Naona mkojani umekwisha, kila siku unagombana na wenzako, munatusumbuwa wapenzi wenu tunapoteza muda kufatilia umbambamba halaf munagombana kwa ujinga season inafika mwisho wakati haijaisha.
Team ikikamilika mpaka raha illa ndio maisha kuwekana Sawa tamaa mbelle mauti nyuma kuweni pamoja mtufurahishe na yenu iwe noti ausiyo wewe ngombe hunijui haipingwi zakayo tulieni oman pamoja sana
Naona mkojani umekwisha, kila siku unagombana na wenzako, munatusumbuwa wapenzi wenu tunapoteza muda kufatilia umbambamba halaf munagombana kwa ujinga season inafika mwisho wakati haijaisha.
Wanazingua Sana kiukweli
Jaman mushaurimukojaniahchetama anajiharibia na anapotezawashabik
Nazi ilimdondokea kwenye😀😀, Alafu ahahaha.!
Team ikikamilika mpaka raha illa ndio maisha kuwekana Sawa tamaa mbelle mauti nyuma kuweni pamoja mtufurahishe na yenu iwe noti ausiyo wewe ngombe hunijui haipingwi zakayo tulieni oman pamoja sana
ما هذا مسلسل جميل ❤ mashallah muko vzr sana time mkojani tumepata mafunzo .......
mkojani bin darwesh bin tarbush
Mbwa mkojani... Kuogeshwa ndio kwenda kufilimbwa urembe sio...
Rudisha wakinachuvinyingi madwende samofi laadha hakuna wacha uchoyo badilika mkojani unatuboo sanq
🙋
Mkojani umezidisha speed skuizi unagombana sana nawenzako wengi imekua unagombana nao
Nawapenda Sana ninyi jamaa mkiwa pamoja .
Nawakubali sana sema mmetubania kwenye Umbambamba haijaisha nyie mnamaliza 😊😊
Good
Lazima nionje utamu siyo (RAZIMA)
Huyu nagwa si aligombana nae wameelewana tena
Mkojani utashuka kiwango kwa sababu ya tabiya ya kugombana na wenzako
Mkojani unaupiga mwingi
Chemistry hii siopoa
Kaka acha roho mbaya kula na ulio chums nao
Mko vizuri
🤣🤣🤣🤣
Nice ❤
Kufilimba urembe??
Nawakubali sana sema mmetubania kwenye Umbambamba haijaisha nyie mnamaliza
Huyu jamaa kichwa chake kibovu....
Fuatilien vzr mkojani na nagwa hawakugomban ila alivunjika mguu wakiwa wanashoot video ndo ilamfanya asionekane kazn