Kg ruto awesi bandirika au kukomesha utekajinyara hiletu mungu amunguze ama hamubandirise ndio Kenya hiwe na hamani , Kenya hiki pbandirka vinzuri ndio ata kiongozi atakanye kuwepo atasema kitu kwa nchi zingine simusikize but kwa saa hii ciz
@@kgchippyshortly Raisi hawezi kukemea sababu hata kama amri haitoki kwake basi wanaofanya hivyo wanajipendekeza wapate vyeo vya juu zaidi kwa kuwateka watu wasio na hatia, kama raisi anaweza piga just one call na mtu akaachiwa maana ni kweli watekaji wanajulikana, alipaswa kutumia Lugha hii utekaji uisje mara moja na ukiendelea askari wa usalama wa sehemu alipotekwa mtu atawajibika halafu tuone kama utekaji utakuwepo tena. Hii hali ikiachwa hivyo itakuwa ni mazoea, pili ifike wakati wananchi wasiwe wanashangaa mtu akitekwa wachome tu gari husika wakifanya hivyo mara mbili tu basi watashika adabu, tz siku hizi wanachoma magari wasiyoyaelewa.😂
Wallah ukiwa mzazi ndio waeza elewa ule uchungu vijana wakiuliwa kiholela Kenya na raisi ajifanya haoni aenda eka mikutano yakutafta amani nchi jirani😢
From 🇧🇮😂😂iyo ni kweli mana yake yamemu shida uko na raia wake 😅kwa nini ya congo anataka kuyajuwa😂
Agange ya kwake mwanzo kulkokua na uovu😢
Kg ruto awesi bandirika au kukomesha utekajinyara hiletu mungu amunguze ama hamubandirise ndio Kenya hiwe na hamani , Kenya hiki pbandirka vinzuri ndio ata kiongozi atakanye kuwepo atasema kitu kwa nchi zingine simusikize but kwa saa hii ciz
So sad kenya damu zamwangika kila kuchao kwa hawa watu waserekalini wamwkuwa free mason sai jamani
Ukisema sana Subaru yakuhusu😢😢
@@kgchippyshortly Raisi hawezi kukemea sababu hata kama amri haitoki kwake basi wanaofanya hivyo wanajipendekeza wapate vyeo vya juu zaidi kwa kuwateka watu wasio na hatia, kama raisi anaweza piga just one call na mtu akaachiwa maana ni kweli watekaji wanajulikana, alipaswa kutumia Lugha hii utekaji uisje mara moja na ukiendelea askari wa usalama wa sehemu alipotekwa mtu atawajibika halafu tuone kama utekaji utakuwepo tena. Hii hali ikiachwa hivyo itakuwa ni mazoea, pili ifike wakati wananchi wasiwe wanashangaa mtu akitekwa wachome tu gari husika wakifanya hivyo mara mbili tu basi watashika adabu, tz siku hizi wanachoma magari wasiyoyaelewa.😂
Akae kwake
Nikweli awachane na congo kabisa wamepeleka wanajeshi wa jumia ya Africa congo na amani haijawahi patakana wacha m23 ipambane
Htr tupendane waafrica jmani tusiwape vicheko maadui
Tunakataa maleanders maana hawo ndio sasababu wanaichi tunateseka wacha congo ipate amani na m23
Mimi naona muturi ni mnafiki alikuwa spika na akachangia pakubwa hali hii ilioko.
Bt this time round we need to support he’s agenda juu msee bado yuko kwa serekali na ywapinga visanga vinavyofanywa na boss(Ruto) wake
NDUGU ZANGU HUYU RUTO NI KIBARAKA WA WAZUNGU,,,PERIOD,
Sasa zakayo yakwake ilimshinda sasa hiyo ndio atawezana atangulie kwanza yakwake
Kunamkenya kachinja watoto apa Oman reo hii taree 30-1-2025 .na katoroka anatafutwa
Whaaat😢😢😢
@kgchippy Ndio Nina picha na voice ya mkaka mkenya na imetumwa kwa group Mimi nimetumiwa nipo Oman
@@SelemaniMndai-ox8dyebu ntafte kWa Facebook KGCHIPANDE
Uuiiiiiiiwiiiiii oooh my God
Jameni mutoto wamwenzako niwako tuko na hujungu kupitesa watoto wetu kwa hali hi
Wallah ukiwa mzazi ndio waeza elewa ule uchungu vijana wakiuliwa kiholela Kenya na raisi ajifanya haoni aenda eka mikutano yakutafta amani nchi jirani😢
Kenya imemshida kuuleta amani inchi za wenyewe anaenda kusema nin useless president
Wacha upuzi