🔴
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
- 🔴#Live: RAIS SAMIA AWAKOSHA WALIMU - ''TUTAPITIA UPYA MASLAHI ya KADA HII ILI TUWAPE HESHIMA''...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
HNGERA RAIS WETU KIPENZI, TUNAKUPENDA SANA
Acha zako kafanya kipi Cha kufanya umpende
Ogera mama
Samia atawacha alama kubwa sana Tanzania unafanya mambo.mengi sana na kwa wakati sahihi na ndio maana baadhi ya wasiependa unayeyafanya hawataki kukubali kwa makusudi kabisa ubora wa Uongozi wako.
Yepiii 😂
@Williamstozzo utaonaje na wewe udini wakipumbavu.umekujaa mpaka kwenye boxer?
Asante. Mama. Kwa. Kuwa kumbuka. Hao. Walimu. Na. Wanajeshi. Wastaafu. Je? Mama. Toka. Enzi. Za. Mheshimiwa. JAKAYA. Hadi. Hii. Leo. Wastaafu. Kweupe. Mama. Una. Huruma. Sana. Tunakuomba. Utuangamie. Mama. Yetu. PENSION. 60000. Haitoshi. Mama. Yetu
Siasa hizo toka nazaliwa Kila mwaka. Mwalimu anapewa ahadii
Apo ni siasa Sasa hongera
Kila cku maneno hayo hayo, tunataka heshima Kwa kada zote za huduma kama manesi,madaktari,madereva,matarishi,na wahudumu wote kwa jumla siyo maslahi kwa wanasiasa tu nchi hii.
😂
Naikunbuka ile ya ‘Hapa Kazi Tu’ ilikuwaga inasema mambo na vitendo vinaonekana
Madereva, manesi, walimu na kadhalika, madereva nao muhimu. Akistaafu anaambulia milioni 11-17, sio haki.