Fungua Akaunti ya Uwekezaji ya Faida Fund na kuanza kuwekeza

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 พ.ย. 2022

ความคิดเห็น • 10

  • @Musaibrahimu
    @Musaibrahimu 10 หลายเดือนก่อน

    Sasa Vipande Ni Ni nini?
    Maana Nilitaka Kujua Vipande Ni Kitu gani?
    Na Hii pesa naweka au?

  • @mossesisaya1866
    @mossesisaya1866 ปีที่แล้ว +2

    Ina uhusiano gani ya UTT AMIS kwenye Account, Au huu ni mfumo mwingine tofauti kabisa...?

    • @ElimikaMtandaoni
      @ElimikaMtandaoni  ปีที่แล้ว

      Hii ni investment Ingine iko chini ya watumishi housing lakini inafanya kazi kama inavyofanya UTT AMIS . Kwa hivyo ni mfumo mwingine sio ule wa UTT AMIS

  • @amanicostantine6462
    @amanicostantine6462 ปีที่แล้ว +1

    Iko poa sana bingo

  • @lulukiyuzi2247
    @lulukiyuzi2247 ปีที่แล้ว +1

    Kufungua na kujiunga ni rahisi lakin Sasa kabambe n pale unapotaka kuitoa hio ela ....
    Hembu mtoe na utaratibu wa mtu akitaka kuuza vipande vyake mseme kabisa na vitu vinavyohitajika Ili uweze kufanya muamala maana😢😢 mmgh

    • @ElimikaMtandaoni
      @ElimikaMtandaoni  ปีที่แล้ว

      Mbona hakuna shida,yoyote mauzo ya vipande ni siku tatu za kazi,ukapata hela yako. Umepata shida gani tafadhali?

    • @lulukiyuzi2247
      @lulukiyuzi2247 ปีที่แล้ว

      Nilienda upande wa kuuza vipande wanaomba chet Cha kuzaliwa no ya nida I'd no sijajua n I'd gan wanataka na vingine sikumbuki vizur inshort nilishindwa kuuza vipande

    • @ElimikaMtandaoni
      @ElimikaMtandaoni  ปีที่แล้ว

      Ina maana ulikuwa haujakamilisha usajili kwenye mfumo?Pole sana,ulipaswa ukamilishe usajili

    • @user-fc7wz9ww2g
      @user-fc7wz9ww2g ปีที่แล้ว

      @@lulukiyuzi2247 mbona hamtoi hela inapatikana vp