@@clintongaspa9268 achana nao hao wajinga wasiojua chochote wao kazi kusifia ujinga wanasahau kwamba nchi inaendeshwa kawa misingi ya katiba na sheria sasa uchumi unavyoyumba
Wanaokutukana sijui wanafikili nini kwadababu kila unachoongea kipo wazi, yeye mwanzo aligoma kwamba hataki misaada sasa nashangaa deni la taifa linaoanda kulikohata wakat wa kikwete,
Utajiri mlokuwa nao wapi?? Wanasiasa wanakopa humohumo wanapiga!!! Ndo maana kila kitu siri hawasemi !! Bunge linafichwa!! Mkaguzi wa ukweli prof. Asad alipohoji mapungufu ya pesa nakulitaka bunge lifanye kazi yake lisionekane dhaifu wakamuondoa kijingakijinga!! Hivi watanzania mnapataje ujasiri wa kushabikia serikali kama hii?? Yaani ndani ya miaka mnne wamekopa pesa zaidi ya kiwango kilichokopwa na serikali ya kikwete kw miaka 10. Mbaya zaidi hawatowi maelezo!!! Mtaani pesa hakuna, hajira hakuna!! Bata hatuli!! Sasa hizo pesa ziko wapi?? Mnatuibia!! Mtatuuuwa haki ya Mungu afu unakuta mijitu mingine serikali hii idumu milele!! Duh! Sijui nihamie nchi gani!! Natamani kuwa na raia wenye uwezo wa kuuona ukweli!! Tunauzwa!! Ndo maana serikali kali kama pilipili haitaki kuhojiwa!! Wanaohoji wametishwa vya kutosha!!
Offer offer nunua au kopa mobisol solar watt 40,80,120,200 ikiwa pamoja na TV inch 21-43 na taa zake tukuletee hadi nyumbani pamoja na ufungaji ni bureeeeeeh wahi sasa offer hii ipo jirani kuisha.piga simu 0764325083/0654362426.
Unaiaminije serikali isiotaka kujiendesha kwa uwazi?? Tutapigwa sana!!! Trillion zaidi ya 58 ?? No Magufuli is going to set a bad and shameful economic destruction!!! Sector binafsi imetengwa!!! Madeni ya ndani hayalipwi!!! Viwanda viko wapi?? Million 50 kila mtaa na kijiji ziko wapi?? Siasa za kijinga hatwezi kuendelea kama nchi!! Huu unafiki watukuza ujinga na wajinga ukome!! Serikali inaua nchi!!!
What zitto Kabwe doesn’t understand is the end justifies the means so and an economist the benefits are tangible second is he is making this person and him as a politician is losing followers and finally magufuli’s method works so if it’s not broken don’t fix it.
Ha ha ha sasa unaishitaki serikali kwa nani naona kama upunguani vile serikali ipi haikopi? Mtu binafsi anakopa sembuse serikali zito so unataka tufanyenini sasa tuandamane au tuishitaki serikali wewe binafsi hudaiwi? Ulisoma uchumi wapi? Huo ni ushamba ulio na chuki binafsi serikali zote duniani zinakopa, bro sasa kichwani huna kitu kisisa umeferi sana these days kila Kiki inakataa watu washasahau we ni mbunge wa jimbo lipi pia mie sijui naomba mnisaidie kujua jimbo lake au ni mbunge wa jimbo la tanzania, rudi ktk biashara tu
Wewe zito ni mkongo ya tanzania hayakusu. Umekuja tanzania kama mkimbizi ukapewa urai Leo unaka kuvurunga tanzania . Rudi kwenu kongo usituhalibia nchi nyooo
Faustine mavere,,zitto kabwe ni msomi tena wa uchumi na hicho anachokiongea ndio somo lake anajaribu kukuonesha wewe ili ujue km pesa zako za kodi haziingii ktk ujenzi wa inch bali inch inajengwa kwa mikopo.
