Umewatetea wametoka jela,mungu yupo..kinachofuata sasa wakubake ndo ujue damu ya mtu si ya kunguru
Tanzania ni nchii pekee mtu akikwambia namwachia mungu. Huna maisha marefu yakuishii
Muachie mungu tu japo inaumiza kwakweli
Miaka (10) dah
Mimi sitaki mtu aniambie namuachia mungu kwakweli naogopa sana, aisee hii ndio tanzania zaidi ya uijuavyo
hawa mbwa kama wamechiwa huru, hawatodum, Bora wangekaa mahabus bila hivo watamfata marehm
Mwachie Mungu kaka kama wamefanya bc watahukumiwa na Mungu wala usiwe na hofu
Binadamuu tunaogopana sana, sasa mtoto kauawa na nani,na alikosea nini,mbona sisi tunaishi na watoto wa majirani vzr tu kwa upendo. 😱😱🥲
Hivi kweli kabisa muuwaji anaachiwa ili akazidi kuuwa saw tanzania naichukia kwa sasa😢😢😢
Sio kila anayeshitakiwa na mauaji kufanya mauaji,mkumbuke hata maabusu wanasari na Mungu anasikiliza pia.
Ndio Mungu humsikiza kila kiumbe ndio maana hata firauni alifanikiwa ila sikia tuu kwa mwenzio usiombe yakukute
Miaka 10 duu
Ogopa sana sana mtu anakuambia namwachia mungu
Angekua mtoto wangu mm ningewaua
Siwezi kuhukumu maana ni ushahidi ndio unaomfunga mtu,kama wameshindwa kuthibitisha na kesi ina miaka kumi basi wajipange wakate rufaa
Yaani wamebaka mtoto na unasema hawana hatia ? Duh hii nchi ya mama Samia hii inachosha sana mungu ingilia kati
Mama wee mwachie mungu
Atakuhukumia
Hapo wanacheka
Watacheka sn
Bado sijamuelewa huyo wakili wa utetezi...point ni angeelezea namna gani mahakama iliwaachia hao kwa kuonekana kama siyo wauaji
iv upelez file lao lilifika mahakaman kwel je kama mtoto akubakwa bas wakwanza kuchukuliwa atua ni dactar afungwe afe wapili ni police waliopeleza nakama kashazikwa wakat ndugu waligoma nawakawaomba kwa busara wampunzishe marehemu ilikuwa nin mm naona hii kesi ipelekwe njombe wakitoboa ao sijui pia ndugu wasikate rufaa mana wamepoteza pesa nyingi sana kuendesha kesi swal je uyo mtoto alikufa kifo cha kawaida ?
2)je DNA kwenye mwili wa marehemu ata vina vya ao wabakaj avipo
3)je watoto wamiaka 8 hawawez kubaka
mwisho sio jambo limfikie rais kuna waziri wa mambo ya ndan kuna jaji mkuu ao wakishindwa wampe mama mama kawateua awa ili nin sasa kama watashindwa kwenye ili😢😢😢😢😢
Hapo ubora ni kumuachia Mungu lwa imani na majibu mtapata
Polen.wazazi wa marehemu km.mie ctak rufaa wala nn ntapanda milima na mabonde tukose wote ntauza kila kitu mpk nihakikishe jambo langu limetimia😢 watt wadogo mbona walidindisha mboro zao kumfanya ? Hpo kuna namna hapo c bure
10 years duuh
Miaka kumi??
Bora tufe kuliko watoto wafe kwa mateso hivyo.😢
Aisee hawa jamaa ni kuchinjwa tu sasa huko mtaani haiwezekani duuh😢
Miaka kumi kwanini? Duh mama tumia njia mbadala waueni km walivyoua na wao yaani hao kuleni nao sahani Moja ni kitu kidogo tuu nao watanyoosha njia wamfate mwenda zake
Ni kuwaloga tu wawe vichaa
Ni bora kumuachia Mwenyezi mungu atatoa hukumu
Bora kumalizana nao kuliko kipeleka police nu usenge tuu
Yaani watuhumiwa wanacheka kabisa kwa kitendo walichofanya duh 😭😭😭
Jamani labda hawa siyo wahusika wamesingiziwa, maza alichezeshewa, uwii maskini
Mambo ya ujirani ni magumu sana
Hao vijana wana miaka mingapi?
Lee Jessica Jones Susan Harris Kevin
Asee😢
😢😢😢
Naamini mahakama Iko njombe tu..huku kwingine ptuuuuu..
Tutamalizana huku huku mitaani
Hawana hatia na walibaka mtoto
😮
Haya wamerudi mtaani
Tena wanachekelew kabisa yan
Hhhhm
😅
😢😢
Hao wauweni kwa njia nyingine