Watetea sana hio lamu East. Waambie na wao waache kuchezewa ovyo. Wanaifadhi sana mbele nyuma wana haribu pokua sio wote. Ndio sababu yao kubwa kuogopa ndoa sababu ya kuzaa, kabla atujarukia hilo la kuwaozesha, tafadhali pazeni sauti madada zetu waambiwe na wasisitizwa kukataaa kaumu lut, yaani mnaacha mambo ya maana sana mnakimbilia kuozesha, tafadhal taomba jambo la kuingiliana kinyume na maumbile kipaziwe sauti zaidi ya aya mnayosema, yaani wanaume na wanawake iwaingie vichwani vizuri. Manurse tunaona vituko, najua na ninaelwa ninachomaanisha.... Ongeeni na watoto wa kike wacheni mambo ya ndoa kwanza, shuulikieni ili ndio tatizo kuuu. Allahu mustaan
@@juweiriyasilayi692 you gat point, sababu what's the point of kuwaozesha nani atatekeleza majukumu ya wake wenyewe. Anyway what a coincidence, have never met anyone who has my name in Kenya aki you're the first one. Am juwairiya too. Wow❤️
Captain Ruwaida nakupenda kwaajili ya Allah ....mimi nakuomba kwaajili ya Allah niombee kwa mume wako anioe mimi ni mjane kama hajatimiza wanne .....Allah atakulipa
Hilo Sasa ni shere mama captain hakuongea kwa nia mbaya aliongea kwa nia mzuri tu sehemu ya lamu east idadi ya watu ni kidogo wameunda chama cha kujadiliana kuhusu eneo la lamu mashariki ili watu waoe ili siku za mbeleni tupate idadi mzuri ya watu iongezeke hata serekali itambue eneo la kwetu hata ikitokea miasaada iwe ni rahisi na sisi kupata kwa haraka na maendeleo ya haraka idadi yetu kwa Sasa ni ndogo ndio maana ametwambia tuoe kwa wingi ile tuenge watu kwa wingi. Sio paka untake mumewe akuoe kama wataka Kweli kuolewa waume wako tayari kesho tutakufungisha nikah bora uwe tayari
@@yazidumussa3144 mimi nmetaka niwe mke mwenza kwa Ruwaida kwasababu nmemuona ana huruma na wanawake wenziwe hvyo akiwa mke mwenza tunaweza kuelewana sasa huyo wa Tanga sjui yeye yukoje sipo tayari
Mashaallah unafanya jambo la kidini Muhimu ni kuongokewa na mke mzuri mwenyedini na imani kwani si kilamwanamke ni anafaa kuolewa au mume anafaa kuoa Sasa mimi nataka mke asie zaa Tasa Au Kafunga Uzazi
mostly vijana wengi wataka kuoa lkni makazi hamnaa. 70% vijana hawana kazi si kupenda kwao. wako wenye ma degree wamekaa nyumbani hakuna mtu wa kuwashika mikono na kuwatafutia kazi. Mvulana akipata kazi ataoa na atamwangalia mke wake.
" Mkiacha ushirikina, kwani tunayoyaona kwenye mitandao nyinyi ni mashetani/wakorofi!! Mnatamaa ya utajiri kiasi cha kuuwa familia zenu, huku kwetu "AMU" huwo ni wazimu wa hali ya juu!! Dont come, hatuwataki!!
Mashaallah,, tabarakallah hilo n wazo nzuri dadangu na Allah ajaarie wepesi inshaallah na sisi wenye mmoja n wawili akubali wenza sababu mtume salallahu alayhi wasalam kasema zaeni siku ya Kiama nijifahiri kwa umma mkubwa nao wake wakubali wenza
Assalam aleikum mweshimiwa captain ruweida kila mtu atamani awe na mke au awe na mume lakin kwa maisha ya sasa hali ni ngumu mno ,kama utaweza mweshimiwa uweze kumsaidia mtu na kakitu kisha yeye ajiendeleze na maisha basi hapo patakuwa hamna mushkil kama last time lamu ilivyowaozesha wanaume 50 na wanawake 50
Mimi nataka mdoogo alo kua haja olewa. Tena namchukua Tanzania 🇹🇿. Napenda vile mukiongea kithee. Masharifu wenzangu wa amu. Nipatie kule pate au matondooni. Ha Amu mjini pia panifaa
Sasa watu wakishaoa hao wake Wanne Wanne watakula nn ??? Maisha yalivo magumu mke mmoja tu na mtoto moja nayo kazi . Kweli kazi ipo when it comes to calculations .
