Naomba ichezwe movie moja Kali Sana ya kumkubuka Mwl Julius kambalage Nyerere , harafu acheze Kama yeye ndiye hayati mwl Julius kambalage Nyerere , harafu ifanyiwe promo moja kubwa Sana , Nina hakika tutatengeneza historia moja kubwa Sana ,ambayo itashika kasi frican nzima na tutaitangaza nchi yetu ...nihayo tuu..
Jina langu,Mwenge na watoto wote waliozaliwa Nyamswa mission Hospital mnamo Juni 76,wote walipewa hili jina.Namkumbukia hilo,ingawaje sikumuona ana kwa ana
Naomba ichezwe movie moja Kali Sana ya kumkubuka Mwl Julius kambalage Nyerere , harafu acheze Kama yeye ndiye hayati mwl Julius kambalage Nyerere , harafu ifanyiwe promo moja kubwa Sana , Nina hakika tutatengeneza historia moja kubwa Sana ,ambayo itashika kasi frican nzima na tutaitangaza nchi yetu ...nihayo tuu..
Hakuna mtu anayeitwa kambalage
@@johnwilliam2013 anaitwa Nan ???
@@johnwilliam2013 acha umbea
NI kweli kk leo nchi za Africa bado ubaguzi wa makabila mnoo unakuta wanaonana kama maadui hii ipo wazi
Agreed
Jichunge sanaaa na huo ulevi wako. Mama Huyo Veronica hatumuelewi.
Jina langu,Mwenge na watoto wote waliozaliwa Nyamswa mission Hospital mnamo Juni 76,wote walipewa hili jina.Namkumbukia hilo,ingawaje sikumuona ana kwa ana
Jmn huyu jamaa kama babaake
Anafanana sana baba wa taif
Masikio popo ha ha ha
Mm namkumbuka kwa hadithi zake alizokuwa anatupanga anaota ndotoni Ulaya kunavita...kumbe analuninga ghetto 😂😂😂😂.
Habari za mghahawani hizo
Amemrithi hadi kicheko
Pop
Kweli ulikuwa kichaa siyo uwongo
Aisee ndio nmemjua Leo, copy ya Mzee kabsa
Iavala komesha
Makongoro brother weeeee
Maskio popo!!
Mcheshi
Huyu wa kushoto mbona analazimisha habari za utopolo
Sijapenda anaongea anakohoa na kuweka mikono, anajishika pua kisha anawashika vijana mikono tiyari kama ana virus wanabeba covid 🤔🙄🤣
Acha umbea
Wewe wa ajabu sana, hii ilirekordiwa kabla hata ya Covid haijaja wala kujua kutakuwa na Covid, hii ilikuwa 2019.
Kwan kakushka ww
Acha kuwaza kitumwa ww,nani alikwambia Tanzania tuna Corona.