@@Anandezi tatizo , mashabiki wanakubali🤣🤣yaani hakuna anayehoji🤣 Na msimu huu,wana kazi! Ligi ndo kwanza mbichi, wanatuhumiana kuuza mechi 🤣🤣🤣🤣 yaani mpaka raha!
@@errydeo8865 yaani tutawacheka watani mpaka 2030, tukiwahurumia tutamwambia kipa asidake wafunge wajifariji mioyoni, maana kwa sasa wana hasira sana, wamenywea sana, ubaya ubwela uko wapi😄😄😁🤣🤣😂😆
WAZEEE HOYEEEEEEE MAKOFI KWA WAZEE JMN🎉
Huyo kijana mbona ana ongea kama amemeza kitu cha 🔥🔥 binafsi cja muelewa alicho ongea
Vijana wamefungwa na wazeee😂😂😂
Billioni 7 haikuwasaidi simba.😊😊😅😅
Kikosi cha million 7 kile🤣
@@errydeo8865 kweli kile sio kikosi cha billion 7. Wanachekesha kweli, mbwembwe nyingi utazani wanajua mpira kweli😄😆😀😁😂😅😃.
Bilioni saba ya makaratasi labda 😂
@@Anandezi tatizo , mashabiki wanakubali🤣🤣yaani hakuna anayehoji🤣 Na msimu huu,wana kazi! Ligi ndo kwanza mbichi, wanatuhumiana kuuza mechi 🤣🤣🤣🤣 yaani mpaka raha!
@@errydeo8865 yaani tutawacheka watani mpaka 2030, tukiwahurumia tutamwambia kipa asidake wafunge wajifariji mioyoni, maana kwa sasa wana hasira sana, wamenywea sana, ubaya ubwela uko wapi😄😄😁🤣🤣😂😆
Simba ni watoto wa 2000 tumewapa iphone 16 mpaka Leo wanalialia
Mzee mwenzangu umeuwaaaa😅😂😂😂😂
Mtangazaji tunamtaka chinga boy😂😂
Unafikili yanga wote watasema nni kuhusu kAYOKO mipango walishaipanga...lkn one day...
Sasa mnataka mchezeshwe na refa gan 😂😂😂
@@ShawnBeatzwanataka Ahamed Ally achezeshe
Mtamlaumu sana kayoko lkn vipigo kwenu bado vingi tu kwanza mliwaonea dodoma jiji na azam mbna hamkulalamika coast tu wamewatoa jasho
Wew mlete hata mangungu awe refa