WAMASAI wa NGORONGORO WATINGA OFISINI kwa MAKONDA, WAMTWISHA MZIGO wa KERO za MAPORI TENGEFU,.🙌🙌

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 9

  • @anastazialushika
    @anastazialushika 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mw/ mkuu wa mkoa tumeona jitihada zako hongera sana Makonda Mungu aktangulie sana katika hii safari maana niwachache sana wenye moyo kama wako hongera sana . Ushauri wangu kamwe usivunjike moyo kwa majaribu utakayokutana nayo maana nia yako ni njema sana umetuonyesha nia yako baada tyu yakuteuliwa kuwa mwenezi taifa

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wallah wananchi wana kilio kikubwa kwa Tz. Makonda weee! Wananchi karibu wote wanakulilia

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda Rais Wetu Mtarajiwa❤

  • @Samuelkotema
    @Samuelkotema 3 หลายเดือนก่อน

    Huyo Hana uwezo wa kuwasaidia make wanaoratibu hayo mambo ni wakubwa wake.anaetakiwa kutoa tamko ni mkuu wa inchi ila ameendelea tu kunyamaza mungu atusaidie Wana ngorongoro?

  • @abednego3876
    @abednego3876 4 หลายเดือนก่อน

    Hawa masai wanajua kbs ili swala sababu kuu ni Samia, waache kumchonganisha Rc

  • @estambuya3901
    @estambuya3901 4 หลายเดือนก่อน

    Najiuliza kama arusha kero ni nyingi namna hii! Je nchi nzima?nijibu.

  • @Raphaelkele
    @Raphaelkele 4 หลายเดือนก่อน

    Mnamwaamini makonda kama Nani

  • @elfriedemsechu5690
    @elfriedemsechu5690 4 หลายเดือนก่อน

    Matatizo ya watu ni mengi. Ataweza kuwasikiliza wote? Itachukua miaka mingapi?

  • @RoseMayige-gn9qb
    @RoseMayige-gn9qb 4 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani, Mkuu wa Mkoa aliyepita alikua anafanya nini? Mbona watu wanamatatizo ya muda mrefu bila kupata ufumbuzi!??