Mke anauma sana kazi nzuri ukiona mtu mpole usimdharau watu wapole ni wabaya sana kama unamkubali mbwela bc usipite bila kugonga like jamani nimejifunza kitu hapa🎉🎉🎉❤❤❤
Smart sana kaka mbwela alafu plz nisaidie jina la hile movie yako umeachiwa usia na babako ulinde bahari plz naitafuta lkn sijui jina yaitwaje plz mbwela nipe jina la movie ❤❤❤❤❤❤❤
@@mbwelamedia3469nyinyi jamaaa seriously munaweza seriously baihalamu, Zumba kauzu con tawa generally na sengo senior chief mwenyewe mbwela 🎉🎉🎉 lakin mbona naomi akikuona uwakupa hagg uwakukulilia mpaka baihalamu akatorosha na panga wake wenza 😅😅😅😅😅😅😂😂😂 ule bonge mwanamke akudanganya Mtoto wako seriously amemficha uko ila akupeleka makaburini zuchu ule mwanamke c mtu lakin hii movie mungemshirikisha Zumba kauzu con tawa generally au chibu ingekua poa sana
@@mbwelamedia3469 mbwela wewe kabila gani kutoka wapi wewe nasikia n mjaluo kutoka Kenya mama n mjaluo kutoka Kenya baba n mzaramo kutoka Tanzania n kweli coz walai uko smarty sana movie zako seriously nazifatilizia kwel movie zako zote ila 😂😂😂😂😂😂nilifurahisha kuona watoka mbio kweli walai ulivyo muona baihalamu akishika panga kisa Naomi akupa hagg
Kazi Nzuri sana Ila Kuna Changamoto ya Sauti kwenye baadhi ya Scene but ni jambo la kawaida ila linatakiwa kuwekwa akilini na kuangaliwa kwa Jicho la 6 ili Next Time Kazi iwe Safi zaidi 🙏🙏✍️
Mke anauma sana kazi nzuri ukiona mtu mpole usimdharau watu wapole ni wabaya sana kama unamkubali mbwela bc usipite bila kugonga like jamani nimejifunza kitu hapa🎉🎉🎉❤❤❤
Kaka mbwela katuleteya kitu kipya kama unamukubali kaka mbwela gonga links ❤❤❤
Kaz nzur mbwela nakupenda kwa ajili ya Allah na Allah akuzidishie zaid ufike mbali ❤❤
The movie is nice ❤ I love it bro mbwela
Bailam yupo Mbwela nae yupo daaah ntake nin mim jaman nawapenda mnooh 💓💝❤️❤️❤️❣️
Mbwela kazi nzr sana hii❤❤❤🎉🎉🎉
J'aime beaucoup votre travail que Dieu vous bénisse et que vous réussissiez comme vos collègues très bon travail
Well Come bro ❤❤🎉🎉
Ila mbwela maneno yak ya busara xan na kijan bhailam hongereni
Mbwela, nakukubalia kwa onyo lko 🎉❤❤
Mbwela unasema hakuna kulala 👍...mashallah Mungu Aibariki kazi ya juhudi zenu
bro kwenye sound set vizurii mitambo
Ila huyo jamaa ana busara xan kijan
Smart sana kaka mbwela alafu plz nisaidie jina la hile movie yako umeachiwa usia na babako ulinde bahari plz naitafuta lkn sijui jina yaitwaje plz mbwela nipe jina la movie ❤❤❤❤❤❤❤
Inaitwa ndonga
@@mbwelamedia3469 hewaaaah shukran sana broo
@@mbwelamedia3469mbwela mimi fan mkubwa sana nafatilizia sana episode movie 🎥 zako hhhhhhhhh mpeni combined uyo sudi mnyamwezi ajakoma 😅😂😂😂
@@mbwelamedia3469nyinyi jamaaa seriously munaweza seriously baihalamu, Zumba kauzu con tawa generally na sengo senior chief mwenyewe mbwela 🎉🎉🎉 lakin mbona naomi akikuona uwakupa hagg uwakukulilia mpaka baihalamu akatorosha na panga wake wenza 😅😅😅😅😅😅😂😂😂 ule bonge mwanamke akudanganya Mtoto wako seriously amemficha uko ila akupeleka makaburini zuchu ule mwanamke c mtu lakin hii movie mungemshirikisha Zumba kauzu con tawa generally au chibu ingekua poa sana
@@mbwelamedia3469 mbwela wewe kabila gani kutoka wapi wewe nasikia n mjaluo kutoka Kenya mama n mjaluo kutoka Kenya baba n mzaramo kutoka Tanzania n kweli coz walai uko smarty sana movie zako seriously nazifatilizia kwel movie zako zote ila 😂😂😂😂😂😂nilifurahisha kuona watoka mbio kweli walai ulivyo muona baihalamu akishika panga kisa Naomi akupa hagg
Kazi nzuri kaka Mbwela. Ila sound urekebishe kaka. Nakufuata toka 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩✌️
Mbwela safi brooo nimependa unasimama km kaka
