- 14
- 58 427
MHETE MEDIA
เข้าร่วมเมื่อ 6 ส.ค. 2024
Mhete Media ni chaneli ya mtandaoni inayojihusisha na uhabarishaji wa habari za michezo,burudani,siasa,pamoja na uchumi pasipo ubaguzi wala uchochezi wowote ule.
Pia inafanya kazi kwa kuzingatia misingi na miiko ya TANZANIA COMMUNICATION REGURATION AUTHORTY(TCRA)
imeanzishwa august 06 2024
Pia inafanya kazi kwa kuzingatia misingi na miiko ya TANZANIA COMMUNICATION REGURATION AUTHORTY(TCRA)
imeanzishwa august 06 2024
UCHEBE AENDELEZA MAJIGAMBO YAKE/KAMARA ATAKUJA KUUA WATU JANGWANI SASA HIVI WAMEMUSAHAU DIARA WAO
UCHEBE AENDELEZA MAJIGAMBO YAKE/KAMARA ATAKUJA KUUA WATU JANGWANI SASA HIVI WAMEMUSAHAU DIARA WAO
มุมมอง: 4
วีดีโอ
GB 64:KIPIGO CHA MWARABU NI SALAMU KWA WATU FLANI TUNA USONGO NAO SANA
มุมมอง 4854 ชั่วโมงที่ผ่านมา
GB 64:KIPIGO CHA MWARABU NI SALAMU KWA WATU FLANI TUNA USONGO NAO SANA
DR MO AVIMBA MBELE YA WAANDISHI YANGA NDIO NANI MLETENI AZALILIKE VIBAYA
มุมมอง 1414 ชั่วโมงที่ผ่านมา
DR MO AVIMBA MBELE YA WAANDISHI YANGA NDIO NANI MLETENI AZALILIKE VIBAYA
OTHMAN KAZI AMALIZA UTATA WA GORI LA ATEBA/KUMBE KESI NI KUVUA JEZI NDANI YA UWANJA AU LAA
มุมมอง 53K4 ชั่วโมงที่ผ่านมา
OTHMAN KAZI AMALIZA UTATA WA GORI LA ATEBA/KUMBE KESI NI KUVUA JEZI NDANI YA UWANJA AU LAA
MZARAMO WA SIMBA AWAKEJERI YANGA BAADA YA KUMUKAANGA MWARABU BAO TATU KINACHOFUATA NI KUKATA SHOMBO
มุมมอง 5K4 ชั่วโมงที่ผ่านมา
MZARAMO WA SIMBA AWAKEJERI YANGA BAADA YA KUMUKAANGA MWARABU BAO TATU KINACHOFUATA NI KUKATA SHOMBO
HASHIMU IBWE AWAPIGA KIJEMBE SIMBA MUMENUSURIKA KIFO HUKO UWARABUNI KWANGU NITAWACHAKAZA VIBAYA
มุมมอง 4K19 ชั่วโมงที่ผ่านมา
Msemaji wa klabu ya Azam Fc Hashimu Ibwe kueleka mchezo wao na klabu ya Simba Sc amesema kuwa watahakikisha wanapata matokeo ya alama tatu katika mchezo huo kwani wao ni bora kwa sasa ukilinganisha na mpinzani wao simba
MCHUNGAJI ISSA:AWATIKISA YANGA KISA KAULI YA KOCHA GAMOND KUTOLIDHISHWA NAMATOKEO YA CBE
มุมมอง 3321 ชั่วโมงที่ผ่านมา
Shabiki na mpenzi wa pira wa miguu mchungaji ambaye pia ni shabiki wa klabu ya simba sc amesemakuwa mwenendo wa klabu ya yanga si mzuri kwa sababu wamejiona kuwa wakubwa jambo ambalo ni sumu kwao kwani kunawaza kuwapelekea kupoteza michezo mhimu kwa kosa la kujiona wakubwa
DOMINICK SALAMBA AFAFANUA KWA KINA SABABU YA CLEMENT MZIZE KUNG'ANG'ANIWA NA YANGA/HUENDI WAYDAD
มุมมอง 6114 วันที่ผ่านมา
DOMINICK SALAMBA AFAFANUA KWA KINA SABABU YA CLEMENT MZIZE KUNG'ANG'ANIWA NA YANGA/HUENDI WAYDAD
