Mke kwenye mpira kwanzia mke mme wote hawana Akili kabisa maana kwa mtu anae jua dini kabisa hawezi fanya upumbavu huo kabisa dunia sijui inatupeleka wap
KAMA MASUD KIPANYA ALIMCHUKULIA HATUA ZA KISHERIA MWIJAKU KWA MATAMSHI YA MTANDAONI TU KWANINI ALLY KAMWE ASIJABIDHIWE MKE? MUME WAKE ALIONGEA ZAIDI YA MARA MOJA YANGA IKIPATA MATOKEO YASIYOKUWA NA PENALTY MWIJAKU AMKABIDHI ALLY KAMWE MKE WAO SI WALITANGAZA UBAYA UBWELA
Ubaya ubwela umemponza toa mke huyoo akaolewe Nakamwe mpaka Ali kamwe Ampe talaka alafu akae Heda Baada ya hapo ndo mwijaku atakua Na uwezo wa kumuoa Tena mkewe Kudadadeki
Sisi yangaa atunaga jambo dogo, atupe mke wetu 🎉🎉🎉🎉 nawala atupimwi,💚💚💛💛💛💛💛
Mwijakuuu alihisi anatania wanasimba wenzakee ngoja aone yanga vile hatunaga utani
Hahaha 😂😂😂 kama mazur
Mwijaku ameyatimba😂
Wako sahihi ko hiyo ni kubeti kamwe apewe mke
Mwijaku ndio akome kuropoka ovyo
huku magoma kakanyaga kuti bovu, huku mwijaku kayatimba, kule makolo wameliwa... Huu mwaka mtateseka bila kupumzika😅
Wananchiiiiii wapo serious au utani tu
Serious kbx
Ndio shida ya kutojitambua, suala la ndoa sio la mzaha, kisheria Mwijaku ni kama alimtaliki mke wake, maana katamka, na ndoa ni matamshi.
Mke kwenye mpira kwanzia mke mme wote hawana Akili kabisa maana kwa mtu anae jua dini kabisa hawezi fanya upumbavu huo kabisa dunia sijui inatupeleka wap
Kabisaa yaan
Utani mbaya jamani, tuwe na kikomo na vinywa vyetu, Ali hana kosa aende akabidhiwe mke, ndipo watu watajifunza, mke sio mchezo.
Seam mama manje
Mhakikishe polisi wanatangulia, mtaenda kufunguliwa mbwa huko
Kachuwe kaka mjane maana sisi tumezika jana
😂😂😂😂 Dah dadek
Kaka mwijaku kwanza kakosa na sio kukosa na pia hana we mkeo wa ndoa ukamlinganishe na thamani ya goli?kweli akapimwe kuna shida mahali
Hakunaga utani kwenye ndoa, atoe mke huyo 😂
Yanga bwana mpaka lahaaaaaa
Iwe fundisho kwa waropokaji wote wenye tabia kma za Mwijaku
Haya ndio mambo yanayotupa raha. Halafu majina yanafanana. Utani umenoga huo.
Eeeeh ivi watu wako serious 😂😂😂
Nchiii hiii jmn😅
Ushauri wa Bure kabla hujaongea fikiri kwanza ndioo uzungumze mwijaku mdomo umekuponza
Kweli,,ubayaubwela. Mwisho wa ubaya aibu
duuu kumbe ni inshu silisasi 😅😅🤣
Jiji Lima mambo na vijambo
Ali uyo mke wa mwijaku ushidilie vipasavio
Kwanza akatoe mahari
Kuna mke gani ataruhusu huu upuuzi
😂😂😂kama namuona Mwijaku na mimacho yake
Kweli Aly kamwe hajielewi na mashabiki wa vyura wote
Mishabiki ya simba ndio haijielewi mbumbu una wekaje mke kwenye mambo ya mpira kama sio udunduka ndio maana rage aliwaita mbumbumbu
Umalaya tyuuu kuoa haaaa
Atoe mke uyo axilete uxenge
Mwijaku yakayakanyaga hhhhh
Hhaaaaaahaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣
Hatunaga jambo dogo
Hahahah😅
😅😅😅
KAMA MASUD KIPANYA ALIMCHUKULIA HATUA ZA KISHERIA MWIJAKU KWA MATAMSHI YA MTANDAONI TU KWANINI ALLY KAMWE ASIJABIDHIWE MKE? MUME WAKE ALIONGEA ZAIDI YA MARA MOJA YANGA IKIPATA MATOKEO YASIYOKUWA NA PENALTY MWIJAKU AMKABIDHI ALLY KAMWE MKE WAO SI WALITANGAZA UBAYA UBWELA
😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
😂😂😂😂
Tunataka jiko letu
Watu mnapoteza muda kwa mambo ya kijinga..
ndyo yanayo furahisha mambo yako ya msingi kaa na familia yako myajadiri
Unateseka kwani
@cryptoboy-5 😂😂😂😂
Ubaya ubwela umemponza toa mke huyoo akaolewe Nakamwe mpaka Ali kamwe Ampe talaka alafu akae Heda
Baada ya hapo ndo mwijaku atakua Na uwezo wa kumuoa Tena mkewe
Kudadadeki
Kwanini nawewe unafwatilia mambo ya kijinga🤗🤗🤗🤗🤗🤗😊
🤣🤣🤣🤣🤣