Nimependa chanuo jana ulivyomshushua wasafi aliumbuka madebe😂😂😂alibaki mdomo wazi akakosa cha kujibu madebe ni mswahili sana anaonekana tu ata wasanii wake wapo kwa kicheche, clam
@mbengo tv msimuhoji tu chanuo mpeni connection huyo mama yuko vizuri jamani alee wanawawe wamaume ni balaa kwa kweli ni mawazo yangu tu jamani #Alamski❤❤❤
Sikatai kila mtu ana mtazamo wake ila Yale mambo ya kizaman kua akilalamika mwanamke anasikilizwa sana ukijumlisha na kilio kutafuta huruma.wakweli walikua wanawake wa kizamani tutambue haki ni kwajinsia zote isichukuliwe kwakua ni mwanamke mwanaume aonekane mbaya utafutwe ukweli wakina ili nani alaaumiwe.sio kumlaumu tu mwanaume kwakua imejijenga vichwani mwa watu kuwa wanaume ndio watesi.tusijisahuulishe chamani wanawake wakizazi hichi baadhi Yao wanawaliza wanaume machozi.wapo wanaopigws na wake zao wapo wanao letewa mpaka mabwana nyumbani na hawasemi wanaumia rohoni.tutendeeni haki Kwa uutafuta ukweli kwanza
Ningekua mwanaume ningekuoa lakini ni mwanamke mwanza ko dada hongera unansimamno mkali watu watakutukana lakini we nimpambanaji utapata tu mwanaume mzuri kwa kukuoa😢😢
CHANUO NILIKUONA BUZA PALE TULIKUA TUNA NUNUA DAGAA MCHELE nilitaman sana nikupe hai ila nilikua naona kabisa aupo sawa aseee madebe yamalize na uyu dada 🎉🎉🎉🎉
Ningekuwa mm chanuo ningemove on ningejikita kwenye kuigiza najua mungu amtupi mja wake kwasababu kipaji ni chake pili nisingehangaika na uyo baba kulea watoto Kuna masingle mother wengi na watoto wanaishi maisha safi tyu move on jmn igiza tafta maisha Yako unahangaika nn Sasa na uyo madebe
Mwanaume sio mtu wakumuamini hata kidogo mume wangu wa ndoa kabisa nimemkuta mission town nikamuonea huruma nilikuwa na kiakiba changu nikampa milion 2 aangalie biashara akiwekeze ili tujiendeleze nilipompa hiyo pesa kweli alifungua biashara alipofungua alinigeuka nikimuuliza vipi biashara inaendeleaje ananitukana na kuniambia ainihusu wakati mm ndio nimempa mtaji tangu siku hiyo naishi nae kwa akili sana pesa yangu ni hali hata mia
Najenga ila kiukweli sijengi mimi hata mke wangu ana mchango mkubwa sana siwezi sema uongo wanawake wengi hawapendi kuishi kwenye nyumba za kupanga wanatamani kuwa ma kwao....Huwa ananisisitiza sana huyo fala kuna anguko linamjia kwa dhuluma ya nguvu za watu
mm sina jambo la kuweka ila dada kwa hayo yote unayoongea hata kama uko sawa kumbuka mungu ushamkosea tyr umeongea mengi sana,ulitakiwa kuwa kimya tyu ukaamini mungu hakika angekujibu ila hayo mambo mliozozana mungu hapeni atawahukumu vyombo vya habar havitawasaidia zaid ya kuchafuana tz nzima na pia kuwaingizia kipato hao alafu waaandishi acheni umbeya
Hila mm navo juwa waparee ni majehurii sana na tatizo lahao kubuwa wanatakaha kuwamiliky muwaname mimi siweziy kukuamini kuwasababu nilishamuwa paharee Wa amukubalihi makosaa yenu munajiyona kwa nyinyi ni bora zaidy kuliko mume munaeshinae
Oya we tupo nachanua uyu dda namkubali sana lkn nabede anamtoa mjini dda embu kazana kufanya kz wanaume hawana lolote fanyakz zko dd ingiza ela ww ni star mkubwa kuliko uyo Madebe unajua mpk unajua tena
Makubwa, 😅 bi dada umetishaa, ilaa sio vizuri kuta ngaza mambo mabaya tuu, hivi ,miaka yote mloishi hadi kupata watoto, hakuna memaa alokutendeaa? Na tatizo lenu hamjatofautisha maisha ndoa na maisha ya sanaa,hapo ndioo shida ilipo, kilakitu mnaona kama sanaaatu
yaah wewe ndie umenena vizuri !!! watu wanachukulia ndia n maigizo yan imefikia hatua yakutangaza mambo ya ndoa kwenye media !!!! kama hii tabia wanawake woke wakifanya hv basi ndoa haina maana tena kwenye hii dunia
Mi nipo upande wako chanuo uyo madebe ni mshenzi alimuoa rafiki yangu yusra alimfuja akawa km mzee😢 mpk asichana wa watu akaomba taraka ni nafuu sahvi yupo sawa na alimpata uko kwenye mambo ya kuigiza....chanuo upo sawa ni naushaidi wa 100/100 uyo madebe ni balaaa
