WAZIRI SILAA TUNAFUKUZWA KWENYE MASHAMBA NA BUNDUKI | TUPO RADHI KUFA KWA AJILI YA ARDHI ZETU NA....

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 47

  • @seemanishekiao
    @seemanishekiao 5 หลายเดือนก่อน +2

    Ma shaa Allah anajitahidi sana.
    Viongozi wangefanya kama afanyavyo huyu Wazir tungekuwa vizuri sana.
    Allah ajalie asibadilishwe

  • @consorathajames2693
    @consorathajames2693 5 หลายเดือนก่อน +2

    Nduguyangu mh waziri sijutii kupoteza bando langu kwenye hutuba zako Mungu akulinde zidi ya mijitu yenye roho mbaya

  • @khamisjuma1278
    @khamisjuma1278 5 หลายเดือนก่อน +1

    God bless Jerry slaa

  • @ullymwaipopo398
    @ullymwaipopo398 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera Mkuu wa Wilaya kwa maana umepata wasaaa wa kumwambia huyo binadamu ambaye ni kiongozi wa watu. HAKIKA ANAMTENDEA HAKI MTU ALIYEMTEUA. Busara zake ni za hali ya juu.

  • @jeanmusamba8448
    @jeanmusamba8448 5 หลายเดือนก่อน +1

    kazi nzuri Jerry mwanasheria ninaye mwamini kasema uko sawa,good job sir keep it up,I

  • @zenakassomo
    @zenakassomo 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu alinde waziri wetu

  • @HassanNdarama
    @HassanNdarama 5 หลายเดือนก่อน +2

    Silaaa kweli 😂 big up ❤

  • @thomastemu3332
    @thomastemu3332 5 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani maguful amerudi Jerry slaa.. anafanya kazi nzuri sana

  • @idrisadalluc4498
    @idrisadalluc4498 5 หลายเดือนก่อน +1

    Waziliwangu slaa uko vizur sana na unapendeza kua rahisi WA taifa na Kuna sifa ya Kila kitu nakwambaaaali kama mwalimu nyelele

  • @brigethsauzand3926
    @brigethsauzand3926 5 หลายเดือนก่อน +1

    Waziri Jerry Mungu akuepushe na wabaya umeheshimisha serikali na aliyekuteua

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 5 หลายเดือนก่อน +7

    waziri wangu.....Mungu asikuache..... Kuna mengi najifunza kwako....kesho Yako ni njema.....iwe heri hata uwe Rais

    • @Tutsi-b8s
      @Tutsi-b8s 5 หลายเดือนก่อน +1

      Jelly? Ni nani huyo 😢

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 5 หลายเดือนก่อน

      ​​@@Tutsi-b8sjery😅😅😅😅😅 sio jelly😅😅😅😅😅

  • @muhsiniissa8151
    @muhsiniissa8151 5 หลายเดือนก่อน +1

    Watu wanaonewa Sana,,sisi tulivunjiwa mbogo Yani nchi hii Kuna watu hawamuogopi Mungu

  • @yousifyousif-p7f
    @yousifyousif-p7f 5 หลายเดือนก่อน +2

    Nakuombea dua miaka ijayo Uwe Rais wetu 🙏♥️

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana msemaji munayo haki ya kuishi mnavyotaka nyingi ni Watanzania

  • @personalitiesan9806
    @personalitiesan9806 5 หลายเดือนก่อน +6

    After mama Samia kustaaf huyu jamaa anafaa kuwa president wetu

    • @thomastemu3332
      @thomastemu3332 5 หลายเดือนก่อน

      Kabisa akachukue form kura atapata na waziri mkuu awe bashungwa.hawa mawaziri wanajituma sana

    • @shabansumaiya4770
      @shabansumaiya4770 5 หลายเดือนก่อน

      Uraisi sio lele mama

  • @RamadhaniRamadhani-yd4hq
    @RamadhaniRamadhani-yd4hq 5 หลายเดือนก่อน +3

    Jamani jery slaa atakuja kua rais was nchi tumuunge mkono hana janja janja ananyooka vizuri

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki9758 5 หลายเดือนก่อน +5

    Jamani nchi hii Kila mahala kilio Cha arithi tatizo ni nn

    • @Amageneousmedia
      @Amageneousmedia 5 หลายเดือนก่อน +1

      tatizo ardhi

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 5 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@Amageneousmedia😂😂😂

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 5 หลายเดือนก่อน +1

      Tatizo tamaa uchoyo na ubinafsi.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 5 หลายเดือนก่อน +1

      TATIZO DHULMA WANAONA SIFA.

