Aya yote mwayataka nyinyi masheikh mumekata sheria ya Allah mkakubali sheria za watu ayo ndio matokeo sasa watu wakiambiwa ukweli kusu dini yao na masheikh wakweli mnapiga mwasema wanapoteza vijana leo vijana wako kwenye njia ya sawa ya ushoga sasa twaendapi sisi waislam
@bakariweko3958 apo nakuunga mkono mia mia kaka ... Hata wakati wakina Omar kafiri alipewa haki yake ....Kweli Abuu hamzaa ameongea maneno ya busara lakini tuangalieni na uzito walile tendo lilifanyika...Hata mtume alitukanwa lakini hakuchua hatua ovu kama hiyo isitoshe jamii tulioko nayo mtume wetu atukanwa kila siku paka Allah watu wamtukana kupitia manyimbo mbona hawasimami waka nena...tuangalieni haki jamani
Abu shureim twaomba khutba ya sheikh ya ijumaa ❤from 🇺🇸
Sawa sawa sheikh Abu hamza.umezungumza vizuri.
Maneno ya hekima na busara. Shukran Sheikh
Mwamtetea governor abuu hamza ogopa Allah haifai kutetea uovu
Uweli maneno yako amekoseya ❤❤❤sheikh hamza hikima nikitu chabusara❤❤❤❤ wataacha kutukana watu mitandao❤❤❤
In shaa Allah haki itapatikana na kudhihirika kwa yule anaejificha kujifanya mzuri na nimwovu
KILA MMOJA ANAKOSA LAKE NA KILA KOSA LINA HUKUMU LAKE SO KILA MMOJA AHUKUMIWE KWA KOSA LAKE
Mwenye kutetea uovu au kusaidia pia yumo nae
Aya yote mwayataka nyinyi masheikh mumekata sheria ya Allah mkakubali sheria za watu ayo ndio matokeo sasa watu wakiambiwa ukweli kusu dini yao na masheikh wakweli mnapiga mwasema wanapoteza vijana leo vijana wako kwenye njia ya sawa ya ushoga sasa twaendapi sisi waislam
@bakariweko3958 apo nakuunga mkono mia mia kaka ...
Hata wakati wakina Omar kafiri alipewa haki yake ....Kweli Abuu hamzaa ameongea maneno ya busara lakini tuangalieni na uzito walile tendo lilifanyika...Hata mtume alitukanwa lakini hakuchua hatua ovu kama hiyo isitoshe jamii tulioko nayo mtume wetu atukanwa kila siku paka Allah watu wamtukana kupitia manyimbo mbona hawasimami waka nena...tuangalieni haki jamani