Na hii ndio injili ya kristo ya kweli mungu Naomba umponye mama yangu uinue uchumi wa family yangu uwasaidie watoto wangu ktk elimu zao nione wakipata kazi nzuri ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Napokea nikiwa mombasa,nami pia mtuzi naomba utawale maisha yangu siku xote popote natembea pia family yangu ipate nyota ya kufanikiwa shuleni ndoto mbaya spiritual woman iniachilie na umasikini iishe kwangu na watoto wangu wafunguliwe wapate nyota ya kufanikiwa shuleni ndoto mbaya spiritual woman iniachilie na umasikini iishe kwangu na naomba ukae ndani yangu baba,
Achilia neema na kibali juu ya maisha yangu, baraka ,rehema na fadhili zako zitue juu yangu, niponye kifua,mifupa,tumbo ,sehemu zote za maisha yangu in Jesus's name
Ee mwenyezi MUNGU unapo wagusa wengine uniguse na Mimi nahitaji kupokea baraka zangu Kwa Imani nimeinyosha mikono yangu Kwa ishara ya kusalenda mbele zako BWANA unikumbuke.
Pastor nikiona biashara zangu zinaendelea vizuri nitakuwa kila mwezi natoa shukruni alafu pia unikumbuke nipate nyota yangu ,nikona mtoi moja bwanangu ako job coast utuombee mimi na bwanangu boma yangu iwe na furaha , mapenzi ,amani ...dowry ipelekwe mpaka majirani wamsifu mungu ....ya mwisho babangu alinichukia mahali ako anipende nipate kibali kwake na anipe baraka since he is only my parent alive .
Na hii ndio injili ya kristo ya kweli mungu Naomba umponye mama yangu uinue uchumi wa family yangu uwasaidie watoto wangu ktk elimu zao nione wakipata kazi nzuri ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Naomba MUNGU anifanikishe katika matamanio yote ya MOYO wangu yaliyoyahaki mbele za YESU!!AMINA!
Hata Mimi sitski kionea haya injili yà Yesu. Amina.
Pastor pray for mbithe to pass her nursing exam 😊
Yesu.naomba uponyaji wa ndoa za watoto wangu kupitia haya madhabahu haya waoleke ndoa za heshima kwa jina la yesu kristo
Amen sitaionea haya injili ya Bwana hata maadui wanicheke niko na Yesu ❤❤
Napokea nikiwa mombasa,nami pia mtuzi naomba utawale maisha yangu siku xote popote natembea pia family yangu ipate nyota ya kufanikiwa shuleni ndoto mbaya spiritual woman iniachilie na umasikini iishe kwangu na watoto wangu wafunguliwe wapate nyota ya kufanikiwa shuleni ndoto mbaya spiritual woman iniachilie na umasikini iishe kwangu na naomba ukae ndani yangu baba,
Napokea hiyo baraka.amen
Amin sana mtumishi wa MUNGU akubariki sana mtumishi
Amen Amen naomba nyota yangu ya ndoa ya uchumi ujenzi mtaji irudishwe Kwa mamlaka ya jina la yesu
Pastor you really touch my heart may the Almighty God add you more years of your life Amen
AMEN. Ninaomba Nyota yangu iregeshwe
Mungu Ezekiel naomba uniguse na Mimi bless me God remember me Lord I will follow you always Mungu wangu
Ukiomba jipatanishe na madhabau yake mara Saba,,,utapokea nguvu Kila wakati ukiomba.
Achilia neema na kibali juu ya maisha yangu, baraka ,rehema na fadhili zako zitue juu yangu, niponye kifua,mifupa,tumbo ,sehemu zote za maisha yangu in Jesus's name
Pastor uniombee kwa ndoa yangu iwe na Amani na familia yangu nipate baraka mungu wangu anijalie furaha kwa maishani mwangu milele
Naomba nyota yangu ingaee katika jina la yesu amen
Mm pastor Ezekiel naomba Nyota ya ndoa
Naomba nyota ya ndoa na nipate biashara,,.
Napokea nikiwa 🇳🇦 Namibia.Bwana yesu nakushukuru kw uponyaji wa mgogo .Asante yesu.
