ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Nice 😂 je kiatu kizur ambacho ww unaona ni bora na original unanunua bei gani?
Hapo inategemeana na vile unavyoongea na muuzaji
mbeya viatu vinapatikana wapi
Njia ya kutoka kabwe- block T yupo jamaa anauza
@@benjaminjoel6225 bei zake je
Na itanichukua muda gani kumaster mchez huu endapo ntakua na juhudi katika kujifunza?
Dak 5 kujifunza kutereza, siku mbili tu unakua umeshakizoea
Alafu kingine unanishauri nianze vipi kwa mtu kama mimi ambaye sikuwahi hata kutia mguuni kiatu hiki na natamani kujifunza
Angalia video hii hapa nafundisha namna ya kutereza kwa mtu ambae hajawai
th-cam.com/video/dwfIPXBtYgI/w-d-xo.html link iyo ukigusa inakupeleka moja kwenye video ambapo nafundisha namna ya kutereza na viatu vya matairi kwa mtu ambae hujawai kutereza
Nice 😂 je kiatu kizur ambacho ww unaona ni bora na original unanunua bei gani?
Hapo inategemeana na vile unavyoongea na muuzaji
mbeya viatu vinapatikana wapi
Njia ya kutoka kabwe- block T yupo jamaa anauza
@@benjaminjoel6225 bei zake je
Na itanichukua muda gani kumaster mchez huu endapo ntakua na juhudi katika kujifunza?
Dak 5 kujifunza kutereza, siku mbili tu unakua umeshakizoea
Alafu kingine unanishauri nianze vipi kwa mtu kama mimi ambaye sikuwahi hata kutia mguuni kiatu hiki na natamani kujifunza
Angalia video hii hapa nafundisha namna ya kutereza kwa mtu ambae hajawai
th-cam.com/video/dwfIPXBtYgI/w-d-xo.html link iyo ukigusa inakupeleka moja kwenye video ambapo nafundisha namna ya kutereza na viatu vya matairi kwa mtu ambae hujawai kutereza