    • @lukomanomaliki5442
      @lukomanomaliki5442 4 หลายเดือนก่อน

      Huyu dada ni kiongozi mzuri.Anaonekana ana hofu ya Mungu.

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 5 หลายเดือนก่อน

    Ipo siku hawa wanao lalamika na nyinyi MTA walalamikia gem litageuka hamta amini

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 5 หลายเดือนก่อน

    Bunge Lina KAZI gani mbona hamueleweki Kuna bunge kweli mtakosa NCHI harafu mtajuti tutakosa wooote

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 5 หลายเดือนก่อน +4

    Hata lukuvi alifanya sana akiwa na magufuli

  • @mrnassorali667
    @mrnassorali667 5 หลายเดือนก่อน

    Mh waziri upo vuzuri ila magodani kuna iyo shida tangia 2017 na magufuli alsema wapewe ardhi yao akipo kufa tu wamepora kwakweli ukawasaidie washauliwa watu wengi na wengine ni wakemavu sasa kuna muekezaji ndo amewazulumu ivo

  • @Lidyakagondi-h9b
    @Lidyakagondi-h9b 5 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jamaa tuache siasa ni mzalendo kweli

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare4196 5 หลายเดือนก่อน +6

    Slaa mauwa yote Tanzania yakatwe apewe.....kama mtu anabisha anyooshe kidole

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 5 หลายเดือนก่อน

    Ccm ndio Wana uza harafu wanajifanya Wana suruhisha

  • @shabansumaiya4770
    @shabansumaiya4770 5 หลายเดือนก่อน

    Tatizo laviongozi kama hawa mawaziri wakishaapishwa wanaanza vizury baadae huaoni

  • @mejamiela7436
    @mejamiela7436 5 หลายเดือนก่อน +4

    Piga kaz kaka

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 5 หลายเดือนก่อน +3

    Bwana Jerr slaa huku kwenye aridhi upo vizuri ila nakuomba ukafute utetezi wako wa uuzwaji wa bandari zetu kwa Dp Word

    • @salehesalehe2967
      @salehesalehe2967 5 หลายเดือนก่อน

      Pimbi wewr

    • @adanfarah2080
      @adanfarah2080 5 หลายเดือนก่อน

      DP World is owned by emanates, it controls many ports including Yemen, Bosaso & Berbera, Djibouti etc, their biggest objective is to undermine their growth so that they don't take business away from Dubai, Dar is lucky because in other countries they corrupt officials and at times use violence, in Yemen and Somalia they have formed mercenary armies made up of Chadians, Colombians etc

    • @hildagabriel1003
      @hildagabriel1003 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@salehesalehe2967. Na wewe pimbi

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 5 หลายเดือนก่อน

    Watu wa Alizi majambazi wa mueza Hutashangaha walibifu wezi baada ya kufukuzwa Watabadiliswa mkoa kuedelea na wizi na Ujambazi 😂😂😂

  • @abdallahabdu8194
    @abdallahabdu8194 5 หลายเดือนก่อน +1

    je Lukuvi haya alikuwa hayaoni kweli ?

    • @mohddelo
      @mohddelo 5 หลายเดือนก่อน

      Hajayaona😂

    • @rehemakanyere4188
      @rehemakanyere4188 5 หลายเดือนก่อน

      Hahahahah

    • @thobymsule6045
      @thobymsule6045 5 หลายเดือนก่อน

      Yule bora alivyotumbuliwa

  • @raphaelonyango703
    @raphaelonyango703 5 หลายเดือนก่อน +1

    Heri yako mkuu wewee unawatetea wanyonge wakuu wengine wanapambana kumkabili mnyonge mfano makala na gondwe wanajua ni wapi na mbunge wetu kashindwa kututetea wapiga kura wake tutakutana mbele ya safari.

  • @issackmganga4600
    @issackmganga4600 5 หลายเดือนก่อน

    Jpm.wapili.j.silahaoye