Huyo mwenye shat la blue haaifai kujandili mpira mana anacho jandili simba amefungwa malanyingi hata misimu hii 3 simba amepotenza tena kwa aimbu leo unahofia nn
Mawazo ya umaskini na ya uyanga na simba ndiyo yanayoturudisha nyuma kimpira, binafsi sioni athari zozote kimsingi kwa company moja kudhaini timu zaidi ikiwa tunabakia kujadili tu na hakuna hata mmoja miongoni mwetu anayejua na kufuatilia uendeshaji wa hizi timu, Huwa tunabakia kutamani kuona Yanga au simba zishinde kwa kuzifunga timu dhaifu.
Msumi acha uzwazwa, umiliki (share holder) na udhamini (sponser) ni vitu viwili tofauti! Elewa hilo na uwe msikivu. Aidha, topic yenu ni fake, haina uhusiano na maendeleo ya mpira bali is full of unafiki na husuda!
Mungu akubariki kwa pointi nzuri Simba wamezidi midomo
Kijana mwenye kofia uko bomba sana.
Mwenye shati la blue anapiga kelele wamfukuze apo studio
Uwezo wa tim kaka yangu
Mnaipaka matope ligi yetu watu wataanza kufikiria kuna upangaji wa matokeo hasa watu wa nje ya nchi
Wambie ao alafu mbna Azam amsemi
Huyo mwenye shat la blue haaifai kujandili mpira mana anacho jandili simba amefungwa malanyingi hata misimu hii 3 simba amepotenza tena kwa aimbu leo unahofia nn
Vilabu vidhaminiwe, hatutaki mambo ya kizamini timu zikose hata nauli za kusafiri.
Kama kuna tuhuma si vyombo vya uchunguzi vipo, vifanye kazi yake?
We mwenye shati ya blue acha ujinga akili zako fupi sana brother
Mdhamini mkuu wa Yanga ni Sport Pesa siyo GSM!!!
Adidas sio tim matokea anapangaji
Hao madrid na wakubwa wengine wengi tu wanafungwa acha ubwege
Fala ww Adidas hana Team kwenye league ya ujerumani
Mawazo ya umaskini na ya uyanga na simba ndiyo yanayoturudisha nyuma kimpira, binafsi sioni athari zozote kimsingi kwa company moja kudhaini timu zaidi ikiwa tunabakia kujadili tu na hakuna hata mmoja miongoni mwetu anayejua na kufuatilia uendeshaji wa hizi timu, Huwa tunabakia kutamani kuona Yanga au simba zishinde kwa kuzifunga timu dhaifu.
Huyu mtangazaji hamna kitu
Msumi acha uzwazwa, umiliki (share holder) na udhamini (sponser) ni vitu viwili tofauti! Elewa hilo na uwe msikivu.
Aidha, topic yenu ni fake, haina uhusiano na maendeleo ya mpira bali is full of unafiki na husuda!
Msumi buuree tuu
Yaani Simba Wana akili finyu hili walilolianzisha kama kichochoro kikiwashinda watatafuta uchochoro mwingine
Nsajigwa wewe koloo