Napenda unavyo nyoosha maneno halafu husahau ulicho kisema hio ni dhahiri kuwa hii ni stori ya kweli Mungu yuko kipenzi kila kitu kitakua sawa mamy❤❤❤❤❤❤❤
hahaha !!!! sifa ya Muongo huwa anakukumbukumbu ukiona m2 kadanganya halafu kasahau ujue huyo sio Muongo ndio anajifunza !!!! kwahy kutosahau alichokisema inawezekana kwasababu n ukweli mtupu au kwasababu kabobea kwenye uongo kwahy hapo sio kila anaekumbuka n Mkweli😄😄😄
@@herimornchriston6083Si kwel nko n babangu mdogo n muongo kwel n akiongea kitu sai ukimuuliza tena badae hajui n yeye ndio amesema yani ana mtoto wke amemriti kila kitu😂😂😂😂
Muongo msahaurifu huyo s Muongo wakumuogopa kwasababu utajua wapi kwakukamatia shida n Mwongo mwenye kumbukumbu na kila Muongo mwenye kumbukumbu alianza kua muongo msaaurifu !!! in short uongo sio mzuri
Mungu atakusaidia mwanamke mwenzangu move on fanya mambo yako mama mtangulize mungu mbele utaona maajabu yake wote tumelelewa na tumekuwa na tunakuza na watotowetu vizuri kabisa, wanaume wazuri wapo mama yangu weeee na wanaojua nini thaman ya mwanamke amini hilo ,usije ukachukia wanaume wotee na wala usije ukachukia kuolewa tena hapana ,kama ulivyo muona zailisa kaachwa kaolewa tena na anaamani ya moyo maisha yanaendelea hivyoo yan, mungu atakubariki ameen🙏.
Mm ki ukweli nimemuelewa sana huyu dada anacho kipitia wanawake huwa tunabeba matatizo ya familia kama chanuo angekuwa anaongopa kataja watu wengi sana wa karibu na madebe na wana ona interview zote lazima wangekasirika na kupinga ukimya wao unaonyesha dhahir kama vyote anavyo viongea ni vya kweli jamani wanaume mtuhurumie mnaumiza sana watoto wa ckuhiz hawaoni tena dhamani ya ndoa wala familia wanajilea wenyewe mwisho wanaharibikiwa na kupoteza maisha kwa umri mdogo mm nipo nje ya nchi naona watanzania wadogo sana wana fanya mambo ya ajabu yote haya yanaanza majumbani mwetu tupigeni vita unyayasaji wa kijinsia 😢😢😢😢
Wewe. Binti mzuri tulia tu Mungu hamtupi mja wake dr mwaka alivuma. Mitandaoni lakini leo kila mtu anaishi maisha yake ya furaha. So achana na haya maneno ya mitandaoni. Nadhani kuna familia nyingi ambazo zina changamoto kama zakwako lakini hawaaniki mitandaoni. Watu washajua tabia ya madebe na sasa ni wakati wamatendo kwake wafuatiliaji wa muvi zake waache maana hazina uhalisia wowote. Muombee mungu ambadilishe tabia yake awe mume mwema. Mungu huwa ana majibu sana kuliko kawaida na sisi wanawake mungu anatusikia sana. Piga goti mama ubadilishe maisha yako
Mungu anajicho kubwa kushindwa nyinyi , kama mkitaka yeye aamue atawaadhibu wote wawili kwa kadri walivyokosea !!!! lakin tusijaji sana je wewe unayajua maisha yanyuma ya chanuo ? utajuaje kama hii n adhabu yake chanuo??? kikweli mambo yandoa za watu msiingilie mnafahamu aliofanyiwa lakin hamuwez jua alieyafanya !!!! je hv sasa ndoa inaheshimiwa ??? mbn hamujaji chanuo kitendo chakutangaza matatizo yandoa kwenye media ??? au wewe ukipata dhoruba kwenye ndoa ndio utakavyofanya???
@@herimornchriston6083 ukiona madebe alikuwa anakubalika Ila Sasa anavulia nguo ujue Kuna jambo ndo maana tunasemawenyezi Mungu Ana mpango wake ukifanya maovu sirini ukivuka mipaka Mwenyezi Mungu anakudharirisha,mwenye kumdharirisha mja wa Allah,Allah atamdharirisha yeye,Kuna mafundisho hapo
@@herimornchriston6083 cjui bt naomba tu uelewe kuwa madebe Ako na wanawake wengi xana.,na Kila mwanamke amezaa naye ,alafu anaachana nao.,kwa iyo Kila mwanamke ana uchungu na madebe.,alafukwa kwa iyo hao wanawake wte n wabaya haujapata mzuri anayeweza kukaa naye., Kila cku atakuwa anaoa tu.,c vizur kudharirisha wanawake., Mwenyezi Mungu atampa kiboko chake.,hajampa mali adharirishe wanawake.,umenielewa
Sema unampenda mumeo,na kizuri kujishusha dadaangu,murudiane,ndoa ni mchakato,onbeaneni misaa na Mungu atawapa sawabu,Mimi ninacho kishauri ni chema kwa ajili ya wanenu,siyo vizuri watoto kuishi na mzazi mmoja maana Kuna kuwa na upungufu wa maadili.
