Jaman nimeshaata ilo jaribu nipo nanmpenzi wangu ndio amefika dar miaka mitano hatuja onana eti a msicia mwana mke wa mbele yetu ana matako uyo sasa yeye alik nita kasirika😂nika mkimbilia yule dada nika mwambia mpenzi wangu ana kusifia una matako yule dada wachcheke
Asante Kwa somo unacho ongea kama unaniongelea mm, na unacho ongea ndyo uwalisia WA mwanaume kamili
Somo zuri sn alichoongea ndugu Deo ni Ukwl kbs 👏👏👏👏👏 haya Mambo yanahitaji kwanza umpate Mtu Sahihi sn wa kumwambia Siri zako
Asante sana
@@DeoSukambi Tuko Pa1 kk
Asante ubarikiwe
UKWELI KABISA
Daaah hapo nikwer kabsa Kwa wanawake ilaa swali langu nihili nikwann wanaume wanakuwa na upuuzi Sanaa hata kwenye vitu vya userious?
Asante kwa swali lako..nitalijibu kwenye kipindi cha KLINIKI YA MAHUSIANO, kinaruka jnne saa moja usiku hapa youtube live endelea kutufatilia
Jaman nimeshaata ilo jaribu nipo nanmpenzi wangu ndio amefika dar miaka mitano hatuja onana eti a msicia mwana mke wa mbele yetu ana matako uyo sasa yeye alik nita kasirika😂nika mkimbilia yule dada nika mwambia mpenzi wangu ana kusifia una matako yule dada wachcheke
NAKUKUMBUKA SANA MWAMBA DEO EEMC ULITUPATIA NONDO SANA
Good and understandable
Sawa brother deo kazi nzuri Sana kaka
Du kaka ni kweli
🙏🙏🙏
Asantee
❤❤
👌🌷