Kuna mijamaa imeowa na haina hata mawazo ya kuwasaidia hata kwa ushauri ambao hawajaoa, kazi yao kusengenya tu na wengine kutaka uwasaidie wanapokwama, yani ni unafiki tu, then eti uwaite ndugu zako. Ili jambo nalichukia sana. Nimefurahi point yako moja tu "KM UMEOLEWA MFIKILIE MWENZAKO AMBAE HAJAOLEWA", huu ndo undugu ulivyo, kusaidiana na kuoneana huruma, sio kila mtu ajali maisha yake km ilivyo misemo mijini. Usipomsaidia mwenzako usidhani utaishi kwa raha, huyo ambae hukumsaidia ndo kesho anakufitini ww au mumeo, na mwishowe kuongeza uadui tu, washirikina na kusema maisha magumu. Mwisho wa cku wote motoni na majuto juu
Tatizo kubwa hata hao wanaume wasoowa niwengi piaa ila wanawake wengi wamekua wepesi kudanganywaa Mwanaume akisha kuzini ningumu kukuoa So wanawake mabinti mujifunze kusema nooo hapana subiri subira itakuletea mume Bora maishani mwako Sio kila asemae nitakuoa tuzini kwanza basi ndie laaa sema hapana ndoa kwanza ndio jimai yafata hakika itakua bora zaidi na rahisi kwa waume kuoa. InshaAllah
Pole sana sister. Pengine umepitia mengi kwa mateso na Allah atakufanyia wepesi. Mimi Nina wake wawili na huyo wa pili baada ya kufiwa na mume wake alipatwa kuteswa na mume wa pili hadi alitaka kuwa “lesbian” lakini Allah alimnusuru kwa kumfanya mke wangu lakini hivi ametulia Alhamdullillah. Wewe omba Mungu sana na bila shaka Allah atakuelekeza kupata mume wa kheri yaarab.
HUYU NDIE CHAGUO LANGU... NAHISI UKINIPA FURSA.. KWA UWEZO WAKE ALLAH, NITABADILISHA HAYA YALIYOMO MAWAZONI MWAKO.... TUKO WENGI LAKINI HATUFANANI TABIA... UKIPATA UJUMBE WANGU NAOMBA NAMBA ZAKO TAFADHALI
Maoni mengi hapa watu wanalalamika kazi kwani kazi hutafuta watu au watu ndio watafute kazi. Wacheni miraa na mungokaa nchi iko nafasi kila mtu atafute na afanye kazi yake. Wacheni uvivu na handout
Unawaza ukabila wewe watu wanawaza dini itahifadhika vip hiyo amu yako kwani wewe ni WA kwanza kuikuta wanzeka wameipata wakafa wakaondoka hii ni ardhi ya Allah ambayo sio miliki yako wewe umeazimwa tu uishi muda uliopangiwa ukiisha ondoka aletwe mwingine
@@matendupiterngoge8707 Once beaten twice.........?!! Wachu wa "AMU" tulidhulumiwa sana na serikali ya kanu thini ya yomo kenyatta! Nthi yechu iligavanyiva vachu vakuthoka nthe ya pwani baadha ya sisi kukimbia vicha vya mashiftaa! Chuligundua baadaye, ilikuwa ni njaama kwani nthi yechu ilipachiwa wakikuyu na vicha ya mashifta ikaisha! Ikiva mna nia ya kuongeza population, basi mfanze vetting, vachu vathavaa ma kanzu na makofia, vakijifanza "Waislam, vaove mabinti zenu, vakishapacha ardhi yenu vathavapa thalaka na inthi yenu ithazidhi kupothea! Thukueni wapwani thuu na msivalazimishe kuslim! Mradhi vapendane/ Vaheshimiane! Dini kubwa ni mapenzi tu!!
