee wetu Kaiza,Mama Nkya na ndugu Bob Wangwe, napenda kuwatia moyo kwamba msivunjike moyo Wananchi na Watanzania wengi tuko pamoja tunafuatilia kesi hii kwa karibu sana,pia tunawaombea ulinzi wa Mungu uwe juu yenu nyote.
Hakikisha mmeonyesha uthubutu wenu na Watanganyika/Watanzania tunawaunga mkono katika shauri hili na tunaomba Mungu asimame na wenye HAKI tushinde kesi hii, haki ishinde Dhuluma! TAMISEMI isisimamie uchaguzi wa Serikali za mitaa!
Najua mahakama itatenda haki ushindi itakuwa kwa wananchi.. Ninavhojua mazoea Yana mwisho.
Mzee upo sawa sana
MAY OUR ALMIGHTY GOD PROTECT YOU ALL PEOPLE OF GOD
Dada nkya waandishi wa habari waliowengi ni machawa wanaganga njaa na wengine wanavizia uteule watanzania wengine bado ni simba na yanga ikitamgazwa mechi ya simba na yanga wanafuatilia sana lakini mambo ya nchi hawana habari nayo du mungu awasamehe sana
Main Stream Media zote zimedhibitiwa na Serikali hawawezi kuripoti habari za kuwafungua Macho Watanzania kujua haki zao.
Waandishi wa habari mnatunyima haki zetu watanzania
Mura wa mara Mungu akubariki
Mama nkia. Bob chacha wangwe. Pamoja na bro kaiz wa tz tuko pamoja nanyi ktk shauri hili!
Mrs ANANILEA TUMEKUELEWA VIZURI SANA....GOD BLESS YOU MAMAA
Watanzania tupo nyuma yenu na wala msikate tamaa.Mungu awabariki sana na azidi kuwatia nguvu.Tatizo kuiamini TAMISEMI ni ngumu kwa sababu chaguzi zote zilizopita inasemekana hao hao TAMISEMI wamejigeuza wakala wa kuiba kura na kuendekeza ushetani wao.
ASANTENI RAIA WATATU KWA KUTUWAKILISHA SISI WANANCHI WA TANZANIA
Naomba na mimi Beda Massawe niwepo
Hio Nchi imekiwa kama North Korea
Mpo sawa watanzania tuhamkeni
Hapa inaonekana Tume ya Uchaguzi ni mtumishi wa serikali ya tamisemi,yaani waziri wa tamisemi ndiye anaamurisha Tume ifan ye nini badala ya Tume kumsimamia tamisemi ifanye nini Ili tupate Uchaguzi wa haki
Waziri wa Tamisemi ni mkwe wa Samia, kwa misingi hiyo atakuwa katumwa na mkwewe afanye huo unyang'au kwenye uchaguzi.
Mimi sitaki Tamisrmi isimamie uchaguzi. Sauti yangu itasika vipi.
Mbona main stream hatuzioni
KESI ZA WIZI WA KUKU HAZIKUSAIDII KUPAMBANA NA KESI ZA KIMATAIFA
Ni mkate tu wenye fangasi
RAIYA WATAJAA IKITOKEA SIMBA NA YANGA KUCHEZA HAPO MAHAKAMANI
Watanzania elimu yetu ya darasa la Saba inatutesa sana. Hatujuwi wala hatuelewi haki zetu. Serikali inajuwa udhahifu wetu. Ndiyo maana viongozi wetu wanatuburula bila sheria za haki za binadamu.
Mzee upo sawa sana