Haupo sawa ukimfanyia mwenzio ubaya unalipwa hapahapa lakin cyo kama ivyo uyo jamaa kazini na dada mchawi kwaiyo apo huwez kumshirikisha mungu , maana wote wametoka nje ya reli, apo labda ungesema ni UBAYA UBWELA😂
Me nnauwezo wa k uwabandua dawa itabidi nim bandue huyo dem ili wanusirike Me mufti mdudu ndefu dawa ipo itabidi nim bandue mara 6 huyo mwanamke uchawi utoke
Uchawi sio inshu umewadhalilisha wenzako n hutaondoka ktk ardhi hii lazima Allah akudhalilishe subili ck yako yaja ht km mlikosana lkn hajakudhalilisha km hivyo n nyie waganga nyinyi msubili moto yako kwa Kasi Sana
Wanawake acheni kuwazindika waume zenu madawa ya hivyo niushamba umeachanaye uko kwenu unafanya mapenzi na waume wengine yeye hakukufanyia,harafu ukumbuke mwanaume alikuowa bikira ilishatolewa na waume wengine, mwanamke kama wewe nakuona ni mjinga sana mapenzi ni starehe usilazimishe ndoa na mwanaume ukafikia uamuzi wa kumzindika madawa ya aibu.
Waisalm ndiyo wanayo Fanya zinaa kwanza wanaume muwe wakweli ulimdanganya dada wawatu alafu umemletea matatizo nanyie mabinti acheni tamaa mutu akikuambia ana make chunguza kwanza
Kuna Faida Gan Sasa umepata we mwanamke ukiachana achika acha kumfanya mwenzako ateseke
Exactly
Poleni sana wote
Hii mitandao imeleta balaa Hadi vyombo vya habari vipo wamewahi mapema au mchezo WA kuiqiza
Kwahiyo tangu ameachana na mke wake hajawahi kua na mwanamke mwingine kabla ya huyu bint?
Sasa mgongoni ulifata nn? Mbona mnachekesha sana nyie???😂
Pole dada duu uo mtihani mkubwa uo at mwenyezimungu hapendi😢
Putin anaumiza kichwa kutengeneza nyuklia bongo tunaumiza kichwa kubuni mazingaombwe na usenge
😅😅😅
😂😂😂😂😂😂😂😂
@@HidayaIbrahim-b4h hii nchi ni ngumu ndugu zangu
Nmecheka peke angu ujumbe wako aseee kumbe uchaw bado upo!!!
Hahahah wafrica wanapenda. Majabi
Mm hizi chaneli siziamini labda ingekuwa miladi SNS au global ndo ningesmini
Pole dada
Jina la movie plz maana watu wamegandiana wakiwa na nguo 😂😂😂😂😂😂
Acheni uongo mnatengeneza Ili mpate viwazi
Mjumbe mjumbe 😅😅😅😅😅😅😅😅 kweli
Hapa tunaingizwa chaka hapa hii ni muvi😂😂😂😂😂
Hizi ni biashara kuweni na akili watanzania
Hii ni Police Case mbona hamna polisi yeyote hapo?
Tamaa ilimuua fisi
Sasa kwa nini umejaribu mpigie ex wako aje akunasue
Pole dada sana
Uongo mtupu kutumalizia bando zetu acheni hizo!!!!!
Embu mpigien huyo mtaalamu mwambieni hali inayoendelea afanye haraka sn aje
Nsona mnafaidi utamu bwana🤣🤣🤣🤣
Jamani jambo Hilo ndio rahisi kumtoa jamani
Asa mgongon pia hii ilikuw style gan ama mm ndo celew😂😂😂
Hautaelewa maisha yako yote
Hakuna ukweli wowote ni story tu zimetengenezwa
Ukibanduka utulizane ili upate mwanamme akuoe.
Hamna kitu hapo,tego siku zote hua ni chuma kua ndani,na si kubebana mgongoni kutafuta view na like😂,rudisheni MB zangu.