Uyu mwanamke tunamjua mtaani mpaka waume za watu walikuaga wanamchukia anapotosha sana wanawake alishapigwaga na mwanajeshi mpaka akachaniwa dera uyo namjua vzur nmekaa nae chanika lubakaya njoon muulze majirani mbona mnakoseaga sana
Hapo simuelewi huyu dada kama unamuogopa madebe ni mchawi kwa anavyo jieleza na hivyo tisho vyako ungekwenda ktk media kumuanika kiasi hicho!!?sidhani wala sifikiri kama unamuogopa mademe kwa vitisho vya huyo babu yake .
Wanawake wengi Hua wagomvi Sana kwenye ndo alaf wanatoa huruma kwenye jamii mm naamin huyu dada aliona huu upepo aishi Nae nmetizama interview zake Kadha lkn kwa jinsi anavyongea utajua kbsa huyu dada ako kimaslahi Zaidi nnmtazamo wangu tu msiniue kwa maneno
Nimefurahi tu kuwa amekuwa mkavu vzuri hii inaonesha amekuwa mkomavu hivi ndo inavotakiwa halfu hizi interview ziwe mwisho now fanya maisha Yako sitetei upande wowote but wanaume kuna muda tunazingua wanawake wanaotukubali but kila mtu afanye maisha Yake now
Hivi kwan nyinyi wasaniii mbona mnataka kila kitu mpaka watu tujue mi naona mambo mengne mfanye siri siyo mukitak kuoana tujue mukipata changamoto kwenye ndoa yenu tujue mukidaihana talaka tujue munataka kuhachana tujue vitu vingne mufanye siri bana siyo kila kitu mpaka muhenfe media
Sikatai kila mtu ana mtazamo wake ila Yale mambo ya kizaman kua akilalamika mwanamke anasikilizwa sana ukijumlisha na kilio kutafuta huruma.wakweli walikua wanawake wa kizamani tutambue haki ni kwajinsia zote isichukuliwe kwakua ni mwanamke mwanaume aonekane mbaya utafutwe ukweli wakina ili nani alaaumiwe.sio kumlaumu tu mwanaume kwakua imejijenga vichwani mwa watu kuwa wanaume ndio watesi.tusijisahuulishe chamani wanawake wakizazi hichi baadhi Yao wanawaliza wanaume machozi.wapo wanaopigws na wake zao wapo wanao letewa mpaka mabwana nyumbani na hawasemi wanaumia rohoni.tutendeeni haki Kwa uutafuta ukweli kwanza
Sasa njaa ndio umpeleke mtoto ktk sehem sio salama watajifunza nini kwa hao mashoga?kwanini usiwapeleke watoto kwa baba zake au bibi zake?ukikaanao hao watoto unawapeleka kwa watu dizain kama hiyo simtihani huo?
Wewe ni star Dada funguka tu wanawake tunanyanyaswa sana za Ma zle za kuambiwa tunajaza vyoo zmepta sasa kwakua tunapambana wao wanatumia fulsa kutudhulumu kwakua wewe ni star wapo watakaojifunza kupitia wewe wanawake tuamke sasa hawa watu sio wakuwapa vipato vyetu tuchekenao tu lkn
Hawa wote malaya wewe kama umeanzakutombwa ovyo na miaka 15 unazani hapa Kuna nn na kama mwana mke wewe sio msungo ungewezaje kutoa siri za mumeo katika vyombo vya habari
Na wewe madebe movi zenu zinaelomisha sana ila nyinyi wenyewe hamna heshima hamuweleweki kilamtuanajuwa utumbowenu ambao muneufanya mumekuwa hamjuwi samani zaa ndoa tena za kiislamu
Hakuna Mali hapa comment hazikujengi ww unashndana na mmeo huko unatuletea tukusaidie nn unakamia kumharibia mtu umezaa naye ili iweje hunamaadili kabsa
Unajua madebe anajua wazii wanawake wananpenda kwasababu ya umarufu wake ndio maana anawachezea 😂huenda kabla hajawa maarufu walikuwa wanawita nyani so analipizaa😂
Yaani huyu dada mtangazaji anajikataa. Yaani kutana nae sehemu aisee anasema wao ni mapacha sasa sijui hajiamini😂😂😂😂 dada Layna jiamini bhana mbona kazi unayoifanya ni nzuri!!!!!!!