Amen
Naomba nyota ya masomo kwa watoto wangu wafunguliwe ktk jina la yesu
Mungu naomba nami unikumbuke kwa huruma zako....amen.
Amen 🙏 🙏 🙏, Mungu nakuomba uniponye na mm hizi magonjwa ninazo zipitia in Jesus name AMEN 🙏 🙌
Amen mungu nilinde na ulinde familia yangu na unilinde apa kazini
Paster na Mimi mungu ataniponya in the might name of Jesus
Pray for me pastor to get star of success
Mungu naomba family yangu ikombolewe katika madhabahu haya umaskini utowekee kwetu na tufanikiwe kwa kila jambo katika jina la Yesu kristo
Ndoto mbaya ondoka kwangu leo leo kwa jina la Yesu Kristu mnazareth mungu aliye hai ❤❤❤❤❤❤❤
Rita amen amen God bless you amen pastor Sarah amen amen God bless you amen pastor
Leokadia A pasta kalibu Tanzania kwetu naomba mungu aikumbuke tz familia yangu mungu Atutokee Amen
Ndoa yangu ipone Leo na ifunguliwe leo katika jina la yesu amen
Ee mwenyezi MUNGU unapo wagusa wengine uniguse na Mimi nahitaji kupokea baraka zangu Kwa Imani nimeinyosha mikono yangu Kwa ishara ya kusalenda mbele zako BWANA unikumbuke.
😅😊😊
MUNGU akinijaria uhai nitakuja kukuona Kenya ❤
Ee baba mungu wa pasta Ezekiel najua baraka zako ni zakweli..Nahitaji ndoa, na utajiri wako. Amina.
Amen Amen, ehee mwenyezi mungu unapobariki watu wako NAMI unibariki, usinipite mokozi
Amen nahitaji nyota ya Yesu kristu mnazareth mungu aliye hai ❤
Mungu niwezeshe nifanikishe mambo yangu mungu fungua njia zangu
Naomba kupitia hii crusade nyota yangu ingaeee kungaa in mighty GOD AMEN AMEN AMEN 🇰🇪🇸🇦
Pastor nikiona biashara zangu zinaendelea vizuri nitakuwa kila mwezi natoa shukruni alafu pia unikumbuke nipate nyota yangu ,nikona mtoi moja bwanangu ako job coast utuombee mimi na bwanangu boma yangu iwe na furaha , mapenzi ,amani ...dowry ipelekwe mpaka majirani wamsifu mungu ....ya mwisho babangu alinichukia mahali ako anipende nipate kibali kwake na anipe baraka since he is only my parent alive .
Mtumishi wa Mungu naomba uniombee na mume wangu na uzao wetu
Naomba Mungu anipiganie anipe uhai Na nyumba yangu awachilie pesa nimengojea for more than 6years
Naomba Mungu anipiganie katika katika kubadili maisha yangu, anipiganie katika kazi yangu
Mungu naomba Nyota ya kazi na ya maisha marefu na afya nzuri leo
Hakika sitamwonea haya Yesu wangu, napokea Nyota ya Yesu watoto wangu mume wangu,wazazi wangu na jamii,tuwe huru Adui ashuke chini .
Amina nabarikiwa sana na mafundisho yako Mtumishi wa MUNGU
Eee mungu unapowagusa wengine kwenye ibaada hii nami uniguse Amen
Pst.mungu aendeleekukupa nguvu watu wafunguliwe.Unayaweza kwayule akupayenguvu.
Naomba kupitia kwa hio madhabahu nirejeshewe nyota yangu ya kupata kazi kubwa kubwa kwa jina la Yesu,
Ameeeeeeen.magonjwa yanauo nitesa kwa mwili wanhu yapone leeeeeeeo in Jesus's name
Baba ezekiel niombee nitokekwenye ufukala Sina uwezo wa kufika kwenye mkutano wako amina
May the lord always reveals true friends in you pastor
Naomba nyota ya masomo yangu ee yesu naomba nifaulu vinzuri mthiani yangu nakufanikiwa kupata 1
Maisha yangu n ngumu naomba maombi Nyota ya ndoa pastor.bwana yangu Arudi nyumbani
Amen past pia naomba nimetawalwa na pombe naomba unikubuke niashe pombe
Family yangu ikombolewe ee yesu ktk madhabahu haya umaskini ututoke kwetu kwa Family yangu na kufanikiwa
Pastor Ezekiel ,mungu hakuongezee miaka mingi na Mimi nipalikiwe kama wewe.
