- 675
- 248 047
RadioOne Tanzania
เข้าร่วมเมื่อ 1 ก.พ. 2024
🔴MAGAZETI:KUNA SHIDA UFUJAJI MAPATO BANDARINI..AGOSTI 03, 2024
🔴MAGAZETI:KUNA SHIDA UFUJAJI MAPATO BANDARINI..AGOSTI 03, 2024
มุมมอง: 36
วีดีโอ
#YALIYOMOYAMO: Maakuli - Makange ya Kuku.
มุมมอง 50หลายเดือนก่อน
#YALIYOMOYAMO: Maakuli - Makange ya Kuku.
🔴Kuhusu Mbwana Samatta, Julio afunguka.
มุมมอง 1572 หลายเดือนก่อน
🔴Kuhusu Mbwana Samatta, Julio afunguka.
🔴Sakata la Mbwana Samatta kujiweka kando na timu ya Taifa ya Taifa Stars, Baba afunguka mazito.
มุมมอง 1112 หลายเดือนก่อน
🔴Sakata la Mbwana Samatta kujiweka kando na timu ya Taifa ya Taifa Stars, Baba afunguka mazito.
#KAMBIYANICHEZO: Julio, Simba SC imsajili Fei Toto haraka.
มุมมอง 1.3K2 หลายเดือนก่อน
#KAMBIYANICHEZO: Julio, Simba SC imsajili Fei Toto haraka.
🔴NANI ALAUMIWE SIMBA KUFANYA VIBAYA? MWEKEZAJI AU WACHEZAJI?
มุมมอง 4125 หลายเดือนก่อน
🔴NANI ALAUMIWE SIMBA KUFANYA VIBAYA? MWEKEZAJI AU WACHEZAJI?
"MICHEZO INAHITAJI UWEKEZAJI MKUBWA, LEO UKITAKA KUJENGA UWANJA WA MKAPA NI BIL. 5OO/=" - MSIGWA
มุมมอง 3405 หลายเดือนก่อน
"MICHEZO INAHITAJI UWEKEZAJI MKUBWA, LEO UKITAKA KUJENGA UWANJA WA MKAPA NI BIL. 5OO/=" - MSIGWA
Best wishes my team Simba in confederation cup I'm from NkhataBay Malawi 🇲🇼🇲🇼🇲🇼
Kipala katulia
Hongera sana mkurugenzi mtendaji wa shikuhata na radio one ,itv kwa juhudi mnazofanya juu ya kuelimisha juu ya haki za.abiria ila ni zaidi ya abiri ni jamii kwa ujumla elimu hiyo imeeleweka na hata viongozi wengi wanawasikiliza na kuwatazama
Chasambi mtu wewe
Ladack Muhimu weee
😢😢😢😢😢
Halafu Kimario anazinguaa!!
Ww ndio unaefikilia yanga ni time kubwa watangazaji mnakua kama wafa maji hamuishi kutapatapa yanga kubwa nyie hamuamini nn
Mmetisha hapo hii kwako khard by win
Huyo mnayemwita kipara achambue mpira aache uchambuzi wa kishabiki ni shabiki wa mikia huyo sisi watu wa Young-Africans tumemjua hapohapo studio
Mbona matangazo mengi huyu jamaa
Unatuchomekea vingine
ÀLLY NDIMBE SIÀSA KALI YUPO POSTA SINGIDA AMÀNI KWENU APO REDIO ONE MTUMBUKA WANKOTO BULIHI
Asantee
Tupo pamoja ndgu mtangazaji
Pamoja redio one
Unazi hatutaki Acheni yanga
Chanika 😅😅😅
Je nawezaje kupata uwezeshaji huu
Hujamboo naitwa waziry teva kutoka tanga tunamipat mubasharaa
Ubaya ubwela mwanaichi ajipange mwakahuu wataliwa nyamaa SIMBA ananyaa mwaka huu
Kumbe uyo kipala ndo uyo leo ndo namwona live ivi ana ndugu na danieli amoa
Mkongwe kazini
Huu Uswanglish wenu ndiyo unaharibu Kiswahili chetu
Watu wanaohojiwa katika swala la LAWI ni maongez Yao ktk kusajiri kimsingi kila msikilizaji analijua. Hoji taratibu za kusutisha mkataba iwapo timu imeshindwa kutimiza matakwa, mkihoji juu ya hilo watu wakajibu wasikilizaji na hata nyie wachambuz mtajua lilikopo mbele kabla ya maamuzi ya KAMAT TFF
Anjetile anahitaji kuelewa kuwa youth development program ni mid to long term programme. Swali ni je, hivi sasa wakati hizo Academy chache tulizo nazo hazijaanza kuzalisha bidhaa bora timu zifanye vipi? Ziendelee kutumia bidhaa za vichochoroni halafu utegemee kufanya vizuri Africa? Anabeza hayo mafanikio? Yeye ana nini cha kujivunia alichofanya wakati wake? Aache ROHO ya KOROSHO.
Kipindi kizuri sana hiki chenye malengo ya kujenga uelewa kwa sisi wananchi kuhusu teknologia, safi sana dr. Mwasaga
LAMEKILAWIANASHINIKIZWA AIKATAE SIMBA. VIONGOZIWA COSTAR UNION ACHENI UROHO
Big the big mpiana raisi wa ubungo explosive family international Simba msimu uyao naona watakuwa vizuri maana Wana bolesha Kikosi chao
Pindi safi sana
Redio matangazo yenu yana katika md mkoka
Jamaa anajua Sana kutangaza Ana saut nzur sana
🔥🔥🔥
Kila kitu kinawakati wake hata nyinyi wachambuzi mnawakati wenu msisahau hilo
Unachonga mtangazaji kwani umri wa MTU mkubwa wewe umjuwi icho kinyongo Kisa Simba nikweli uwo ndo umri wao
Yeye kama hana uwezo iweje aongelewe kwani wasione kwao kua niheli? Mimi siamini naisi wanaumia
Naitwa Stanley aziz ki wa Kasungamile sengerema naomba kujua Joshua mutale ameanzia timu gani maisha yake ya soka mpaka kufika simba sc?
Wanataka kweli kwenda kwenye mashindano ya championship?.
Dawa ya moto ni moto, mliambiwa huyo mtoto hana adabu.😊
💥💥💥💥
🎉🎉
Chama baba umeondoka?
Niwapatavizuri nikiwabuma bagamoyo bymrjombi
Tatizo mzee wa utopolo tintalila nyingi mno
MCHUNGAJI UNAJUA HATARI
Vip ndondoo za usajili kuhusu chama langu pendwa la yanga by mkine mpend yanga
By TR7 mkine mpenda yanga kwa sasa nipo njombe ningependa kujua frequency radio one nikiwa njombe
Duuuh Leo ndo nmeona huo upara kmbe ndo unatsha hvyoo!!!🤣🤣🤣🤣 mama Pasco bunju
Matangazo kwenye redio yanamsumbua mud mkoka
Mangungu kachizi huyo