@@MwinyiSalim-d4j mi namkubali zumba kwenye ulevi ,,,,,unajuwa zumba kila seen anayopangea yuko vizuri sana hajawahi kuniangusha jicho langu linaona hivo,,,,,wajuwa tunaweza tukawa tunaangals kitu kimoja lkn kila mmoja alawa na mtazamo wake japo wote mnaangalia kitu kimoja
kazi kubwa
Mbwela vipi mwanangu,,,,pitia na kwangu braza
Zumbaaaaaaa maua yako kila sekta unafit😅😂😂
Nakubali apa kapela
Kazi nzuri sana Much love from Kenya 🇰🇪
Tanzania mnapenda kuingiza movie za kiuchwawi sana mnatisha
alafu kapela umeweza kazi nzuri utunzi umetulia ectaz wote wako vizuri hongera kapela tupooo tunakusapoti🎉🎉🎉🎉
ahsante sana
@@kapela255 sote wapambanaji lazima tusapotiane ,,,,,,🙏🙏🙏🙏🙏
bonge moja ya movie hapo saw❤❤❤
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kungwi mwenyewe,,, pitia kwangu braza
Butua leta kutu please
🎉🎉🎉🎉🎉 Kapela from mozambiq nakupenda bureee 🎉🎉🎉🎉
Nairobi Kenya tuko pamoja
New best cinéma toka dr Congo
Mwanetu kapela kazi kubwa sana hongera acha kaz tuipeperushe
Hili kundi litafika mbali nawapenda sana na ninaenjoy nikiangalia move zenu jamaani
Kazi safi sana kapela tuko pamoja sana
Eeeeh kimwela Tena safi sana
Safi❤❤ 👍👍 kazi nzuri❤❤
Ni ATUA Moja ya maendeleo mungu awaongoze
Kazi safi hongera kapela
Kutoka burundi nawapenda sana tena sana
🎉🎉🎉 swadaktaa mwanzo mzuri god bless you
Kazi nzuri Sana I say,,,Nibrah pokea salamu zangu👋
Lina ncheto ehee lina ncheto😂😂😂 leo mmeanza na nyimbo ya kimwera
sanaa
Nakubali kazi yamaana kbs
Kapela unajua filamu zakichawi zinapendwa sana,usicheleweshe basi kuleta matamu.😂😂🎉🎉🎉
Unataka kujifunza uchawi nini😂😂😂😂
Good job🎉🎉🎉🎉🎉
Kazi safi sana❤❤ eti unamwagilia moyo😂😂 Zumba umeanguka nayo😂😂
😂😂😂
😂😂😂 mchina umejchangannya kwa huyo demu
Mume mnalewa kweli bhnaa 😂😂😂😂😂😂
Nakubali sana kazi nzuri
Hongera zaidi kwa kazi zuri❤❤❤❤
Uchawi wizard 🧙♂️ 😂🎉🎉🎉
Mwase nakupenda sana umeolewa
Kazi mzuri sana
Muko vizuri kazi nzuri san 🎉🎉❤
Binadam🔥🔥🔥
Kazi nimeikubali sana
Kazi kuwanga tu kuwoga haaaa😂😅😂
Tunaomba sapot yako katika kufikisha kaz yetu iende mbali zaidi asanteni
Tunaachaje kukusaport kapela wetu 😂😂😂nampendaje akicheka na madevu yake 🎉🎉🎉kazi nzur hongeren sana.
mnatuletea vitu vizuri lazima tuwasapoti vipenzi vyetu alla the best
Tuko hapa usijali
Nimeiona yote kazi ni zuli sana boss mungu akuongezee.
❤❤
Familia tupo pamojaaa
Bi migomba na mchina kutoka mtu na kibenteni chake 😂😂😂😂munajua kuigiza mpaka mnakera
Nifukueni itakuja lini kaka kapela😢😢
salute
❤❤❤🎉🎉🎉36
Walevi kwa kuongeaga ukweli😂😂😂
zumba wewe ni bonge la msaniiii alafu kiraka kwwnye ukevi unawezaaaaaaa pokea mauwa yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kwa ulevi angemueka butua uko sawa Zumba namkubali n mtemi kontawa
@@MwinyiSalim-d4j mi namkubali zumba kwenye ulevi ,,,,,unajuwa zumba kila seen anayopangea yuko vizuri sana hajawahi kuniangusha jicho langu linaona hivo,,,,,wajuwa tunaweza tukawa tunaangals kitu kimoja lkn kila mmoja alawa na mtazamo wake japo wote mnaangalia kitu kimoja
@@MwinyiSalim-d4j mi mtazo wangu ulevi wa butuwa wa kuigiza ila ulevi wa zumba ni ulevi wenyewe hasaaaaaa
@@fatmamohammed8346 Zumba namkubali kontawa
ilaa Bibi migomba
bi migombaa unapenda uchawii ww
Good Job couzin
Bimigomba paa uje kunichukua niko London tumia ungo wako kama uko mchaw kweli.
Joke.
Nauliza ivi izi nyumba wanazo zichezea ku acting za kukodisha au n zao
❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