Huyu dada keshapona maumivu ya huyo baba...safii sanaa
Kbs kawa mkavu moyo usha ushakinai maumivu😂😂
😂😂 Yani had rahaaaa👌riziki atapata tu MUNGU mwema
Kwanza dada mwenyewe mrembo sana
Kabisa yan hujakosea nimependa amepona
Nimependa chanuo jana ulivyomshushua wasafi aliumbuka madebe😂😂😂alibaki mdomo wazi akakosa cha kujibu madebe ni mswahili sana anaonekana tu ata wasanii wake wapo kwa kicheche, clam
Yani aliumbuka linabaki kusema ooh nimepita jandoni😂😂 jando ndio nini upuuzi tu mambo ya kishamba
@@scholamodestus9386 😂😂😂🤣🤣
ni kweli madebe hawezi kulea watoto na ni malaya sana
Mwenyew mrembo tu Jaman ht kuongea kwake pia anaingea vzr nakupenda sana mwenyez mungu atakujaali utapata Hali yako
@mbengo tv msimuhoji tu chanuo mpeni connection huyo mama yuko vizuri jamani alee wanawawe wamaume ni balaa kwa kweli ni mawazo yangu tu jamani #Alamski❤❤❤
Sikatai kila mtu ana mtazamo wake ila Yale mambo ya kizaman kua akilalamika mwanamke anasikilizwa sana ukijumlisha na kilio kutafuta huruma.wakweli walikua wanawake wa kizamani tutambue haki ni kwajinsia zote isichukuliwe kwakua ni mwanamke mwanaume aonekane mbaya utafutwe ukweli wakina ili nani alaaumiwe.sio kumlaumu tu mwanaume kwakua imejijenga vichwani mwa watu kuwa wanaume ndio watesi.tusijisahuulishe chamani wanawake wakizazi hichi baadhi Yao wanawaliza wanaume machozi.wapo wanaopigws na wake zao wapo wanao letewa mpaka mabwana nyumbani na hawasemi wanaumia rohoni.tutendeeni haki Kwa uutafuta ukweli kwanza
Mashallah chanuo umeamua kumove on zidi kuomba mungu akupe subra, sema Dada utoe uchungu moyoni
Ningekua mwanaume ningekuoa lakini ni mwanamke mwanza ko dada hongera unansimamno mkali watu watakutukana lakini we nimpambanaji utapata tu mwanaume mzuri kwa kukuoa😢😢
CHANUO NILIKUONA BUZA PALE TULIKUA TUNA NUNUA DAGAA MCHELE nilitaman sana nikupe hai ila nilikua naona kabisa aupo sawa aseee madebe yamalize na uyu dada 🎉🎉🎉🎉
Pole sana chanuo uyo madebe sio mtu ila jitu
Wanaume tuna tamaaaa sasa kifaa kama hichi madebe anakiacha😂😂😂😂
Wewe mwanamke hukufundwa unatafuta huruma ya watanzania kama aliyekuwa mke wa docta mwaka
Hakufundwa hata kidogo anatafuta sana attention kupitia Mbengo TV nawasafi
Ningekuwa mm chanuo ningemove on ningejikita kwenye kuigiza najua mungu amtupi mja wake kwasababu kipaji ni chake pili nisingehangaika na uyo baba kulea watoto Kuna masingle mother wengi na watoto wanaishi maisha safi tyu move on jmn igiza tafta maisha Yako unahangaika nn Sasa na uyo madebe
Mwanaume sio mtu wakumuamini hata kidogo mume wangu wa ndoa kabisa nimemkuta mission town nikamuonea huruma nilikuwa na kiakiba changu nikampa milion 2 aangalie biashara akiwekeze ili tujiendeleze nilipompa hiyo pesa kweli alifungua biashara alipofungua alinigeuka nikimuuliza vipi biashara inaendeleaje ananitukana na kuniambia ainihusu wakati mm ndio nimempa mtaji tangu siku hiyo naishi nae kwa akili sana pesa yangu ni hali hata mia
Najenga ila kiukweli sijengi mimi hata mke wangu ana mchango mkubwa sana siwezi sema uongo wanawake wengi hawapendi kuishi kwenye nyumba za kupanga wanatamani kuwa ma kwao....Huwa ananisisitiza sana huyo fala kuna anguko linamjia kwa dhuluma ya nguvu za watu
Skushangai dada chanuo hila watu wa kusini ndo walivyo hta sion ajabu kwa baba watoto wako wamwela ni watu wabinafs sana ususani wakiwa na kipato
Asikuchoshe bibieeeee pambana na maisha nyumba utapata ya kwako na kila kitu huyo ni mshamba na roho mbaya yake
Hap ndo wanaume sasa ,mungu akusimamie kipenz
4:02 ww dada nakuelewa sana dah
mm sina jambo la kuweka ila dada kwa hayo yote unayoongea hata kama uko sawa kumbuka mungu ushamkosea tyr umeongea mengi sana,ulitakiwa kuwa kimya tyu ukaamini mungu hakika angekujibu ila hayo mambo mliozozana mungu hapeni atawahukumu vyombo vya habar havitawasaidia zaid ya kuchafuana tz nzima na pia kuwaingizia kipato hao alafu waaandishi acheni umbeya
Haya mambo yanahitaji sheria ,namshauri apate mwanasheria mzuri mbona huyo mapipa atanyoka uswahili na sheria kipi ni kipi
Pole Chanuo wewe nimrembo sana achana nalile zee
Chanuo mm nakuhitaji niko malindi achana na madebe mshenzi hajui kutunza ndoa njoo kwngu plz nitumie namba yako
Hila mm navo juwa waparee ni majehurii sana na tatizo lahao kubuwa wanatakaha kuwamiliky muwaname mimi siweziy kukuamini kuwasababu nilishamuwa paharee Wa amukubalihi makosaa yenu munajiyona kwa nyinyi ni bora zaidy kuliko mume munaeshinae
Ww achaga uwongo
Oya we tupo nachanua uyu dda namkubali sana lkn nabede anamtoa mjini dda embu kazana kufanya kz wanaume hawana lolote fanyakz zko dd ingiza ela ww ni star mkubwa kuliko uyo Madebe unajua mpk unajua tena
Mwanamke akipata tu vihela anachukuwa nafas ya mwanaume m1 ndo inajenga nyumba na hujioni ulivonawili hujawah pewa kitu mbon umenawili sana
Anatabia ngumu Sana mtu asiependa mgeni uyo hana maana katika dunia
Chanuo mtafute Queen masanja mwanamke jasiri, mpambanaji aliyejinasua kwa mume fedhuli, atakupa dira ya maisha
😢😢😢pole sana usimwamin mwanaume kwny kujenga,,, mwenzio mie mpk sasa nimuhanga ktk hilo la kushare kujenga na MUME.