Anaupenda URAIS huyu Muha / Mbembe hatari , hapo anaigiza na anajipima sauti itapendeza akiwa anahutubia kama Rais ?? Anataka atekenywe na jeshi la Polisi aitangazie dunia kapigwa tunyimwe mikopo , Zitto huna nyota tena , watu washachoka mikelele yenu , kwanza tuko busy na CORONA hebu tupumzisheni basi . Tuna maumivu ya CORONA unatuletea stress za " Deni la Taifa "" ?? Uliona nani kafungwa sababu anadaiwa ?? Tutalipa taratibu bana usituchoshe , Kwani tungekuchagua wewe usingekopa Benki ya Dunia au taasisi nyingine za fedha ?? hebu tuache tuangalie hii CORONA kwanza , kama huwezi kuishi nchi inayodaiwa hama nchi , nenda kwa wazungu wanaokulipa ubwabwaje kila kukicha , utekenywe uitangazie dunia Tanzania hakuna utawala wa sheria . Hebu Kaa chiniiii .
@@bashibashiphotographer3874 kumbe unajua nchi inajengwa kwa mikopo ana bwabwaja nini hana lolote msomi akiwa mjinga wa kuisemea mabaya nchi yake hata aongee zuri ni mpuuzi tu na usomi wake tumechoka na domo lake
@@bashibashiphotographer3874 Hana lolote mnafiki tu huyo , mpe yeye Urais tuone ataleta maajabu gani , Ni Nyerere na Mzee Mandela tu waliimaanisha wanayoyasema , hawa wengine wa miaka hii ni wachumia tumbo tu , usidanganyike .
@@faustinemavere1450 Sijawahi kusikia anapayuka Serikali inapofanya vizuri , yeye katumwa na wazungu kusema mabaya tu ya Tanzania yetu , huyu M- bembe / Muha ana roho mbayaaaa .
Nakukubali miaka elf kumi...endelea kutufungua masikio bro ww ndo jembe la upizani
Jamani huyu kalewa nn manake mambo yote yanofanyika Tanzania hayaoni , kisha anasema hakuna democracy
Kam wanapinga watuambia 2015 den lilikuwa kias gan n saiv 2020 n kias gan
We mwenyewe unadaiwa mkopo huko bungeni lipaa
kwa utajiri tuliokuwa nao sisi tanzania tulikuwa ndo tuwakopeshe bank kuu ya dunia sioni haja ya tanzania kukopa
MTU akiielewa serikr hap ntamwit mbumbumbu!!!!!
Tunampenda Rais wetu❤❤
Matahira nyie
Hujaendaaa shule anaongelea rahis uyo kichaaa
We n kichaaa mpende mama ako pia
@@clintongaspa9268 achana nao hao wajinga wasiojua chochote wao kazi kusifia ujinga wanasahau kwamba nchi inaendeshwa kawa misingi ya katiba na sheria sasa uchumi unavyoyumba
@@mataamiry6720 hahaha wanaweka siasa kwnyw Mambo ya kitaifa n kile kilicho andikwa tunaaangamia kwa kukosa maarifa
Wanaokutukana sijui wanafikili nini kwadababu kila unachoongea kipo wazi, yeye mwanzo aligoma kwamba hataki misaada sasa nashangaa deni la taifa linaoanda kulikohata wakat wa kikwete,
Tz inakopa duh ila tumezidi sisi Tz halafu wanasema kuna maendeleo Tz
Huu ni ujinga kabisa halaf utaskia kimtu kiko kiko ccm fyooooooo,kipumbavu hicho loo!!!!!