Watetea sana hio lamu East. Waambie na wao waache kuchezewa ovyo. Wanaifadhi sana mbele nyuma wana haribu pokua sio wote. Ndio sababu yao kubwa kuogopa ndoa sababu ya kuzaa, kabla atujarukia hilo la kuwaozesha, tafadhali pazeni sauti madada zetu waambiwe na wasisitizwa kukataaa kaumu lut, yaani mnaacha mambo ya maana sana mnakimbilia kuozesha, tafadhal taomba jambo la kuingiliana kinyume na maumbile kipaziwe sauti zaidi ya aya mnayosema, yaani wanaume na wanawake iwaingie vichwani vizuri. Manurse tunaona vituko, najua na ninaelwa ninachomaanisha.... Ongeeni na watoto wa kike wacheni mambo ya ndoa kwanza, shuulikieni ili ndio tatizo kuuu. Allahu mustaan
Let her promot education and exposure shida zote hizo ni idlness na poverty..wakisha olewa then what.. single mothers loading
@@juweiriyasilayi692 you gat point, sababu what's the point of kuwaozesha nani atatekeleza majukumu ya wake wenyewe. Anyway what a coincidence, have never met anyone who has my name in Kenya aki you're the first one. Am juwairiya too. Wow❤️
@@Mrs.Mumewangujeweiriya are arabs and Pakistanis 😂, mi pia wakwabza kuona
@@habibasalim3092 hehe thought mimi tu ndio nina ilo jina. I have Pakistan friends but wananiita javaria, waarabu nao uniita juju 😂
Assalaam alaykum naomba mawasiliano yako maana tunataka hao wapaistani, waarabu, shombeshombe as soon as possible bi idhnillah@@Mrs.Mumewangu
Captain Ruwaida nakupenda kwaajili ya Allah ....mimi nakuomba kwaajili ya Allah niombee kwa mume wako anioe mimi ni mjane kama hajatimiza wanne .....Allah atakulipa
Hilo nalo neno😂😂😂 kunywa soda naja lipa love from 🇬🇧
Uwapi Kuna kijana ataka mke tanga Tanzania ila ni mke wa pili
Hilo Sasa ni shere mama captain hakuongea kwa nia mbaya aliongea kwa nia mzuri tu sehemu ya lamu east idadi ya watu ni kidogo wameunda chama cha kujadiliana kuhusu eneo la lamu mashariki ili watu waoe ili siku za mbeleni tupate idadi mzuri ya watu iongezeke hata serekali itambue eneo la kwetu hata ikitokea miasaada iwe ni rahisi na sisi kupata kwa haraka na maendeleo ya haraka idadi yetu kwa Sasa ni ndogo ndio maana ametwambia tuoe kwa wingi ile tuenge watu kwa wingi. Sio paka untake mumewe akuoe kama wataka Kweli kuolewa waume wako tayari kesho tutakufungisha nikah bora uwe tayari
@@yazidumussa3144 mimi nmetaka niwe mke mwenza kwa Ruwaida kwasababu nmemuona ana huruma na wanawake wenziwe hvyo akiwa mke mwenza tunaweza kuelewana sasa huyo wa Tanga sjui yeye yukoje sipo tayari
Ujumbe umefika mimi msikose. Kunialika
In sha ALLAH ALLAH awajalie kila la kher
Mashaalah dada yetu wazo zuri na kila la kheri Allah hutia baraka juu yake from 🇹🇿
4:35
Mashallah good thought sister ,,Allah akupe moyo wakusaidia ivoivo,,Allah atupe subra ,waume zetu wakionngeza wake,,muimu uadilifu,,Allah akupe hekma ,uzid kusadia jamii,nauwe kioo cha jamiii
Twekeni katika list InshaALLAH jambo adhima hilo la kheri na baraka Captain Ruweida
I'm from Nairobi...hata mimi nataka mke....nina uwezo Alhamdulillah
Mashaallah unafanya jambo la kidini Muhimu ni kuongokewa na mke mzuri mwenyedini na imani kwani si kilamwanamke ni anafaa kuolewa au mume anafaa kuoa
Sasa mimi nataka mke asie zaa Tasa Au Kafunga Uzazi
Kwa nini unataka tasa ?
