Nikiwa Kwenye majonzi, Mungu udhihirike kwangu. Hakika ni wimbo utiao faraja na Tumaini jipya. Nainuka, nasonga mbele. Hongereni sana Kwa kazi nzuri, Mungu awabariki kwa uinjikishaji huu.
Mungu awabariki na awe pamoja nanyi katka magumu na Raha na awafungulie njia sahihi paka hatima mungu aliyowapangia.mnapendeza mkiwa Ivo ktk bwana ila binadamu mmmh mungu atawapa njia ya kuwathibit🤝🙏🧎
Hongereni nyimbo mzuri inayoleta tafakari ya kiMungu
Asante
Hongera kwa kazi nzuri mliyoitendea haki katika uwasilishaji
Mdada aliyecheza mwenyewe mda mwingi ❤
MUNGU UDHIHIRIKE MAISHANI MWANGU!, AMINA
Maua kwenu Kmmmm.
Mnasukuma tu gurudumu la gari la Yesu.❤❤❤❤
Wimbo mzurii sana Mungu awabariki
❤Ninakutegemea Wewe tu. Mungu Udhihilike maishani mwangu ❤
Hakika Mungu adhihirike Kwa watu wote❤
Majaribu yakanifundishe kukitegemea wewe, wewe ukawe ni msaada wakati wa Magumu.
Mwl Thom 👏👏👏
KMMMM Bravo familia yangu.
Nikiwa Kwenye majonzi, Mungu udhihirike kwangu. Hakika ni wimbo utiao faraja na Tumaini jipya. Nainuka, nasonga mbele.
Hongereni sana Kwa kazi nzuri, Mungu awabariki kwa uinjikishaji huu.
Mwl Asante Sana!.....
Hongereni sana kwa kazi nzuri Mungu azidi kuwatia Nguvu katika Utume wenu 🤝👏👏
Asante Sana ndugu yetu
Wimbo mzuri sana. Hakika anaeimba anasali mara mbili
Asante Sana Mungu akubariki
MMEUPIGAAA MWINGII MN9OOO MTWARA MBARIKIWE SANA
Asante ndugu yangu
Mbalikiwe sana kwa kazi nzuri
Asante Sana kwa kutuunga mkono
🎉🎉
❤❤❤
Mbarikiwe sanaaaa🤲🏻🤲🏻🤲🏻
Asante
Hongereni kwa kazi wapendwa ,
Mungu awabariki na awe pamoja nanyi katka magumu na Raha na awafungulie njia sahihi paka hatima mungu aliyowapangia.mnapendeza mkiwa Ivo ktk bwana ila binadamu mmmh mungu atawapa njia ya kuwathibit🤝🙏🧎
@@MathewRockman Asante Sana ndugu yetu Methew popote ulipo Tanzania!