Skating uphill and downhill on the Mbeya- Chunya road

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 10

  • @richarddickson9
    @richarddickson9 ปีที่แล้ว +1

    Nice 😂 je kiatu kizur ambacho ww unaona ni bora na original unanunua bei gani?

    • @benjaminjoel6225
      @benjaminjoel6225  ปีที่แล้ว

      Hapo inategemeana na vile unavyoongea na muuzaji

  • @marcus_poul9992
    @marcus_poul9992 ปีที่แล้ว

    mbeya viatu vinapatikana wapi

    • @benjaminjoel6225
      @benjaminjoel6225  ปีที่แล้ว +1

      Njia ya kutoka kabwe- block T yupo jamaa anauza

    • @marcus_poul9992
      @marcus_poul9992 ปีที่แล้ว

      @@benjaminjoel6225 bei zake je

  • @richarddickson9
    @richarddickson9 ปีที่แล้ว

    Na itanichukua muda gani kumaster mchez huu endapo ntakua na juhudi katika kujifunza?

    • @benjaminjoel6225
      @benjaminjoel6225  ปีที่แล้ว +1

      Dak 5 kujifunza kutereza, siku mbili tu unakua umeshakizoea

  • @richarddickson9
    @richarddickson9 ปีที่แล้ว +1

    Alafu kingine unanishauri nianze vipi kwa mtu kama mimi ambaye sikuwahi hata kutia mguuni kiatu hiki na natamani kujifunza

    • @benjaminjoel6225
      @benjaminjoel6225  ปีที่แล้ว

      Angalia video hii hapa nafundisha namna ya kutereza kwa mtu ambae hajawai

    • @benjaminjoel6225
      @benjaminjoel6225  ปีที่แล้ว

      th-cam.com/video/dwfIPXBtYgI/w-d-xo.html link iyo ukigusa inakupeleka moja kwenye video ambapo nafundisha namna ya kutereza na viatu vya matairi kwa mtu ambae hujawai kutereza