MashaALLAH tabaraka LAAH swadaqta kabisa
Allah atuongoze
shukran dada ruweda kuowa sitatizo kazi hakuna.mpe pesa za mahari kisha mbeleni itakuaje?from siyu shukran mawazo mazuri Allah abarik
mostly vijana wengi wataka kuoa lkni makazi hamnaa. 70% vijana hawana kazi si kupenda kwao. wako wenye ma degree wamekaa nyumbani hakuna mtu wa kuwashika mikono na kuwatafutia kazi. Mvulana akipata kazi ataoa na atamwangalia mke wake.
Assalaam Aleykum Warahmatullah, ,mie pia naitajia mke sijaoa ..mschana nlkua nae mamake alikataa asilimu ..from mombasa .
Je nilazima mwaume atoke lamu am pahala popote Kenya
Masha Allah vp sisi watanzania twakubaliwa
" Mkiacha ushirikina, kwani tunayoyaona kwenye mitandao nyinyi ni mashetani/wakorofi!! Mnatamaa ya utajiri kiasi cha kuuwa familia zenu, huku kwetu "AMU" huwo ni wazimu wa hali ya juu!! Dont come, hatuwataki!!
Subhanallah !!! Hukumu kali hio walinganieni mwanzo
Takbri 🇹🇿
Allahu akbar
Mimi hapa nataka sana nafanya kazi qatar nina haja sana na mke
MashaAllah Captain
Mashaallah,, tabarakallah hilo n wazo nzuri dadangu na Allah ajaarie wepesi inshaallah na sisi wenye mmoja n wawili akubali wenza sababu mtume salallahu alayhi wasalam kasema zaeni siku ya Kiama nijifahiri kwa umma mkubwa nao wake wakubali wenza
Ma Shaa ALLAH
Ungeanza na ww kumpa mume wako aongeze wake sababu ww uko na uwezo na mume wako ako na uwezo 😂😂
Sadakta Marhabaaa
Swadakta
Masha Allah Muslim village is that all women must get Husband that's the muslim village operation
Assalam aleikum mweshimiwa captain ruweida kila mtu atamani awe na mke au awe na mume lakin kwa maisha ya sasa hali ni ngumu mno ,kama utaweza mweshimiwa uweze kumsaidia mtu na kakitu kisha yeye ajiendeleze na maisha basi hapo patakuwa hamna mushkil kama last time lamu ilivyowaozesha wanaume 50 na wanawake 50
In sha Allah tupe number
Mashaall nikweli dadangu
Na wageni wake pia?
Tupeni namba zake
Mimi nataka mdoogo alo kua haja olewa. Tena namchukua Tanzania 🇹🇿. Napenda vile mukiongea kithee. Masharifu wenzangu wa amu. Nipatie kule pate au matondooni. Ha Amu mjini pia panifaa
Mimi niko tayari
Mahar ni nyigi mtu Akita ka owa
Mumbo je ana wake wa 4??
Mngeeka no wanaume wakaonekana bora wawe watoto wenu wako tayari kupimwa uki tu mm sina shida yeyote mm naowa nkiwa likoni ndani ya Mombasa
Wengi hawana uweze wakuoa ambao hawajaoa hua hawana uwezo wengi hawana kazi Sasa ukioa mke utamlisha nini
Vp kuhusu Zanzibar pemba
💯 true
Haya anaetaka mke njoo😅
upo tayari
😂
@@saidmbaraksaidtwahir3412 njo habib wangu
Kweli au wafurahisha nafsi ukht?
