HAWA HAPA WACHEZAJI WATATU HATARI ZAIDI KATIKA KIKOSI CHA SIMBA KWASASA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ค. 2024
  • Simba imefanya usajili wa wachezaji wengi wa kigeni na kwa kulitambua hilo Simba Pro tumefanya tathmini ya wachezaji watatu hatari zaidi ambao Simba wamefanikiwa kuwasajili katika dirisha hili la usajili
    Kama unahitaji kuungwa kwenye group letu la Simba Pro tuchek kwa namba 0626629644 ili tukupe utaratibu wa jinsi ya kujiunga
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 46

  • @HamisiMakela
    @HamisiMakela 26 วันที่ผ่านมา +5

    Asante kwa usajiri bora mungu atupe nguvu na afya ya akili dhidi ya msimu mpya 2024/25

  • @JosephTimotheo-t4j
    @JosephTimotheo-t4j 15 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu ibariki simba mungu bariki wa hezaji wa simba mungu bariki wapenzi na mashabiki wote wa simba mungu wwpige laana wambea na mamruki wote wanao itakia mabaya timu yetu ya simba sport

  • @DaudiMkama-k6f
    @DaudiMkama-k6f 24 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu ainatiki Simba yetu na Mimi naomba mniunge kwenye group la Simba nguvu moja

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig 21 วันที่ผ่านมา +2

    Watateseka sana sisi atusajli Tim tunasajili mchezaji moo amesha Sema ad watubu

  • @Mosesy_Bright
    @Mosesy_Bright 26 วันที่ผ่านมา +3

    SIMBA FOR LIFE ❤

  • @ShadrackSonga-v6f
    @ShadrackSonga-v6f 25 วันที่ผ่านมา +3

    🎉mungu tusaidie wanasimba tufikie malengo yetu kwny mpira

  • @lutiak7618
    @lutiak7618 25 วันที่ผ่านมา +2

    Damu ya YESU iwafunike Wachezaji na Bench lote la ufundi

  • @panyamadaniel9064
    @panyamadaniel9064 24 วันที่ผ่านมา +3

    Simba itengenezwe na viongozi kwa nguvu ya mungu

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow 26 วันที่ผ่านมา +12

    MUNGU atusaidie wanasimba yanga wasituroge tuwe na msimu mzuri

    • @sangaelly8548
      @sangaelly8548 25 วันที่ผ่านมา +1

      Hawalogi tena hao

    • @JoseHaule-tx7lu
      @JoseHaule-tx7lu 24 วันที่ผ่านมา

      Hawa yangaaa hawa tutaonana mwaka huu wametuzalilisha sana

    • @janekimwaga6246
      @janekimwaga6246 18 วันที่ผ่านมา

      MUNGU aeñdelee kuwa nasi

  • @user-ol8xg4ez3i
    @user-ol8xg4ez3i 25 วันที่ผ่านมา +2

    Maana kweli ynga wachawi mno,,tusiwasifu sna,,wakae wakijua wameajiriwa ,,tusiwasifu sna tusije aibika..mungu atusaidie.

  • @user-vt4bx1xl7j
    @user-vt4bx1xl7j 25 วันที่ผ่านมา +2

    Mimi nahitaji kujiunga na gruop la simba

  • @zainabuShabani-x9c
    @zainabuShabani-x9c 21 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu awe pamoja nanyi

  • @irfaanhasham1346
    @irfaanhasham1346 24 วันที่ผ่านมา +3

    Simba tuliamini simba bila chama bila inonga bila manula siyo simba sasa wale waliamini hivyo walikosea tuombe uzima mtaiona simba mpya mpaka mtasahau kama tulikua na hao wasaliti simba nguvu moja

  • @allyrugaba
    @allyrugaba 7 วันที่ผ่านมา +1

    Msimu huu ni wa simba

  • @SalimRamsei-ok9el
    @SalimRamsei-ok9el 23 วันที่ผ่านมา

    Safii bana niungeni kwenye group lá simbaa

  • @user-oi5zh5zh7j
    @user-oi5zh5zh7j 25 วันที่ผ่านมา +3

    Mwenyenzi Mungu akawalinde wachezaji wetyu na utimamu wao ukawe na mwendelezo bora