😂😂😂😂 siku hizi nnajikuta nasema kumanganuka alafu ata sijui maana yake 😂😂
Maana yake ni kuongea ongea kwa mfululizo bila mpangilio wa maneno unayo ongea
Kujiachia wazi wazi
@@mbwelamedia3469 😂😂😂😂
Hii ni 🔥🔥🔥
Kazi Nzuri sana Ila Kuna Changamoto ya Sauti kwenye baadhi ya Scene but ni jambo la kawaida ila linatakiwa kuwekwa akilini na kuangaliwa kwa Jicho la 6 ili Next Time Kazi iwe Safi zaidi 🙏🙏✍️
Waooooh kitu New 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mume wa Alice kiboko😂😂😂nampnda huyo mganga nifanyw hili tukio kwa mume wang 😂😂😂akiwa juu ya kifua cha mchepuko😂😂😂😂patamu ❤
Mmetisha saaanaa jamaaa abane ushuzi kwa wake za watuuu
Kazi nzuri
Mbwela nakukubali sana ❤karibu chuga mwana
Kaz Kama Kaz nakubali broo🎉
Mjitahid kwenye sound mnyooshe vizuri jameni ❤ much love from Congo 🇨🇩
Nice 👍 Kazi nzuri❤❤
Kaka unatisha sana kwenye kazi zako piga kazi kaka mdgo wako nipo nyuma nakufata
Mideko❤❤❤
Mbwela kama mbwela kazi nzuri
Mbwela ulivyo kata kesi utazani ni mzee wangu 🤣🤣🤣
Congratulations mbwela🎉🎉🎉🎉
Kazi nzuri sana hii Mwenyezi mungu awazid8shie kipaji kizidi kukua
Kim mashallah ni mrembo kwa kweli 🎉🎉🎉🎉
Mbwela ❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉kutoka kenya 🇰🇪
Kaka mwenyewe anae wabebea wake zenu anasura mbaya kama hamorapa,
🤣
😂😂😂😂niuwe😂😂😂
😂😂😂
Much love from saudi
Mrekebishe sauti jameni mwambieni producer aweke vizuri sauti
Kaka Omary, Hongera sana
My man😊😢 nakupendag tyu
Kazi safi sana kaka. Kenya 🇰🇪 tunakukubali sana
Nakubali sana jamaa
Safi
Naikubali Sana mbwela nakufata kutokea Congo ,burundi
Kazi nzuri sana🙌🙌
❤❤❤❤hatari
Kazi nzuri sana
Bana ushuzi kwa wake za watu utakuja kuganda😂😂😂😂😂😂
❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤ From zanzbr
Limemkuta jambo😂😂😂😂😂😂😂😂mke wa watu.......ngoja nkurekebshie mke w mtu
Kaz Kaz hii Ni Kali sana
Watatu nimejitaid jamani plz like zenu
Kaz nzur sana
🇧🇮🇧🇮🇧🇮 number one.na stahili kupewa hata ka like basi🤷🤷
Nzuri jamani
Nice
Much ❤from kenya
Hii nayo nmeikubali tokea kenya
Nishatokea jamani nipeni like zangu basi hata tano tuh ❤❤❤❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢😢😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤
😂😂😂 Mbwela dada yako ana mang'anuka tu
Good❤❤
🔥🔥🔥🔥💪
kazi nzul
❤❤❤❤hta ni Leo stell wanachepuka 2 wake kwa wanaume 😂😂😂😅😅
Mbwela una weza sana wewe moto😊????
Eti bana ushuzi
Nakubali Kaka %100
🔥🔥🔥🔥
Atasijui wangp bora tuu nipo nipen tuu like nione rajah❤❤🎉🎉
Ila mbwela ana misemo ety bana nn ...😂😂😂yani syllabus inaenda chapu sijacram kumanganuka tayari jipya lishaingia
😂😂😂😂❤❤
Jamani nimerudi Tena nyinyi wenye mko kwnye ndoa hamtulii dawa yenu Niko nayoo 😂😂😂😂
Mbwela nakumang'anuka 😂😂😂😂😂
Duuh kwenye maisha tunafel tunapo fanya ujinga tuk Amin hatutaachwa
Nawapenda kwa ajili ya Allah awajalie kwa vipaji vyenu inshallah 🙏
I am from Kenya 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hamjui,hata mume wa mtu anauma.following you fro from Bujumbura Burundi 🇧🇮
Nice 👍🇰🇪
Na kukubali mbwela ❤
Jaman sauti hazi kutoka vizuri jaman ila story ninzuri ime tulia
🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
Inaitwa ndonga
Mbwela unaweza
Wow mashallah ❤❤❤ keep it up you guys
Huyo kaka kafanan n zhumba😅 Mke wa mtu sumuuuu
𝑴𝒃𝒘𝒆𝒍𝒂 𝒆𝒕𝒊 𝒌𝒖𝒎𝒂𝒏𝒈𝒂𝒏𝒖𝒌𝒂😅😅😅
❤❤❤❤❤❤❤❤
noma sana
Shikamo 😅😅😅😅
🥰🥰🥰🥰🥰
😏😏😏😏uyu mume boyaaa kweli
🎉🎉🎉from Burundi 🇧🇮💕
❤❤❤❤❤❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
😅😅😅😅
Uyu mkaka mgen kwa mbali anafanana na kanumba
Big kaka
Bwelaa kama Bwelaa huna baya jamani
😂 kwani mbeba mzigo simtu
Chukua maua yako kaka Mbwela. Kwa kweli una akili
Much 💕 from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Asantee sana mbwela❤