Napenda unavyonipa mi, chocolate kadi na pipi, lakini una Acha Roho, Muda wako na mapenzi, ndio vikubwa kwangu mi, umesahau kwamba mi ni wako, harufu yako inachange, sipati yako mapenzi, kumbatia teddy bear wangu, mi nakupenda sana , bila we ntakua kichaa, lakini madhara nimeyakubali,
dah hapo kwenye neno "Teddy bear" ndio najua leo (October 5, 2022) kuwa anatamka hilo neno, hebu nipe na Lyrics za Chorus mzee maana inawezekana nasikia vitu tofauti
Mimi nikienda bar kubwa tabata lazima dj aningongee hiii vinginevyo ntaondka tu.ila washanijua wanaipiga kila ijumaa tabata pale kaz moto yaaan naipenda mpaka nife ❤❤❤❤❤
Enzi hizo nina Radio yangu ya Sony MHC GN 1200D speaker 6 inapiga kambini had jiran wakawa wananishushiaaa meter umeme unakata kiukweli wee Macamua umetutenda sana huu wimbo remix hamna na mpaka saiv SONY yangu ipo sebleni ya milion moja laki 8 from malashia jaman rudia hiii ngoma Hapo Enika alikuwa ukiitikia kama malaika saut nyororo
Hii ndio RNB ya Tanzania diamond ndio ameharibu mziki wetu kwa kukopy Nigeria mara mapiano sasa hivi asili ya mziki wetu bongo fleva imepotea tumekuwa watumwa wa kusapoti vya wezetu na kuzarau mziki wetu. Naamini kama hii midundo ya kitambo kama mtu anarudi nayo wote wanakaa maana kwa sasa hakuna mziki ila ni bigG ikiisha utamu unatema
JAMANI MAKAMUA ALIKUA ANAIMBA RNB KALI NIMEISIKIA HII NIMESISIMUKA NAKUMBUKA ENZI ZA UTOTO HII NYIMBO NILIKUA NATONGOZEA VIDEM..HIT LIKE 2024
ENIKA Alikuwa na sauti tamu Sana🔥
Ukatili ambao hii Nyimbo imefanyiwa sio wa kusamehewa
Hii ni Masterpiece, Classic, Phenomenal
Daah
Haya walioludia kusikiliza huu wimbo mwaka 2024 usiache ku like comment 😂
Enzi hizo tunawahi kwenye mabanda ya TV kuangalia trailer za nyimbo Yan we acha tu maisha yanaenda Kasi sana
Napenda unavyonipa mi, chocolate kadi na pipi, lakini una Acha Roho, Muda wako na mapenzi, ndio vikubwa kwangu mi, umesahau kwamba mi ni wako, harufu yako inachange, sipati yako mapenzi, kumbatia teddy bear wangu, mi nakupenda sana , bila we ntakua kichaa, lakini madhara nimeyakubali,
dah hapo kwenye neno "Teddy bear" ndio najua leo (October 5, 2022) kuwa anatamka hilo neno, hebu nipe na Lyrics za Chorus mzee maana inawezekana nasikia vitu tofauti
@@bakarywaziry8985 haahaahha wengi hawajui ni yule mdoli mkubwa wa dubu wadada wengi wanapenda kua nayo
@@bakarywaziry8985 😂😂🤣🤣
Ahsante sana nilikua nasema nakupenda kila kukicha kumbe bila wewe ntakua kichaa
Best part of the song
Suggestion that crown fm is introducing bongo flavor again on its station , placing bongo music through out the day.🎉🎉🎉🎉
In this song..enika alifanya uhai kubw kwa song..by the all..makamua ni mtu na nusu jmn
The quality of song never get old I listen times it's a contemporary talent we want in our region to lift up our artist
Hiko kipande kidogo alichoimba makamua kweny hiyo ngoma ya niite basi aiseee huyu jamaa ni talent sana
I'm here watching this masterpiece in2023. This was the real RnB. Mbona uliacha kuimba man?
Hii kionjo ya mwisho hua nilikua naitafuta san..jmn daah🌹🌹❤❤🔦
Walitupaga sana brudani yn raha sana kizai chetu watoto wa 20007 watuache kidogo
hii sauti ipo tena katika wimbo unaitwa Changanyachanganya na ule wa Hawatuwezi, Nako2nako souldiers.