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig 21 วันที่ผ่านมา

    Dula nakuelewa kinyama wwe ni noma sana aisee

  • @thomasdesta939
    @thomasdesta939 23 วันที่ผ่านมา +1

    Watu wa Mungu hawarogi wala hawarogwi hivyo tumuombe Mungu awe upande wetu

  • @IsakaMiseho
    @IsakaMiseho 11 วันที่ผ่านมา

    Niunge kwenye group ya simba

  • @ErastoMapunda-rj1mj
    @ErastoMapunda-rj1mj 25 วันที่ผ่านมา +1

    Naomba nijiunge😅

  • @user-hu3kb4qi2t
    @user-hu3kb4qi2t 22 วันที่ผ่านมา

    Naitwa jonas zabron naomba na mm mniunge kwenye hilo grop la simba yetu

  • @MsingiNgusa
    @MsingiNgusa 26 วันที่ผ่านมา +2

    mutuletee azizik na fei toto basi goma inatembea

  • @user-uj1pj3wr6y
    @user-uj1pj3wr6y 23 วันที่ผ่านมา

    🎉 na wewe pia

  • @lucastungera4495
    @lucastungera4495 15 วันที่ผ่านมา

    Kikubwa tuwaombee wachezaji wetu dua

  • @jumaMohammedi-rt2ys
    @jumaMohammedi-rt2ys 23 วันที่ผ่านมา

    Haw wachezaj ni bor lakin yang wachaw san watashindw kwa jin la yes

  • @anyagenyekalangali-zt1xo
    @anyagenyekalangali-zt1xo 23 วันที่ผ่านมา

    Nilikuwa napita tu

  • @gasparyeugene4855
    @gasparyeugene4855 25 วันที่ผ่านมา

    safi sana

  • @IssaJumanne-gy8io
    @IssaJumanne-gy8io 23 วันที่ผ่านมา

    Naomba kujiunga na group

  • @ezzepuritykamwene2121
    @ezzepuritykamwene2121 26 วันที่ผ่านมา

    Watuletee aziz

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 11 วันที่ผ่านมา

    Zouzou na mzize wasajiriwa kolo, ni kweli?

  • @AbuuLugala
    @AbuuLugala 25 วันที่ผ่านมา

    Mungu yup nas

  • @IssaJumanne-gy8io
    @IssaJumanne-gy8io 23 วันที่ผ่านมา

    Simba mpya tunaitumaini Dana mola tusaidie

  • @ErnestFaraji
    @ErnestFaraji 18 วันที่ผ่านมา

    Nahitaji kuunganishwa kwenye group la Simba

  • @MsingiNgusa
    @MsingiNgusa 26 วันที่ผ่านมา

    niue gulupu simba

  • @user-pi4dv3oh1u
    @user-pi4dv3oh1u 25 วันที่ผ่านมา

    Mm ni mnyama Nina kupongeza Kwa kutoa ufafanuzi

  • @browntv1119
    @browntv1119 21 วันที่ผ่านมา

    hatari mliwaona wapi acha tuwaone

  • @hamisnagave-bl1sq
    @hamisnagave-bl1sq 24 วันที่ผ่านมา

    Group lenu la whatsapp mbona ukituma sms hamjibu

  • @vicengelime4580
    @vicengelime4580 25 วันที่ผ่านมา

    Mziki mnene wenye kijan mjiandae

  • @EdigaKambimtoni
    @EdigaKambimtoni 23 วันที่ผ่านมา

    najuwa Kijiji bala kichaa bado siyo Kijiji namabo ambayo ayakuusu ya nin utafatilie fata yako awa jamaa wanaizugumziya Simba siyo timu nyengine

  • @aishaomaryyousefomaryloiru1990
    @aishaomaryyousefomaryloiru1990 24 วันที่ผ่านมา

    Wasiongee kusema Simba wamechukuwa wachesaji ambae wametoka kwenye timu ambae zimekuwa kwenye nafasi ya chini,mbona Simba amekuwa nafasi ya 3 lakin wamemchukuwa chama,

  • @BleanceKigwila-u2l
    @BleanceKigwila-u2l 25 วันที่ผ่านมา +1

    Niunge