"Uwekezaji wa miti unaenda sambamba na watu" | macadamia Africa ~ USHAURI na Emmanuel Itonye
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024
- subscribe@macadamiaAfrica kwa video nzuri
Jiunge na whatsApp chat.whatsapp.... kwa masomo na ushauri zaidi
Karibu sana hapa @macadamia Africa ~ USHAURI / @macadamiaafrica
Emmanuel Itonye ~ Mtalaam
Magreth Emmanuel ~ Admin
1. Kiingilio 20,000/= tu
2. Nakala bure ya kitabu (soft copy) "*kilimo cha makadamia mwongozo wa mkulima*" kwa kila mshirika
3. Fursa ya kuuliza na kuchangia changamoto zinazohusu kilimo cha makadamia
4. Fursa za masoko, fursa ya kukutana na wakulima na wadau wengine katika mnyororo wa thamani wa zao la makadamia hapa Tanzania
5. Mafunzo kila wiki kuhusu mada yoyote ya zao la makadamia
Na mengine mambo mazuri, yatakayokusaidia wewe mkulima kutimiza ndoto yako ya kulima zao la makadamia kwa ufanisi na uhakika zaidi.
NB: malipo yote kwenda M-PESA namba +255 765 244 541 (Emmanuel Charles Itonye)
Link:
chat.whatsapp....
kwa msaada zaidi piga simu au tuma ujumbe kwa whatsApp namba +255 765 244 541
Karibu sana!
#macadamia #kilimo #tanzania #ushauri
Good work mtaalamu wetu!
Good work Mr Emmanuel
Thanks Mr. Bavon
cây nhỏ bạn không nên cắt tỉa cành nhiều lần, để nhiều lá cành để tiếp xúc ánh nắng mặt trời phát triển tốt hơn, khi có quả ta nên cắt tỉa cành nhiều hơn. cam ơn bạn
Thank you for your advice
cây mắc ca nhỏ đẹp quá, tôi thì trồng cây mắc ca dòng 816, 849 rất nhiều quả. cây 10 tuổi cho trung bình 25 kg hạt một cây
Impressive