Mimi nikienda bar kubwa tabata lazima dj aningongee hiii vinginevyo ntaondka tu.ila washanijua wanaipiga kila ijumaa tabata pale kaz moto yaaan naipenda mpaka nife ❤❤❤❤❤
Only lord knows how i looked for this song😭😂....big Love from Rwanda #childhood_memories
Makamua daaaah 🔥🙌😀 thank God Kwa kipaji hiki!
Hapa Makamua pembeni Enika na biti kali la MJ Records, noma sana watoto wa Amapiano hawawezi elewa 🔥
one of the best, dah, still listening 2024
Brother ngoma mzuri Sana mungu akulinde Sana
Nipo leo 7_9_2024😢
2022 and still loving this song, inabamba sana. Hizo melody, beats na ujumbe.
ZAMANI HAT BEAT NI KALIII BURUDANI TOSHAAA...MWAKA 2023 MPOOOOO
Hivi kwa nini msirudi tena,ulikuwa muziki nzuri
Muziki Bana ❤
Mlifanya kazi kubwa sana, hope still u got talent guys, come again
Enzi hizo nina Radio yangu ya Sony MHC GN 1200D speaker 6 inapiga kambini had jiran wakawa wananishushiaaa meter umeme unakata kiukweli wee Macamua umetutenda sana huu wimbo remix hamna na mpaka saiv SONY yangu ipo sebleni ya milion moja laki 8 from malashia jaman rudia hiii ngoma Hapo Enika alikuwa ukiitikia kama malaika saut nyororo
2024 still a banger nouma sana
Kwann wote wawili waliacha kuimbaa dàh!!
Nzuri Sana❤
Ebu mwagia makopa for this song
Enika alikua na saluti mojo very unique man. I can't say
Those days when music was memorable.
I gree
your songs lives bro
Zaman kulkuwa na mzki sio Sasa hakuna kitu cha maana
Whawww love you this song old is gold
Still a banger in 2023💥
Now 2024
2024 still listening to this song
I'm here too
Huuumziki hauwez kuja kutokea tena mimi hata wangefanya tamasha ningeenda sasahiv unasauti tamuuu
Aseee hakuna na hautatokea mzir mzur kama huu...sasa hiv nyimbo inatoka leo wiki ijayo hutaman hata kuuskia
Sijui wako wapi hawa😮
2023 - still the best ❤
Noma sanaa
She pass around in my brain
Bonge la ngoma❤
Kaka makamua unatisha sana
ngoma kali Naiskiza 2023
Aisee huyo video vixen Selina Yuko wapi mzee?
2024 still a banger!
2022 till watching
August 1st 2023 still watching this song
2024😢
2024...
On those days 💕💕..still listening June 2022
2024❤
Umetisha!!
Shukrani Sana 🤝
Pata picha hiki kipande cha enika akapiga abbychams
Afanye remix 🎉🎉
2022 June My Jam
August 2022 nipo hapa
Makamua Joselin
Real music
yo back in dayz hommie
🔥🔥🔥🔥🔥
Where is she
wakali
Great work
Thank you! Cheers!
🔥🔥🔥🔥👊👊👊👊
🎉🎉🎉
2024 nmekuja kusikia sauti ya Enika
Nice
Classic
2023
Hii ndio RNB ya Tanzania diamond ndio ameharibu mziki wetu kwa kukopy Nigeria mara mapiano sasa hivi asili ya mziki wetu bongo fleva imepotea tumekuwa watumwa wa kusapoti vya wezetu na kuzarau mziki wetu. Naamini kama hii midundo ya kitambo kama mtu anarudi nayo wote wanakaa maana kwa sasa hakuna mziki ila ni bigG ikiisha utamu unatema
Kweli kabisa
Diamond na hiyo miwasafi inaimba upumbavu pumbavu ndio wameharibu muziki kabisa vipaji kama hivi vimepotezwa na media pia😢
True story mshamba sn yule diamond
Nikwel kabsa mziki ndo huu mengne makelele
Vokolist
@joshuamakota 6714 walahi nimependa ulivyotiririka cjui nije uniimbie ❤❤❤❤❤❤❤
@joshuamakota ❤❤❤❤❤