Tembea Kenya: Ngome ya vita vya Mau Mau katika misitu ya mlima Kenya na Aberdare
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ค. 2016
- Katika makala ya Tembea Kenya tunaangazia ngome ya vita vya Mau Mau dhidi ya Wabeberu katika misitu ya mlima Kenya na Aberdare ndani ya eneo la kati. Ziara yetu ilitufikisha katika mapango ndani ya mlima Kenya yaliyotumika na Mau Mau waliokuwa wakiishi ndani ya msitu. Carol Nderi ametuandalia makala yetu ya leo ya tembea kenya.
Watch KTN Live www.ktnnews.com/live
Watch KTN News www.ktnnews.com
Follow us on / ktnnews
Like us on / ktnnews
pongezi kubwa sana kwa Mzee wairegi kwa kazi waliofanya wakati wa mau mau.....ina faa sirikali amwangalie sana sababu hao ndio walifanya kenya ikawa kwa uhuru..asante sana mzee wairegi mungu akuongeze nguvu.
The Most High continue to bless you all the Mau Mau fighter and your family, for the freedom you brought to our country because when people talk talk they have no idea how Mau Mau, suffered for our bread today.Unfortunate most of them still live in poverty it's a shame.
Hat off sir God bless
nice
TUNANJUA HIYO NYARUMURU ILIKUA KARIBU HIYO CAVE
TULIENDA UKO NYARUMURU STUDENTS KWA HIYO CAVE TUKAONA MANY SKULLS
Sisi wenyewe waafrika tunafaa kuandika historia yetu
C nariukaga jaluo walisema ni raila amepigania kenya
Hawa watu Mau Mau ndio mashujaa halisi. Nitakapokua rais, 2022, kila mmoja wao atalipwa.....nyumba, gari, na 100,000/=.