Wee kwer 😢😢😢Pole mi naogopa wanaume
We sio mwanmke kabisa wa kuishi na mume ndo tofauti kati ya mke na mwanmke
Wala huyu dada ukimfatilia kwanza anamdomo sana hilo nitatizo aisee
Ww ni mwanamke mpumbavu chanuo ulipokutana na madebe hukuja kweny media
Nasoma comments nimeanza kuona watu sasa wanaanza kufunguka akili😂
Yani ningekua na uwezo ningeanzisha makao ya wanawake wanaopitia mambo kama haya
Wasani mna mambo sasa tushike yapi huku kuna chanuo nchakala na kule kuna haji manara v/s DM # zeylisa,duuuh.
Kwà hiyo madebe anawariga wanawake ndio maana wanamngangania hivyo? Kwani ana nini mbona ni mwanaume wa kawaida tu? Au ni mimi tu ndio naona
😂😂😂😂nimecheka
huenda yuko sahihi lakini ukirudia alivyoizungzia taraka aliyotumiwa pindi yupo kenya ilionyesha hakulizikanayo
Makubwa, 😅 bi dada umetishaa, ilaa sio vizuri kuta ngaza mambo mabaya tuu, hivi ,miaka yote mloishi hadi kupata watoto, hakuna memaa alokutendeaa? Na tatizo lenu hamjatofautisha maisha ndoa na maisha ya sanaa,hapo ndioo shida ilipo, kilakitu mnaona kama sanaaatu
yaah wewe ndie umenena vizuri !!! watu wanachukulia ndia n maigizo yan imefikia hatua yakutangaza mambo ya ndoa kwenye media !!!! kama hii tabia wanawake woke wakifanya hv basi ndoa haina maana tena kwenye hii dunia
Kwan hamjui km Hao wote ni master kwaiyo nyie mashabiki tulizen mishono km limekukera acha kuangalia sio lazima😂😂😂
hahaha !!! bas vizuri kama umelitambua hilo hao wote n waigizaji kama m2 anaweza kuigiza muvi bas anaweza kuigiza maisha vile vile !!!!
Kweli kbs
Pole san
Manara alitakiwa amuoe chanuo alafu amheshimishe kama alivyomheshimisha zaylissa hapo madebe ndiyo angejua umuhimu wa mwanamke na uzuri wake 😅😅
Yan ww mwanaume unavomnunulia pombe alaf unajifanya mrevi aya uwongo ww mwanaume
Sawaa... tatizo mnaanika mamboyenu ya ndani mtandaoni kumbukeni mnawatoto watakuja kuona huwo ujinga wenu yamalizeni kimyakimya 👄👄
Wacha waone, hujui maumivu yake, watoto nao wajue waone tu Madudu yake
Kwahy chanuo unasemaje yan bn we lea watoto bn mbn masingle mzaa tupo kibao
Mimi nampendanga chanuo, akunje kenya nimuoe
Umesha zaa nae usitoe nengi dad jamn
Hawa wanawake mdio chanzo caha wanaume kuwa na matatizo, mana waliweza kufanikiwa kumtowa mwanaume peponi
Ile barua ya selikali za mitaa ukiiskiliza utajua imeandikwa kibabe
Eti nnaubavu kwa m.baba yule😂😂😂😂
Ogopa sana mdada kama uyu kumbuka uyo ni Baba watoto wako unamchafua ili iweje
Warudia interview... Sbb hili la serikali ya mtaa alishaliongelea
Achana na hio ng'onbe ndume halina akili timamu ni ukahaba tuu
Kama kweli ni mke wa ndoa atumie njia za kisheria haki atapata.
