Mw/ mkuu wa mkoa tumeona jitihada zako hongera sana Makonda Mungu aktangulie sana katika hii safari maana niwachache sana wenye moyo kama wako hongera sana . Ushauri wangu kamwe usivunjike moyo kwa majaribu utakayokutana nayo maana nia yako ni njema sana umetuonyesha nia yako baada tyu yakuteuliwa kuwa mwenezi taifa
Huyo Hana uwezo wa kuwasaidia make wanaoratibu hayo mambo ni wakubwa wake.anaetakiwa kutoa tamko ni mkuu wa inchi ila ameendelea tu kunyamaza mungu atusaidie Wana ngorongoro?
Mw/ mkuu wa mkoa tumeona jitihada zako hongera sana Makonda Mungu aktangulie sana katika hii safari maana niwachache sana wenye moyo kama wako hongera sana . Ushauri wangu kamwe usivunjike moyo kwa majaribu utakayokutana nayo maana nia yako ni njema sana umetuonyesha nia yako baada tyu yakuteuliwa kuwa mwenezi taifa
Wallah wananchi wana kilio kikubwa kwa Tz. Makonda weee! Wananchi karibu wote wanakulilia
Makonda Rais Wetu Mtarajiwa❤
Huyo Hana uwezo wa kuwasaidia make wanaoratibu hayo mambo ni wakubwa wake.anaetakiwa kutoa tamko ni mkuu wa inchi ila ameendelea tu kunyamaza mungu atusaidie Wana ngorongoro?
Hawa masai wanajua kbs ili swala sababu kuu ni Samia, waache kumchonganisha Rc
Najiuliza kama arusha kero ni nyingi namna hii! Je nchi nzima?nijibu.
Mnamwaamini makonda kama Nani
Matatizo ya watu ni mengi. Ataweza kuwasikiliza wote? Itachukua miaka mingapi?
Jamani, Mkuu wa Mkoa aliyepita alikua anafanya nini? Mbona watu wanamatatizo ya muda mrefu bila kupata ufumbuzi!??