well organized..thanks..to director..and all members of choir..heavenly voices..good indication ..amiable facial expressionnof smiles filled w Holy Spirit..from.negros mission sequijor..
Walianza mwendo kwenda, wakakwea Hadi Bashani, palipokuwa na mfalme mmoja jitu aitwaye Ogu. Mungu alishaamuru ni sharti wapitie nchi ya Waamori, waweze kutua Kanani. Zaidi ya miaka mia nne Mungu alisihi "Waamori badilika, mrejee mienendo yangu" ila sasa kikombe Cha ghadhabu kilikuwa kimefurika, wafalme wao Ogu na Sihoni wakasita kuwapisha.. Chorus Nani aliye jasiri? Twende tuwapige makonde. Mungu aliwalinda wanaisiraeli katika vita, Waamori wakaangamia kwa kiburi Cha dhambi. 2. Ni mara ngapi wakristo, tumemzuia Mwokozi afanye mapenzi yake mioyoni mwetu sababu ya dhambi? Tusiwe kama Ogu na Sihoni. Yesu abisha malangoni mwetu, ale nasi kwenye karamu. Twapuuza neema ya Mungu wetu tunapoganda katika ulimwengu. Ole wetu sie waoga! Wajasiri wataziasi dhambi na anasa za Dunia, tena watamshinda mwovu shetani, kwa nguvu zake Mwokozi.
well organized..thanks..to director..and all members of choir..heavenly voices..good indication ..amiable facial expressionnof smiles filled w Holy Spirit..from.negros mission sequijor..
Unique message. The composer must be a very studious artist. Well done Fountains
Great song: I love songs with a story from the bible
Wonderful singing, Blessess me alot Continue with the same Spirit We will be in Heaven ,It belóongs to Us
Love 💕 this Song much more God 🙏 Bless you Choir
I love this song so much
AMEN. GOD BLESS YOU THE FOUNTAIN MINISTERS,THE WORLD IS IN WANT OF THIS POWERFUL GOSPEL.
I listen to the song every day, very powerful, it's my favorite
One of my favorites. Keep going Fountain🔥
Waoo what a great song, may the Almighty Lord reward you abundantly
God be with these youths as they praise God with auch beautiful and amazing songs
Amen may the Almighty continue to bless you in this ministry
favorite song. Over and over again
Amen I love the song.God bless you abundantly
@fountainministers Mwenyezi Mungu na awazidishie neema katika kazi hii.
Amen
Am Blessed indeed; God bless you friends"Fountain Ministers"
Amen 🙏🙏🙏
nice item....God bless you.....evance,,,,paula and the rest keep up guys
Amen Que Dieu vous bénisse. DG Dadié depuis la Côte D'Ivoire
One of the best. Keep it up
I love you guys barikiwa sana
love their songs so much
happy sabbath
Nice item really enjoying
God bless
Amen...
Really nice for me in deed ,may the Lord God bless you
I love this song barikiwa sana
Beautiful composed songs!love your music and now wondering one year down and still hoping u keep on your production.
May God pave favours on ua way
check new releases @ Fountain ministers singers. God bless you.
Good composition and soft music may God bless all your ways
Amen and amen
Szivből jönnek az Úr íránti Szeretett ÁMEN .
Amazing
Powerful message in here. God bless you.
Amen be blessed
Amina
Amen
Continue with that spirit I like the song so much
Nice songs
Great song.
Ameeen
Amen,Be blessed
Aminaaa
Blessing song
great song
It's okay brethren
🙏weekend moods
Always proud of you guys, keep it up.
I swear i love ur clothes
Thats the way to be modest
Long upto knee
ameen
Happy Sabbath to u all wanasabato
of the group the I the's the best wth inspiring song. No ya chairman plz
The tittle of the song please I need it in my phone
Muß erst a littie sloa😊.
I am requesting for the lyrics of this song. Thanks.
Walianza mwendo kwenda, wakakwea Hadi Bashani, palipokuwa na mfalme mmoja jitu aitwaye Ogu. Mungu alishaamuru ni sharti wapitie nchi ya Waamori, waweze kutua Kanani. Zaidi ya miaka mia nne Mungu alisihi "Waamori badilika, mrejee mienendo yangu" ila sasa kikombe Cha ghadhabu kilikuwa kimefurika, wafalme wao Ogu na Sihoni wakasita kuwapisha..
Chorus
Nani aliye jasiri? Twende tuwapige makonde. Mungu aliwalinda wanaisiraeli katika vita, Waamori wakaangamia kwa kiburi Cha dhambi.
2. Ni mara ngapi wakristo, tumemzuia Mwokozi afanye mapenzi yake mioyoni mwetu sababu ya dhambi? Tusiwe kama Ogu na Sihoni. Yesu abisha malangoni mwetu, ale nasi kwenye karamu. Twapuuza neema ya Mungu wetu tunapoganda katika ulimwengu. Ole wetu sie waoga! Wajasiri wataziasi dhambi na anasa za Dunia, tena watamshinda mwovu shetani, kwa nguvu zake Mwokozi.
Amen