@@abufirdaus4254 kweli wa wapi kwani
Kuna maradhi kw binadam yyte awe mume awe mke ikiwa yuko Timam ktk kitengo cha uzazi Anapozuia kutokuzaa hupelekea fuse moja y Akili hua tasa n kutoishauri kamatiyakeyakichwa vzr kadri siku zinavyoenda kw uchunguz wng mdogo huchukua 10%/30 kw wanaume 60%/70 wanawake. Uamuni fatilia ukwl ni jibu utlpt.
Yuko wapi mi nataka Niko kilifi
Nipe number yako ya WhatsApp tuzungumze
Nataka kumrudia mtalaka na nina mke tayari? Na yuko amu nimezaa nae kabla sijamuata na uwezo sina lakini bad nampenda nifanyeje captain?
Sasa watu wakishaoa hao wake Wanne Wanne watakula nn ??? Maisha yalivo magumu mke mmoja tu na mtoto moja nayo kazi . Kweli kazi ipo when it comes to calculations .
Mimi sina mume ila natamani kuolewa
Mimi natafta wa pili
@@amhasham mimi hapa
@@RAHMAJUMWA-gr1pc inbox njoo. Tuongee. Kheir Insha Allah
@@RAHMAJUMWA-gr1pc upo msa au amu
@@amhasham yeah Mimi ni wa msa
Nina tafuta mwanaemke kum oovaa
Asalam aleykum.je?watanzania tutapata mke huko
Ongea na mama Samia
😂😂😂
Ukisha owa kaishi huko huko unaenda owa mbali si watanzania tutaolewa na nani😂😂😂😂
@@FatimaAli-of4gh Si watabadilishana
@@AhmedHamud-bm7kz
Athubutuu mubakie huko huko nasi tz tumejaa tunatafuta waume
Swadakta sheikh Ruwaida Ongeza volume
Mume wako ana wife wangapi
Mimi nahitaji mume pia lakini nataka mume ambae ni sunnah Salafiya, sio wa maulid i in shaa Allaah,,im 40 years, naishi likoni ,any 2,3
mashaAllah
mashaAllah
Mimi nipo tayar napatikana Tanzania
vijana wapewe makazi, itakuwa njia bora ya yeye kujikimu kimaisha na kuoa ile ataweza mwangalia mke wake mbeleni.
Mola ayabaarik maneno yako yawe ni miftahul khair
Kuna mijamaa imeowa na haina hata mawazo ya kuwasaidia hata kwa ushauri ambao hawajaoa, kazi yao kusengenya tu na wengine kutaka uwasaidie wanapokwama, yani ni unafiki tu, then eti uwaite ndugu zako. Ili jambo nalichukia sana. Nimefurahi point yako moja tu "KM UMEOLEWA MFIKILIE MWENZAKO AMBAE HAJAOLEWA", huu ndo undugu ulivyo, kusaidiana na kuoneana huruma, sio kila mtu ajali maisha yake km ilivyo misemo mijini. Usipomsaidia mwenzako usidhani utaishi kwa raha, huyo ambae hukumsaidia ndo kesho anakufitini ww au mumeo, na mwishowe kuongeza uadui tu, washirikina na kusema maisha magumu. Mwisho wa cku wote motoni na majuto juu
Tatizo kubwa hata hao wanaume wasoowa niwengi piaa ila wanawake wengi wamekua wepesi kudanganywaa
Mwanaume akisha kuzini ningumu kukuoa
So wanawake mabinti mujifunze kusema nooo hapana subiri subira itakuletea mume Bora maishani mwako
Sio kila asemae nitakuoa tuzini kwanza basi ndie laaa sema hapana ndoa kwanza ndio jimai yafata hakika itakua bora zaidi na rahisi kwa waume kuoa. InshaAllah
Hapo umeongea vizuri sana.
@@khalefabdallah3680 SHUKRAN 🙏
🎉🎉
Nilazima aolewe Lamu ama popote Kenya?Kama mwanamume ansishi labda Kilgorisi anaweza oa Lamu?