Duuuuh aseee kumbe mm ni wakwanza
Utajiri mlokuwa nao wapi?? Wanasiasa wanakopa humohumo wanapiga!!! Ndo maana kila kitu siri hawasemi !! Bunge linafichwa!! Mkaguzi wa ukweli prof. Asad alipohoji mapungufu ya pesa nakulitaka bunge lifanye kazi yake lisionekane dhaifu wakamuondoa kijingakijinga!! Hivi watanzania mnapataje ujasiri wa kushabikia serikali kama hii?? Yaani ndani ya miaka mnne wamekopa pesa zaidi ya kiwango kilichokopwa na serikali ya kikwete kw miaka 10. Mbaya zaidi hawatowi maelezo!!! Mtaani pesa hakuna, hajira hakuna!! Bata hatuli!! Sasa hizo pesa ziko wapi?? Mnatuibia!! Mtatuuuwa haki ya Mungu afu unakuta mijitu mingine serikali hii idumu milele!! Duh! Sijui nihamie nchi gani!! Natamani kuwa na raia wenye uwezo wa kuuona ukweli!! Tunauzwa!! Ndo maana serikali kali kama pilipili haitaki kuhojiwa!! Wanaohoji wametishwa vya kutosha!!
Nenda huko tumeshakuchoka
Kwadeni hilo MTU akisem sijui ccm fyoooo ooo!!! Namuona mbumbumbu!!!!
Wacha tu Deni likue . Maana hao wanaotudai na wao wanadaiwa
🤣🤣🤣🤣🤣 Napita kusoma comments jaman ila hii imenifurahisha
Unaposema deni la taifa limeongezeka useme na ongezeko la hospital vituo vya afya na zahanat namashule pia serikali kuhamia dodoma
Kwahiyo kama wamekopa tusiseme🤷🏻♀️🤷🏻♀️ kisa wamejenga huo uchafu🤣🤣🤣
Offer offer nunua au kopa mobisol solar watt 40,80,120,200 ikiwa pamoja na TV inch 21-43 na taa zake tukuletee hadi nyumbani pamoja na ufungaji ni bureeeeeeh wahi sasa offer hii ipo jirani kuisha.piga simu 0764325083/0654362426.
Nakuona zito ukisoma notc kwa projecta....nani kagundua kama mimi nipe like
Jesus coming spoon.
We mzee wa utopolo una ongea kwa maslahi yako binafs una llote
Kama Sheria zinaruhusu basi mshitaki
Kwa mjomba magu hiyo trn 55 ndogo tutalipa Sema jengine
lipeni,
Akil huna kama kiongz fulan hiv alivo tairaaaaaaaaa
Kutazama video zngu bofya hapa👇👇👇👇
th-cam.com/video/4gfajn3tGXE/w-d-xo.html
Unaiaminije serikali isiotaka kujiendesha kwa uwazi?? Tutapigwa sana!!! Trillion zaidi ya 58 ?? No Magufuli is going to set a bad and shameful economic destruction!!! Sector binafsi imetengwa!!! Madeni ya ndani hayalipwi!!! Viwanda viko wapi?? Million 50 kila mtaa na kijiji ziko wapi?? Siasa za kijinga hatwezi kuendelea kama nchi!! Huu unafiki watukuza ujinga na wajinga ukome!! Serikali inaua nchi!!!
What zitto Kabwe doesn’t understand is the end justifies the means so and an economist the benefits are tangible second is he is making this person and him as a politician is losing followers and finally magufuli’s method works so if it’s not broken don’t fix it.
Mh ..
Nakwelewa mtanzania mwenzangu
Hatar
Ukiwa raisi tunaomba ulipunguze
Ivi kigoma unaisaidia nini wewe
King wa wanafiq huyo!
watu wanapinga kwa hoja sio matusi
Yes, pinga kwa hoja nac vihoja heshimu watu jiheshimu pia.
Ukweli una choma haswa!....nuneni mpaka mpasuke!.....CCM OYOOOOO!!!
