RAISI WA KENYA APEWA ONYO KALI APAMBANE NA HALI YAKE ACHANA NA CONGO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ม.ค. 2025

ความคิดเห็น • 23

  • @Fatima-v9k6f
    @Fatima-v9k6f 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +7

    From 🇧🇮😂😂iyo ni kweli mana yake yamemu shida uko na raia wake 😅kwa nini ya congo anataka kuyajuwa😂

    • @kgchippy
      @kgchippy  2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Agange ya kwake mwanzo kulkokua na uovu😢

  • @Josaphine-o2w
    @Josaphine-o2w 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Kg ruto awesi bandirika au kukomesha utekajinyara hiletu mungu amunguze ama hamubandirise ndio Kenya hiwe na hamani , Kenya hiki pbandirka vinzuri ndio ata kiongozi atakanye kuwepo atasema kitu kwa nchi zingine simusikize but kwa saa hii ciz

  • @ZawadiKalume-zb6lb
    @ZawadiKalume-zb6lb 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +5

    So sad kenya damu zamwangika kila kuchao kwa hawa watu waserekalini wamwkuwa free mason sai jamani

    • @kgchippy
      @kgchippy  2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Ukisema sana Subaru yakuhusu😢😢

    • @DavidCurtis-e4c
      @DavidCurtis-e4c ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@kgchippyshortly Raisi hawezi kukemea sababu hata kama amri haitoki kwake basi wanaofanya hivyo wanajipendekeza wapate vyeo vya juu zaidi kwa kuwateka watu wasio na hatia, kama raisi anaweza piga just one call na mtu akaachiwa maana ni kweli watekaji wanajulikana, alipaswa kutumia Lugha hii utekaji uisje mara moja na ukiendelea askari wa usalama wa sehemu alipotekwa mtu atawajibika halafu tuone kama utekaji utakuwepo tena. Hii hali ikiachwa hivyo itakuwa ni mazoea, pili ifike wakati wananchi wasiwe wanashangaa mtu akitekwa wachome tu gari husika wakifanya hivyo mara mbili tu basi watashika adabu, tz siku hizi wanachoma magari wasiyoyaelewa.😂

  • @AnastasiaMutinda-z9p
    @AnastasiaMutinda-z9p ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Akae kwake

  • @MitchellErmina
    @MitchellErmina 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Nikweli awachane na congo kabisa wamepeleka wanajeshi wa jumia ya Africa congo na amani haijawahi patakana wacha m23 ipambane

  • @nassorali1034
    @nassorali1034 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Htr tupendane waafrica jmani tusiwape vicheko maadui

  • @MitchellErmina
    @MitchellErmina 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Tunakataa maleanders maana hawo ndio sasababu wanaichi tunateseka wacha congo ipate amani na m23

  • @mohamedmanga8391
    @mohamedmanga8391 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Mimi naona muturi ni mnafiki alikuwa spika na akachangia pakubwa hali hii ilioko.

    • @kgchippy
      @kgchippy  4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Bt this time round we need to support he’s agenda juu msee bado yuko kwa serekali na ywapinga visanga vinavyofanywa na boss(Ruto) wake

  • @simbachui2281
    @simbachui2281 6 นาทีที่ผ่านมา

    NDUGU ZANGU HUYU RUTO NI KIBARAKA WA WAZUNGU,,,PERIOD,

  • @asminmakoha6889
    @asminmakoha6889 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Sasa zakayo yakwake ilimshinda sasa hiyo ndio atawezana atangulie kwanza yakwake

  • @SelemaniMndai-ox8dy
    @SelemaniMndai-ox8dy 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Kunamkenya kachinja watoto apa Oman reo hii taree 30-1-2025 .na katoroka anatafutwa

    • @kgchippy
      @kgchippy  3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Whaaat😢😢😢

    • @SelemaniMndai-ox8dy
      @SelemaniMndai-ox8dy 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

      @kgchippy Ndio Nina picha na voice ya mkaka mkenya na imetumwa kwa group Mimi nimetumiwa nipo Oman

    • @kgchippy
      @kgchippy  2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@SelemaniMndai-ox8dyebu ntafte kWa Facebook KGCHIPANDE

    • @QaisqaisQais-s2z
      @QaisqaisQais-s2z ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Uuiiiiiiiwiiiiii oooh my God

  • @RoselnyEstua-bj9ri
    @RoselnyEstua-bj9ri 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Jameni mutoto wamwenzako niwako tuko na hujungu kupitesa watoto wetu kwa hali hi

    • @kgchippy
      @kgchippy  4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Wallah ukiwa mzazi ndio waeza elewa ule uchungu vijana wakiuliwa kiholela Kenya na raisi ajifanya haoni aenda eka mikutano yakutafta amani nchi jirani😢

  • @lucymacharia4134
    @lucymacharia4134 44 นาทีที่ผ่านมา

    Kenya imemshida kuuleta amani inchi za wenyewe anaenda kusema nin useless president

  • @DavidOchiengMatoro
    @DavidOchiengMatoro 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Wacha upuzi