Awoo wamalaya ata aya awaoni
Uyo mwanaume akamatwe..uyo..nimutoto..washule
Nisikilize mtafute mtaalamu ukishindwa yupo hapo mtaalamu dar salam chanika yupo vizur
Huyo aliefanya hivyo akufanya sawa
Ila na huyu kijana atakuwa kamfayia huyo ex wake labda sio jambo zuri au kamuacha kwa kumdhulumu
Omari umekosea sana hapo ilibidi uwanze kum bandua huyo demu utoe uchawi kwnza
Huyo dada ni mchawi na nyie wanaume muwe mnamuomba Mungu awape wake wenye hofu ya Mungu.na nyie wanaume muache kuwa na tamaa
Location wapi
Na ww mwanamke uliotengeneza huo uchawi hivi umepata FAIDA gani lkn ujue kila ulichomfanyia mwenzio n ww mungu atakuoitishia ck yoyote
Haupo sawa ukimfanyia mwenzio ubaya unalipwa hapahapa lakin cyo kama ivyo uyo jamaa kazini na dada mchawi kwaiyo apo huwez kumshirikisha mungu , maana wote wametoka nje ya reli, apo labda ungesema ni UBAYA UBWELA😂
Yani sisi wanawake jamani kama ukiachika kubali matokeo
Huyu mama mwenyenyumba, atakuwa kashilikiana kumfanyia hchikitendo Huyu kijana, namjumbe nae niwalewale wametaka kuwazalilisha hawa vijana
Nikweli mjumbe hafai
Naomba namba ya shekh yahya
Mambo yapo haya lkn inaonekana huyo mwanamke aloachana naye ni mchawi
Sio rahisi kuhangaika nae wanawake hao
Dhu tz uchawi upo duh namtafuta pesa zangu nikitoka sadi ni ende tz nikutafute WA biyashara
Nyinyi wanaume mkaage vizuri n wake zenu n mkiachana muachane kwa Amani
Ila nanyie unafikili nikweli uwongo nanyie kaa muvi tu hiyo
Sasa mjumbe wakila lazima watataka kwenda kujisaidia sasa itakuaje hapo
Wangejiepusha na zinaa yasingewakuta ndio maana Allah kakataza zinaa
Haki wallah ladhim hivi kwa nini lakini haifai pia ni nusura hawakua wakifanya tendo ni huko kugandana mgongoni wallah wana wake nyiee
Me nnauwezo wa k uwabandua dawa itabidi nim bandue huyo dem ili wanusirike Me mufti mdudu ndefu dawa ipo itabidi nim bandue mara 6 huyo mwanamke uchawi utoke
Sasa kumbe mumeacana! Sasa si ni ujinga huo
Hawa wanataka viewers hii ni Tamthilia jameni,Twaijua hiyooooo
Inaitwaje
Ninachojiuliza kwanini alimbeba mgongoni mbona utoto
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ndio mkome na umalaya wenu
Huyu mjumbe hamna kitu kichwani
Acheni mizinguo
Movie
Jmn uyo muuwaj kabsa
Afadhali huyo kagandua mgongoni . Lakn huku nliko walishikanisha . Na wanakufua juu
Nahilo nipfunzo kwawangine
Uchawi sio inshu umewadhalilisha wenzako n hutaondoka ktk ardhi hii lazima Allah akudhalilishe subili ck yako yaja ht km mlikosana lkn hajakudhalilisha km hivyo n nyie waganga nyinyi msubili moto yako kwa Kasi Sana
Ikiwa uzito huo umekuchokesha jee kwa Allah mtaweza kubeba mzigo wa dhambi wa kukuingizeni motoni
Tubuni kwa Allah kikweli
Allah atakusameheni
Pole sana dadakr
😢😢
Jamaa na umri wake huo kaenda kutomba mtoto wa mika 17
Kwani huyo wa miaka 17 Alikuwa hana Kuma mnashangaza nyinyi
Wanawake acheni kuwazindika waume zenu madawa ya hivyo niushamba umeachanaye uko kwenu unafanya mapenzi na waume wengine yeye hakukufanyia,harafu ukumbuke mwanaume alikuowa bikira ilishatolewa na waume wengine, mwanamke kama wewe nakuona ni mjinga sana mapenzi ni starehe usilazimishe ndoa na mwanaume ukafikia uamuzi wa kumzindika madawa ya aibu.
HUYU JAMAA KAJIJUA ANAMATATIZO NA MKEWAKE WA ZAMANI KWANINI KAMLETEA BINTI BALAA BILA SABABU ONYO KAPEWA NAMKEWE😢😢😢
Huyu dada hana makosa tatizo huyu kijana sambabu alikuwa na mke na hajamwambia dada,,pole dada sisi wanawake hupitia mengi 😢
😢😢😢😢
Na huyu Dada mdogo pia Ana makosa makubwa kumfata kijana kama Baba yake kwa tamaa ya nini???
Uislam unasema wala usiikaribiye zinaa
Waisalm ndiyo wanayo Fanya zinaa kwanza wanaume muwe wakweli ulimdanganya dada wawatu alafu umemletea matatizo nanyie mabinti acheni tamaa mutu akikuambia ana make chunguza kwanza
Huyo dada nimuuaji anatakiwa akamatwe apelekwe kituoni polisi
Polis wenyewe awadaidii waisilamu ni wachawi sana dada ana makonda iyo nifundisho kwa wanaume wauni
Pole dada
😮