EXCLUSIVE: MPENJA, MZINGA, HINJO WASHINDANA KUTANGAZA MPIRA/WAZICHAMBUA MAMELODI/AL AHLY/NOMA SANA!
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2024
- Mtangazaji Mwandamizi wa soka nchini, Baraka Adson Lamsi Mpenja, maarufu Mwamba wa Umalila, Fahari ya Itete, Sauti ya Radi, amekutana na kufanya Mazungumzo maalumu na Watangazaji vinara wa kandanda kutoka Azam Media LTD, Gharib Mzinga na Ayubu Hinjo.
Wamezichambua mechi za robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Machi 29, Simba vs Al Ahly na Machi 30, Yanga vs Mamelodi Sundowns.
Nawapenda nyote watangazaji wetu ❤nikiwa mwananchi ❤mashallah
Bro mzinga hua nakukubari kinoma Yan uko vizuri
Mpenja umekomaa umepevuka ni zaid ya watangazaji sana ww ni comenteter haswa wanapaswa kharbu hinjo wajifunze kwako big up sana brother
Daah imekaa poaa sana mpenja upo sawa sana..ukimuweka nazeret upete hapo duuh nihatari sana❤ very super
James samweli ndio anapokea vizuri
gharub mzinga ndio noma sana mpka mpenja mwenyewe ana tabasamu
Baraka Mpenja × James Samwel🔥
Gharib mzinga × Ayoub Hinjo🔥
much respect sana kwenu brothers mmenikosha sana na talented yenu i wishes iyo siku itimie nyinyi wote muwepo mtupe icho kipindi simba vc al ilal yang vc mamelod
Nimeipenda hii mashabiki ndo wanapiga kelele ila watu wanaishi fair sana
Mpenja umefanya kitu kizuri kuwakutanisha hao brothers wa azamu but Kuna kiumbe kingine kipo TBC ( UPETE) mkalibisheni kwenye hio track muwe four brothers pia na yeye anajua kama nyie mnavyo jua 🙏
Upete no mtangazaji mzuri sana ila anasifa na ushabiki ndani yake
🎉
Hii Kali sana
Upete anaujua mpira aisee. Yupo vizuri
Upete ni shabiki wa al ahly
ila anajua kinyama 😊
Watangazaji boraaaa wamekutana,,,yaan nlikua naona tyr TV mechi live,,hizo mechi muwepo wote plz
Mko vizuri
Mpenja yuko very positive, unaonyesha ukomavu...
❤❤❤ mxinga nakukubali sana mpenja hjo wote 3 mpo vzur ❤❤❤
Daaa kumbe huyo ndoayubu sauti yake namuonekano wake tofauti anajua sana nampenda pia
Mpenja intro 🔥, mzinga kwa takwimu na history ni 🔥 hinjo kwa sauti ya mamlaka ni 🔥
😂😂😂 Adi raha tunajivunia uwepo wenu Azam tv
umemsahau pia james samweli, hapo mambo yanakua🔥🔥
We mpenja utasababisha watu tuzimie ila nimekupenda sana ❤❤❤❤❤❤❤
Waoooo wallah nimefurai wote mnajua nawote nawapenda
Huu niupendo wa thati hongera sana kaka mpenja mushikamane kwa upendo usije tengana kwa maneno ya haji manara tunawapenda wote sisi mashabiki utangazaji wenu hakika tuna enjoy sanaa❤❤❤
Baraka mpenja nomaaa sana akiwa na James samweli
Much love to you all
hongeran sana mbalikiwe sana
This is incredible 😅😅😅😅😅 nimeona km tyr Nipo live thanks guys 😅
Mungu awape maisha marefu watangazaji wetu nawakubali kazi zenu ❤❤❤❤
Mwamba wa UMALILA ume cheza na fursa. 🙌🙌 Safi sana
Nawapenda sana sana Mungu awajalie afya njema na awainue kwenye kipaji chenu
Ndio Jemsi Samweli yule kaka ni zaidi ya fundi akiwa msaidizi wa Baraka mpenja na mpaka Kuna muda tunaangalia mechi za zamani kwasababu ya utangazaji wa Mungu ambariki Jemsi huko alipo
Nawakibali sana watangazaji wangu mnanipa furaha Kila nikisikiliza sauti zenu zinanipa furaha sana sana sana sana sana
Mwamba wa malilaaa uko byeee
Safiiii Sanaa broo naona Kama mpira umeysha.