Jimbo lipo wazi toto la kitanga❤
mpale
Uwongo mtupu
Narudia tena Madebe ni kahaba professionally
Ni muongo barua inasema kwa hiyari yake bila kushawishiwa na mtu yeyote na akasaini,nendeni ofc ya mtaa lubakaya ipo chanika
Pekee ako ndo hujaelewa pole
Mi nipo upande wako chanuo uyo madebe ni mshenzi alimuoa rafiki yangu yusra alimfuja akawa km mzee😢 mpk asichana wa watu akaomba taraka ni nafuu sahvi yupo sawa na alimpata uko kwenye mambo ya kuigiza....chanuo upo sawa ni naushaidi wa 100/100 uyo madebe ni balaaa
ni wakati wa wote walioshalilishwa na huyu mwanamme wajitokeze.
ili iweje ???
Musijaji upande mmoja...
ya kweli
Nitashangaa kuon mtu atajiita mwanaume alaf ambeze madebe awe upande wa shetani labd liwe punga kwatulioishi na hivi viumbe hatusumbuki nao Ni wasenge
Yule baba hafai i hope watu wataacha kumsupport. Jitu lishenzi kama kitu gani
Eti wageni mjinga kweli wanasema Mgeni siku mbili yatatu mpejembe alime 😢😂😂😂😂😂😂
Maisha magumu ndugu madebe😢
Akakanamuke kabaya huwezi weka wazi mumewako . Uliolewa nampango waku chafua familia ya Madebe😢. Utashindwa kwajina la ….
Huo ndo uwanamke chanuo ukilialia ndo anakuona hauna cha kufanya nakupenda bure dadangu pambana mungu atakutangulia kwa kila njia
Lakini k
Bakiza maneno dada huyo baba wa wanao nahuku kweny mtandao unasaidika ama nikujitangaza tu
kama hayajakukuta hamuwezi kumwelewa uyu dada jamni
Mm hayaja nikuta ili nimeumia sana
👏👏
Nikwel daa apo umeongea
Uyo mwanaume ni mshenzi ndo maana anaoa na anaacha na uyo aliye muoa ataachika tu pole chanuo mungu yupo na wewe
Kwani chanuo mini shida chanini nitakipata lini kaza buti, kwani yeye nani,watoto watapata baba mwengine wee tulia tu
Mungu tu ndio hatakae kuua sio yeye
Napenda unavyo nyoosha maneno halafu husahau ulicho kisema hio ni dhahiri kuwa hii ni stori ya kweli Mungu yuko kipenzi kila kitu kitakua sawa mamy❤❤❤❤❤❤❤
hahaha !!!! sifa ya Muongo huwa anakukumbukumbu ukiona m2 kadanganya halafu kasahau ujue huyo sio Muongo ndio anajifunza !!!! kwahy kutosahau alichokisema inawezekana kwasababu n ukweli mtupu au kwasababu kabobea kwenye uongo kwahy hapo sio kila anaekumbuka n Mkweli😄😄😄
Hata mim nimemkubali kwa hilo ananyoosha san maelez yake
@@herimornchriston6083Si kwel nko n babangu mdogo n muongo kwel n akiongea kitu sai ukimuuliza tena badae hajui n yeye ndio amesema yani ana mtoto wke amemriti kila kitu😂😂😂😂
Muongo msahaurifu huyo s Muongo wakumuogopa kwasababu utajua wapi kwakukamatia shida n Mwongo mwenye kumbukumbu na kila Muongo mwenye kumbukumbu alianza kua muongo msaaurifu !!! in short uongo sio mzuri
yaah lazima anyooshe maelezo kwasababu hakwenda kwenye media kwakushtukizwa kajipanga vzr hasa sasa atapindishaje maelezo kwamfano
Wanawake acheni ujinga
Masuala ya ndoa yanafuata nn mtandaoni
Ujinga umekujaa chanuo 😡😡😡
Mungu atakusaidia mwanamke mwenzangu move on fanya mambo yako mama mtangulize mungu mbele utaona maajabu yake wote tumelelewa na tumekuwa na tunakuza na watotowetu vizuri kabisa, wanaume wazuri wapo mama yangu weeee na wanaojua nini thaman ya mwanamke amini hilo ,usije ukachukia wanaume wotee na wala usije ukachukia kuolewa tena hapana ,kama ulivyo muona zailisa kaachwa kaolewa tena na anaamani ya moyo maisha yanaendelea hivyoo yan, mungu atakubariki ameen🙏.
Unapoandika neno Mungu anza na herufi kubwa
😂zaylisa hamna mke pale
Eti what is really happening!!!! Unapenda hii statement!
So nikusaidie......*what really happened*?