@@universalcliptv4871 Mnafiki ni baba na mama Ako walikuzaa kizazi cha nyoka matako wewe umetmwa
Na bado tutakoma maana watanzania tunajifanya hatuelewi
Ha ha ha sasa unaishitaki serikali kwa nani naona kama upunguani vile serikali ipi haikopi? Mtu binafsi anakopa sembuse serikali zito so unataka tufanyenini sasa tuandamane au tuishitaki serikali wewe binafsi hudaiwi? Ulisoma uchumi wapi? Huo ni ushamba ulio na chuki binafsi serikali zote duniani zinakopa, bro sasa kichwani huna kitu kisisa umeferi sana these days kila Kiki inakataa watu washasahau we ni mbunge wa jimbo lipi pia mie sijui naomba mnisaidie kujua jimbo lake au ni mbunge wa jimbo la tanzania, rudi ktk biashara tu
Huyu jamaa Ni Mwizi Atatumaliza Awamu Ya 5 imetopea Ufisadi
@@mathewtwimanye92 Upeo umeishia hapo kfikiri ndio maana huoni cha kfanya nikwasababu2 Akiri zako zimejificha kama mkundu kati kati ya matako
Wewe zito ni mkongo ya tanzania hayakusu. Umekuja tanzania kama mkimbizi ukapewa urai Leo unaka kuvurunga tanzania . Rudi kwenu kongo usituhalibia nchi nyooo
Kafie mbele wewe,kwenda huko
Wewe inakuhusu nini wewe ndo utalipa au!!umeaibika kule benk ya dunia umeanza kulopoka tena hilo domo huwa linawasha?duh
Faustine mavere,,zitto kabwe ni msomi tena wa uchumi na hicho anachokiongea ndio somo lake anajaribu kukuonesha wewe ili ujue km pesa zako za kodi haziingii ktk ujenzi wa inch bali inch inajengwa kwa mikopo.
Anaupenda URAIS huyu Muha / Mbembe hatari , hapo anaigiza na anajipima sauti itapendeza akiwa anahutubia kama Rais ??
Anataka atekenywe na jeshi la Polisi aitangazie dunia kapigwa tunyimwe mikopo ,
Zitto huna nyota tena , watu washachoka mikelele yenu , kwanza tuko busy na CORONA hebu tupumzisheni basi .
Tuna maumivu ya CORONA unatuletea stress za " Deni la Taifa "" ??
Uliona nani kafungwa sababu anadaiwa ?? Tutalipa taratibu bana usituchoshe , Kwani tungekuchagua wewe usingekopa Benki ya Dunia au taasisi nyingine za fedha ??
hebu tuache tuangalie hii CORONA kwanza , kama huwezi kuishi nchi inayodaiwa hama nchi , nenda kwa wazungu wanaokulipa ubwabwaje kila kukicha , utekenywe uitangazie dunia Tanzania hakuna utawala wa sheria
.
Hebu Kaa chiniiii .
@@bashibashiphotographer3874 kumbe unajua nchi inajengwa kwa mikopo ana bwabwaja nini hana lolote msomi akiwa mjinga wa kuisemea mabaya nchi yake hata aongee zuri ni mpuuzi tu na usomi wake tumechoka na domo lake
@@bashibashiphotographer3874
Hana lolote mnafiki tu huyo , mpe yeye Urais tuone ataleta maajabu gani , Ni Nyerere na Mzee Mandela tu waliimaanisha wanayoyasema , hawa wengine wa miaka hii ni wachumia tumbo tu , usidanganyike .
@@faustinemavere1450
Sijawahi kusikia anapayuka Serikali inapofanya vizuri , yeye katumwa na wazungu kusema mabaya tu ya Tanzania yetu , huyu M- bembe / Muha ana roho mbayaaaa .
Huyu kibaka ninani
Kubwa la waongo hilo!
Uongo Wake Upi? Wakati Hiyo Ni Report ya CAG
Mwehu wewe
We mwenyewe unadaiwa mkopo huko bungeni lipaa
Ccm fyoooooooo kwio