Hizi simu zianze kukatazwa sasa, zina distract watu. Mimi siwezi kumleta mgeni a minister of the gospel kutoka mbali ili ahudumu kiroho na watu hawaingii rohoni kwa sababu ya simu. Hii si sawa kabisa, nashauri kwaanzia sasa hizi simu sisiruhusiwe wakati wa ibada ili watu wafanye kile kimewaleta kumwabudu Mungu.
Uko sahihi kwa nafasi Yako ila kumbuka Hii video umeweza kuiona kwa sababu Kuna watu walikuwa busy na 📷 kuhakikisha inarecordiwa mwanzo mwisho Wanachukua TU ukumbusho na kama umeangalia Hadi mwisho Kuna mahali simu hazionekani na simu wako busy kusifu na kuabudu
Imefika mahali sasa simu ndio ingoi na kufurahi kuliko sisi wenyewe... Yaaani ni kila mtu yuko na simu juu badala ya kuenjoy the nice music 😢😢😢 daaah okay
Icheki Hadi mwisho utaona 😊 hapo ni mwanzon TU walikuwa wanachukua kumbukumbu then after walikuwa busy na kuabudu Tusiwe wepes wakuona mabaya kuliko mema Mungu awabariki kutoa muda wao na fedha zao kwenda kumwabudu Mungu Imagine asingeenda hata mmoja😊
Ministers of God should be giving warning to people not to be snapping them while worship is going on. Mercy chinwo should have used the opportunity to convey the message to the people so they could concentrate
Aisee? Hivi hatujifunzi kabisa kwemye videos za wenzetu kunapokuwa na kitu kama hiki? Utaona wanabubujika, wanaabudu kweli, wanaomba hadi wananena. Hatujafanya sawa ndugu zangu, kha?
It will be so much privileged to meet you one and One,you are God chosen to world 💕💕💕
Jamani inategemeana na tukiyo kama nitamasha kwanini watu wasijichukulie pichatu😅😅😅
Hizi simu zianze kukatazwa sasa, zina distract watu. Mimi siwezi kumleta mgeni a minister of the gospel kutoka mbali ili ahudumu kiroho na watu hawaingii rohoni kwa sababu ya simu. Hii si sawa kabisa, nashauri kwaanzia sasa hizi simu sisiruhusiwe wakati wa ibada ili watu wafanye kile kimewaleta kumwabudu Mungu.
Hadi hasira yaan 😭 Mungu aturehemu
They are just taking memorable photos
Uko sahihi kwa nafasi Yako ila kumbuka Hii video umeweza kuiona kwa sababu Kuna watu walikuwa busy na 📷 kuhakikisha inarecordiwa mwanzo mwisho
Wanachukua TU ukumbusho na kama umeangalia Hadi mwisho Kuna mahali simu hazionekani na simu wako busy kusifu na kuabudu
Nope wanaoruhusiwa Wangetakiwa ni watu wa Media na camera 🎥 tuuu hao wa simu too much
Kweli kabisa!
Imefika mahali sasa simu ndio ingoi na kufurahi kuliko sisi wenyewe... Yaaani ni kila mtu yuko na simu juu badala ya kuenjoy the nice music 😢😢😢 daaah okay
😅😅😅😅wewe ujui bongo matatizo
Enjoy wewe kama wewe ukitoka tu simu ikaibiwa,safari ya kuchomwa valium imeanza kwa stress na sonona
Yani wabongo kwa simu apana jamani 🙌🙌🙌🙌🙌🙌😔😔unatakiwa huwe ndani ya roho sio uwe ndani ya simu 😢😢😢😢
Tell them
It's my prayer that I meet you in personal and talk. I love you so much mom mercy my name sake and inspiration
So people can not be serious in the presence of God because of their phone.. God have mercy 😭
Powerful singing please come to South Africa in Durban
Simu zinajuta kununuliwa,zameni rohoni kama kweli motive ni kusifu na kuabudu
Sasa siku akija BENJAMIN DUBE , ndo Tanzania itahamia uwanjani
God bless you precious beautiful minister God
Mercy wangu
Gosh ! Mercy is gifted
🇿🇦🇿🇦❤️
Kwakwel naona adi aibu.😅😅😅😅 Jamani hizo simu
Watanzania tumemuangusha Mungu busy na simu kuliko kuabudu
Icheki Hadi mwisho utaona 😊 hapo ni mwanzon TU walikuwa wanachukua kumbukumbu then after walikuwa busy na kuabudu
Tusiwe wepes wakuona mabaya kuliko mema
Mungu awabariki kutoa muda wao na fedha zao kwenda kumwabudu Mungu
Imagine asingeenda hata mmoja😊
I tap form your grace mama❤❤❤
Tunajua mko na simu,mziweke kando wakati mungu anhudumia mioyo ya wenye njaa na kiu ya mungu Tania mbaya Sana.
Jamani watanzania mmetuangusha😢simu 😢😢
🔥🔥
They are too much with there phones, so sad
Ministers of God should be giving warning to people not to be snapping them while worship is going on.
Mercy chinwo should have used the opportunity to convey the message to the people so they could concentrate
Jamani Mungu aturehemu ,
Wanachekesha
Ivi mlikuwa anaabudu au mnamchukua mercy 😅😅😅
mama Charis of the Most Hight GOD
Nashindwa ata kucconect in spirit. Ata simalizii hii video, not with those phones.
🔥🔥🔥🇹🇿
Mbona Israel Mbonyi hamja mwalika
Akipata kibali kwa waalikaji atakuja tu
Aisee?
Hivi hatujifunzi kabisa kwemye videos za wenzetu kunapokuwa na kitu kama hiki? Utaona wanabubujika, wanaabudu kweli, wanaomba hadi wananena.
Hatujafanya sawa ndugu zangu, kha?
Instead of lifting hands to the Lord you lifting phones 😢😢😢
Exactly what I noticed. More interest on pictures and videos the essence of the worship
Sasa watanzania mnaabudu au mmekuwa wanahabar stupid
th-cam.com/video/rq92u1de1FA/w-d-xo.htmlfeature=shared
Lazima ucheke tu hapa😂😂😂😂
Ukishare nkunisapot kazi yangu