Asanteni kwa kipindi kizuri sana asante madhee asanteni masster asante redio citizeni mimi nipo DSM wife yupo Kilimanjaro lakini tunaaminiana sana na tunapendana mno na tunajiheshimu zaidi wote kila mmoja Bali tunakutana kila baada ya week asanteni jameni.
ah kwa sisi tulio abroad ni ngumu kuamini bhana coz hawezi Safiri maratatu kwa mwaka duh hio nuksi kichizi, hio ya kisumu na msa freshi tu
Mama hayo maisha ni hatari sana hekima busara na kumuogopa mungu angalau inasaidia.lkn mke na mume kuishi mikoa tofauti ni kuharbu familia ukichunguza hata watoto wanakosa malezi ya pande zote watoto wanaishia tabia mbaya. Tunatumia muda mwingi kutafuta pesa tukiwa mbali na familia zetu tunasahau kuwa msingi was familia sio pesa,Tunamuachia house girl majukumu ya malezi wakati yeye mwenyewe ni mtoto,au hajimudu kujiongoza.
thanks so much mum For uar advice
Nice advice,thankyou
Aĺlah atuzidishie subira jaman uaminifu
ushauri mzuri sanaa
Mafunzo mazuri San
pongezi;ushauri tosha
Wow asante sana ushauri mnzurisana
thanks for your advice
mum umenena uarabuni watu wanajieshimu sana
m-skype...ati '...kuna shimo kwa mtungi...' hilarious!
Haya mm nko uwarabuni utanisaidia vp
hongera mama
kweli kabisa
Kwel mama unahekima
😂😂😂😂😂😂😂😂😂good teaching
yaani haviwezekani kabisa kuishi mume na mke mbali mbali .yaani mke asisubutu kabisa. husababisha madhara . iwe tu kwa mda mfupi kisha mmoja wao achukue uhamisho afuate mwenzake. wanaume sio watu wa kuamini.
fimbo ya mbali haiui nyoka kabisa
Na Kama sisi tuko uarabuni na kwa mfano ,Mimi Niko kwa relationship na kijana ambaye Ako Kenya surely Ako mwaminifu ?
Christine Ntinyari Hat mi wangu pia ako kenya na sijui nimeachia tu mungu
mimi nko Amerca mzee ako KENYA itawezekanaje nfanye kazi mwiez 6 au mwaka na nrudi kenya juu ya mapenzi tu hapo mwanamke ni kujitunza lakini mwanaume awesikani kapisa
Sasa mimi unanishuri vipi mama yangu nimepata mchumba. Nami nipo omani nafanya kazi nipe ushauri mama
thanks for the advice
bi mswafari you are always positive ..kweli kizazi hiki tunakosa mawaidha jameni..!!asante bibi