MAAJABU MLIMA KILIMANJARO: Mambo 10 unapaswa kuyafahamu kabla ya kuupanda "Unajitegemea"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ธ.ค. 2018
  • Leo tunayo story kuhusu mambo ya kuyafahamu kabla ya kupanda Mlima Kilimanjaro, ambapo mambo hayo ni muhimu kuyazingatia.

ความคิดเห็น • 43

  • @francomwacha2262
    @francomwacha2262 4 ปีที่แล้ว +3

    huyu jamaa mzoefu kweli.. anajua kujielezeaa.. big up aisee

  • @madhuru2554
    @madhuru2554 4 ปีที่แล้ว +3

    You are the Best tour leader good job brother.

  • @Henryson-beats
    @Henryson-beats 5 ปีที่แล้ว +16

    Tuliowahi kupanda like apa....

  • @davissamxon6141
    @davissamxon6141 5 ปีที่แล้ว +12

    yaan umeeleza vizr sana nimependa coz mm mwenyew ndo kaz yangu thanks brother

  • @beautywithnay5974
    @beautywithnay5974 5 ปีที่แล้ว +8

    Ivi ni bei gani kwa mtanzania kupanda mlima na mie nataka nikapande inshaaallh nataka kujua gralama zakupanda mtanzania

    • @sebastianmoshi7200
      @sebastianmoshi7200 5 ปีที่แล้ว +3

      Kwa mtanzania kama uko peke yako itakugharimu kama Tshs 800,000 hivi minimum, hapo ni kila kitu umekamilisha, andaa angalau laki nane hivi. Kama mnafika angalau kuanzia watatu kuendelea gharama inaweza kupungua maana vitu vingi mta-share, pengi mpaka kwenye Tshs 600,000 labda. Kama sio Mtanzania andaa sio chini ya Tshs 3,000,000 hivi kama mko wengi inaweza kupungua. Hayo nimeweka ni makisio ya chini ya gharama ya kupanda na kushuka kwa siku 6,7 au hata 8 kutegemea na njia utakayopita

    • @beatricekingsley5062
      @beatricekingsley5062 4 ปีที่แล้ว

      @@sebastianmoshi7200 asante

    • @fatemaligalawa4151
      @fatemaligalawa4151 4 ปีที่แล้ว

      @@sebastianmoshi7200 weee minilijua kwenye lakin mbili au tatu kumbe kujipanga

    • @learnselfdefense765
      @learnselfdefense765 4 ปีที่แล้ว +1

      Cjajua vifaa ila per day ni Tsh. 11700/=

    • @jaklinifaustini4259
      @jaklinifaustini4259 3 ปีที่แล้ว +2

      Mmm jaman mbona nilizania watanzania bure kumbe hela nyingi hivo kitu kimeletwa na mwenyez MUNGU leo tunatozwa pesa nyingi kias hicho cc masikin tutaishia kuona kwenye tv😷😷

  • @halimatanzani8587
    @halimatanzani8587 5 ปีที่แล้ว +4

    Sawa Asante

  • @nowelaraymond4894
    @nowelaraymond4894 2 ปีที่แล้ว

    Wow ! keep it up bro.

  • @sakshidayaly2220
    @sakshidayaly2220 4 ปีที่แล้ว

    Jamani Kwani sh. Ngapi gharama za kuupanda huu mlima

  • @mosesnmousa5558
    @mosesnmousa5558 2 ปีที่แล้ว

    Mlima kilimanjaro nchini kenya...karibuni...

    • @angelsulle7177
      @angelsulle7177 ปีที่แล้ว

      Kenya mnajivunia mgongo wa mlima Kilimanjaro

  • @ombenidaniely6133
    @ombenidaniely6133 5 ปีที่แล้ว +4

    Bhana kingel kingiii wengne hatukijui mnashindwa kutumia lugha yenu mnakera

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 ปีที่แล้ว

      Jamani yuko kitaliii zaidi!

    • @emmalyanga3726
      @emmalyanga3726 4 ปีที่แล้ว

      Standard language kwa wapandaji wanaolipa ma guide/ wanaowalipa

  • @Bobobobo-jr9zr
    @Bobobobo-jr9zr 4 ปีที่แล้ว +2

    Cost zake zinafikaje ?

  • @fatmarashed6918
    @fatmarashed6918 5 ปีที่แล้ว +5

    Natamani kuja jamani

  • @phillipmatola6964
    @phillipmatola6964 4 ปีที่แล้ว +1

    Ok bei gani kwa mtanzania kupanda? .

  • @plinceabdallahzakkalia4491
    @plinceabdallahzakkalia4491 5 ปีที่แล้ว +1

    Vzr sana

  • @martinmramba1582
    @martinmramba1582 3 ปีที่แล้ว

    Jamani Watanzania amueni kama mnahitaji kijifunza kiingereza ama la ili kujiepusha na aibu ndogo ndogo kama vile huyu jamaa anavyo jionyesha hapa

  • @janesuma2193
    @janesuma2193 5 ปีที่แล้ว +4

    watanzania mngewafanyia hata 100,000 tu mana mlima ni wao Mungu katupa why walipe migarama mikubwa wakati ni Mali yao mana matajiri ndio wanao panda

    • @beatricekingsley5062
      @beatricekingsley5062 4 ปีที่แล้ว +1

      Kweli

    • @adammakoye4198
      @adammakoye4198 4 ปีที่แล้ว +2

      kwa hiyo chakula upewe bure , vifaa bure , watu wakukuongoza kukusaidia bure kwa sababu vyote hivyo ni vyenu.
      hiyo pesa unayotoa Mtanzania ni kwa ajili ya ww kupata huduma

    • @alexanderpius1992
      @alexanderpius1992 4 ปีที่แล้ว

      Fact,

    • @alexanderpius1992
      @alexanderpius1992 4 ปีที่แล้ว

      Hik ni kikwazo!!

    • @emmalyanga3726
      @emmalyanga3726 4 ปีที่แล้ว

      Rahisi gharama

  • @johnrimoy370
    @johnrimoy370 4 ปีที่แล้ว

    Kilema huja ita ja ambayo Ni siku moja.

  • @jafarytimamu
    @jafarytimamu 10 หลายเดือนก่อน

    Sasa mm ndio maana siwezi kuja panda mlima Kwa sababu mm nimtanzania na ukizingatia nina watoto kwetu masasi na Nina shida ya ada ya wanangu je nitapata wapi iyo ya kuja kupanda mlima ishauli serikali iseme Kila mtazania kupanda Bure kama autatuchoka apo

  • @khadijaomar2723
    @khadijaomar2723 2 ปีที่แล้ว

    Acha nije Tanzania nije nipamde huo mlima in shaa Allah

  • @mosesnmousa5558
    @mosesnmousa5558 2 ปีที่แล้ว

    Ati kupanda ama kukwea😂...and the tzs tell that they are the custodians of swahili..

    • @Mamodel-Park
      @Mamodel-Park 7 หลายเดือนก่อน

      Sasa hujaelewa nini google maana ya kukwea mshamba ww

  • @babubabz4507
    @babubabz4507 4 ปีที่แล้ว

    Amesahau kusema bei ni ngapi

  • @hamzaadrin941
    @hamzaadrin941 4 ปีที่แล้ว

    Chakufia nini loo nitapanda milima ya makoka tu sio lazima kilimanjaro yani mateso yote alafu nilipie kuchoka

    • @jaklinifaustini4259
      @jaklinifaustini4259 3 ปีที่แล้ว

      Kwel best ulipie hela bado kuna kufa na kupona unanunua kifo huku wajiona