Amen mungu wa mbinguni aniponye mm na familiya yangu
Mungu nisaidie nifanikiwe mambo yangu ya academics na kazi
Amen napokea upako na miujiza Kwa jina la yesu
Amen Wacha injili ya Mungu iendelea
Oh yes,, pastor Ezekiel you're so amazing
Mungu nisaidie niashe pombe
Mungu tisaindiya kweri kwa pombe
Pombe inasumbuwa kweri inati filisi
Ee yesu wangu nikombo pia nami nipe nyota ya watoto wangu
Thnk u postor, may the Almighty God protect u , am Benard from Awasi.
Amen pastor nakufatilia sana 🙏 🙌
Ee Mungu naomba nipate mume Amen
Pastor mm mungu amenitoa mbali natamani nimtumikie km Asante yangu niombee nipate Kibali chake
Amen Uniombee pastor mi la pia nyota yangu ilijukuliwa, ya watoto, babayao pia pliz omba sirudi
Yesu hakai kwa kipochi. Tembea kifua wazi TUU. AMEN.
New life imenipatilisha maisha yangu kupitia tu kwa runinga kaniza la bwana liinuliwe juu zaidi
Amen ,nikulinganishe na nini bwana , nikufananishe na nani Jehovah.wewe ni mungu wa ibrahimu
Sitaionea haya Injili ya Bwana Yesu
Nakungojea Arusha Pastor
Ni lini na wapi
Amen talaka pia iniondokee kupitia Kwa huyo Dada
Naomba nyota yangu ingae katika jina la yesu
Ee Mungu usinipite katika haya maombi unibariki
Wonderful, praise God,
Naomba pastor anirejeshee nyota ya
ndoa yangu
Amina hakika sitawahi ionea Aya njili ya baba
Barikiwa Sana mutu wa MUNGU karibu Sana Tanzania
Bwana yesu asifiwe tunabarikiwa
Yesu usaha iishe kwa kizazi xaa iii 2 nakuomba Mungu wangu
Ameeeeeeen 🔥 i receive it in the name of Jesus pophert is not my potion
Napokea leo nyota yangu amen
Mungu nakuomba nikumbuke kwenye afya ya Mume wangu
Ee Mungu sikia maombi yangu unipe pesa niweze kujenga nyumba yangu
Heri mtu ajisifu kwamba anamjua Mungu...hapa ni salama.barikiwa!
Baba na mimi unikumbuke pamonja na familia yangu yote na mtoto wa kaka yangu christ vie Yezeze.
🙏🙏Asante daddy kuringia bibilia 🤗🤗🤗🤗
Ameen nifunguliwe Leo kwa jina la yesu
Nikiwa Nairobi Kenya nawapata vilivyo,injili unasonga mbele sana🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Ee mungu naomba niguse na mm kwenye ibada ii naomba naomba kufungriwa
Amina 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Pray for Sophia's family to have good health body,mind soul and blood
Magonjwa yote kwa mdogo wangu kupitia madhabahu haya autiiii akienda kupima akute damu Safi yesu safisha kila kitu kwake
Amina🙏🙏🙏🙏
Naomba MUNGU amtetee mwanagu katika masomo take kidato cha pili.
Ameeni baba 🥰🥰🙏🏽🙏🏽
I want my master to lift me up so that I can worship him in truth
More grace servant of God
Mungu unikumbuka hii mwaka jehovah timiza mipango yngu mungu wangu
Amen Mungu wangu sitakuonea haya nkikumbuka umbali umenitoa Yesu wangu nashukuru sana Jina lake liinuliwe milele
Uuu it justn
Y
It it uuuui to ii
Vita sote kwisha hallelujah sitaona haya kabisa ❤❤❤
Pray for my family
Hallelujah,,,Mungu nakupenda
Pastor Ezekiel naomba Nyota yangu ingae na ya familia yangu pia