Jamani number yako ya simu
Simu yako plz
Mashaallah barrakaallah tabarrakaallah
Watu tumie picha kwanza na number ili waweze kuwasiliana nakuwa maridhia na waume au mke ndio kujuwana tabiya kwanza wakisha amua basi waozwe
Mimi❤nina hitaii mmja mwenye dini
In sha Allah wataolewa
Mi sina mume.na wala simtaki.wapo wanaonitaka.ila sioni faida ya mume zaidi ya kero
Aliyekuzaa alikosea sana
We sio mzima... Huna mme na hutaki mme unataka nn Sasa?
Eeh wewe mdada una dini gani, hujui kama kero ni bora kulijo kula Haraam
Pole sana sister. Pengine umepitia mengi kwa mateso na Allah atakufanyia wepesi.
Mimi Nina wake wawili na huyo wa pili baada ya kufiwa na mume wake alipatwa kuteswa na mume wa pili hadi alitaka kuwa “lesbian” lakini Allah alimnusuru kwa kumfanya mke wangu lakini hivi ametulia Alhamdullillah. Wewe omba Mungu sana na bila shaka Allah atakuelekeza kupata mume wa kheri yaarab.
HUYU NDIE CHAGUO LANGU... NAHISI UKINIPA FURSA.. KWA UWEZO WAKE ALLAH, NITABADILISHA HAYA YALIYOMO MAWAZONI MWAKO.... TUKO WENGI LAKINI HATUFANANI TABIA... UKIPATA UJUMBE WANGU NAOMBA NAMBA ZAKO TAFADHALI
Maoni mengi hapa watu wanalalamika kazi kwani kazi hutafuta watu au watu ndio watafute kazi. Wacheni miraa na mungokaa nchi iko nafasi kila mtu atafute na afanye kazi yake. Wacheni uvivu na handout
Ass.all vipi wale watokao zanzibar waruhusiwa?
Itafutwe njia mbadala ya kusaidiwa kwanza kikaz ir biashara km kuchangishwa kisha waoewe mke na mume mtarajiwa
Tatizo uwezo pekee ilo ndio lafaa kuongelewa sababu ikiwa nkuoa Kila mmoja yuko Tayar
Mimi niko Kenya Bara nahitaji mke toka Lamu ama kokote Pwani
Safi sana mungu awasimamie 🇹🇿
Mashall munaishi wapi
Mbona hamujaeka number
" Wazo zuri kwani "AMU" nahofiya iko hatari ya kumezwa ni makabila ya kutoka inje na hivyo kuwa minority kwa inthi yao!!
Unawaza ukabila wewe watu wanawaza dini itahifadhika vip hiyo amu yako kwani wewe ni WA kwanza kuikuta wanzeka wameipata wakafa wakaondoka hii ni ardhi ya Allah ambayo sio miliki yako wewe umeazimwa tu uishi muda uliopangiwa ukiisha ondoka aletwe mwingine
@@matendupiterngoge8707 Once beaten twice.........?!! Wachu wa "AMU" tulidhulumiwa sana na serikali ya kanu thini ya yomo kenyatta! Nthi yechu iligavanyiva vachu vakuthoka nthe ya pwani baadha ya sisi kukimbia vicha vya mashiftaa! Chuligundua baadaye, ilikuwa ni njaama kwani nthi yechu ilipachiwa wakikuyu na vicha ya mashifta ikaisha! Ikiva mna nia ya kuongeza population, basi mfanze vetting, vachu vathavaa ma kanzu na makofia, vakijifanza "Waislam, vaove mabinti zenu, vakishapacha ardhi yenu vathavapa thalaka na inthi yenu ithazidhi kupothea! Thukueni wapwani thuu na msivalazimishe kuslim! Mradhi vapendane/ Vaheshimiane! Dini kubwa ni mapenzi tu!!
Ndoa anapanga allah sio wewe
Kulaa miraa na mungokaa pumbavu
@@seifseifmohamed7118 bichwa kama tako la nyani
Mimi nipo Tz nahitaji mke kutoka huko kenya napenda nitanue familia ila naona hamna mawasiliano au ni Email Inbox