Mnasubir mtu afe ndo mnaleta habar zenu mbovu mnajielewa kweli nyie?mtakufa vibaya nyie mtu akifa anatakiwa aongelewe kwa mazur yake siyo kwa mabaya nyie vichaa nini mmekimbia mrembe.
Mwandishi hiki kipindi cha dua jwa ajili ya dada dida lakin sio kumuongelea mambo hayo diii vema jamani tumuogope mungu
Pumbavu sana unatumaje video bila kuihakiki? Kwanza ina voice mbili moja ya kutekwa moja ya umbea wako.. acha ujinga boresha KAZI yako.
Imetosha jamani, hamna utu? Mwacheni apumzike. Hata hofu ya MUNGU mioyoni mwenu hamna? Mtamsema mpaka lini? Mbona alipokuwa hai hamkumsema? Heshimuni watu wanapokuwa hawapo tena duniani.
Acha. Ujinga. Wewe. Sio. Kweli. Mjinga. Wewe. Tv. Yako
Na nyie mlisuburi Dida afe mlete story zenu za kishenzi nyie media uchwara mnatakiwa kufungiwa
Kwa Nini Leo???
Kwahiyo?