HUYU DADA MTANGAZAJI NI MTANGAZAJI MZURI. KWANINI CLOUDS FM HAWAMUONI? LOVE FROM EUROPE
hawana ela yakumlipa
Pole sana chanuo penye kuna shamba panakosekana wakulima . Mimi nipo Rwanda ndo naeshi ila mrembo kama wewe niko rizaa ya kutowa posa
Mm ki ukweli nimemuelewa sana huyu dada anacho kipitia wanawake huwa tunabeba matatizo ya familia kama chanuo angekuwa anaongopa kataja watu wengi sana wa karibu na madebe na wana ona interview zote lazima wangekasirika na kupinga ukimya wao unaonyesha dhahir kama vyote anavyo viongea ni vya kweli jamani wanaume mtuhurumie mnaumiza sana watoto wa ckuhiz hawaoni tena dhamani ya ndoa wala familia wanajilea wenyewe mwisho wanaharibikiwa na kupoteza maisha kwa umri mdogo mm nipo nje ya nchi naona watanzania wadogo sana wana fanya mambo ya ajabu yote haya yanaanza majumbani mwetu tupigeni vita unyayasaji wa kijinsia 😢😢😢😢
Wewe. Binti mzuri tulia tu Mungu hamtupi mja wake dr mwaka alivuma. Mitandaoni lakini leo kila mtu anaishi maisha yake ya furaha. So achana na haya maneno ya mitandaoni. Nadhani kuna familia nyingi ambazo zina changamoto kama zakwako lakini hawaaniki mitandaoni. Watu washajua tabia ya madebe na sasa ni wakati wamatendo kwake wafuatiliaji wa muvi zake waache maana hazina uhalisia wowote. Muombee mungu ambadilishe tabia yake awe mume mwema. Mungu huwa ana majibu sana kuliko kawaida na sisi wanawake mungu anatusikia sana. Piga goti mama ubadilishe maisha yako
Msichana mdogo lakini unajua kuuliza maswali vizuri❤❤❤❤
Njoo zanzibar uje upumzike hata kama utakuja na watoto fresh tu utakula na kulala tena bure. Karibu sana, nakukubali sanaaaa.
Nsaidie kaz na mimi nanyanyasiks
Hahaha nyumbani aje
😂😂😂
Naomba namm nije au nitafutie kazi jmn maisha magumu masika hii
Chanuo unaongea ukweli kabsa..,madebe n mwanaume mbaya xna..,lakini anjuwe vle anavyoliza wanawake.,Mungu atampa kiboko chake
Kiboko chake ni Mwenyezi Mungu,Nina matumaini ana mpango wake
Mungu anajicho kubwa kushindwa nyinyi , kama mkitaka yeye aamue atawaadhibu wote wawili kwa kadri walivyokosea !!!! lakin tusijaji sana je wewe unayajua maisha yanyuma ya chanuo ? utajuaje kama hii n adhabu yake chanuo??? kikweli mambo yandoa za watu msiingilie mnafahamu aliofanyiwa lakin hamuwez jua alieyafanya !!!! je hv sasa ndoa inaheshimiwa ??? mbn hamujaji chanuo kitendo chakutangaza matatizo yandoa kwenye media ??? au wewe ukipata dhoruba kwenye ndoa ndio utakavyofanya???
@@herimornchriston6083 ukiona madebe alikuwa anakubalika Ila Sasa anavulia nguo ujue Kuna jambo ndo maana tunasemawenyezi Mungu Ana mpango wake ukifanya maovu sirini ukivuka mipaka Mwenyezi Mungu anakudharirisha,mwenye kumdharirisha mja wa Allah,Allah atamdharirisha yeye,Kuna mafundisho hapo
@@herimornchriston6083 cjui bt naomba tu uelewe kuwa madebe Ako na wanawake wengi xana.,na Kila mwanamke amezaa naye ,alafu anaachana nao.,kwa iyo Kila mwanamke ana uchungu na madebe.,alafukwa kwa iyo hao wanawake wte n wabaya haujapata mzuri anayeweza kukaa naye.,
Kila cku atakuwa anaoa tu.,c vizur kudharirisha wanawake., Mwenyezi Mungu atampa kiboko chake.,hajampa mali adharirishe wanawake.,umenielewa
Chanuo Mzazi mwenza ameongea kuwa Uheshimu japo Ndoa...Usitoe ya Ndani Social media Nyote munadalilika usione unamdhalilisha madebe tu...
Asante sana me nasoma comment zawanaojielewa wote😂
Maisha ya ndani mnayatoa mitandaoni,,amani utakuepo kweli?,mnajidhalilisha2
Uwe na kiasi cha kuongea😊
Huyu mwanamuke yuko vizuri sana zaidi ya sana, Atapata mwanamume bora zaidi na mwenye akili.
Jamaa akiongelea din unaweza sema ni bonge la shekh kumbe mbuz😂young lunya
Nyie mbona mnachimba ndoa ya watu haijakaa sawa chanuo unajidharirisha
Mbona huyo dada bado mdogo kwanza namtaka mtoto mrembo huyo ❤❤❤❤❤
😂
Husirudie tena mwanaume nimajini Fanya yako kivyakooo
Sema unampenda mumeo,na kizuri kujishusha dadaangu,murudiane,ndoa ni mchakato,onbeaneni misaa na Mungu atawapa sawabu,Mimi ninacho kishauri ni chema kwa ajili ya wanenu,siyo vizuri watoto kuishi na mzazi mmoja maana Kuna kuwa na upungufu wa maadili.
Uyu mwanamke tunamjua mtaani mpaka waume za watu walikuaga wanamchukia anapotosha sana wanawake alishapigwaga na mwanajeshi mpaka akachaniwa dera uyo namjua vzur nmekaa nae chanika lubakaya njoon muulze majirani mbona mnakoseaga sana
Hapo simuelewi huyu dada kama unamuogopa madebe ni mchawi kwa anavyo jieleza na hivyo tisho vyako ungekwenda ktk media kumuanika kiasi hicho!!?sidhani wala sifikiri kama unamuogopa mademe kwa vitisho vya huyo babu yake .
