- 840
- 263 609
KELVIN MABATI TV
เข้าร่วมเมื่อ 17 พ.ย. 2017
Official Sunshare Investment Dealer.
Building materials Supplier Ina Tanzania
Quality is our top priority
Call/WhatsApp -255743992897
Building materials Supplier Ina Tanzania
Quality is our top priority
Call/WhatsApp -255743992897
hatutaki bati za China nataka za tanzania
ivi za Tanzania zipo kweli?
Sio mbaya namnatazamo wako tukutakie ndoto njema usikate tamaa pengine ikawa kweli ndoto yako 😏
Nichomolee notimojahapo
God
Gagy ngapi hizo 28 /30
40,400 kwa pc
Nice
Asante david
Hili km kijae bei gani geji 28
40,000
Mgongo mpana gej 30 Bei gan ndugu
25,000
Kaka kulima Imani ndomaanavijana wanakimbia jembe wanakimbilia mjini
Bosi kumbe kazihiyo unaiweza duu hayabwana
Ahahahahahahaha naiweza sana hii
Mie niko mwanza nahitaji bando moja bei gani?
614,000
Mgongo mpana Mt 3 beigani
40,400 futi 10
Hii ni sh. Ngapi
Bei 63,000
Nakufatilia sana hivi nazichanga son nitakuja
Asante sana sana tupo pamoja
Mh hiyomeza sh.ngapi Meza kamahiyo namimi nahitaji ulinunua wapi nanish.ngapi?
Hii meza huwezi kununua maana ni pesa ndefu sana ha ha ha ha ha
Sh.ngapi bati
Ndiokaka nakufatiliasana sunshear nawaelewa
Asante sana kufuatilia madarasa yangu
Tuma namba
+255743992897
Migogo mipana pis 50 sh ngapi
G28 au 30
Gag 30, bando 5 naweza kupata kwa haraka boss wangu
Ndio unazipata ndani ya dakika 40 tu
Gag30.inadumu kwa mdaa gani?
Kwan bati moja kwa kipimo sahihi lina mita ngapii kaka
Swali lako bado halijakamilika
Itakua vizuri kama kila bati unaiandikia bei
nitajitahidi kwa hilo asante kwa maoni
Geg 30 bati nibei gani
40,400
Mnapatina.wapi
Tazara
Huwo wimbo unaitwaje?
Maydey fally ipupa
Habari bando sh ngapi?
460,000
Bando yanakaa mangap
Hiyo bati ya kigae inauzwaje
56,000
Habari mnapatikaba wap nahitaji ckufika ofisin kwenu
Ok piga namba hii +255743992897 jitambulishe kua umeona tangazo TH-cam
From Liberia
Flom Tanzania
How much is Boma mabat?
Which country?
Kwa nini mnakwepa kutaja bei?
Hiki ni kiwanda sio duka wala branch mteja makampuni yote makubwa huwezi ona wanataja bei hivyo sababu kiwanda au kampuni bei hubadirika kila mara kulingana na dolla usafiri wa meli navitu vingine pia kampuni inakua na bidhaa nyingi sana hakuna ugumu wowote kama ni mhitaji namba zipo tuulize unacho taka utaambiwa
Nahitaji mgongo mdogo
28,000
Mnauza Bei gani futi kumi
28,000
Nipo sengerema nayapataje
Unaletewa vizuri sana
Mimi nataka muundo wa kigae aina ya Rafu Bati200 beigani?
65,400 kwa pc moja
Kwa sasa mita bei ngan?
Aina gani ya bati
Samahani bati ya Geji28 msauzi mgongo mpana bei gani
46,000
Bat shilling ngap
Ahsante Sana kaka wengine hatujui lakin kwa sasa naelewa Ahsante Sana
Asante pia kuelewa na kufuatilia
Muundo wa kigae gej 28 beigani kwa bati moja
56,000 kwa pc moja
Beigani kwa bati moja
Aina gani ya bati
Hi
Karibu mteja wetu Unaweza kuwasiliana nasi kwa WhatsApp+255743992897
Nita bie
Andika vizuri mteja au njoo WhatsApp+255743992897
How much
Karibu njoo WhatsApp+255743992897
Mnapatikana wapi
Tazara
Kaka kwa Sasa bati Moja geji 28 mnauzaje
45,000
hivi bando hizo za migongo mikubwa zinakaa ngapi? na bando ni sh ngapi?
Zinakaa pc16
kweli nimefuatilia kwa kina bati zenu mnajitaidi ni Og kabisa. mnakariana na alaf Og
Asante dada bati ni uhakika%100
Tuma namba ya mawasiliano
+255743992897
Mupo wapi na bei zenu zipoje ila kwenye hakika wa ubora wabat zenu upoje
Bati ni original tupo tazara Wasaliana nasi WhatsApp+255743992897
25 dizaini gani na 38 ni zipi?
38,0000 ni G30 25,000 ni G32
@@Mabatibora2024 sawa