MZIZE AZIDI KUKOLEA UTAMU AIBWA KILA KONA KISA BILIONI MOJA YA WAYDAD NA KAIZER CHIEF
มุมมอง 4314 วันที่ผ่านมา
MZIZE AZIDI KUKOLEA UTAMU AIBWA KILA KONA KISA BILIONI MOJA YA WAYDAD NA KAIZER CHIEF
MAMA YAKE NA MAMA YANGU YANGA HII SIJUI SIMBA WAFICHE WAPI NYUSO
มุมมอง 16428 วันที่ผ่านมา
Maada ya kumkanyaga vital'o' bao sita kwa nunge mashabiki wa waibuka na kuwabeza wapinzani wao
YANGA WAIKIMBIA VITALO/YAFANYA MKUTANO NA WANAHABARI BIRA YA YANGA KUWEPO
มุมมอง 12หลายเดือนก่อน
Yanga imeshindwa kufika katika mkutano wake na waandishi wa habari pamoja na klabu ya vitalo
TAZAMA VIBE LA MISO MISONDO WAZEE WA MAKOTI WALIVYOKIWASHA SINGIDA DAY
มุมมอง 470หลายเดือนก่อน
#ayo #football #mpenjatv #simba
AYOUB LYANGA AFUNGUKA KWA MARA YA KWANZA BAADA YA KUACHANA NA AZAM NA KUITUMIKIA KLABU YA NYUMBANI
มุมมอง 24หลายเดือนก่อน
Mchezaji wa zamani wa klabu ya azam fc Ayoub lyanga amesema kwa sasa anajisikia amani akiwa na timu ya nyumbani kwao singida black stars na kuahidi kufanya vizuri kama alivyokuwa azam
MAANDALIZI YA DABI NI MOTO/SHABIKI WA SIMBA AWATOLEA UVIVU WANAJANGWANI
มุมมอง 52หลายเดือนก่อน
#ayo #mpenjatv @Mawengitv
ungeandika kipyenga chamwishow 🤣
❤❤❤❤❤
Sio tatizo kuvua jezi waamuzi wawe makini
Siku nyingine mzaramo mwaga kizaramo mwanzo mwisho tufrahi huku.
tuambiwe kwa nini goli lilikataliwa
Kwani huyo msenge Hans Rafael hasikii hizi chambuzi za wasomi??????
Mbona goli la All ahal tripol lilikua kama Of Saidi na goli kukataliwa la Simba
Othman kazi wachambuzi wa Tz akina Hance ndiyo wanaharibi soka la nchi hii,anawaaminisha watu kuwa ile ilikuwa penelt.
Huyu mzee kafa ana na mzee mjegejo
kwendraaaa hujui kufananisha
Cut
NA WEWE KIPENGA CHA MWISHO MBONA UKICHAMBUA GOLI HATA KM NI GOLI LA HALALI HUWA HAMRUDISHI KWENYE TIMU ILIYOSHINDA? KM NI HVY BASI HAKUNA LA MAANA. SASA UNACHAMBUA ILI IWEJE? UWE UNAWAPA WENYE TIMU ILIYOSHINDA ILIYOKUWA NA UHALALI WA GOLI
aisee 😀😀😀
Ila kweli
Huyu mzee anazeeka aisee Nina muda sijamuona
Hata wewe unazeeka bila kujijua hauwezi miaka yote ukawa unanyonya tu ziwa la mama ukiona unaweza kuujiuliza mz huyu anazeeka ujue sasa umeacha ziwa sasa unaelekea alipo huyo unae muona anazeeka kila kiumbe kitapitia njia zote alizo ziweka Mungu tuzipitie hakuna atakae ziruka nyingine hizo zenu mbwembwe tu.@@chotark1881
Dua nene Kwa Wana simba
Hashimu nakushangaa ulilo liomba kwa simba halikuwa pole sana na mechi ya simba na azamu tutawagonga
Sawa bwana😮
Sisi piah tunaomb mziz asitol yanga bad tunamhitaj
maoni ya shabiki yako sahihi
Safiii
Waaoooh KEEP IT UP