Wanawake wengi Hua wagomvi Sana kwenye ndo alaf wanatoa huruma kwenye jamii mm naamin huyu dada aliona huu upepo aishi Nae nmetizama interview zake Kadha lkn kwa jinsi anavyongea utajua kbsa huyu dada ako kimaslahi Zaidi nnmtazamo wangu tu msiniue kwa maneno
Nimefurahi tu kuwa amekuwa mkavu vzuri hii inaonesha amekuwa mkomavu hivi ndo inavotakiwa halfu hizi interview ziwe mwisho now fanya maisha Yako sitetei upande wowote but wanaume kuna muda tunazingua wanawake wanaotukubali but kila mtu afanye maisha Yake now
Hivi kwan nyinyi wasaniii mbona mnataka kila kitu mpaka watu tujue mi naona mambo mengne mfanye siri siyo mukitak kuoana tujue mukipata changamoto kwenye ndoa yenu tujue mukidaihana talaka tujue munataka kuhachana tujue vitu vingne mufanye siri bana siyo kila kitu mpaka muhenfe media
Sikatai kila mtu ana mtazamo wake ila Yale mambo ya kizaman kua akilalamika mwanamke anasikilizwa sana ukijumlisha na kilio kutafuta huruma.wakweli walikua wanawake wa kizamani tutambue haki ni kwajinsia zote isichukuliwe kwakua ni mwanamke mwanaume aonekane mbaya utafutwe ukweli wakina ili nani alaaumiwe.sio kumlaumu tu mwanaume kwakua imejijenga vichwani mwa watu kuwa wanaume ndio watesi.tusijisahuulishe chamani wanawake wakizazi hichi baadhi Yao wanawaliza wanaume machozi.wapo wanaopigws na wake zao wapo wanao letewa mpaka mabwana nyumbani na hawasemi wanaumia rohoni.tutendeeni haki Kwa uutafuta ukweli kwanza
Sasa njaa ndio umpeleke mtoto ktk sehem sio salama watajifunza nini kwa hao mashoga?kwanini usiwapeleke watoto kwa baba zake au bibi zake?ukikaanao hao watoto unawapeleka kwa watu dizain kama hiyo simtihani huo?
Wewe ni star Dada funguka tu wanawake tunanyanyaswa sana za Ma zle za kuambiwa tunajaza vyoo zmepta sasa kwakua tunapambana wao wanatumia fulsa kutudhulumu kwakua wewe ni star wapo watakaojifunza kupitia wewe wanawake tuamke sasa hawa watu sio wakuwapa vipato vyetu tuchekenao tu lkn
Hawa wote malaya wewe kama umeanzakutombwa ovyo na miaka 15 unazani hapa Kuna nn na kama mwana mke wewe sio msungo ungewezaje kutoa siri za mumeo katika vyombo vya habari
Mbona kuna point kaitoa huyu Dada umeiruka...akimanisha madebe alikwenda kusema ukweli?
Na wewe madebe movi zenu zinaelomisha sana ila nyinyi wenyewe hamna heshima hamuweleweki kilamtuanajuwa utumbowenu ambao muneufanya mumekuwa hamjuwi samani zaa ndoa tena za kiislamu
Hakuna Mali hapa comment hazikujengi ww unashndana na mmeo huko unatuletea tukusaidie nn unakamia kumharibia mtu umezaa naye ili iweje hunamaadili kabsa
Madebe hata usoni anaonekana mnafiki,mzushi mungu atakuwezesha
Kweli kabisa
Yaani mtangazaji wetu Rey ulivyokuwa mrembo hivo unajianika mtandaoni bila stara nawe ni binti wa kiislamu?
Unajua madebe anajua wazii wanawake wananpenda kwasababu ya umarufu wake ndio maana anawachezea 😂huenda kabla hajawa maarufu walikuwa wanawita nyani so analipizaa😂
Madebe malaya unajifanya mjumbe wa namba tano mjumbe gan ww unaimbia nn jamiii sura baya mchafuvkuoga ila duuu unajiona sana lea watoto
dah uyu sister kasema ukweli kabisa dada movie on
kwaiyo bongo idadi ya watu millioni 120 wandishi wa habar ni wasanii pekee ndio munaona i say umbeya kazi
wanasemaga wapenzi wakigombana chukua ndoo ukaoge ,,usishangae baadae siku zijazo madebe wakarudiana na chanua
Yaani huyu dada mtangazaji anajikataa. Yaani kutana nae sehemu aisee anasema wao ni mapacha sasa sijui hajiamini😂😂😂😂 dada Layna jiamini bhana mbona kazi unayoifanya ni nzuri!!!!!!!
Kwanza m🇰🇪 mimi ckumuelewa hakuwa na jipya hata dida alimteta sn
Hata alichoongea hakikueleweka yule baba mbabaishaji