Saut ya raaaaaa💥💥💥
Good combination
Daaaah ❤❤❤❤❤ nifuhaa sana kuona mnachagiza kuelekea michezo mikubwa kama hiii na joto liko juuu sana
Barack Mpenja, Gharibu Mzinga, Ayubu Hinjo, Ramadhan Ngoda na Nazareth Upete ni Commentators bora sana Tanzania kwa sasa❤❤❤
Gharib weeee Gharib nakuita mara 3 umetishaaa my brother 🔥🔥💚💛💛
Big up our football commentators
Hongera sana MPENJA
Nawapenda Sana watangazaji Bora sanaa 🎉🎉🎉🎉
Gharub ww no hatari mnafanya vema wote hongera mpenja kwa kuwa na watangazaji wezako oficni
What a combination my broda mpenja
Safi sana ma brooo
Mzingaa🎉🎉🎉🎉🎉
Unyama kabisa nimeipenda hiyo ❤❤
Mpenja umetuvuta sana always mko vinzuri sana 💪💪
Superb❤
❤❤ nakubali Santa
Mnajua mnajua na mnajua tenaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤
Upete ni jitu
Hongereni Mungu atuweke tuone
Nawakubali sana mpenja umetisha ntakupa anti
Kubababake nyieeeeee nomaaaaaaa napenda kazi yenuuuuu
Sio utani mpenja Mimi wewe ndio ulinifanya nianze kushabikia mpira ,,lakini hapo mmekutana mpaka mnanitoa machozi ya furaha duu,,,mungu awatie nguvu Sana na awasimamie sanaaaaaaa😂❤❤❤❤❤
Hongera sana kaka Kaz nzur
Wote nawakubali ila wakiniambia nipange mimi naanza na Mzinga.
Pasiwe mtu ataguza comment yangu😅
Asee hata Mimi pia napenda anavyotangaza
baraka baraka mm naomba sana hii mechi ya yanga atangaze mzinga
Kwan baraka ndo anapanga
Yuko wapi yames samwel hyo pia anakombination mzuriii Sana na mpenja Aki mnanifurahisha Sana yaan mnamaji ya kutosha kwelikweli
aa nilikua najuaga huyu minga bongo la mtu nene sana kuokana na sauti take barikiwa sana mtu wa mungu
watangazaji, ote mnaweza
mpenja💥💥
ongereni san watangazaji wetu
Nawakubali sana
Hii imeendaa wazeee😊😊😊😊
wote mko vizur Sanaa ila kwa upande wangu MPENJA nakukubari mno
ASie Mungu awalinde sana!
Waalike Nazareth Upete na Ramadhan Ngoda. Ni wakali wa matangazo ya Mpira
Hii nzuli sana nimeipend
Nikiwa mwana simba kwa kweli nawakubali sana
Combination ya baraka mpenja na james samwel🧠
Kabisa yaani
Yani Hawa Jamaa Nawakibari Sana..tena Sana....kila mtu mtu Anasauti yake na Unatamani Uwasikilize...Allah Awajalie kila la kheri In sha Allah.
Mzingaaa🙌🏻🙌🏻
hinjo na mzinga ni watangazaji wa kisasa mno daah kongore sanaa
Nimecheka Sana daa hadi raha
Mmetisha sana
Mnapiga kazi kisawa sawa
Ni kipindi bora xna wapambanaji wangu unite and solidarity together ❤️
Mpo vizuri tunawapenda kil mtu ana sauti yake nzur
Kiukwel Azam wanapaswa kujivunia vijana hawa mnafanya kaz nzur nawaombea kwa Mungu awape maisha marefu mnatoa burudan nZur na mzee baresa waongezee mshahara vijana hawa wanafanya kaz kubwa sana kwenye michezo
Mzinga kiboko kweli kweli!!
🎉🎉🎉
Mnajua mpk mnajua ten mnakera banaaaaa😂😂😂😂😂😂 mungu awaweke miak mingi❤❤❤❤❤
Hapo mambo nmazuli sana msalimie,hinjo
Mumetisha sana wakuu,congole kwenu
Naomba mechi ya yanga namasandawana watangaze gharibu na hinjo kiukweli nafuluhiaga sana
😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥💚💛🇹🇿jmn toka nizaliwe kumbe atujawai kutana hadi nikapata mtoto ndo tutashuhudia mechi eeh mwenyezi Mungu tusaidie tuweze pata ushindi mbele ya mamelod 🤲🤲🤲
Gharib mzinga Vs Ayoub hinjo alafu Baraka mpemba Vs James samwel hawa watu wanakuwaga 'na vibe sana wa kukutana pacha kama hivyo
Mpenja ndo mwanzilishi wa aina hii ya utangazaji..vionjo vingi, halafu hana maringo.. naona yule mfitini haji manara akinuna.
Kazi nzuri San lkn amekosekana upete tu
Kwa mala yakwanza namuona honjo😮
Wote mpo vizur mashaallah
Nawapendea mpira mnatangaza kwa history yake ndio vitu nataka😊
ila mpenja na james samwel mnauwa sana brother
Da! Kama wangekuwepo wote Hawa ilikuwa Safi sana aise
Mzinga nakukubali sama
Jamani mm ninawapenda sana my
Kaka mpenja uko vzr san nakuomba ongeza maic itapendaza zaid
Namkubali zaidi mzinga ana vitu vingi
Mumetisha sana
Mmefunikana ile mbaya
Katika mechi izo tunaomba azam tv James samuel japo game mmoja ashirikishwe
Wakwanza nipeni like zangu
Shikamoo watangazaji
Mzinga unatisha mwamba
ASE mmetisha